Lesian
'mpombe mtalika' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Kwa sababu ya ujanjaujanja tu, kwa sababu ya usanii usanii tu, kwa sababu ya pesa ndoto za Dr. wilbroad Peter Slaa zimezimika. Lowassa naye ndoto zake zinazimika mwezi Oktoba baada ya uchaguzi mkuu. lowassa anajua kabisa hawezi kuwa rais lakini anapoteza nini kuondoka CCM au kukaa CHADEMA? Ndiyo faragha pekee anayobaki nayo.
Pole za pekee kwa Dr. Slaa, ulifanyakazi kubwa sana ya kukijenga chama na nadhani sasa utakuwa unakumbuka mizengewe aliyofanyiwa ZITTO. Nakumvuka kauli yako wakati ZITTO ana mgogoro na CHADEMA pale uliposema "HAMNA TATIZO NA ZITTO, BALI WATU WABAYA WENU WANATAKA KUWACHONGANISHA" jambo ambalo hukujua ni kuwa wabaya walikuwa ndani ya CHADEMA. Pole sana Dr. Ndoto za Urais zimeishia hapo. Pole sana Josephine Mshumbusi, ndoto za kuwa first lady zimeishia hapo, ngoja Regina Lowassa naye ajaribu bahari hiyo.
Pole za pekee kwa Dr. Slaa, ulifanyakazi kubwa sana ya kukijenga chama na nadhani sasa utakuwa unakumbuka mizengewe aliyofanyiwa ZITTO. Nakumvuka kauli yako wakati ZITTO ana mgogoro na CHADEMA pale uliposema "HAMNA TATIZO NA ZITTO, BALI WATU WABAYA WENU WANATAKA KUWACHONGANISHA" jambo ambalo hukujua ni kuwa wabaya walikuwa ndani ya CHADEMA. Pole sana Dr. Ndoto za Urais zimeishia hapo. Pole sana Josephine Mshumbusi, ndoto za kuwa first lady zimeishia hapo, ngoja Regina Lowassa naye ajaribu bahari hiyo.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment