Friday 31 July 2015

Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI

Kutopelekwa Mahakamani siyo kuwa mtu hana makosa. . . . Kashfa ya Richmond na nyingine nyingi bado hata mtuhumiwa mmola hajafikishwa mahakamani. Hawa CCM wakuwa na kigugumizi  kila panapo tokeakashfa za Ufisadi na ieleweke wazi kuwa hawa Mafisadi wana mtandao wa kutumia fedha nyingi ktk kuchelewesha na kuzuia mkondo wa sheria.

Nadhani wote tunakumbuka kuwa ktk kashfa ya Mramba na Yona hata mwanasheria alikuwa ni mzee Chenge! Ambaye ana tahwa ktk maeneo mengi ya ufisadi.

Hawa mafisadi wasitumie kabisa kigezo cha kutopelekwa mahakamani kama ndio kigezo cha usafi wa vitendo vyao. 


Hata Wazee Mramba na Yona walifikishwa mahakamani baada ya kipindi kirefu kupita


Sent from my LG Mobile


------ Original message------

From: 'ananilea nkya' via Wanabidii

Date: Fri, 31 Jul 2015 1:59 PM

To: wanabidii@googlegroups.com;

Subject:Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI


Mwalimu wangu Kitila sijakuelewa unanilaumu kwa lipi. Maana kwenye hitimisho lako umeungana na mawazo yangu--kwamba kama ukweli wa kashfa ya Richmond ndio huo alioutoa Lowassa maana hakuna aliyejitokeza hadi sasa kukanusha alichokisema Lowassa, inabidi baadhi yetu tuliompaka kwamba ni fisadi wa Richmond kwa kutumia taarifa nunu nusu tulizopewa na ripoti ya Mwakyembe ambayo haikumhoji Luwassa, basi inapaswa tumuombe radhi. Kumbuka ukweli wa kashfa ya Richmond tumeupata  miaka minane baadaye--baada ya Lowassa kuchomoka kwenye mfumo wa utawala unaonufaisha wachache huku ukifukarisha wananchi walio wengi. Mimi naendelea kuomba Mungu mfumo uendelee kupasuka ili watawala watambue ni kwa nini wananchi  walipendekeza ile Rasimu ya Katiba ambayo CCM iliizika kisanii pale Dodoma. Laana ile ya kudharau wananchi haitaicha CCM  salama. Tusubiri. Ananilea Nkya E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com--------------------------------------------On Fri, 7/31/15, Emmanuel Muganda  wrote: Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI To: "wanabidii@googlegroups.com"  Date: Friday, July 31, 2015, 9:35 AM  Kitila,Hivi kutubu maana yake nini? Zitto alimaanisha nini alipomkaribisha Lowassa ACT ili mradi ataje mali zake? Unafiki ni part and parcel of politics.em Sent from my iPhone On Jul 31, 2015, at 2:37 AM, Kitila Mkumbo  wrote:  This is what we call flip flopping or dithering au kwa Kiswahili rahisi UNAFIKI!   Eti vyama vya siasa siku hizi ni sehemu ya watu kutubu? Hii nayo anaunga mkono dada Nkya? Yaani dada nilijua ushabiki umekukaba lakini sikujua kama utashuka kwa kiwango hiki! Hata hivyo, lazima nikuhurumie angalau kidogo,  lazima useme hivyo utafanyeje tena kwa sababu wewe ni moja ya watu mlioaminishwa kwamba hawa watu ni malaika na kila mtu asiyekubaliana nao ni shetani!! Mkakubali na kukumbatia kika upuuzi waliwaletea na kuutembeza barabarani. Lazima sasa mle matamishi yenu, hakuna namna!  Hii itukumbushe kwamba Siasa za maji taka hazina mwisho mzuri. Watu badala kuhubiri sera mchana - usiku kutwa wanatukana watu na kujivika umalaika. Liwe fundisho kwetu sote. Chuki na siasa za maji taka mbaya. Nasi tunaojiita 'neutral' tujifunze kuona uzuri na ubaya wa pande zote. Haiwezekani ubaya ukawa sehemu A lakini ukihamia upande B ghafla unakuwa mzuri. Mantiki inakataa. Again, hakuna namna ya kulielezea hili zaidi ya UNAFIKI tu!  So, nakubaliana kabisa na mtoa hoja kwamba ni uungwana tu kwa watu waliotembea barabarani nchi nzima kumtukana EL wakamuomba msamaha kabla hawajaanza tena kumtembeza barabarani kama mgombea.  Vinginevyo mie napongeza ujasiri wa EL wa kushinda majaribu na kuhamia upinzani. Napongeza ujasiri wa CHADEMA wa kuwa na roho ngumu na kutoa uso wa soni. Nampongeza JK kwa ujasiri wake wa kukata jina la EL kibabe na kichuki, jambo ambalo litaisaidia Tanzania kuwa na ushindani wa kweli wa kisiasa katika mfumo wa vyama vingi.  Kila jambo lina upande wake mwema.  Kitila  2015-07-29 9:04 GMT+03:00 emmbaga :      Hakumtuhumu Kikwete lolote alimwambia mda wake bado. lakini alimtuhumu Lowassa. haitafutika kamwe labda angejitetea kipindi kile tungemwelewa labda lkin sasa anatumia advantage ya Baba wa Taifa hatunae tena!!!   mizimu itazungumza. Ernest              Sent from Samsung mobile    fatma_elia via Wanabidii  wrote:   Ernest    Baba wa Taifa alimkataa Lowassa na Kikwete. Mbona mlimtakasa Kikwete mnamkataa Lowassa?    Fatma  Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.  