Wednesday 31 December 2014

[wanabidii] Neno La Leo: Usiuanze Mwaka Mpya Kwa Chuki Kwa Wanadamu Wenzako


Ndugu zangu,

Tumeanza Mwaka Mpya. Ni jambo la kumshukuru Mwenyezi Mungu. Lakini, lililo baya kwa mwanadamu ni kuanza mwaka kwa chuki. Maana, mwanadamu huangamia pia kwa roho yake ya chuki.

Kuna miongoni mwetu wenye kuwachukia wenziwao kwa vile tu wanafanya bidii ya kazi. Kwamba wanafanikiwa kwa wanayoyafanya. Badala ya kuwaiga, wao huhangaika sana na kujenga husda. Hufanya hila za kuwazuia wenzao wasipige hatua. Hufikia hata kuwazushia tuhuma za uongo. Ni kutaka kuzichafua tu, taswira za wenzao kwenye jamii. Wenye chuki na hila huzani kwamba watakifikai kilele cha furaha maishani, pale wanapoyaona maanguko ya wengine. Hapana, hawajui kuwa chuki na hila hupelekea kwenye kuangamia kwao pia.

Aristotle, Mwanafalsafa wa Uyunani ya Kale aliamini, kuwa kuna aina tatu za furaha kwa mwanadamu; Mosi, furaha itokanayo na kuishi maisha ya raha na starehe. Pili, furaha itokanayo na kuishi kama mtu huru na unayewajibika kwa jamii yako. Na tatu, furaha itokanayo na kuishi maisha ya mtu anayefikiri na ni mwanafalsafa.

Aristotle aliamini, kuwa ili furaha ya mwanadamu iwe na ukamilifu, basi, matatu hayo, yawepo kwa wakati mmoja.

Na ni vigumu yote yakawepo kwa ukamilifu na kwa wakati mmoja. Lililo jema ni kutafuta uwiano. Maana, ni hatari kwa mwanadamu kuwa mroho sana wa chakula. Ni hatari vile vile kwa mwanadamu kukosa chakula.

Miongoni mwetu wanadamu kuna walio na ubinafsi mkubwa. Ni wenye kuitaka furaha ya kuwa na raha na starehe, hata kwa gharama za wanadamu wenzao.
Ni hao wenye hata kutumia siasa kutimiza matakwa yao ya kuwa na raha na starehe. Hata kama kuna wengine hawana hakika ya kula yao ya kesho.

Ni hawa wasiowajibika kwa jamii yao. Na kwenye kundi hili kuna wenye wivu, chuki na kutenda yalo ya hila kwa wanadamu wenzao. Yote ni kwenye kuitafuta furaha yao. Hata kama ni kwa kuwaumiza wenziwao. Maana, wanapoona kuna mwanadamu mwenzao aliye huru, mwenye kufikiri na anayewajibika kwa jamii. Basi, huyo kwao ni adui. Watamwandama kwa kumuwinda.

Na kwa mwanadamu, hakuna jambo la hatari kama kuwindwa na mwanadamu mwenzako. Maana, mwanadamu mwenzako anageuka kuwa ni adui. Hivyo, katika hali hiyo unaweza kuwindwa na mtu au watu usiowajua. Wewe huwaoni, lakini wao wanakuona na kukufuatilia nyendo zako; unachosema, unachoandika na hata unaokutana nao.

Na katika hali hiyo ni heri mwanadamu uwindwe na simba, maana, simba akikuwekea mtego akakukosa, basi atajiendea zake. Hana habari tena na wewe. Lakini, kwa mwanadamu mwenye choyo, wivu, hila na inda, akikuwekea mtego akakukosa, nawe ukajua kuwa umekoswakoswa, basi, busara ni kuwa makini zaidi.

Mwanadamu kama adui atatafuta njia nyingine kuhakikisha kuwa hata lambo linalokufanya uishi kama samaki, nalo linakaushwa. Ufe, basi. Ni furaha yake. Ili iweje? Mungu anajua.

Maana, tofauti na simba, mwanadamu hakuachi kirahisi na kujiendea zake. Itakuwa hivyo kama itabaki, kuwa kwenye kutimiza raha na starehe zake anazozitaka. Kwenye ubinafsi wake, wewe, kama mwanadamu mwenzake, ni kikwazo.
Na kosa lako laweza kuwa moja tu; kutaka kuwa mtu huru. Mwenye kufikiri na kuwajibika kwa jamii unayoishi.
Ni Neno La Leo.
Maggid Mjengwa.
Iringa.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Neno La Leo: Usiuanze Mwaka Mpya Kwa Chuki Kwa Wanadamu Wenzako"

Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK

Copy n paste


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Date: 31/12/2014 21:47 (GMT+00:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK


Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (emuganda@gmail.com) Add cleanup rule | More info
Hawa maCCM wanachekesha sana. Katika uchaguzi wa 2010 tuliposema kuwa tutatoa elimu bure ni hawa hawa maCCM yaliyotubeza na kusema serikali haina pesa hizo.
Sasa all of a sudden wameona uchaguzi wa 201r5 unakaribia wameanza kupoka sera zetu. Watanzania hatuna kumbukumbu fupi.
em

2014-12-31 14:11 GMT-05:00 Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>:
Jambo jipya sana na la kihistoria katika Sera mpya ya Elimu ni dhamira ya Serikali ya kuondoa ada katika elimu ya sekondari kuanzia mwaka 2016. Mpaka sasa hatuna ada kwenye shule za msingi, sasa wakati umefika kufanya hivyo pia kwa elimu ya sekondari. Kwa mujibu wa maelezo hayo ya Sera, nimekwishatoa maagizo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Fedha na Tume ya Mipango kuanza kutafakari namna jambo hilo litakavyotekelezwa - Rais Jakaya Kikwete katika Hotuba ya Kuaga Mwaka 2014 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK"

Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK

Hakuna kitu kama hicho ni utapeli mtupu,mbona alitangaza kuondoa kodi kwenye vifaa vya ujenzi lakini sasa anaondoka hajatimiza,sera za kuiga chadema hazitelezeki.

'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

>Hii utakuwa safi sana. Tena nafikiria kuwa ili kuharakisha utekelezaji wangeulizwa CHADEMA ambao ndio waanzilishi wa sera hii.
>--------------------------------------------
>On Wed, 12/31/14, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:
>
> Subject: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Wednesday, December 31, 2014, 10:11 PM
>
> Jambo jipya sana na
> la kihistoria katika Sera mpya ya Elimu ni dhamira ya
> Serikali ya kuondoa ada katika elimu ya sekondari kuanzia
> mwaka 2016. Mpaka sasa hatuna ada kwenye shule za msingi,
> sasa wakati umefika kufanya hivyo pia kwa elimu ya
> sekondari. Kwa mujibu wa maelezo hayo ya Sera, nimekwishatoa
> maagizo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Wizara ya
> Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Wizara ya Fedha na
> Tume ya Mipango kuanza kutafakari namna jambo hilo
> litakavyotekelezwa - Rais Jakaya Kikwete katika Hotuba ya
> Kuaga Mwaka 2014 
>
>
>
>
> --
>
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>  
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
> kudhibitisha ukishatuma
>
>  
>
> Disclaimer:
>
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
> for any legal consequences of his or her postings, and hence
> statements and facts must be presented responsibly. Your
> continued membership signifies that you agree to this
> disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
> ---
>
> You received this message because you are subscribed to the
> Google Groups "Wanabidii" group.
>
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails
> from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>
> For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
>
>
>--
>Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
>Kujiondoa Tuma Email kwenda
>wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
>Disclaimer:
>Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>---
>You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
>To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] TUTAONDOA ADA YA SEKONDARI IFIKAPO 2016 - JK"

[wanabidii] Who is Tanzanian's 'Person Of The Year' and why?

Who is Tanzanian's 'Person Of The Year' and why?

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Who is Tanzanian's 'Person Of The Year' and why?"

[wanabidii] Soma Magazeti Ya Leo Alhamisi..

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Soma Magazeti Ya Leo Alhamisi.."

[wanabidii] Fw: Filipino City Requires Taxi Drivers to Display Bible Verses on Vehicles


----- Forwarded Message -----
From: "ANS@Assist-Ministries.com" <ANS@Assist-Ministries.com>
To: ASSISTNEWS@sheperd.com
Sent: Wednesday, December 31, 2014 8:38 PM
Subject: Filipino City Requires Taxi Drivers to Display Bible Verses on Vehicles

Filipino City Requires Taxi Drivers to Display Bible Verses on Vehicles
ASSIST News Service (ANS) - PO Box 609, Lake Forest, CA 92609-0609 USA
Visit our web site at: www.assistnews.net -- E-mail: assistnews@aol.com

Tuesday, December 30, 2014

Filipino City Requires Taxi Drivers to Display Bible Verses on Vehicles

By Jeremy Reynalds
Senior Correspondent for ASSIST News Service
TAGBILARAN, PHILIPPINES (ANS) -- A city in the Philippines mandates all of its taxi drivers to paint Scripture on the back of their vehicles, in an effort to curb crime in the city.
Photo via CBN News screenshot
According to an article by Heather Clark for the Christian News Network, while the law in Tagbilaran has been in effect for over twenty years, reports have just recently highlighted the requirement.
"This is the only city in the Philippines that has such an ordinance," Samuel Belderol, who issues taxi licenses at city hall, told reporters. "We want the world to know that we are a God-fearing city and that these Bible verses help us draw closer to God."
"We only issue 3,000 licenses every year and each one must have a unique verse on it, no duplicate verses allowed," he explained, nothing that the drivers are assigned a particular Bible verse.
The story by Christian News said those who fail to have the Scripture painted on their taxis may be fined or have their license revoked.
City Council member Lucile Lagunay said that the presence of the verses has helped to change the atmosphere in the city, and has consequently lowered the crime rate.
"With a Biblical message at the back of the units, commuters get to see the message every day and it helps in way to preserve the peace in our city," Christian News reported she said. "Everyday commuters get to see the biblical message on the tricycles and who want to think of crime when they see biblical passages everywhere."
Some of the verses painted on the taxis include, "I am the way, the truth and the life," "The law of the Lord is perfect, converting the soul," and "God loves a cheerful giver."
"Years ago people used to paint obscene messages and images on their tricycles, but the city ordinance changed that," Buala Siongiex, who has been painting verses on the motorcycles for two decades, said.
Christian News reported she added, "Now when you read the word of God you can't help but feel alive; even a little bit of God's word makes you happy."
While it is not clear how the law was passed or who was responsible for the law's passage, Christian News said the vast majority of Filipinos are Roman Catholic. An estimated 2.8 percent profess to be evangelical Christians, w ith numerous Baptist, Pentecostal and non-denominational congregations throughout the nation as well.



Share     See all ASSIST News articles at www.assistnews.net
Jeremy Reynalds is Senior Correspondent for the ASSIST News Service, a freelance writer and also the founder and CEO of Joy Junction, New Mexico's largest emergency homeless shelter, http://www.joyjunction.org He has a master's degree in communication from the University of New Mexico, and a Ph.D. in intercultural education from Biola University in Los Angeles. His newest book is "From Destitute to Ph.D."




