Saturday 24 June 2017

[wanabidii] MAONI YANGU KUHUSU MWELEKEO WA TAIFA LETU


Nimefuatilia majadiliano ya mwelekeo wa taifa letu kuhusu halisi kuwa tunakwenda wapi? Nikiwa mwananchi mzalendo napenda nitoe ya moyoni. Taifa letu, ukirejea Katiba yetu linafuata siasa ya ujamaa na kujitegemea, lakini katika utekelezaji tuko kwenye mfumo wa soko huria au ubepari. Mimi nashauri tujifunze kutokana ufanisi wa mifumo na kasi ya maendeleo kati ya nchi za Magharibi na Asia, hasa nchi ya china ambapo kasi ya China ni kubwa sana hivyo ningependa tuendelee na siasa ya ujamaa na tuige mfumo wa China katika kuendesha mambo yetu tutafanikiwa kupiga hatua ya maendeleo kwa haraka. Nakaribisha maoni yenu kuhusu muelekeo wa taifa letu.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment