Friday 31 January 2014

RE: [wanabidii] ZITTO KABWE KUSINDIKIZWA NA WABUNGE 9 KATIKA ZIARA YAKE MIKOANI

Wamepungua na kufika sita? Mwanzoni iliandikwa kuwa walikuwa kumi!


Date: Fri, 31 Jan 2014 18:49:52 +0300
Subject: Re: [wanabidii] ZITTO KABWE KUSINDIKIZWA NA WABUNGE 9 KATIKA ZIARA YAKE MIKOANI
From: mngonge@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

Hiyo ni style mpya haswaa. Sisi yetu macho na maskio ngoja tusubiri matokeo ya huo mchanganyiko. Siuji watakuwa wanahubiri sera za chama kipi?


On Fri, Jan 31, 2014 at 5:04 PM, ezekiel kunyaranyara <ekunyaranyara@yahoo.co.uk> wrote:
Lucas

Kama ni hivyo, wewe achana naye huyo mtoto, weka za kikubwa hapa tusome.
 
K.E.M.S.


On Friday, 31 January 2014, 5:49, lucas haule <kisacha2003@yahoo.com> wrote:
Habari za kitoto


On Friday, January 31, 2014 4:19 PM, MABADILIKO CHADEMA <mabadilikochadema@gmail.com> wrote:
Habari nilizozipata muda huu kutoka kwenye kambo ya ZZK zinasema, mbunge huyo wa Chadema atasindikizwa kwenye ziara yake mikoani na wabunge sita wa Chadema na watatu wa CCM.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "RE: [wanabidii] ZITTO KABWE KUSINDIKIZWA NA WABUNGE 9 KATIKA ZIARA YAKE MIKOANI"

[wanabidii] Re: [PK] RE: RAILA AMOLO ODINGA IS DEAD WRONG, AGAIN! "ODM" IS, WITHOUT AN IOTA OF DOUBT, A THOROUGHBRED "LUO PARTY"!!!

http://www.youtube.com/watch?v=rlODx38lYJo#t=161

On Fri, Jan 31, 2014 at 3:09 PM, Nyamodi Ochieng Nyamogo
<okil@nyamogoadvocates.com> wrote:
> If this were NOT the case, then why this breathless hysteria to
> dissuade Luo aspirants, except one, from contesting, under the lame
> excuse that it is "not a Luo Party"?! Since the beginning of time,
> "democracy" has ALWAYS been a game of numbers! If nothing is the
> matter with the TRUE CHARACTER of this "ODM", then why not just allow
> everybody to contest and the multitude of its "national" membership
> will ensure a fair/equitable "NATIONAL REPRESENTATION"???!!!
>
> DHI URU KUCHO (GET LOST), the emaciated kitten is, FINALLY, out of the
> wretched bag! "ODM", as some of us have always loudly maintained, has
> its "sectoral owners" and if a FREE and FAIR elections are attempted,
> the "sectoral owners" will, simply, elect their "sectoral minnows", to
> the utter "UNDRESSING" of their equally confidence trickster gOD!!!
> Quod erat demonstrandum (QED)!!!
> Nyamodi Ochieng-Nyamogo
>
> --
> *************************************************************************************************
> FOR CCTV Camera system, Security Alarm Systems, Perimeter Security Lights, Fencing in Western Kenya region: Contact LYDEMA TECHNOLOGIES at LydemaLtd@gmail.com or visit www.lydematechnologies.kbo.co.ke
> *************************************************************************************************
> TO ADVERTISE HERE: email: amosogal @ gmail.com
> *************************************************************************************************
> To subscribe:progressive-kenyans+subscribe@googlegroups.com:
> Unsubscribe:progressive-kenyans+unsubscribe@googlegroups.com
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Progressive Kenyans" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to progressive-kenyans+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Re: [PK] RE: RAILA AMOLO ODINGA IS DEAD WRONG, AGAIN! "ODM" IS, WITHOUT AN IOTA OF DOUBT, A THOROUGHBRED "LUO PARTY"!!!"

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] English test for beginners...

Kaka asante sana. Tunashukuru.
Hapa nilipo rafiki zangu wamekomalia jibu ni "telling".
Jambo jema ni kwamba wametafsiri lugha yao ya mama kwenda kiingereza. Aree yaar.


On Fri, Jan 31, 2014 at 11:56 AM, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Felix mdogo wangu,

Let's take a look at your question here.

Can you hear what he is . . . . ?
(a) saying
(b) talking
(c) telling
(d) speaking

Note: why (a) or (b) or (c) or (d)? and not (a) or (b) or (c) or (d)?

It's actually a very difficult question but we take it for granted because we already know it. You should bring this to my immigrant class on Saturdays. That's when you would really appreciate the difficulty in this question. This is not something that most of them would be able to answer easily.

Anyway, to make a long story short, The correct answer is (a)  saying
The correct sentence is Can you hear what he's saying?

All the other choices are wrong.

Indians are fond of using  (c) telling   This is wrong without including the object.
It is correct to say:  Can you hear what he's telling the class?     Class is the object.

It is also correct to say: Can you hear what he's speaking about?
Similarly, it is correct to say: Can you hear what he's talking about?

(a) saying ---  Is the only correct form that does not require the addition of an object.

This is all too technical for me to explain.

Courage




2014-01-30 Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com>:
Can you hear what he is . . . . ?
(a) saying
(b) talking
(c) telling
(d) speaking

Note: why (a) or (b) or (c) or (d)? and not (a) or (b) or (c) or (d)?

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] English test for beginners..."

[wanabidii] New content updates

Cher(ère) Wanabidii Africa Mashariki,

Le contenu suivant est disponible sur notre site web:

Press Releases


31/01/2014 - Ellen Johnson Sirleaf, President of Liberia, and Donald Kaberuka, President of the African Development Bank (AfDB) Group, officially launched on Thursday, January 30 in Addis Ababa, the final report of the AfDB High Level Panel on Fragile States during a closed session at the 22nd African Union Summit. The report, titled "Ending conflict and building peace in Africa: A call to action", is the result of year-long consultations, dialogue and debate on the question of "How can we truly build peace and set a course for prosperity in Africa's fragile states?"

Categories: Ethiopia, Human Capital Development, Poverty Reduction, High-Level Panel on Fragile States


Vous avez reçu ce message parce que vous avez souscrit au mises à jour de contenu de la Banque africaine de développement.

Gérer mon compte

Groupe de la Banque africaine de développement
15 Avenue du Ghana
BP 323-1002
Tunis-Belvedère, Tunisie

Tél: (+216) 71 103 450
Fax: (+216) 71 351 933
Email: afdb@afdb.org

Ceci est un message automatique, prière ne pas répondre. Envoyez vos requêtes à afdb@afdb.org.

© Groupe de la Banque africaine de développement - Tous droits réservés

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Is Trophy hunting Legal?

Felix,

It should not be legal. It's a senseless killing of animals.

courage



2014-01-31 Mwema Felix <mwema.felix@gmail.com>:

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la ‘Mabadiliko’.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Is Trophy hunting Legal?"

Re: [wanabidii] Re: UBALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA WAKANUSHA UZUSHI WA NEWS OF RWANDA

Kaka Muganda, nadhani ubalozi wetu Kigali umefanya hivi kwa ajili ya media ya Rwanda, kwa hiyo Ikulu ikachukua statement hiyo kama kiambatanisho. Sidhani kama ubalozi huo ulitoa statement hiyo kwa media ya Tanzania.




On Fri, Jan 31, 2014 at 10:59 AM, Frank Lema <savedlema@gmail.com> wrote:
The statement is well written, a sound one.

Ndiyo, ubalozi unaweza kufahamu kinachoendelea nchini, kwa nini wasifahamu?


On Thursday, January 30, 2014 4:43:42 PM UTC+3, Abdalah Hamis wrote:
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulumaw...@yahoo.com
pr...@ikulu.go.tz 

Fax: 255-22-2113425


PRESIDENT’S OFFICE,
THE STATE HOUSE,
P.O. BOX 9120, 
DAR ES SALAAM.
Tanzania.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Ubalozi wa Tanzania katika Rwanda usiku wa jana, Jumatano, Januari 29, 2014 ulitoa taarifa kwa vyombo vya habari ikikanusha habari za uongo na uzushi ambazo ziliandikwa mwishoni mwa wiki na gazeti la Serikali ya Rwanda la News of Rwanda.

Ifuatayo ni taarifa kamili iliyotolewa na Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Rwanda, Mheshimiwa Francis Mwaipaja:

Imetolewa na:
Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dar es Salaam.

30 Januari, 2014


STATEMENT ON CLAIMS BY THE NEWS OF RWANDA

The Embassy of Tanzania in Rwanda is deeply saddened by malicious and untrue reports, published over the weekend by the Rwanda Government Owned Newspaper, The News of Rwanda, in which it accuses the President of the United Republic of Tanzania, HE Jakaya Mrisho Kikwete, of supporting and holding meetings with members of rebel groups opposed to the Government in Kigali.

Indeed, these reports are nothing but a bunch of dangerous lies fabricated by editors of this publication with obvious malicious intent to attack the person of the President of a friendly neighbouring country and create an impression that Tanzania is working with enemies and groups opposed to the Government of Rwanda.

The News of Rwanda, which has gained uneviable notoriety of reporting and publishing malicious, dangerous and perpetual propaganda, quoting unnamed sources claims, among other things, that two founding members of the Rwanda National Congress (RNC) including Dr. Theogene Rudasingwa met secretly in Dar es Salaam with top commanders of the Democratic Forces for Liberation of Rwanda (FDLR).

Given the enormity and dangerous nature of these reports, the Embassy of Tanzania in Rwanda would like to make the following clarification:

1. That the so called founding members of Rwanda National Congress, Dr. Rudasingwa and adviser Condo Gervais together with top commanders of FDLR, namely Lt. Col Wilson Irategeka and Col Hamadi were not in Tanzania last week. Indeed, our records do not show that they have visited Tanzania in the recent years.


2. That, there was no meeting of any kind at any official residences of President Kikwete, either in Dar es Salaam or in Dodoma or anywhere. Indeed, President Kikwete has never met any of those people mentioned anywhere – in Tanzania or outside. Moreover, on the day that News of Rwanda claims that the meeting took place, Thursday 23rd, this month, the President was not even in the country – he was in Davos attending the meeting of the World Economic Forum (WEF).


3. That, the former Prime Minister of Rwanda Faustin Twagiramungu was also not in Tanzania on any or the same mission and did not attend the meeting with representatives of RNC and FDLR as no meeting of such nature took place in Dar es Salaam or anywhere in Tanzania as alleged by this paper. The Immigration Department in Tanzania does not have a record of such people entering or exiting the country.


4. That, The Tanzania Immigration Department has never issued any travel document to any Rwandan citizen including those claimed in the News of Rwanda that they travelled to Mozambique using Tanzanian passports on or around December 20th 2013. It is not the business of Tanzania to issue travel documents to citizens of other countries.


5. That it is also untrue that the so-called, “insider establishment” in Tanzania is providing the base for organization and facilitation for travel for FDLR fighters. It is open secret that there is no presence of even a single FDLR fighter in Tanzania. The News of Rwanda should know better where these fighters are based and operate from.
As mentioned earlier, this report and other similar reports published in recent weeks by the News of Rwanda are not only untrue, baseless and mere fabrication but also dangerous and threatening to the excellent and sound diplomatic and social relations between our two neighbouring countries, both of which are members of the East African Community (EAC).

President Kikwete is deeply hurt by these lies and his humble advice to the editors of this publication is to stop fabricating untrue claims which potentially could create and fuel animosity and confusion among the people of our two neighbouring and friendly countries. At a time when President Kikwete and President Paul Kagame of Rwanda had agreed in Kampala to foster friendly relations, such newspaper claims can only sour the atmosphere and President Kikwete would like to know what the editors of the publication are up to?

The Embassy of Tanzania in Rwanda does not take lightly these allegations by the News of Rwanda given the position that this publication occupies in Rwanda.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: UBALOZI WA TANZANIA NCHINI RWANDA WAKANUSHA UZUSHI WA NEWS OF RWANDA"

Re: [wanabidii] Re: PINGAMIZI LA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI KIKATIBA LILILOTOLEWA NA JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA

Ngupula umeongea vizuri sana ndugu yangu yaani ungekua jirani ningekupooza walau na ka-pepsi. ila nadhani tusaidiane kitu hapa. Naomba Fratern, Ngupula,Mhangwa mniunge mkono kwa pamoja tuombe Ndugu Makame Idd walau ufafanuzi au orodha ya haki za msingi kabisa na ukweli tupu ambazo ndugu zetu vipenzi waislaam wanazidai na wanaamini zinaporwa na serikali au na wakristo. Hii itatupa wigo mpana zaidi ya kujadili na kusaidiana maana huenda kuna wenzetu wakawa na uelewa safi wa baadhi ya hoja.

Karibu Sheikh Makame Idd ututajie hizo kero zenu za haki, sio stori ndeefu hadi mtu ajisikie uvivu jaribu sana kufupisha mno na kuziorodhesha ili iwe rahisi kuzibaini.


On Thursday, January 30, 2014 9:46 PM, Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com> wrote:
Tatizo ni kujikosha kwa viongozi wetu wa serikali kwa viongozi wa dini
On 30 Jan 2014 11:36, "Kilasara Fratern" <kilasara.fratern@gmail.com> wrote:
Naona maneno ya Bwn G. Ngapula, yamemaliza kila kitu, na anayetaka kuleta mjadala huu, afikirie mara mbili, ila ukweli ndio huo. Sidhani, kama kuna muislamu safi atakaye unga mkono kunzishwa kwa mfumo wa mahakama ya kuwaadhibu wao wenyewe, watoto wao, na wajukuu zao kwa kuwakata mikono ati kadokoa tunda, na wengine kuwapiga mawe hadi kufa kisa kafumaniwa, ...huku wakijua swala kama hili, hata na kujihalalishia kuoa mke zaidi ya mmoja bado 'maisha ya uaminifu kwenye mapanzi/ndoa' ni mtihani unaowashinda wengi!!!

Naishia hapa, nikizidi kumshukuru Mungu, na amrehemu na amrehemu mara dufu Baba wa Taifa Mwl. J. K. Nyerere huko aliko kwa kuifanya Tanzania nchi ambayo haina DINI, bali, kila mtu anao uhuru wa kuabudu dini anayoitaka. Hii ndio kweli, na ukweli huu ndio hata Mungu aliutaka. Watu wote wawe na uhuru wa kumwabudu na kumheshimu Mungu kwa jinsia na namna yao wanayoitaka, na sio hii ya kulazimishana kama 'ilivyoashiriwa' kwenye mahakama ya kadhi. Tena, kwa wana historia, mtakumbuka kinachotokea Nigeria leo hii hakikuwepo kwenye miaka ya 1970 - mwishoni mwa miaka ya 1980! Ila baada ya nchi hii kugawanyika, hasa sehemu ya Kaskazini ilipojitenga na kuwa na utawala wa Sharia, ndipo balaa linalowatafuna hadi leo hii la Boko-haramu lilipoibuka, licha ya akina mama kuuwawa, kisa, wamefumaniwa kwenye uzinzi! Ila cha kushangaza, mwanamke peke yake ndiye anayehukumiwa kwa uzinzi? Je, wagoni wao je? Au huwa wanageuka upepo ndio maana na wao hawakamatwi nini????????????/ This system and its practices are grossly skewed!


2014-01-30 Godfrey Ngupula <ngupula@yahoo.co.uk>:
Kwa maneno mafupi kabisa,nawashauri ndugu zangu waislam waache kabisa kudhani au kufikiria kuwa ili dini yao ishike hatamu ni lazima mifumo yao iwe incoporated katika taratibu za kiserikali. Hizo ndoto ni sawa na kufikiria kujenga nyumba angani au ndani ya bahari..nikimaanisha kuwa sio kwamba haiwezekani lakini gharaama yake ni kubwa mno kuliko faida yenyewe. Mtu yeyote mwenye malengo mema na Tanzania yetu ni lazima awe na ndoto za kuifanya Tanzania kuwa neutral and quite stable state, highly paralysed with regards to the religion and beliefs sensitivity. Viongozi wa type hii ndio wataofanikiwa....on the contrary, hakutakuwa kuna kitu kinachoitwa Tannzania.


Watu wote  wanaojua haki za binadamu na maisha bora ya binadamu hakuna hata siku moja unaweza fikiria kuruhusu eti mahakama za kadhi zifanye kazi Tanzania kwa kusimamiwa na dola ya nchi..Hilo haliwezekani kwani kimsingi mahakama hizo zinapingana sana na haki na msimamo ya kimataifa ya haki za binadamu..Hivyo basi,kwa taifa kulinda watu wake ni lazima ikatae na isijihusishe na masuala yeyote ya dini ili serikali ndio iwe kimbilio la mwisho kwa wanaoona hawajatendewa haki.
Waislam ndugu zanguni, ni ruksa kwenu kuendelea kulipigania hili lakini ni ukweli usiopingika kuwa hamtafanikiwa kwa Tanzania yetu ijayo..huu ndio ukweli..

Huwa nawaambia watu "watu wengi kwa kutokujua wanapoteza muda mwingi kufungua milango ambayo Mungu amefunga na ambayo haitafunguka.Kumbe,wangelijua,wangepita kwenye milango ambayo Mungu kaiacha wazi na wangefika watakako".



On Thursday, 30 January 2014, 13:18, Kilasara Fratern <kilasara.fratern@gmail.com> wrote:
Siku zote, serikali makini, lazima ijizuie kuchanganya siasa na dini. Siasa, inatakiwa iongoze na kuzimamia 'religion, social life and its development, military, and the political life including its career. Na ndio maana, waasisi wa siasa, Plato & Aristotle, walishauri kuwa kiongozi wa siasa lazima awe Mwanafalsafa (Philosopher), ambaye kwa mtizamo wa Aristotle, sio tu awe Mwanafalsafa bali "a Metaphysician - ambaye ndani yake, 'the art of philosophy and religion they are one and the same thing." Kwa maneno mengine, mwanafalasa wa aina hii sio kwamba hana dini, bali dini anayo, lakini dini yake sio msingi wa siasa anayoiishi. Mwanafalsafa lazima ajue kutenganisha siasa pamoja na maisha yake kutoka kwenye misimamo ya dini/kidini anayoiamini.

Japo tukija kwa "Radical Realist Philosophers", wanapishana kidogo na msimamo wa waasisi wa siasa, na mfumo huu ndio umechangia kuunda siasa za nchi kama Marekani, Uingereza, Australia, zikiwepo nchi nyingi za Ulaya ya Kati.

Kimsingi, msimamo wa katiba yetu wa kutoa uhuru wa kuabudu kwa kila raia UNATOSHA, haya mengine, 'implicitly, shall non systematically derail the national focus to the way-side, which none will consciously support!

Pongezi kwa Tume ya Katiba japo, yapo machache ambayo yatawekwa sawa kwenye Bunge la Katib


2014-01-25 Idd Makame <iddmakame@gmail.com>
huu mjadala zaidi ni serikali na waislam pia ieleweke kama kundi jamii pia linalostahili haki na kuthaminiwa kama makundi jamii mengine, mfano kundi jamii moja ndilo linaonekana linahaki zaidi la hamna dini, au serikali haina dini, hii sio haki kwa sababu kutokuwa na dini kunakundi pia halina dini, ndio lipewe haki zote?. minafikiri kwa sasa serikali inaona kama utani ila ipo siku historia itakuja kuhukumu na hapo majuto yatakuwa mjukuu. Fujo au kupotea amani kwa mahali fulani huwa kuna chanzo, sasa donda liachwe liendelee tu likiwa ndugu ukatakiwa kukata mguu usilaumu. ANGALIZO LANGU NI SEREKALI IKUMBUKE HIZI HAKI WAISLAM WANAZOZIDAI HAZIWEZI HATA SIKU MOJA MAISHA YOTE KUJA KUACHWA KUDAIWA, HILI WASIJIDANGANYE KWA KUTOA MAJIBU YA MUDA MFUPI WAKATI UGONJWA UNAKUWA.

On Sunday, October 28, 2012 5:05:55 PM UTC+3, Abdalah Hamis wrote:
Siku za hivi karibuni zimeanza kusikika kauli toka kwa watu mbali mbali kuhusu uwezekano wa kuanzishwa kwa mahakama ya Kadhi ambayo hiyo ni maalum kwa Waislamu peke yao . Lakini zipo juhudi mbalimbali zinazofanywa hata na baadhi ya viongozi wa juu wa Kisiasa katika kulishughulikia suala hilo kana kwamba Katiba inawaruhusu kufanya hivyo. Mambo hayo yalikwisha amuliwa katika vikao vya Bunge lililopita kuwa yafanywe na Waislamu wenyewe katika dini yao. Hivi karibuni tumemsikia Makamu wa Rais Dk. Bilal, akiwapa tumaini Waislamu kuwa jambo hilo linawezekana. Hoja yangu ni kwamba kauli ya Makamu wa Rais aliitoa kama mtu binafsi au kama Kiongozi wa ki-Taifa? Kitaifa ilikwisha amuriwa tayari. Kumekuwepo na hoja kuwa suala la udini katika nchi yetu linaota mizizi na kuhatarisha amani ya nchi. Kama viongozi wao ndiyo wanaolichochea unategemea nini kitatokea ? Hii ndiyo iliyonisukuma kukurushia kumbukumbu ya Tamko la CCT-JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA walilolitoa mwaka 29008 kuhusiana na kadhia hiyo. Lisome halafu tafakari kauli zinazotolewa na viongozi wa upande wa Waislamu kuhusu Mahakama ya kadhi

JUMUIYA YA KIKRISTO TANZANIA (CCT)
PINGAMIZI DHIDI YA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI NCHINI NA TANZANIA KUJIUNGA KATIKA USHIRIKIANO NA JUMUIYA KIMATAIFA YA KIISLAMU.
Sisi Maaskofu na Viongozi wa makanisa na mashirika wanachama wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT) tumetafakari kwa Roho ya Kiutume na Kinabii kwa nchi yetu juu ya Uanzishwaji wa Mahakama ya Kadhi nchini na Tanzania kujiunga katika ushirikiano na Jumuiya ya Kimataifa ya Kiislamu (OIC).

Tunazingatia na kutambua kwa dhati na fahari kubwa kuwa nchi yetu haina dini na kwamba jambo hili limekuwa ni mojawapo ya tunu na misingi imara ya umoja na utaifa na amani ya nchi hii. Tumeipongeza Serikali yetu mara nyingi kwa kuingiza katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ibara ya 19 (2) kama ifuatavyo:- Kazi ya kutangaza dini , kufanya ibada na kueneza dini itakuwa ni huru na jambo la hiari ya mtu binafsi, na shughuli na uendeshaji wa jumuiya za dini zitakuwa nje ya shughuli za mamlaka ya nchi. [Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Na ya 2005]. Ibara hii imekuwa ni ya muhimu kwa ajili ya kusimamia na kuhakikisha kwamba mambo ya dini yanatenganishwa kabisa na shughuli za uendeshaji wa nchi yetu.

Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo ndiyo sheria mama ya sheria nyingine zote, imeendelea kuzingatia umuhimu huu. Hifadhi ya haki zilizotajwa katika ibara hii itakuwa chini ya taratibu zilizowekwa na sheria ambazo ni muhimu katika jamii na umoja wa kitaifa. Haya yamewekwa wazi katika Ibara ndogo ya (3) katika Ibara ya 19 [Sheria ya Mabadiliko ya Kumi na Nne Katika Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania . Na. 1 ya 2005]

Sheria ya Vyama vya siasa [Sura ya 258 R.E 2002] imetii na kuheshimu tuliyoyataja na kuyanukuu hapo juu katika kifungu cha 9 (2) (a) (i) ambacho kinasema; Without prejudice to subsection (i) of this section, no political party shall qualify for provisional registration if by its constitution or policy (a) it aims to advocate or further the interests of – (i) any religious belief or group. Maana yake (tafsiri ni yetu) ni kwamba chama chochote cha siasa hakitakubaliwa usajili wa muda endapo kwa kufuatana na katiba au sera ya chama chicho kinalenga kutetea au kuendeleza maslahi ya imani au kikundi chochote cha kidini.

Siku za hivi karibuni Bunge la Tanzania na vyombo vingine vya serikali vimekuwa vikijadili juu ya uwezekano wa kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi na nchi kujiunga katika ushirikiano wa OIC. Maswala haya yanapojadiliwa inaashiria uwezekano wa kukubalika kwa mambo haya mawili. Kukubalika kwake ni kwenda kinyume na vifungu vya Katiba na sheria tulizotaja au kunukuu hapo juu. Si hivyo tu, bali pia ni kuruhusu kubomoka na kuvunjika kwa amani ya nchi yetu kwa sababu yanagusa hisia na itikadi za Watanzania wote.

Tunatambua kuwa vyama vya siasa katika kueleza sera na ilani zao vinajitahidi kuvutia wapiga kura wengi ili viweze kupigiwa kura ili kuchukua au kuendelea kushika uongozi wa nchi. Lakini kamwe na ni hatari isiwe ni ili mradi kushika uongozi wa nchi hata kama ni kwa gharama ya kuvunjika kwa umoja wa kitaifa na amani ya nchi hii! Hili ni jambo tusilolikubali kwa vyovyote vile kwa Chama chochote cha kisiasa kitakachokubali mambo haya mawili. Hata kama uhusiano wetu na chama hicho ni mzuri kwa sasa itabidi tufikirie upya uhusiano huu! Tunatoa tahadahari kwa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Serikali yake kuacha mara moja kuruhusu majadala na kukubalika kwa mambo haya.
Msimamo wetu kuhusu mambo haya mawili ni kuyakataa; na mamlaka yoyote ya nchi kuendelea kukaribisha mjadala huu ili hatimaye yakubalike ni kupoteza muda wa wenye dhamana ya mamlaka ya nchi hii na raslimali za nchi hii. Tuna uhakika wa yaliyomo katika nyaraka anzilishi za taasisi hizo na ni hatari kabisa endapo yakikubalika nchi itaingizwa katika migogoro itakayoua maridhiano, mshikamano, amani, utangamano na umoja wa kitaifa. Kama ilivyokuwa wakati wote tangu kupata Uhuru wa nchi hii hadi sasa mambo ya imani zao bila ya kuingiza mamlaka za nchi katika gharama na kutumia rasilimali na muda ambavyo ni muhimu kwa maendeleo ya /na ustawi wa familia, umma na Taifa kwa ujumla.

Tunaendelea kuweka mkazo kwamba yale mambo yote ambayo yamekuwa ni tunu kwa Taifa hili tangu kuasisiwa kwake yasitikiswe wala kuhojiwa kwa makusudi ya kuyaondosha au kudhoofisha umuhimu wake.

Kwa kuzingatia wajibu wetu wa Kinabii na Ki-utume, Jumuiya ya Kikristo Tanzania inatoa wito kwa Bunge letu lisikubali kamwe kuanzishwa kwa Mahakama ya Kadhi nchini kwa kupitia mchakato wa utendaji wa mamlaka ya nchi, wala kuridhia uanachama wa Tanzania katika OIC. Tanzania yenye amani imetokana na ni tunda la uhuru wa dini, itikadi, makabila, rangi na jinsia zote.

MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRIKA.

Pingamizi hili limetolewa leo tarehe ……………………… Oktoba, 2008


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
-----------------------
Fratern Kilasara
,

P. O. Box - (Home): 62810; or (Office): 65300
Dar es Salaam - Tanzania.
Telephone (Office): +255 (0)22 2700021/4 Ext No. 239; Fax: +255 (0)22 2775591
Mobile (Personal): +255 (0)715 40 41 53 or +255 (0)754 40 41 53
Emails: kilasara.fratern@gmail.com or kilasara.fratern@yahoo.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
-----------------------
Fratern Kilasara
,

P. O. Box - (Home): 62810; or (Office): 65300
Dar es Salaam - Tanzania.
Telephone (Office): +255 (0)22 2700021/4 Ext No. 239; Fax: +255 (0)22 2775591
Mobile (Personal): +255 (0)715 40 41 53 or +255 (0)754 40 41 53
Emails: kilasara.fratern@gmail.com or kilasara.fratern@yahoo.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] Re: PINGAMIZI LA UANZISHWAJI WA MAHAKAMA YA KADHI KIKATIBA LILILOTOLEWA NA JUMUIA YA KIKRISTO TANZANIA"

[wanabidii] Is Trophy hunting Legal?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Is Trophy hunting Legal?"

Re: [wanabidii] TAMKO LA JOHN SAMWELI MALECELA KUUNGA MKONO KAULI YA PAUL MAKONDA

Daaah Reuben umenifurahisha sana, ati umesahau Jina la JUMANNE unasema nani nani sijui??!! ha ha haaaaa usizuge ni JUMANNE kaka. Kinachowasibu hawa ndugu zetu ni kwamba, ile taasisi yao walishaigeuza kuwa kama kampuni tu yaani mwenye mtaji mkubwa anafanya transaction sasa wale wenye mitaji midogo wanapiga kelele!! lakini hakuna mtu mwenye ujasiri wa dhati wa kuweza kumbananisha jamaa, mbona timu ni ileile iliyoshindwa kuvua ati nini vileeee!!!?? magamba enhee?? yeah magamba sasa kama gamba lilishindikana jamaa kapenya, kwenye nec ana  ushawishi mkubwa japo ulchaguzi uliitishwa mpya sasa timu ileile inawezaje kuzuia leo?????

Tafakari chukua hatua


On Friday, January 31, 2014 8:36 AM, Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com> wrote:
Lutgard;
Ni kweli a pair of wrongs cant make a single right, kitu kibaya ni kwamba, hawa Waheshimiwa huwa wanajua tumesahau/tumesamehe kwa maana kwamba,dhambi ile ile ya John anaitumia kumhukumu mwenzake as kwamba alipoifanya yeye haikuwa dhambi au tumesahau.

Ni aibu kwa Watu wazima kama hawa pamoja na washauri wao.
 
Reuben

From: Lutgard Kokulinda Kagaruki <lutgardk@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, January 31, 2014 8:27 AM
Subject: Re: [wanabidii] TAMKO LA JOHN SAMWELI MALECELA KUUNGA MKONO KAULI YA PAUL MAKONDA

Reuben,

Two wrongs don't make one right! John, Eddy, wote sawa tu!! LKK

 


On Friday, January 31, 2014 8:07 AM, Reuben Mwandumbya <ipyana75@yahoo.com> wrote:
Comrades;
Phrase hii ya Mh. John imenivuta kukumbuka Mwaka 1995'

''Sisi tulikijenga chama hiki kwa taabu sana hapakuwa hata mtu mmoja aliyediriki kutumia fedha zake kutaka madaraka. Nidhamu, busara na uchungu wa rasilimali za taifa hili kwa maslahi ya wananchi ndio vilituongoza kufuata misingi na maadili ya uongozi ndani ya chama na serikali, ndio maana tunaumia sana kuona chama sasa kinataka kutekwa na wenye fedha kwa uchu wa madaraka, mpaka tunashangaa na kujiuliza hizi pesa wanatoa wapi? Na haya madaraka wanayotaka kwa kununua ni kwa maslahi ya nani? Huku watanzania wakiendelea kuwa maskini''.

Mh. Mwl JKN alikuwepo wakati huu na moja ya mambo yaliyo mdisqualify John ilikuwa ni hizi fedha anazoziona kwa wenzake kwamba zina madhara kwa Taifa na Chama,kama nakumbuka vizuri nazani alifikia hatua ya kusilimu na kuitwa nani nani sijui!
Sasa je yeye wakati huo alikuwa bado mdogo? Mana kuna kausemi kanasema 'kua uyaone'

Reuben


From: Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, January 30, 2014 4:42 PM
Subject: [wanabidii] TAMKO LA JOHN SAMWELI MALECELA KUUNGA MKONO KAULI YA PAUL MAKONDA

----- Forwarded Message -----

Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (hamisznz@gmail.com) Add cleanup rule | More info
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI --30/01/2014

Ndugu zangu waandishi wa habari, awali ya yote naomba niwasalimie na niwapongeze kwa kufika -mwaka mpya 2014, pia naomba niwapongeze kwa kazi kubwa ambayo mmekuwa mkiifanya hasa kuhakikisha watanzania wanapata habari kwa kila jambo linaloendelea kila kona ya taifa letu la Tanzania.

Ndugu waandishi wa habari nimewaita hapa ili kuzungumza nanyi na mnisaidie kufikisha ujumbe kwa watanzania hasa kuhusu jambo hili ambalo limekuwa gumzo kwa watanzania wengi la mbio za urais 2015 kwa baadhi ya watu ndani ya chama changu cha mapinduzi (CCM), kilichonisukuma zaidi na kupata hamu ya kuongea nanyi ni baada ya kumsikia -na kumuona kijana wetu ndani ya chama cha mapinduzi bwana Paul Makonda akiwa na ujasiri wa kukemea vitendo mambo haya yanayofanywa na baadhio ya viongozi bila uwoga wowote naomba tuchukue fursa hii kumpongeza sana kijana huyu.

Nadiriki kusema nampongeza kijana huyu hasa kwa kauli zake nzito na za kijasiri kwa maslahi ya chama changu cha CCM ili chama kiendelee kupendwa na kuchaguliwa na watanzania.

Pia itakuwa si busara kama sitawapongeza vijana wangu katibu mkuu wa chama ndugu ABDULRAHMAN KINANA na NAPE NNAUYE kwa juhudi zao za dhati za kujenga chama na kuendelea kuwaeleza wananchi juu ya misingi bora ya chama cha mapinduzi (CCM) kwa kuwakemea viongozi wasiofaa bila kujali cheo na umaarufu wao ndani ya chama na serikali, nawaomba waendelee -na juhudi zao hizo nami naziunga mkono juhudi zao na kama kuna watru wanaowabeza naomba wasijali kwani kukemea viongozi wasiofaa ndani ya chama na serikali ni msingi wa chama chochote kilichounda serikali.

Aidha nawaomba watanzania wenzangu wazalendo wasikubali kukatishwa tama na kikundi cha watu wachache wasio na mapenzi mema na taifa letu ambalo limekuwa mfano wa kuigwa kwa amani, upendo, utulivu na mshikamano urithi tulioachiwa na baba yetu wa taifa mwalimu julias kambarage nyerere ndani na nje ya mipaka ya bara letu la afrika.

Ndugu zangu waandishi wa habari naomba niwaambie kuwa msemaji wa UVCCM kijana wetu Paul Makonda namuunga mkono kwa -kitendo chake cha ujasiri cha kumkemea ndugu EDWARD NGOYAI LOWASSA bila uwoga kwa jinsi anavyokivuruga chama chetu kwa lengo la kutaka urais 2015 huku secretariet ya chama ikiwa imekaa kimya wakati inajua kuwa muda wa kuanza mbio hizi bado na kufanya hivi kwa sasa ni kukiuka misingi na katiba -ya chama. Hapa najiuliza kuwa ile misingi imara ya uongozi ndani ya chama chetu cha mapinduzi iko wapi? Mpaka tumuachie mototo ndio akemee haya? Je, hapa chama kiko wapi?

Ukweli ni kwamba wanachama wetu na vijana wamekuwa njia panda huku wakitamani kusikia tamko au karipio la chama juu ya suala hili la harakati za urais 2015 bila mafanikio.

Naomba niseme kuwa bila kuwa na karipio au tamko la chama, hawa wanaotumia pesa zao hadharani kwa lengo la kutafuta umaarufu na ushawishi kwa vijana ili kupata madaraka wanaharibu misingi yetu bora ya uongozi iliyowekwa na waasisi wetu ndani ya chama.

Kinachonisikitisha zaidi ni kuona juhudu za uongozi wa sasa wa chama ngazi ya juu ikiwa ni pamoja na sekretarieti inayoongozwa na katibu mkuu ABDULRAHMANI KINANA na katibu mwenezi NAPE NNAUYE za kutetea chama hiki zinatiwa mchanga.

Ninaomba juhudi hizi zisibezwe na watu wenye nia njema na chama. Ukweli ni kwamba vijana hawa wamekuwa na juhudi kubwa sana ya kujenga na kuimarisha chama chetu -kwa wananchi kila pembe ya taifa letu kwa kukemea na kueleza misingi ya uongozi bora. Swali: Je! Chama hakioni haya mpaka vijana ndio waone?

Kwa hili ni lazima tubadilike ili kujenga chama chetu na naishauri -secretariet ya chama lazima ichukue hatua mara moja, kijana huyu paul makonda asingesema haya yote kama hana uhakika wa ushahidi wa wa haya aliyoyasema na nampongeza sana.

Vijana na wanachama wengi wa CCM wamekuwa na hamu kwa muda mrefu ya kutaka kujua msimamo wa chama chao bila mafanikio na ndio sababu ya baadhi ya-wengine kupoteza mwelekeo.

Sisi tulikijenga chama hiki kwa taabu sana hapakuwa hata mtu mmoja aliyediriki kutumia fedha zake kutaka madaraka. Nidhamu, busara na uchungu wa rasilimali za taifa hili kwa maslahi ya wananchi ndio vilituongoza kufuata misingi na maadili ya uongozi ndani ya chama na serikali, ndio maana tunaumia sana kuona chama sasa kinataka kutekwa na wenye fedha kwa uchu wa madaraka, mpaka tunashangaa na kujiuliza hizi pesa wanatoa wapi? Na haya madaraka wanayotaka kwa kununua ni kwa maslahi ya nani? Huku watanzania wakiendelea kuwa maskini.

Mfano hivi karibuni baadhi ya viongozi wa chama ngazi ya juu wamejibishana kwenye vyombo vya habari,vitendo hivi havina tija kwa chama na wala havileti umoja na mshikamano ambao umedumu ndani chama kwa muda mrefu.

Mwisho Ninaomba sekretarieti ichukue hatua haraka kama alivyoomba kijana wetu makonda na kweli kuchelewa kuchukua hatua jambo hili kumejionyesha wazi kwamba utaleta kutokuelewana ndani ya chama kusiko kuwa na lazima.


JOHN SAMWELI MALECELA

KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


Read More :- "Re: [wanabidii] TAMKO LA JOHN SAMWELI MALECELA KUUNGA MKONO KAULI YA PAUL MAKONDA"