Wednesday 31 October 2012

Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank


Muganda, Emanuel

Nakushauri kuwa makini katika ubebaji wa mizigo kama hii, kuna siku utabeba gunia limejaa misumari halafu itakuumiza mwenyewe. Waachie wenyewe kama wanao uwezo wa kubeba mizigo yao kama hii wabebe. This is rubbish.

K.E.M.S.


From: RICHARD MGAMBA <rmgamba2000@yahoo.com>
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, 31 October 2012, 22:41
Subject: Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

Upumbavu kama huu siyo wa kuleta humu. Aliyeandika hii orodha ni muhuni maana hata kifupi cha hayo mashirika ya Kijasusi anayodai eti yamesaidia hakiandikiwi hivyo.

Lakini siyo hilo tu, nadhani huyu jamaa kadandia stori kama ilivyo kawaida ya wabongo. Nadhani posting kama hizi ziwe zinahakikiwa kabla ya kuletwa humu.


From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, October 31, 2012 9:19 PM
Subject: Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

EM

Ujinga mtupu!
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 31 Oct 2012 14:01:34 -0400
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

Wanabidii, mmeiona hii? Kuna mtu aliniomba orodha nimeiona mahali:
em

WALIO WEKA MAMILION USWISS HAWA HAPA

Kwamuda wa miaka miwili sasa tangu tulipoanza kazi nzito ya upelelezi wa wakubaini na kuzuia uingizaji na utoroshaji wa pesa nchini,

Juhudi zetu zimeanza kuzaa matunda baada ya kubaini majina halisi ya watanzania walioficha fedha nje ya nc
hi na wanaoingiza fedha haramu nchini.

Kwakushirikiana na mashirika ya kijasusi ya CIA-USA, M1-6-UK, RAW-India, DGSE-Ufaransa, FSB Urusi, ISI Pakistan, na MSS-
China, ambayo yamekuwa yakifuatilia nyendo za fedha haramu hasa za kighaidi dunia, tumefanikiwa kutambua Watanzania, Wakenya, Waafrika kusini, Waganda na Wakongo wengi matajiri walioficha fedha uswisi.

Hapa nitawaorodhesha Watanzania tu;

Orodha ni ndefu ila hapa ni wale walioficha zaidi ya USD $3.5 mmilion kila moja. Wamo wanasiasa pamoja na wafanyabiashara kadhaa maarufu. Imebainikwa kwamba fedha nyingi za wanasiasa zimewekwa na makampuni ya nje yenye shughuli Tanzania. Wamo hata Makatibu Wakuu Wizarani na wakurugenzi ila hawajafikia USD3.5million ndio maana majina yao hayamo.

Orodha kamili ni:

Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel

Orodha ya wanaoingiza pesa chafu/haramu na kuzitakatisha ni ndefu nitawawataja kadiri muda utakavyo niruhusu.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank"

Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA

Mngonge,

Tukio la Mbagala liliandikwa baada ya vurugu za wahuni kuchoma makanisa na kuiba vitu.  Haya yalitokea kama baada ya siku tano toka mtoto akojolee kurani. Tukio la kukojolea kurani halikuandikwa kwa sababu halikuwa habari au halikufahamika kwa wanahabari. Nadhani hivi ndivyo ilikuwa kwa tukio la Pemba. Lingefuatiwa na vurugu lingepata nafasi kubwa kwenye vyombo vya habari.


From: mngonge <mngonge@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Sunday, October 28, 2012 11:23 AM
Subject: Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA

Kama uamini na una simu ya mtu anayekaa Chake chake Pemba wasiliana naye au wasiliana na polisi ya Zanzibar maana swala lenyewe liko mikononi mwa vyombo vya sheria. Yapo mambo ambayo mtu mwenye akili timamu anaweza kuzusha lakini siyo kama hili.

Binafsi nashangaa vyombo vya habari kutoliandika hili kwa mapana yake, kimsingi ni jambo la aibu na lenye kuudhalilisha uislam zaidi ya lile la yule mtoto wa Mbagala pengine ndiyo maana halijatangazwa sana.

Kama ingekuwa aliyefanya hivyo ni mkiristu lingeibua hisia kali na pengine kuliko la Mbagala lakini kwa vile aliyefanya hivyo ni muislamu imechukuliwa kama ni tukio la kivuta bangi na kwamba aliyefanya hivyo hana akili timamu

2012/10/27 Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>
 
Ina maana akikojolea msahafu mtoto mkristu ni tatizo, wachome makanisa, waharibu vituo vya polisi na kuharibu mali za watu. Ila, akikojole mwislamu hata akiwa mtu mzima au kijana mlevi hii ni Kheri haina tatizo na kumpiga, kuchomea nyumba yao wala kumchinja ni poa tu. Basi hapa kuna namna.
 
Baadhi ya makanisa nchini (Mojawapo ni la Bagamoyo RC-kaaulize wazee na mapadri kama ninaongopa) yameshuhudia vurugu za waislamu toka kabla na baada ya Uhuru. Wakati wa sikukuu mfano pasaka au kristmas lazima waombe ulinzi wa polisi na sikuhizi ni kuajiri makampuni ya ulinzi. Waislamu huingia kanisani wakati wa misa na kupiga kelele "Yesu si Mungu". wengine huenda kupokea ekaristi wanaowafahamu huwakamata na kuwatoa. Hakuna aliyepigwa wala kushitakiwa, wakristu huvumilia. Wengine wamediriki kuitoa sanamu ya Bikira maria ampapo ipo ktk pango toka kanisa lijengwe 1868 na kuinyea mavi, kuikojolea ikiwa imetupwa nje na ipo katika ardhi ya kanisa karibu na makaburi na marian secondary school. Hii imechafuliwa si pungufu ya mara tatu. Wakristu hawajathubutu kuingia msikitini kufanya fujo kwani dini inafundisha upendo na hata nyumba za wazee na watoto yatima za wakristu walelewao na waislamu wapo.
 
Ipo wakati wakristu walisali Misa ya mazishi ya kilatini bagamoyo kwa sanamu ya mama wa Mtume Issa kunyewa kinyesi na yaliyowapata wahusika talikuwa makubwa kaulize utaambiwa.  Ilipotokea mara nyingine likapigwa tangazo kuwa misa hiyo itasomwa tena wakaenda kuomba msamaha. lakini wachafunzi hao pia waliiba vikombe vya kanisani vya vya dhahabu vile vya kuweka ekaristi ambavyo baadhi ya mapadri walipewa makwao kama zawadi ya upadirisho wao. Vikombe ambavyo vimekoshwa kwa dhahabu ndio mfumo wa zamani wa kubekea ekaristi, makanisa ya Urusi yana mpaka minara ya dhahamu, mavazi ya mapadri yenye marembo hayo na vikombe vya namna hiyo. Sasa tunatumia vya kuchonga kwa mpingo na vya chuma cha fedha.
 
Endapo mtu ataanzisha vurugu na kuandamana kwenda kuunguza kanisa-naitokee basi Mungu auzime moto kwa uwezo wake lakini 'Ashushe Radi na umeme' iwapige/iwatandike  hao Kafir waendao kuchoma makanisa kwa visingizio vyao binafsi na mapungufu yao waliyoyajenga wenyewe 'wagauke mawe' na mtu akiwaona ajue huyu ni furani na yule pale ni fulani. Ikitokea hivi kama ilivyotokea kwa mke wa  mtume mmojawapo kugeuka jiwe alipoambiwa asigeuke nyuma (wakati Sodoma na Gomora zinateketezwa), hii itakuwa fundisho na faida kwa wao kufahamu kuwa 'Bwana Yesu Yupo na yu hai na haya yote aliyatabiri kuwa ndio ujio wake wa kurudi tena duniani na wote watampigia goti yanaanza kuonekana' Na ndio maana walichukua vifaa vya yesu kanisani wakapeleka nyumbani wakafumwa navyo. Wakivamia bar kuvunja maduka ya pombe wasiyoyataka-chupa za pombe hawavuji bali crate za chupa za vileo zinahamia home!! Hapa hakuna udini bali njaa na ushabiki wakijinga.
 
Maandamano ya dini yanahusianaje na wewe kukimbilia unga na bidhaa nyingine madukani? Kuchomoa kioo cha gari ipitayo!! Mnaharibu maendeleo haya ya watoto wenu watanzania ndugu zangu waislamu.
 