From: Ernest Philemon   Sender: wanabidii@googlegroups.com  Date: Thu, 30 Jul 2015 04:54:38 +0000 To: wanabidii ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com  Subject: RE: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI    Tuache  unafiki,  Baba  wa  taifa  alimkataa  Lowassa   hata  mambo  ya  Richmond  hayakuwepo,  nae  Lowassa  hajawahi  kanusha chochote  alichosema  baba  wa   taifa  marehemu Mwalimu Julius  Nyerere,   leo  hii  we  Mama  unasema  aombwe  radhi   !!!! duuu  kweli  hizi  njaa    zinapoteza  hata  utu  wa  mtu.      ernest    Date: Thu, 30 Jul 2015 04:22:00 +0000  From: wanabidii@googlegroups.com  To: wanabidii@googlegroups.com  Subject: Re: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI     Kila anayetubu kwa dhati husamehewa Nkya. Lakini uwe mwangalifu na siasa. Umesikiliza upande mmoja tu kwamba EL alipewa amri ya simu, kutoka juu, kupitia  kwa Katibu Mkuu kwamba mkataba usivunjwe. Haingii akilini katika taratibu za utawala kupokea maagizo na kutekeleza katika mtiririko huu! Agizo haliendi hivyo, na mimi binafsi siwezi kutekeleza agizo la jinsi hii. Je anayesemekana alitoa agizo akisema hajawahi  kupiga simu kuzuia kuvunja mkataba? Na hii inawezekana sana katika hali ya mambo sasa hivi - kurukana! Nani atakuwa mkweli? Ni kupakana matope, tupate upande mwingine wa shilingi, kwamba ni kweli lilikuwa agizo? Kwa nini EL haku test authenticity ya agizo  hilo? Unaridhika na maelezo/maagizo ya subordinate wako?     Please       From: 'ananilea nkya' via Wanabidii   To: mabadilikotanzania@googlegroups.com   Cc: WANA BIDII    Sent: Wednesday, July 29, 2015 4:43 PM  Subject: [wanabidii] TULIOMWITA LOWASSA FISADI TUMUOMBE RADHI       Nimemsikiliza Edward  Lowassa  kwenye you tube tuliyowekewa humu jukwaani akiulizwa maswali na wanahabari kuhusu kashfa ya Richmond iliyotokea alipokuwa Waziri Mkuu miaka minane iliyopita. Kulingana na  majibu aliyoyatoa hata mimi kama mwanahabari niliwahi  kumwita fisadi kwa sababu ya  kashfa hiyo. Lakini kulingana na maelezo aliyoyatoa ninakiri nilifanya dhambi maana kumsingizia mtu uongo ni dhambi na binafsi baada ya kusikia upande wake mimi kwa upande wangu namuomba radhi.      Kumbe kinara wa  kashfa ya Richmond alikuwa bosi wake. Lo!  Sasa inaingia akilini ni kwa nini TOR za Mwakyembe hakikumuweka Lowassa kama sample ya kuhojiwa kashfa ya Richmond ilipotokea. Lakini kwa unyenyekevu Lowassa alijiuzulu kuinusuru serikali nzima  isianguke.  Mungu mwema miaka minane  baadaye ukweli kamili wa Richmond unajulikana. Kama ulichokisema ni kweli Lowassa, Mungu atakupigania kwa sababu ni wewe  na Mzee Mwinyi peke yenu mna rekodi ya kujiuzulu kuonyesha uwajibikaji kutokana na nafasi zenu na siyo kosa  mlilolitenda  ninyi wenyewe. Viongozi wengine mpaka umma upige kelele sana ndipo wajibaraguze kujiuzulu mfano kashfa ya escrow 2014. Sasa ninaelewa ni kwa nini baadhi ya watu wana hofu baada ya LOwassa  kukubaliwa na UKAWA kuwa mgombea Urais.    Namshukuru sana aliyetuwekea hii you-tube huku jukwaani maana baadhi yetu ambao hatuko site tungeweza kuendelea kufanya uchambuzi wetu kwa kutumia habari nusu nusu tulizopewa miaka iliyopita kuhusu kashfa ya Richmond.    Ananilea Nkya   E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com    Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma    Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.          --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit  https://groups.google.com/d/optout.     --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.   --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to  abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.        --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.       --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.    --   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com     Kujiondoa Tuma Email kwenda   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma     Disclaimer:  Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.  ---   You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.  To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout. -- Send Emails to wanabidii@googlegroups.comKujiondoa Tuma Email kwenda wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatumaDisclaimer:Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.--- You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment