Friday 30 June 2017

Re: [wanabidii] MJADALA KUHUSU RASLIMALI ZETU: UMAKINI MAKINI UNAHITAJIKA KATIKA MIJADALA IJAYO

Ahsante sana Elisa. Ingawa kuna usemi wa kiswahili usemao kuwa ukitaka kula na kipofu sahani moja usimkamate mkono, watu wengi tulisha liona hilo! Baadhi tulikaa kimya si kwa kuwa ni vipofu au wapumbavu ila ni mazingira yaliyokuwepo! Sasa mzungu katukamata mkono, na kati yetu mmojawapo kafunguka macho kwa miujiza miujiza hivi na akamuona jamaa anakula chakula sehemu yetu pamoja kuwa kamaliza kula sehemu yake. Hili suala si ndoto za jinamizi ni ukweli mtupu. Katika nchi za SADC, au zamani zikiitwa Nchi za Msitari wa Mbele (The Front Line State), kuna nchi ambazo zina madini ya almasi, dhahabu, shaba, nikel n.k. nchi hizi zimenufaika na neema hizi zilizopewa na Muumba wa Mbigu na Dunia, na hizi nchi zina mikataba ya madini na hao wawekezaji!   Nchi hizi zina uzoefu wa muda mrefu na jinsi ya ku-negotiate na 'waheshimiwa wawekezaji' na mikataba hiyo haina wasi. Nchi hizi zipo humu humu SADC na zinafaidi tunu hizi walizopewa na M'nyezi Mungu. Sasa nchi yetu ambayo ni kati ya nchi za kwanza zilizoanzisha The Front Line States kupambana na Mkaburu wa Afrika ya Kusini wakati wa ubaguzi wa rangi, na Wareno kule Msumbiji na Ian Smith na kundi lake kule Zimbabwe, na kuikomboa Namibia pamoja na Angola, tunashindwa nini kuwauliza wenzetu kua hiyo mikataba ya madini mnatengenezaje na hao wawekezaji na ikafaidisha nchi zenu na wananchi wenu? Kweli hili linatushinda? 

Jamani nchi haitajengwa na watu kutoka nje itajengwa na sisi wenyewe hakuna cha njomba wala shangazi, hao hao ndio sasa wamerudi katika koti zuri la rangi ya UWEKEZAJI! Hao hao waliotutawala, na wanaendelea kututawala kwa sababu ya akili zetu na sio unyonge wetu. Tanzania sasa hivi ina wasomi wengi tu, sio zile enzi za miaka ya 60 au 70, wakati huo baba wa taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alikataa kuchimba madini, hatukuwa na wataalam, kwa hiyo alijua tutaibiwa tu. Sasa tunaibiwa na wataalamu wapo!. Ushauri, tuwaulize wenzetu humu humu SADC kuhusu mikataba yao ya madini na hao 'waheshimiwa wawekezajia'. Nchi hizo ni Botswana na Namibia. Tusione aibu, kosa si kosa, kosa ni kurudia kosa!

    Mungu Ibariki Tanzania



Sent from Samsung tablet



-------- Original message --------
From 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date: 28/06/2017 22:16 (GMT+02:00)
To wanabidii@googlegroups.com,prudence karugendo <prudencekarugendo@yahoo.com>
Cc stanley.nshange@nsn.com,innokahwa@yahoo.com,akiobya@yahoo.com,tkiobya@yahoo.com,hkahyoza@yahoo.com,emmanuelelias2005@yahoo.com,repeatitagency@yahoo.com,stanley.nshange@nokia.com,uhalisi@yahoo.co.uk,tundu.lissu@gmail.com,pkarugendo@yahoo.com,mbowe2008@gmail.com,bilhuda2006@yahoo.co.uk,davidkafulila@yahoo.com,muddy.kiobya@gmail.com,emmanuelelisa46@yahoo.com,wilfredlwakatare@gmail.com
Subject [wanabidii] MJADALA KUHUSU RASLIMALI ZETU: UMAKINI MAKINI UNAHITAJIKA KATIKA MIJADALA IJAYO


Baada ya ripoti za rais kuhusiana na madini kutolewa na mambo yaliyofuata sasa watanzania tumerudi katika busara kubwa. Busara kubwa kwamba madini ni yetu. Busara kubwa sana kuwa haiwezekani tukaendelea kuibiwa. Busara kubwa kwamba hata waliojaribu kumpinga rais sasa wako kimya au wana lugha tofauti.
Haiepukiki kuamini kuwa huko nyuma tuliibiwa. Haiepukiki kuwa watanzania wenzetu katika ngazi mbalimbali za dhamana walizokabidhiwa, walitusaliti. Hata kama tutasema au tutanyamaza lakini kila tunapowaona na wao wanajua kuwa tunajua, kuwa walilisaliti taifa. Wapo tutakaowachukulia hatua. Wapo tutakaowaacha au kwa kuwaheshimu au kwa kuwahurumia na wengine kwa kinga tulizojiwekea bila kujua kuwa zitatuumiza. Lakini hatuamini kuwa hawajui kuwa tunajua walichokifanya. Mijadala ipo. Mfano Tutamshitaki waziri mstaafu na kumuacha aliyekuwa anamwagiza. Tunafanya hivyo huku tukijua kuwa tuliyemkamata alifanya makosa kwa sababu kuagizwa na tuliyemuacha. Lakini ukweli uko palepale. Wahaya wanasema "Empisi ekanyampila eibale. Eti olayesiza kyonka wakaulila". Yaani chui alilijambia jiwe. Akaliambia japo umenyamaza lakini umekasikia.
 
Wakati hilo likifanyiwa kazi, jingine linalosubiriwa ni mjadawa na hao "wawekezaji".
Huku nyuma walitwambia uwekezaji ni garama kubwa kiasi kwamba  inabidi watugawie kitu kidogo baada ya kuchimba madini kwa sababu kuchimba madini ni aghali sana. Tukakubali. Au niseme viongozi wetu wakakubali. Sasa hiyo haitarajiwi.
Nimekuwa nikifikiri. Ngoja niandike hicho ninachokifikiri. Kama ningechangia msingi wa kujadiliana katika marekebisho ya mikataba ya madini ningesema hivi: Kuna pande mbili:
Upande mmoja ni Tanzania yenye madini. Ni mali yake. Kwa haki nchi inaweza kuendelea kubaki nayo au kuyachimba inavyotaka.
Upande wa pili ni wa wawekezaji. Wana mitambo, Ujuzi wana wajuzi nk.
 
Pande hizi mbili zinahitaji kuungana na kufaidiana. Ilikuwa aibu kujiambia kuwa thamani ya mitambo, utaalamu na wataalamu vina thamani kuliko dhahabu dhahabu yetu. Haiwezekani kwa mfano kutumia ng'ombe kupata mbuzi. Kwa nini usikae na ng'ombe wako. Kwa nini wazungu watwambie wana mbuzi mwenye thamani kuliko ng'ombe wetu. Kama ni hivyo si wakae na mbuzi wao?!
 
Wawekezaji waje na kila walicho nacho. Nasi tukutwe na tulicho nacho. Tutumie vya kwao kuyafukua na kuyaleta juu ya ardhi madini yetu na tuambizane: Mmetumia kiasi gani? Kiasi watakachotumia wawekezaji ndicho kiasi tunachotaka kwanza. Yaani wakitumia dola milioni moja kuyachimbua tunatoa milioni mbili. Moja yetu, moja yao. Ile thamani ikibaki tunagawana kati kwa kati.
Nchi hii imedanganywa sana. Kuna wakati sheria ilikuwa inasema kila mradi wa madini asilimia ishirini na tano (25%) imilikiwe na watanzania. Wajamaa wakawa wanakuja wanamdanganya mtanzania kuwa ana hiyo asilimia lakini hawampi kiasi hicho. Tulipoanza kuandika kuwa basi hao watanzania waulizwe hiyo 25% wameiweka wapi, sheria ikabadilishwa.
Niliwahi kuona picha ya hazina ya dhahabu ya uingereza. Hazina ambayo ndiyo inasaidia kusema Uingereza ni tajili. Hazina inayosaidia kuituliza hela ya Uingereza. Zamani za Nyerere benki kuu ilikuwa inanunua dhahabu kutoka kwa watanzania wanaochimba dhahabu kwa kutumia vijiti. Sehemu ya dhahabu hiyo ilikuwa inawekwa akiba. Nina mashaka kama manyang'au waliopita waliibakiza. Umefika wakati sehemu ya dhaahabu ya Tanzania ikawekwa hakiba. Kama hapa si salama watuwekee hao wanaoweza kuitunza. Lakini iwe yetu. Jamani, tunajua kuwaiga. Tumeiga matamshi, tumeiga kuvaa, tumeiga miondioko. Tumetelekeza lugha yetu ili tusionekane washamba kuongea vizuri lugha yetu. Kwa nini tusiige ujanja wao!? Kwa nini tusiige uzalendo wao kwa nchi zao nasi tukathamini yetu?!
 
Elisa Muhingo
0767 187 507

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] MJADALA KUHUSU RASLIMALI ZETU: UMAKINI MAKINI UNAHITAJIKA KATIKA MIJADALA IJAYO"

[wanabidii] Moto M smartphone gets Android Nougat update in India

Follow us:
Here are some stories that you don't want to miss today
Moto M smartphone gets Android Nougat update in India
Moto M smartphone gets Android Nougat update in India
Lenovo-owned Motorola has started rolling out Android 7.0 Nougat update for its mid-range smartphone – Moto M. The company launched the device in December last year priced at Rs 15,999. Along with the latest Android, the update also brings Duo video ...
READ MORE
Play Online Poker, Get Rs 100 FREE on Signup.
Play poker on India’s most trusted website & win big. Signup with code TIMESFREE, Get Rs 100 FREE.
PokerBaaziRecommended by Colombia
GST sale: 12 hot deals on smartphones, TVs and more
READ MORE
Comparison: Honor 9 vs Honor 8
Comparison: Honor 9 vs Honor 8
READ MORE
Sell/rent your property for free!
Post your property details and reach out to 30 lakh+ active buyers and rent seekers.
Magicbricks.comRecommended by Colombia
Apple iPhone turns ten: 7 little-known facts about the smartphone
Apple fans, one of your most-loved devices has turned 10. It was 10 years ago that the original iPhone hit stores on June 29, 2007 in the US. Here are some not-so-known facts about one of the world's 'favourite' smartphone.
READ MORE
Micromax, Intex have a new plan to corner Xiaomi, Oppo
Karbonn and Intex argued that the Chinese players were not expanding the government’s Digital India vision by not launching sub-Rs 5,000 smartphones, run entirely by local players.
READ MORE
Uber, Ola cut drivers' incentives by 30%
Initially, taxi-hailing apps introduced higher incentives to woo drivers to their platforms that almost equalled the gross booking value sans the commission deducted by cab aggregators.
READ MORE
Nokia 3, Nokia 5, Nokia 6 users to get up to 9GB free data on Vodafone network
India's second-biggest telecom service provider Vodafone has partnered with Nokia smartphones brand owner HMD Global. As part of the partnership, the telco will be offering extra data benefits to buyers of its recently-launched Nokia-branded smartpho...
READ MORE
Soon, access free Wi-Fi at locations under 11 civic corporations
After a couple of futile attempts, the government is again putting in place a system to provide free Wi-Fi service in 11 municipal corporation limits and 2,500 gram panchayats.
READ MORE
H&M fans, here's good news for you
Swedish fast-fashion giant Hennes & Mauritz (H&M) will start online operations in India by next year in a bid to close the gap with Spanish rival Zara.
READ MORE
Instagram turns to AI to fight 'abuse' on its platform
The move comes as Facebook and other internet companies work to curb trolls, hate speech and the spread of violent ideology on their platforms.
READ MORE
Unsubscribe | Manage Subscriptions
Stories | Gadgets | Reviews | compare | Slideshows | Videos | Brands
Read More :- "[wanabidii] Moto M smartphone gets Android Nougat update in India"

[wanabidii] Top Headlines: GST: Freedom at midnight from tax terrorism, PM Modi says

Times of India
Daily Newsletter | Saturday, July 01, 2017
fbtwittergoogleplus
TOP HEADLINESMORE »
GST: Freedom at midnight from tax terrorism, PM Modi says
The goods and services tax, a radical step towards the country’s transformation into a common market, became a reality at the stroke of midnight with Prime Minister Narendra Modi billing it a “good and simple tax” which would help businessmen by putting an end to tax terrorism and inspector raj.
Mixed-use township in Bengaluru
2/3/4/ BHK homes in a mixed use township in Bengaluru starting at 98 Lacs.
Recommended by Colombia
PM gambles big, at stake is BJP’s poll hopes
PM Modi says GST is ‘good and simple tax’
PM Modi, who’s well known for his gift of the gab, smartly expanded GST as ‘good and simple tax’ while delivering his speech, which was received by a thundering applause by the attendees thumping the table, a common ritual at the Parliament for expressing joy or praise.
CITIESMORE »
Play Online Poker, Get Rs 100 FREE on Signup.
Play poker on India’s most trusted website & win big. Signup with code TIMESFREE, Get Rs 100 FREE.
Recommended by Colombia
Woman delivers baby in ambulance surrounded by pride of lions
In a bizarre incident, a pride of about a dozen lions surrounded an ambulance carrying a pregnant woman for delivery near Lunsapur village in Jafrabad taluka of Amreli on Wednesday night, forcing the woman to deliver the baby in the ambulance itself.
TECHMORE »
Moto M smartphone gets Android Nougat update in India
Lenovo-owned Motorola has started rolling out Android 7.0 Nougat update for its mid-range smartphone – Moto M. The company launched the device in December last year priced at Rs 15,999. Along with the latest Android, the update also brings Duo video ...
GST sale: 12 hot deals on smartphones, TVs and more
Comparison: Honor 9 vs Honor 8
Comparison: Honor 9 vs Honor 8
SPORTSMORE »
Dhoni, bowlers give India unassailable series lead
Mahendra Singh Dhoni and the bowlers fashioned India's 93-run win over a lacklustre West Indies in the third ODI, giving the visitors an unassailable lead in the five-match series here.
3rd ODI: West Indies vs India, Antigua
Follow all the live updates from the third West Indies v India ODI in Antigua on Times of India
We can do better in sports other than cricket: Modi
In the presence of some of India's finest athletes, Prime Minister Narendra Modi on Friday inaugurated 'The Arena', one of the most advanced integrated multi-purpose stadiums and appealed for the adoption of a sporting culture.
BUSINESSMORE »
GST launch divides opposition
The Congress, the Trinamool Congress, the Left, the BSP, the DMK, the RJD and some other parties boycotted the event, dubbing it as a "tamasha" (drama). The NCP, a key constituent of the Congress-led UPA, broke away from the Opposition ranks
GST rollout: Here’s what India Inc, others say
India’s biggest tax reform since its independence in 1947 is set to rollout at the midnight of Friday and Saturday. GST is set to change the way trade and commerce is carried out in the country. Here’s what India Inc and other stakeholders have to say about the landmark GST launch
ENTERTAINMENTMORE »
Pic: SRK's son AbRam on a car ride
The star kid is extremely famous already thanks to his adorable antics and this picture takes the cuteness to another level.
Other Newsletters from TOI:
Breaking News | Digest | Tech | Entertainment | Movie Reviews | Life & Style
Unsubscribe | To manage your newsletter subscription settings, click here.
Copyright 2017 Bennett Coleman & Co. Ltd. All rights reserved. For reprint rights: Times Syndication Service
Read More :- "[wanabidii] Top Headlines: GST: Freedom at midnight from tax terrorism, PM Modi says"

[Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place]....

Doctor collins has left a new comment on your post "[Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place]...":

I want to thank an awesome medical Doctor in the person of Dr Collins Raphael who has made my family and i proud in trust and urgency, he bought off one of my kidneys for his patient with awesome amount of money in dollars, i came across his email address on the internet as doctorcollins3@gmail.com published by one Michel and Lopez thanking him and telling the world on how he came to their rescue financially as a result of buying their kidneys without stress, i quickly applied via the email and i was given all the attentions i needed by Doctor in less than a week i met all the requirements, and my half money was like a dream when it came into my bank account before the transplant, i urge you to contact on Dr.Collins via; doctorcollins3@gmail.com for your financial awesomeness to come through like mine few months ago. I promised to do this when i eventually scale through.
doctorcollins3@gmail.com
I am chanchai Chakrii.
From Germany



Posted by Doctor collins to Wanabidii Place at 30 June 2017 at 13:16
Read More :- "[Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place]...."

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Press Releases


30/06/2017 - Le Conseil d'administration du Groupe de la Banque africaine de développement (BAD) a approuvé le nouveau Document de stratégie pays 2017-2021 pour la Tunisie. Ce document décrit le contenu du partenariat entre la BAD et la Tunisie pour les cinq (5) ans à venir.

Categories: Tunisia, Partnerships, Youth, Employment, Environment


You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 2026 3900
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] Re: K....

Doctor collins has left a new comment on your post "[Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] Re: K...":

This is to inform the general public male or female who are healthy and 100% serious in selling his kidney should urgently contact Dr.Collins Hospital e-mail: doctorcollins3@gmail.com |, as we have a lot of patients who are currently in need of kidney transplant, are you looking for an opportunity to sell his kidney for money due to the financial break down and we will provide $ 800,000USD for his kidney. and also we do have hiv /aid cure if you need the cure also just email us now, EMAIL: doctorcollins3@gmail.com.. whats-app number +2348108439977 thank you.



Posted by Doctor collins to Wanabidii Place at 30 June 2017 at 11:53
Read More :- "[Wanabidii Place] New comment on [Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] Re: K...."

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Vacancies

Position title Publication date Closing date
Chief fisheries officer (coordinator blue economy) 30/06/2017 13/07/2017

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 2026 3900
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"

[Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] VIJANA WAKUBALI MAENDELEO ENDELEVU, WA....

Blogger has left a new comment on your post "[wanabidii] VIJANA WAKUBALI MAENDELEO ENDELEVU, WA...":

eToro is the #1 forex trading platform for beginning and full-time traders.



Posted by Blogger to Wanabidii Place at 30 June 2017 at 08:15
Read More :- "[Wanabidii Place] New comment on [wanabidii] VIJANA WAKUBALI MAENDELEO ENDELEVU, WA...."

[wanabidii] New content updates

Dear Wanabidii Africa Mashariki,

The following new content has been been added to our website:

Press Releases


30/06/2017 - Du 3 mai au 30 juin 2017, le Partenariat Souk At-tanmia que la Banque africaine de développement (BAD) a lancé avec d'autres partenaires et qu'elle pilote, a organisé 42 ateliers de formation sur tout le territoire tunisien, au profit de 250 jeunes entrepreneurs et de 200 représentants de structures publiques et de la société civile opérant dans le domaine de l'entrepreneuriat en Tunisie. Ces formations s'inscrivent dans le cadre de la 3e édition de Souk At-tanmia, lancée en mars 2017. Objectifs : stimuler l'esprit d'initiative et renforcer l'écosystème entrepreneurial en Tunisie.

Categories: Tunisia, Private Sector, Youth, Poverty Reduction, Partnerships, Human Capital Development


Vacancies

Position title Publication date Closing date
Chief global client management expert 30/06/2017 13/07/2017
Archivist 30/06/2017 13/07/2017
Division manager strategy and transaction support 30/06/2017 13/07/2017
Advisor to vice president 30/06/2017 13/07/2017

You have received this email because you subscribed to content updates of the African Development Bank.

Manage my account

African Development Bank Group
Immeuble du Centre de commerce International d'Abidjan CCIA
Avenue Jean-Paul II
01 BP 1387
Abidjan 01, Côte d'Ivoire
Phone: +225 2026 3900
Email: afdb@afdb.org

This is an automated message, please do not respond. For all enquiries please contact afdb@afdb.org.

© African Development Bank Group - All rights reserved

Read More :- "[wanabidii] New content updates"