Kama ni udini kweli-ukristu unaonea watu na kuwakandamiza kuwa hautakiwi, wale wazazi wa binti aliyepigwa risasi Pakistan wangekataa asiende kutibiwa England bali Misri au Saudia.
Jiulizea pia, kwa nini wahamiaji wa kutoka nchi zinazopigana udini huko mashariki ya mbali na ya kati na Africa kimbilio ni-england, Canada, australia, Germany, France, USA hata kuvamia magari channel tunnel ili wafike UK? Na ukiwakuta huko wameshikana mikono na wapenzi wao, wapo shopping, vijana wamevaa kisasa hata debweza. Hakuna anayependa kurudi nyuma, maendeleo ni haja ya kila mtu. Kama ni madawa ya kulevya-yanalimwa huko na kulindwa na mtutu na walinzi wanaonekana wakisali sala kila muda unapowadia. Kama ni pombe-zipo kila kona toka mnazi, tende (gongo), beer, wine wengine kunywa kwa kificho. kama dhambi ya ubakaji na ushoga-hii ndio chai kwa wanaoingiza udini sana Tanzania lakini waliowengi vitendo vyao vichafu. Tunataka nini sasa. rais mwislamu na mawazili wa dini yake kibao. unguja viongozi wote karibu ni waislam. Wamezuia maendeleo ya kusoma vipi. Muungano unamsuia mtu asisome bali abwie unga vipi?
Hatuna institutional memory ya head memory jinsi mwarabu na wazungu walivyotufanyia mpaka leo hii tuwakubalie watutumayo kufanya ili tuharibu umoja na udugu wetu? Kuchanganya damu ni hoja?  Mbona wabhughu, Mbulu-Iraq ni weupe zaidi na nywele za kisomali nao ni watanzania? Lack of identify na kujijua, kujithamini na kuwa na uthubutu wa kujituma kimaendeleo na kutokuwa na malengo ndiko kunakoleta haya machafuko yanayoyewa bendera la 'Udini' hakuna lolote.
 
Ua, nyonga lakini hautaingia mbinguni kwa bendera ya dini yako kwa kuua Kafir bali utaingia kwa shetani. Soma, somesha watoto, shule za dini yako saidia kutumia fedha za dhehebu lako kuajiri walimu wazuri wafundishe wanafunzi wenu wafaulu wajue kujiajiri na kutafuta kazi ashinde interview aajiriwe. Isiwe hayo ya 'my daily bread' halafu useme unaonewa hupati ajira au kuchaguliwa uwakilishi sababu ya rushwa when your daily bread is 'udini na kukaa jobless corner kuuza utaranta kutwa. Inachefua!!. Tuongeze umasikini sasa na bado tu masikini. kama laan hivi Afrika. ujue ukigombana na mkeo chumbani kwa makelele jirani mbaya wako atasikia na kuweka mkono wake muovu ili mfarakane na mtatesa watoto na wazazi wenu. Mwarabu, Boko Haram, Alkaida wataingia TZ tujimalize. Wao kwao wanakata walimu mikono wakiwakuta darasani, wanakata mikono wanaowakuta wanasoma elimu dunia, wasichana wasisome zaidi ya quran. Jee, tunayataka haya? Si wakristu ndio watapeta kusoma zaidi na kushika madaraka? Tufunguke akili na upeo wa kufikini.

--- On Fri, 26/10/12, Said Issa <saidissa100@yahoo.com> wrote:

From: Said Issa <saidissa100@yahoo.com>

Subject: Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 26 October, 2012, 16:00


Dear Bw. Mbuba,

>Habari hii haiwezi kuwa ya Kweli!

Kaka ni kweli. Jamaa alikuwa kalewa chakari!
Soma msg ya hapa chini niliyoipokea sasa hivi.

...bin Issa. 


----- Forwarded Message -----
To: "saidissa100@yahoo.com" <saidissa100@yahoo.com
Sent: Friday, October 26, 2012 10:50:53 AM
Subject: Fw: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA

Wlkm Slm.

Ni kweli hili tukio la mlevi kukojolea mas'hafu. Baada yakupokea hii email yako nimewapigia simu Pemba kuthibitisha. Kweli amepandishwa mahakamani lakini hapakua nafujo kwani suala hilo lilikua halihusiani naupinzani wakidini bali lilikua nimlevi na hapakua nauharibifu wowote wamali wala uvunjifu wa amani.

Asante, nakutakieni nyote Eid Mubarak!

Sent from my BlackBerry® smartphone powered by Mobilicity


From: weston mbuba <matutetz@yahoo.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Friday, October 26, 2012 11:30:11 AM
Subject: Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA

Habari hii haiwezi kuwa ya Kweli!