Additional details on "From Destitute to Ph.D." are available at http://www.myhomelessjourney.com. Reynalds lives in Albuquerque, New Mexico. For more information contact: Jeremy Reynalds at jeremyreynalds@comcast.net.

** You may republish this story with proper attribution.
Send this story to a friend.


Note to our subscribers: It you really appreciate what we do through ANS and would like to make a donation to help us continue with this unique news service, you can do so in two ways. First, just go to our secure site at www.assistnews.net/assist/donations.htm, where you can sign up for a monthly gift or a one-off contribution (tax-deductible in the US). Second, if you prefer to send a check, just make it out to ASSIST, and mail it to ASSIST, PO Box, 609, Lake Forest, CA 92609, USA (also tax-deductible in the US). Thank you so much for caring! Dan Wooding
Click here if you wish to unsubscribe
ASSIST News Service is Sponsored By



Read More :- "[wanabidii] Fw: Filipino City Requires Taxi Drivers to Display Bible Verses on Vehicles"

Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Neno La leo: Mwalimu Alisema Na Sisi Tunasema.. Tanzania Would Never Be ' Another Congo'..

Kaka Maggid,

Ni vyema kukubali na kusema ukweli kuwa moja ya tatizo kubwa la nchi yetu ni uongozi bora. Hili tatizo la IPTL lilivyoshughulikuwa limeonyesha wazi kuwa kuna shida kubwa ya uongozi bora kwenye nchi yetu. Once upon a time nchi yetu ilikuwa na uongozi bora na kulikuwa hakuna ufisadi wa wazi tunaoushuhudia sasa hivi. Wewe kama mwandishi na mtu uliyetembea vijijini na kukutana na watu masikini wanaohangaika kila kukicha nadhani unatambua hilo kiundani kabisa. Kwa waandishi wa habari kuchangia maendeleo ya nchi yetu ni lazima kusema ukweli wa kile kinachotokea bila kujaribu kujiweka kwenye safe zone ambayo haiwasaidii wananchi masikini.

2014-12-31 14:03 GMT-05:00 Mobhare Matinyi <mobhare@gmail.com>:

Sijui kwa nini lakini nimevunjika mbavu kwa maneno haya:
...tumeumaliza mwaka kwa ugomvi mkubwa......

On Dec 31, 2014 9:57 AM, "Maggid Mjengwa" <mjengwamaggid@gmail.com> wrote:


Ndugu zangu,

" Kamwe Tanzania Haitakuwa ' Congo Nyingine'. Hayo yalipata kusemwa na Mwalimu Julius Nyerere miaka ya mwanzoni mwa Uhuru. Unaweza kuyasoma kwenye kitabu kilichoandikwa na Sir Andy Chande, A Knight In Africa, Ukurasa wa 77.

Alichokiona Mwalimu miaka ile ya 60 ndicho ambacho, baadhi yetu, kwa kutanguliza maslahi yao binafsi, na hata kwa kusingizia kuwa wao ni Wazalendo zaidi kuliko wengine, hawataki kukiona.

Congo ya MwanaMapinduzi Patrice Lumumba imeangamia kutokana na laana ya rasilimali zake.

Patrice Lumumba alikuwa ni mwanamapinduzi wa kweli. Alisimama upande wa umma. Alitaka rasilimali za Congo ziwanufaishe Watu wa Congo. Mabepari hawakuupenda mtazamo huo wa Lumumba ambao ulijielekeza zaidi kwenye itikadi ya Ujamaa. Mabepari walimtumia kibaraka, Joseph Mobutu kumsaliti nduguye Lumumba na kuchukua madaraka ya nchi. Lumumba aliuawa kinyama. Mobutu hakuwahi kuwa Rais wa Watu, bali, kibaraka na zaidi Wakala wa Matajiri walio nje ya Congo.

Watanzania tumeumaliza mwaka na ' Ugomvi Mkubwa'. Kinachoitwa sakata la Escrow kimsingi ni ugomvi wenye kuhusu rasilimali. Ndio maana ya kuhusu zaidi sekta ya Nishati na Madini.

Kuna makosa yamefanyika, wenye kuhusika wawajibishwe, lakini, pamoja na Rais wa Nchi kulishughulikia tatizo na hata kuchukua hatua, kinachoogopesha ni uwepo wa nguvu za kumshinikiza Rais kuchukua hatua nyingine bila hata kuzingatia kuwa Rais kwenye nchi ni kielelezo cha Haki na Utu. Kwamba Rais wa Nchi kwenye kuyafanyia kazi yenye kuwahusu raia wake, hapaswi Kuonea wala Kupendelea.

Wakati Watanzania tukikaribia kuufunga mwaka tuna lazima ya kujiuliza; Je, nguvu za mashinikizo haya ni za ndani tu, au kuna zinazotoka nje? Na kama hilo la pili litakuwa na ukweli, tujiulize, je, wenye kushinikiza hayo ni wenye mapenzi mema na nchi yetu, au ni wenye kujali maslahi yao?

Ndio maana tunaona, kuwa kwenye hili la makampuni ya nishati ya Umeme, si IPTL tu, kuna wengine; Symbion, Agreko, Songas... . Hawa ni washindani kibiashara. Isije, ikawa ni ya ' Ugomvi wa Tembo'. Tunajua kinachoumia ni nini.

Ndugu zangu,

Hii ni Nchi Yetu. Katika yote tuyafanyao, tutangulize kwanza maslahi mapana ya nchi yetu. Maana, mengine tunayoyafanya, na kwa kutanguliza maslahi binafsi, yaweza kuwa mwanzo wa nchi kuparaganyika. Tunayaona kwa wengine.

Na tumuunge mkono Rais wetu aliye madarakani kwa ayafanyayo kwa maslahi ya nchi yetu.

Na kama Mwalimu alivyosema, nasi tuseme; " Tanzania Should Never Be ' Another Congo'.

Ni Neno La Leo.

Maggid,
Iringa.

http://mjengwablog.com

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
To view this discussion on the web visit https://groups.google.com/d/msgid/mabadilikotanzania/CAMD-ye6T2wb4U6S%2BNZ8B8B3Eo5V3qU9P1vrPPDEpznbVhyz83g%40mail.gmail.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--
Omar Kaseko
Kali TV Founder/Producer
http://www.kalitv.com
240-374-2192

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: [Mabadiliko] Neno La leo: Mwalimu Alisema Na Sisi Tunasema.. Tanzania Would Never Be ' Another Congo'.."

Re: [wanabidii] BE AWARE (Pagan Holidays) New Year

Ngupula, Satan deceived the whole world!


From: 'ngupula' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Cc: "AfricanWorldForum@yahoogroups.com" <africanworldforum@yahoogroups.com>; Bring your baseball bat <naijaobserver@yahoogroups.com>; All Nigerians In Diaspora <nigerianid@yahoogroups.com>
Sent: Wednesday, December 31, 2014 7:38 PM
Subject: Re: [wanabidii] BE AWARE (Pagan Holidays) New Year

so frank how old are you and how do you count your age?

'elombah daniel' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


SO DO NOT WISH ME A HAPPY NEW YEAR!
 

 +447460770987
+44-2088087999

Every Nigerian that has something important to say, says it on www.elombah.com

Follow us on twitter @Elombah


On Wednesday, December 31, 2014 8:55 AM, 'frank patrick materu' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


New Year's Day has not always been the first of January. Thousands of years ago,
the ancient Egyptian New Year was in the middle of June, when the River Nile
overflowed its banks.
Even today, the New Year of the Jews and Hindus is not when we celebrate it. In
fact in Anglo-Saxon England, New Year's Day was the twenty-fifth of December.
In Christian countries New Year has been celebrated on many different days.
When Pope Gregory X111, in 1582 A.D. caused the making of calendar which we
use today, January 1st was made New Year's Day because it had been so in
Ancient Rome.
In Ancient Rome this day was one given over to the worship of the god Janus,
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


Read More :- "Re: [wanabidii] BE AWARE (Pagan Holidays) New Year"

[wanabidii] Salamu za Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015

Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.

Ndugu Watanzania wenzangu,

Kwa heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu, uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na uwezo wa kupambana nazo tulipolazimika kufanya hivyo, na zaidi kwa kutusimamisha pamoja kwenye kamba ya mshkamano wa kitaifa kwa sisi sote kama watanzania.

Kwa niaba ya wanaNzega, familia yangu, marafiki na ndugu zangu wa‪#‎TeamBelieve‬, naomba nitumie fursa hii kuelezea hisia na fikra zangu za Tanzania tunayoitaka kwa Taifa letu zuri, ambalo mimi na wewe tunaita nyumbani kwetu.

Naomba niambatane kwenye majonzi na masikitiko makubwa na familia ya marehemu Dkt. William Mgimwa (MB), aliyekuwa Waziri wetu wa fedha, ambaye kifo chake kilituacha kwenye mtikisiko mkubwa. Naomba Mwenyezimungu ampumzishe kwa amani huko aliko.

Tunaposherehekea hizi sekunde chache za kuanza kwa mwaka 2015, naomba nianze kumtakia heri na fanaka za mwaka mpya Rais wetu mpendwa na Mwenyekiti wa CCM, Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, zaidi ya yote, nakutakia afya njema, maisha marefu na nakuombea dua upone haraka kutokana na upasuaji uliofanyiwa siku za karibuni. Namuomba Mungu akuzidishie hekima, busara, nguvu zaidi, ari zaidi na kasi kubwa zaidi ya kutuongoza kuelekea Tanzania ya ndoto zetu.

Naomba pia nitumie fursa hii kumtakia kila la kheir Makamu wetu wa Rais Mhe. Dkt. Mohammed Gharib Bilal, Waziri Mkuu, Mhe. Mizengo Kayanza Peter Pinda (MB), na Mawaziri wote, Naibu Mawaziri wote, Wakuu wote wa Mikoa, Makatibu wakuu wote na maofisa wote wa serikali. Dua zangu kwenu ni kuwa Mungu awajaaliye afya tele, nguvu, furaha na mafanikio katika kutekeleza majukumu yenu, na zaidi ya yote namuomba Mungu awajaalie ubunifu, moyo wa huruma na bidii ya kulitumikia Taifa letu kuelekea safari yetu ya kuijenga Tanzania mpya tuitakayo.

Kwa namna ya kipekee kabisa, ninawatakia heri na fanaka ya mwaka mpya wabunge wenzangu, nikianza na Spika wetu wa Bunge, Mhe. Anne Semamba Makinda (MB.), Naibu Spika, Mhe. Job Yustino Ndugai (MB.), Wenyeviti wenzangu wa Kamati za Bunge, Makamu Wenyeviti wa Kamati za Bunge, Makamishna wa Bunge, Wabunge wenzangu wote, Katibu wa Bunge, na Dkt. Thomas Didimu Kashililah na watumishi wote wa Bunge. Mungu atujaalie sote afya njema, busara na hekima katika kulitumikia Taifa letu, atujaaliye mijadala yenye amani, utulivu na ustahimilivu, mwangaza wa mawazo wakati tukitunga sharia na kufanya maamuzi yenye haki na sahihi kwa niaba ya watanzania wenzetu.


Mwaka 2014 ulikuwa mwaka mgumu sana. Tulikuwa na changamoto nyingi za kitaifa, tunamshukuru Mungu tulipambana nazo kwa uwezo wake tukavuka kwa hekima, busara na uvumilivu mkubwa tuliopata kutoka kwake.

Kazi ya kuandika Katiba mpya ilikuwa kubwa na nzito sana kwetu, tulifanya kazi usiku na mchana, na mijadala ndani ya nchi ilikuwa mikali sana. Pamoja na vikwazo hapa na pale, pamoja na tofauti zetu hapa na pale, mchakato wa mapatano ulitusaidia sana kupata 'Katiba inayopendekezwa' ambayo ninaamini kwa kiasi kikubwa ni nyaraka bora na ya kisasa zaidi ilinganishwa na Katiba ya mwaka 1977. Katiba inayopendekezwa inatarajiwa kupigiwa kura Aprili 30, niwasihi watanzania tuzingatie falsafa ya umoja wetu ndiyo ushindi wetu, tushikamane kuipigia kura ya ndiyo tupate Katiba mpya tufanye mabadiliko makubwa katika Taifa letu. Mimi ninaamini kwamba kinachojaribu kututenganisha kinatupa nguvu zaidi kuliko kinachotuunganisha pamoja kama watanzania.

Mchakato wa kuandika Katiba mpya haujawahi kuwa wa rahisi hata siku moja. Na kwa hakika hautegemewi uwe wa rahisi hata siku moja. Na hii ni kwa sababu kila watu, mmoja mmoja na kwa makundi yao mbali mbali, wana maslahi yao ambayo wangependa yaingie kwenye katiba, na kila mmoja anajua wazi kabisa kuwa mchakato wa kuandika Katiba mpya unatoa fursa ya kufanya mabadiliko makubwa kwenye namna nchi inavyoongozwa hivyo kila mtu anakaa macho kuona jambo lake halisahauliki akizingatia kuwa mchakato wa kuandika katiba mpya hautegemewi kujirudia siku za usoni.

Hata hivyo, jambo moja la muhimu kuzingatia ni ukweli kuwa mchakato wa kuandika Katiba mpya ni mchakato wa kujenga muafaka wa kitaifa kwenye mambo ambayo yanakuwa yalikuwa kwenye mjadala mkali na ama wa muda mrefu. Mchakato wa kuandika katiba mpya unatoa fursa ya mjadala mpana wa kitaifa na mwishowe mabadiliko makubwa yenye muafaka kutokea.

Kwa hapa tulipofikia tunalazimika kutazama wapi tulipotoka na vipi turekebishe. Mawazo yangu ni kwamba, bado hatujachelewa kujadiliana na wenzetu wachache wenye hoja zao, tujue tunatofautiana wapi, tunarekebishaje. Tanzania ni yetu sote, ni busara tukakubaliana mambo ya kurekebisha sasa, tukaenda kwenye kura ya maoni tukiwa wamoja, tukaipitisha katiba yetu, na kisha tukafanya hayo marekebisho, kama yatakuwepo, baada ya kuwa na Katiba mpya.

Katiba inayopendekezwa haina umakini wa kimungu kama ilivyo Qur'an ama Biblia kwa sababu imeandikwa na wanadamu wenzetu, inaweza kuwa na makosa hapa na pale, mapungufu hapa na pale, na hivyo tukiwasikiliza wenzetu tutajua nini tufanye. Naomba sana wakubwa wenye mamlaka watafakari ushauri wangu na waufanyie kazi. Hata siku moja hakuna kuchelewa kwenye kufanya jambo zuri. Ni jambo lisilokubalika kusema kuwa Katiba inayopendekezwa haina mapungufu na vile vile si sahihi kusema kuwa Katiba inayopendekezwa ni mbaya kuliko ya mwaka 1977 inayoishi sasa. CCM, kama Chama chenye dhamana ya kuliongoza Taifa letu kina wajibu, kwenye mazingira kama haya, kutoa uongozi unaohitajika kwa Taifa kwa kuwasikiliza wachache, kushauriana nao kama wabia na kutafuta namna ya kuyafanyia kazi matamanio na matarajio yao.

Jambo lingine kubwa lililogusa nyoyo za watu wengi lilihusu kashfa ya kuchotwa kwa fedha kwenye akaunti ya escrow ya Tegeta. Kwenye hili, nilipata fursa ya kualikwa kama mjumbe wa Kamati ya hesabu za serikali iliyokuwa imejigeuza kama kamati ya uchunguzi. Mwanzoni nilitaka kukataa mwaliko huu, lakini mwishoni niliamua kukubali na kumuomba Mungu sana aniongoze kwenye kutekeleza majukumu yangu kama mjumbe mwalikwa kwenye kamati hii nyeti. Tulichokibaini na kukichambua kiko wazi kwa umma. Sintokirudia hapa. Kutokana na hili, somo la muhimu zaidi hapa kujifunza ni namna gani tunahitaji uzalendo miongoni mwa watumishi wetu wa umma na ni namna gani tunaweza kuwatia uzalendo kwa taifa letu kiasi cha kustawisha misingi ya uwajibikaji na kuweka nidhamu ya kazi.

Kwenye escrow, kamati imefanya kazi yake, na haikuingiliwa na mtu, Bunge nalo likatimiza wajibu wake likamaliza. Sasa jambo hili liko mikononi mwa Rais, na nadhani ni busara kumwacha Rais naye alifanyie kazi namna atakavyoona inafaa.

Kama Mwenyekiti wa Kamati ya TAMISEMI, naomba nitumie fursa hii kuipongeza serikali kwa kuendesha kwa mafanikio makubwa uchaguzi wa serikali za mitaa pamoja na maandalizi ya muda mfupi na changamoto zilizojitokeza. Pia naomba niipongeze serikali kwa kuamua kuuhamishia uchaguzi wa serikali za mitaa kwenye tume ya taifa ya uchaguzi, na pia kwa kuchukua hatua za kuwawajibisha wakurugenzi wa halmashauri zilizovurunda kwenye uchaguzi huo. Tunawajibika kuilinda misingi hii kwa ajili ya kulinda amani na utulivu katika taifa letu.

Mwaka 2014 ulikuwa ni wa kipekee kwangu kwa kuwa niliamua kuweka wazi kuwa nitagombea Urais mwaka 2015.

Nilipoamua kutangaza nia kuutaka Urais nilisema kwenye hotuba yangu kuwa nchi yetu inahitaji namna mpya kabisa ya kufikiri na kufanya mambo, namna ambayo itatufanya sisi tukimbie wakati wengine wakitembea. Namna ambayo itaifanya nchi yetu ipate maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwa kasi.

Nilisema kwamba nina IMANI kubwa katika ndoto za waasisi wa taifa letu ambao walikuwa na imani kubwa kwa Tanzania na kwa watanzania, na uwezo wetu wa kusimama imara kujenga taifa letu kwa staili yetu, na kwamba ninaamini katika misingi na itikadi ambazo zilianzisha vyama vya ASP na TANU, na baadaye CCM, na kwamba amani na utulivu vitadumu tu endapo tutaendelea kuheshimu ubinadamu na utu wa kila mmoja wetu, na kama sisi viongozi tutaimarisha utawala bora na tutawajibika kwa watu wa nchi yetu. Na kwamba tutatoa fursa sawa kwa watu wote bila kujali hali zao za kiuchumi ama kijamii, rangi za ngozi zao, jinsia na au umri.

Tanzania ni kati ya nchi ambazo, tulipokuwa tunakua, kijana mdogo kama mimi aliyezaliwa na kukulia katika familia maskini ambapo mama yake mzazi alilazimika kufanya biashara ya kuuza vyakula kwa wachimba dhahabu wadogo wadogo kwenye migodi midogo, aliweza kufaidika na mfumo wa elimu sawa kabisa na mtoto wa Mkuu wa Mkoa ama wa Waziri, mfumo imara wa afya ya msingi, na fursa ya kutamani kuwa mtu yeyote katika ukubwa wake ikiwemo kutamani kuwa Rais wa nchi yake. Hii ni Tanzania ya waasisi wetu, nchi nzuri ambayo tumerithi, na pamoja na ukweli kwamba dunia imebadilika sana, namna ya kufanya mambo pia imebadilika, baadhi yetu tunaamini kwamba mawazo ya waasisi wetu bado yako sahihi. Fikra na itikadi zao bado ziko sahihi na ni lazima tuzilinde.

Moja ya vitu vinavyonisukuma kuamini katika NDOTO yangu ya kuliongoza Taifa letu ni IMANI yangu kwa Tanzania na watanzania wenyewe, kwamba tunaweza kuota vitu vikubwa zaidi, tunaweza kufanya kazi kwa bidii zaidi, na tunaweza kufanikisha mambo yetu kwa haraka zaidi. Kama baba wa Taifa letu, Mwl. J, K, Nyerere, alivyowahi kusema 'tukimbie wakati wengine wanatembea'.

Fikra hizi ziko kwenye sakafu ya moyo wangu, tunahitaji kukimbia wakati wengine wanatembea. Ninaamini tunahitaji kuwa na muafaka wa kitaifa, kwamba tunafungua mlango wa mapinduzi kwenye uchumi wetu kwa ajili ya mustakabali wetu na watoto wetu, na kwamba tunaazimia kufanya mambo makubwa ya kupigiwa mfano na wenzetu, na kwamba tunaamua kuwa watu wenye kufanya mambo yao kwa ubora wa ajabu na kwamba yeyote asiyeweza kwenda na sisi hana nafasi baina yetu. Hii ndiyo Tanzania yetu ya baadaye.

Nilipotangaza nia yangu kuwania Urais nilisema, kwamba mengi yameishafanywa na viongozi waliotutangulia, wameandaa mazingira, na kwamba ni jukumu letu sasa kukimbiza harakati za mabadiliko kwa spidi ya mwanga, kwa kuwa tunajua kinachopaswa kufanywa, maana tuna zaidi ya miaka hamsini toka tujaribishe hili ama lile, leo hatutegemewi tukosee, kama ilivyokuwa kwa wazee wetu. Tunachohitaji kwa sasa ni jitihada za maksudi na za haraka.

Na kwamba NINAAMINI katika uwezo wa chama changu, CCM, kukubali na kuongoza MABADILIKO katika staili ya uongozi, fikra za kuongoza, na hata mawakala wa mabadiliko tunayoyataka, kwa kuwa CCM ilijengwa kwenye msingi wa mapinduzi. Haijawahi kuwa chama cha kihafidhina, CCM ni chama cha kimapinduzi. Ni chama cha mabadiliko. Siku zote CCM kimekuwa ni chama kinachowaunganisha na kinachowaongoza watanzania kwenye mapinduzi ya maisha yao, kwenye mabadiliko ya nchi yetu. Kama CCM itasahau misingi iliyokijenga, nchi itaparaganyika na boti litakwenda mrama katika siku si nyingi.

Watanzania siku zote wamekuwa na matumaini makubwa na imani kali juu ya CCM, sera zake na viongozi wake. CCM ina wajibu wa kuyatilia maanani matumaini, ndoto na imani za watanzania. Maluteni wake ni lazima tufanye kazi ya umma tukiwa na matumaini, ndoto na imani ya watanzania moyoni. Tukiwa na matumaini, ndoto na imani ya watanzania kwenye moyoni, na kwenye vichwa vyetu ni lazima tuongoze mapinduzi ya kiuchumi na kijamii katika taifa letu. Ni jukumu letu, sisi, maluteni wa CCM, kuikumbatia falsafa ya 'e pluribus unum' na tuishi na kufanya kazi kwa faida ya wote na si kwa faida yetu binafsi. Na wakati ni sasa.

Ni lazima tuamke kutoka kwenye imani kuwa CCM ni chama kikubwa na kikongwe na tutaendelea kutawala tu, na tukumbuke kuwa hizi ni zama nyingine, na namna watu wanachukua madaraka imebadilika pia. Ni lazima tuamke kutoka kwenye raha ya kujiamini. Tusipoamka sasa, tusijeshangaa kuangukia pua ghafla bila kutegemea.

Na baada ya kusema haya, nawatakieni nyote Mwaka Mpya wenye Neema. Karibu mwaka 2015. Tutaandika historia pamoja mwaka huu.

Mungu ibariki Afrika, Mungu ibariki Tanzania.

Hamisi Kigwangalla (MB),
Jimbo la Nzega,
Mwenyekiti, TAMISEMI.

January 1st, 2015.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "[wanabidii] Salamu za Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015"

[wanabidii] Fw: Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist

Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist


----- Forwarded Message -----
From: "ANS@Assist-Ministries.com" <ANS@Assist-Ministries.com>
To: ASSISTNEWS@sheperd.com
Sent: Wednesday, December 31, 2014 8:37 PM
Subject: Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist

Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist
ASSIST News Service (ANS) - PO Box 609, Lake Forest, CA 92609-0609 USA
Visit our web site at: www.assistnews.net -- E-mail: assistnews@aol.com

Monday, December 29, 2014

Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist

By Mark Ellis and Michael Ashcraft
SOUTHERN CALIFORNIA (ANS) -- After visiting Islamic State-occupied territory at great risk, a German journalist called the extremist organization a "movement with the power of a nuclear bomb" after returning home last week.
Jurgen Todenhoefer with IS fighters
Jurgen Todenhoefer, a 74-year-old German journalist, was given unprecedented access to the Islamic State and returned to Munich after spending 10 days with the terrorist group in the areas the group control in Iraq and Syria.
They are "the most brutal and most dangerous enemy I have ever seen in my life," Todenhoefer said, as part of a series of interviews broadcast on the BBC and CNN.
Born out of the Syrian rebel movement, IS catapulted into international attention, seizing major cities in Iraq last June and beheading James Foley and other westerners whose governments refuse to negotiate a ransom. The group consists mostly of Sunni Muslims, many of whom aided Saddam Hussein's cruel regime, and is growing daily by Muslims drawn to radicalism from all parts of the world.
IS fighters were surprisingly confident, Todenhoefer said.
"We will conquer Europe one day," one fighter told him. "It is not a question of IF we will conquer Europe, just a matter of when that will happen. But it is certain. For us, there is no such thing as borders. There are only front lines. Our expansion will be perpetual. And the Europeans need to know that when we come, it will not be in a nice way. It will be with our weapons. And those who do not convert to Islam or pay the Islamic tax will be killed."

Share     See all ASSIST News articles at www.assistnews.net

Mark Ellis is a senior correspondent for ASSIST News Service and the founder of www.Godreports.com.  He is available to speak to groups about the plight of the church in restricted countries, to share stories and testimonies from the mission field, and to preach the gospel.
mark@Godreports.com

** You may republish this story with proper attribution.
Send this story to a friend.


Note to our subscribers: It you really appreciate what we do through ANS and would like to make a donation to help us continue with this unique news service, you can do so in two ways. First, just go to our secure site at www.assistnews.net/assist/donations.htm, where you can sign up for a monthly gift or a one-off contribution (tax-deductible in the US). Second, if you prefer to send a check, just make it out to ASSIST, and mail it to ASSIST, PO Box, 609, Lake Forest, CA 92609, USA (also tax-deductible in the US). Thank you so much for caring! Dan Wooding
Click here if you wish to unsubscribe
ASSIST News Service is Sponsored By



Read More :- "[wanabidii] Fw: Islamic State will conquer Europe, militants tell embedded German journalist"

Re: [wanabidii] Most celebrated phrases to describe success in Tanzania in 2014 backward !!

Well said


Sent from Samsung Mobile


-------- Original message --------
Subject: Re: [wanabidii] Most celebrated phrases to describe success in Tanzania in 2014 backward !!
From: 'august kowero' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
CC:


Dear Bwamkuu

Happy New Year 2015 very positive observation



On Wednesday, 31 December 2014, 17:02, Africa j bwamkuu <jbwamkuu@gmail.com> wrote:


Dear colleagues,

My personal observation shows that the most used phrases to describe a successfully person in Tanzania are:

1. Fisadi;
2. Mwizi/ Jambazi/ Tapeli;
3. Mtoto wa kigogo;
4. Anatoka kwenye familia tajiri;
5. Ana bahati.

I do wish and dare all of you to lead a mindset changes in society, by starting looking at success from positive side of it ; and changes these phrases into;

1. Hardworking;
2. Intelligent;
3. Smart;
4. Shrewdness.

Until proven otherwise.

Wish all of you daring and  prosperous 2015.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] Most celebrated phrases to describe success in Tanzania in 2014 backward !!"

Re: [wanabidii] BREAKING NEWS: MAHABUSU AUWAWA KWA RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA

Inaonekana hii habari imeandikwa kishabiki! Kumdhibiti mtu sio kumuua! Inabidi jeshi la magereza lijitafakari! Mtuhumiwa bado ana haki ya kuishi! Hivyo kwa weledi wso walitakiwa wazuie asitoroke ou ukitokea hivyo wamkamate


Sent from Samsung Mobile



-------- Original message --------
From: 'Julius Mtatiro' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date: 31/12/2014 14:22 (GMT+03:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] BREAKING NEWS: MAHABUSU AUWAWA KWA RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA


Asante kwa taarifa hii muhimu. Tatizo lako liko palepale, auhariri kazi yako. Kazi imekaa "shagalabagala", haitoi mantiki hata kidogo. Zingatia ushauri ambao watu wanakupa kila siku.

Julius S. Mtatiro,

    

On 31 Dec 2014, at 13:58, 'leonard magwayega' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Asante Happiness Katabazi kwa hii breaking News ila mdogo wangu nakushauri uwe unahariri habari yako yoyote unayoandika kabla hujaituma kwa watu wengine au hata kumwomba mtu mwingine yeyote kuipitia na kuihariri kabla ya kuituma maana huo si ujinga ndiyo maana hata kazi za maprofesa huhaririwa na watu wengine kabla hazijatoka.. Ujumbe tumeupata itakiwavyo ila kuna makosa ya kisarufi mengi sana katika uandishi wako.  kwa mfano kukosea spelling, kuweka vituo pasipo husika, kuweka herufi kubwa katikati ya sentensi na mambo mengine mengi kama hayo.  Wewe ni binti wa kujituma sana ila tu rekebisha mambo madogo madogo kama hayo na utakuwa mwandishi mzuri tu na hata sheria naamini utaimaster vizuri baadae. Kama hutajali kwa mambo ya kisheria unaweza kuni consult kama ukipenda through my personal email bobittz@yahoo.com au kwa direct phone contact through 0767804561 au 0786804561. I have provided you with my contacts for legal consultations purposes only and not for any other issues as it might be interpreted by you or any other member of this group.  I think one of the objectives of this network is to provide assistance whether socially or professionally amongst us where necessary.
Advocate Leonard Elias Magwayega-Esquire.


On Wednesday, December 31, 2014 12:14 PM, 'Happiness Katabazi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


BREAKING NEWS
MAHABUSU AUWAWA KWA  RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA
Na Happiness Katabazi
JESHI la Magereza limefanikiwa kumdhibiti Mahabusu  wa Kesi ya dawa za kulevya ambaye ni Raia wa Sieralioni,  Abdul Koroma (33) asitoroke chini ya Ulinzi wa Askari Magereza ndani  Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkazi Kisutu Dar es Salaam, asitoroke chini ya Ulinzi  baada ya kumtwanga risasi na kumuua papo hapo.

Wakizungumza na mwandishi wa Habari hizi baadhi ya wanausalama waliopangwa kulinda Usalama Katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa Masharti ya kutotajwa Majina Yao kwa Madai wao siyo wasemaji wa majeshi Yao wakisema mtuhumiwa ambaye anashitakiwa kwa makosa ya kuingiza nchini dawa za kulevya aina ya Heroin Zenye uzito wa Gramu 1229 na zenye thamani ya Zaidi ya Sh.Milioni 61 iliyopo mbele ya Hakimu Mkazi Waliarwande Lema alistahili kufanyiwa hicho alichofanyiwa.

Walisema Asubuhi marehemu Huyo ambaye ni mahabusu aliletwa na mahabusu wenzake na Askari Magereza na Kisha kufikishwa Katika mahabusu ya Mahakama hiyo mtuhumiwa aliomba apelekwe chooni kujisadia lakini ghafla mtuhumiwa akaanza jaribio la kuparamia ukuta akimbie ndiyo Askari waliokuwa akimsikindikiza chooni wakafyatua risasi hewani ili kumtaka aache ili jaribio lake lakini Inadaiwa Koroma aliendelea na jaribio lake.

" Ndipo itabidi mmoja wa Askari Magereza 'ameshone risasi' yaani amefyatulie risasi Koroma ambayo ilimpata na kumsababishia mauti papo hapo ....na baada ya Koroma kupekuliwa wanausalama Hao walipokuwa soski walikuta ndani ya soksi alilovaa kuna kikaratasi kilichochorwa ramani na namba za simu za watu wa kumpokea haoa Dar es Salaam" kilisema chanzo changu.

Tayari mwili wa Koroma ambaye alikuwa akikabiliwa na Kesi yake P121/2013 umeishaondolewa Katika eneo la Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu umepelekwa kuinadi wa Katika Hospitali ya Taifa ya Mhimbili.

Chanzo: Facebook: Happy Katabazi
Disemba 31 Mwaka 2014.


Sent from my iPad

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Read More :- "Re: [wanabidii] BREAKING NEWS: MAHABUSU AUWAWA KWA RISASI MAHAKAMA YA KISUTU AKIJARIBU KUTOROKA"