--- On Thu, 10/25/12, nevilletz@gmail.com <nevilletz@gmail.com> wrote:

From: nevilletz@gmail.com <nevilletz@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, October 25, 2012, 11:48 PM

Makubwa, ngoja tusubiri pengine wanasubiri ipite siku kuu ya Iddi el Haji!
Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania

-----Original Message-----
From: Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Fri, 26 Oct 2012 02:40:45
To: <wanabidii@googlegroups.com>
Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI
HUKO PEMBA

Mtume !!! Vya kushangaza !!

Courage



On 10/26/12, mngonge <mngonge@gmail.com> wrote:
> wakati sakata la kijana wa Mbagala kukojolea kitabu kitakatifu likiwa
> bado bichi mahakamani.
> Huko Pemba maeneo ya Chakechake kijiji cha Wawi mwislamu amekashifu kitabu
> hicho kwa kukikojolea  kumvisha mbwa tasibii na kumlazimisha mama yake
> kumpakata mbwa huyo.
>
> Mtu huyo mwanamme baada ya kutenda tukio hilo kajipeleka mwenyewe kwa
> shehe na kumtaarifu kuhusu hilo
> Tayari kijana huyo amekwishafikishwa kwenye vyombo vya sheria ili
> sheria ichukue mkondo.
> Tofauti na mbagala hapakuwepo na maandamano wala uharibifu wa mali za
> kanisa au msikiti wowote.
>
> Jamani sasa dunia sijui inakoelekea ni wapi, inabidi tuiombee nchi
> yetu na kuiepusha na mabalaa haya.
>
> --
> Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
> Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
> Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>
>
>

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] MWISILAMU KAKOJOLEA KORAN NA KUMVISHA MBWA TASIBILI HUKO PEMBA"

Re: [wanabidii] POLISI WAFANYA UNYAMA MKUBWA SANA ZANZIBAR!

Tony,

Nadhani na huu ni ujinga mtupu??!!



From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, November 1, 2012 7:09 AM
Subject: Re: [wanabidii] POLISI WAFANYA UNYAMA MKUBWA SANA ZANZIBAR!

Said,

Tatizo ni ukaidi dhidi ya waTz. Badala ya kulalama hapa waambieni wafuasi wenu watii amri na wafuate taratibu muafaka za kuvunja muungano na sio kwa maandamano na kuchoma makanisa yetu! Huyo ana bahati kanyonyolewa nywele tu, je, mbona polisi aliyeuawa, hamjaitisha press conference?

Ujinga mtupu! Muungano oyeee!!!
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: Said Issa <saidissa100@yahoo.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 31 Oct 2012 17:32:57 -0700 (PDT)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] POLISI WAFANYA UNYAMA MKUBWA SANA ZANZIBAR!

"Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, kijana aliyenusurika kuuawa, Salum Bakari Muya alidai aliteswa 
kwa kukatwa ngozi kwa kisu kichwani na kisha kunyonyolewa nywele na polisi ambao pia walikuwa na silaha".  

I say, hii inasikitisha. Haya mambo yalikuwa yafanywe na mkoloni na sio na JK!!!

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] POLISI WAFANYA UNYAMA MKUBWA SANA ZANZIBAR!"

Re: [wanabidii] Sweden runs out of Garbage

Jagem,

I really appreciate you last sentences; If Kenyans can get this, then, we can do it.

The rest are challenges we must stand to, and the good thing is, Chapter 4 of our Constitution and the Bible are on our side.

Oto

--- On Wed, 10/31/12, Jagem K'Onyiego <jairuschurch@yahoo.com> wrote:

From: Jagem K'Onyiego <jairuschurch@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Sweden runs out of Garbage
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>, "Siaya Forum" <siayago@yahoogroups.com>, "talknigeria@yahoogroups.com" <talknigeria@yahoogroups.com>
Cc: "Siasa-Kenya@yahoogroups.com" <Siasa-Kenya@yahoogroups.com>, "sundaynation@nation.co.ke" <sundaynation@nation.co.ke>, "talkhard@yahoogroups.com" <talkhard@yahoogroups.com>, "the last word to kenya" <thelastwordtokenya@yahoogroups.com>, "Vugu Vugu" <vuguvugumashinani@yahoogroups.com>, "wananchi@yahoogroups.com" <wananchi@yahoogroups.com>, "Watchman" <watchman@nation.co.ke>, "Weekly Citizen" <citnewspaper@yahoo.com>, "youthagenda" <youthagendayln@yahoogroups.com>, "YP" <youngprofessionals_ke@googlegroups.com>
Date: Wednesday, October 31, 2012, 6:33 AM

OTO,

Do you mean to say that these Swedish no longer go for number two? I mean, don't they eat? And if they do, have their bodies metamorphosized to a point they do not discharge fecal matter? And if at all they do, then how can they run out of waste? Or did you mean the plastic and paper waste? If this is correct then you have to look at what is the possible cause for their low waste paper production.

Sweden is a developed Country with a population of less than ten Million. They have for decades worked towards a better environment. This made their Government to put lots of emphasis on waste management. Now, with their Cities having populations of 1 million and below, it is easy to manage the waste produced.

In contrast, Kenya is a developing Country with a very large population. It has Cities with populations of above 1million inhabitants. Nairobi, as compared to Malmo have a busting population of close to 5million, about half of entire Sweded. Malmo has a clear structured waste management policies while Nairobi City has no policy at all on this. In addition its City hall is infested with Vultures whose main job is to loot the City exchequer. These Vultures have several briefcase looters on their wings just to fleece the City. 

How then can one achieve what Sweded has achieved? The Answer is: it starts with an individual to see the sense in making that City clean. That sense, if it can miraculously get into Kenyan's heads, then Kenya will also move towards that direction. Bure it will be waste of time. Au siyoo

Jagem




From: odhiambo okecth <komarockswatch@yahoo.com>
To: Siaya Forum <siayago@yahoogroups.com>; talknigeria@yahoogroups.com; Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Cc: Siasa-Kenya@yahoogroups.com; sundaynation@nation.co.ke; talkhard@yahoogroups.com; the last word to kenya <thelastwordtokenya@yahoogroups.com>; Vugu Vugu <vuguvugumashinani@yahoogroups.com>; wananchi@yahoogroups.com; Watchman <watchman@nation.co.ke>; Weekly Citizen <citnewspaper@yahoo.com>; youthagenda <youthagendayln@yahoogroups.com>; YP <youngprofessionals_ke@googlegroups.com>
Sent: Wednesday, October 31, 2012 4:32 AM
Subject: [wanabidii] Sweden runs out of Garbage


Communication from Mr. Otieno Sungu- Director- Programmes and Communication at The Clean Kenya Campaign

Friends,
Sweden, through prudent management of waste. has run out of garbage and they are now importing the same from Norway- http://www.mnn.com/lifestyle/recycling/blogs/sweden-runs-out-of-garbage-forced-to-import-from-norway
There is also a Town in China that imports waste from a neighbouring Town.
These are just but examples to show-case that waste can never be an issue the way we are making it look.
Today in the morning, officials of Pumwani Youth Groups Networks- PYGRON, paid a Courtesy Call on us at our offices. The Team was led by their Chairman Mr. Ramadhan Maingi, Secretary Mr. Steven Singano, Mr. Superior Mudaala from the St John's Community Centre and Mr. George Otieno from Angola- an affiliate member of PYGRON.
The TCKC Team comprised of Odhiambo T Oketch and Otieno Sungu.
We are looking at how to show-case Sofia Area in Pumwani as a waste free area by engaging in Practical Steps that would make this a reality. 
When we first hosted a Clean-up Campaign at Sofia in July 2012, we realized that the residents were not as enthusiastic as they were this time around on the 27th Oct 2012. Many Mothers came out on their own to help clean their immediate neighbourhoods and it was encouraging.
We now want to move a step forward and introduce a Training Programme at Pumwani on the 15th Nov 2012 focusing on Waste, Waste Management and the Conversion Processes. 
We will be inviting the residents to isolate all milk packaging materials and all the plastics and flimsy papers. In partnership with the Ministry of Environment and Mineral Resources, Tetra Pak Eastern Africa and EcoPost, we will reclaim these three items from the waste stream in Sofia area.
Again, we are inviting the cement manufacturers to also join with us and donate cement that will help us pave the whole area of Sofia. We will plant Trees in the area and each household will take personal responsibility to ensure success of the Programme.
Lastly, the Ministry of Public Health and Sanitation had promised us waste Receptacles. We will be following this with them to ensure that Sofia Area becomes the first beneficiary of this programme.
All this needs discipline and leadership. And we are happy that PYGRON and her affiliate members are showing this.
It all means, a Clean Sofia is Possible.
Let us all work for a Clean Kenya and a Clean Africa as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 

Otieno Sungu,
Director; Programmes and Communication
The Clean Kenya Campaign- TCKC
The Clean Kenya Campaign is an Initiative of The KCDN Kenya
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Sweden runs out of Garbage"

Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

Upumbavu kama huu siyo wa kuleta humu. Aliyeandika hii orodha ni muhuni maana hata kifupi cha hayo mashirika ya Kijasusi anayodai eti yamesaidia hakiandikiwi hivyo.

Lakini siyo hilo tu, nadhani huyu jamaa kadandia stori kama ilivyo kawaida ya wabongo. Nadhani posting kama hizi ziwe zinahakikiwa kabla ya kuletwa humu.


From: Tony PT <tony_uk45@yahoo.co.uk>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Wednesday, October 31, 2012 9:19 PM
Subject: Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

EM

Ujinga mtupu!
Sent wirelessly from my BlackBerry device on the Bell network.
Envoyé sans fil par mon terminal mobile BlackBerry sur le réseau de Bell.

From: Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Wed, 31 Oct 2012 14:01:34 -0400
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] walioweka hela swiss bank

Wanabidii, mmeiona hii? Kuna mtu aliniomba orodha nimeiona mahali:
em

WALIO WEKA MAMILION USWISS HAWA HAPA

Kwamuda wa miaka miwili sasa tangu tulipoanza kazi nzito ya upelelezi wa wakubaini na kuzuia uingizaji na utoroshaji wa pesa nchini,

Juhudi zetu zimeanza kuzaa matunda baada ya kubaini majina halisi ya watanzania walioficha fedha nje ya nc
hi na wanaoingiza fedha haramu nchini.

Kwakushirikiana na mashirika ya kijasusi ya CIA-USA, M1-6-UK, RAW-India, DGSE-Ufaransa, FSB Urusi, ISI Pakistan, na MSS-
China, ambayo yamekuwa yakifuatilia nyendo za fedha haramu hasa za kighaidi dunia, tumefanikiwa kutambua Watanzania, Wakenya, Waafrika kusini, Waganda na Wakongo wengi matajiri walioficha fedha uswisi.

Hapa nitawaorodhesha Watanzania tu;

Orodha ni ndefu ila hapa ni wale walioficha zaidi ya USD $3.5 mmilion kila moja. Wamo wanasiasa pamoja na wafanyabiashara kadhaa maarufu. Imebainikwa kwamba fedha nyingi za wanasiasa zimewekwa na makampuni ya nje yenye shughuli Tanzania. Wamo hata Makatibu Wakuu Wizarani na wakurugenzi ila hawajafikia USD3.5million ndio maana majina yao hayamo.

Orodha kamili ni:

Jakaya M. Kikwete, January Makamba, Abdalla Kighoda, Nimrod Mkono, Nazir Karamagi, Andrew Chenge, Yusuf Makamba, Edward Lowassa, Rostam Aziz, Yusuf Manji, Ridhiwani Kikwete, Mohamed Dewji, Bernard Membe, Paul Chagonja , Zitto Kabwe, William B. Mkapa, Said Mwema, Abdulrahman Shimbo, Edward Hosea, Daudi T.S Balali, Basil Mramba,Mustapha Mkullo, Grey Mgonja, Patrick Rutabanzibwa,Tanil Somaiya, Jeetu Patel, Onoko Okesukwu mwenye asili ya Kinigeria, Awadh Mohamed (mwenye uraia wa msomalia) na Subhash Patel

Orodha ya wanaoingiza pesa chafu/haramu na kuzitakatisha ni ndefu nitawawataja kadiri muda utakavyo niruhusu.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 


Read More :- "Re: [wanabidii] walioweka hela swiss bank"

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] TUCHEKE PAMOJA ASUBUHI HII

Ha ha ha ha , unavituko kweli wewe.







2012/11/1 Jonas Kiwia <jonaskiwia39@gmail.com>
Bush Men: Kaja Dar na akafikia kwa ndugu yake Ilala,akiwa pale kwa muda wa week moja akawa anasikia saanna ndugu yake kila akimwita mke wake anasema Darling embu njoo mara moja.
Bush Men: Akili ika mclick ahaa kumbee!!!,aka kaa kimyaa bila kusema chochote kumbe anawaza mambo yake,baada ya wiki akarudi kijijini morogoro.

Guess alifanyaje???
Nayeye akaiga mtindo ule ule.Kwa vile Dar ndugu yake alikua anamwita mke wake Daaarling....Yeye akaanza Mooorolling njoo mara moja.

Good Morning wadau!!!


--
Jonas Kiwia  |  Director
Speedy Computers
Tel:+255 754882825  |  Cell: +255 715882825
P.O.Box: 55133  |  Dar esSalaam  |  Tanzania
Email:jonaskiwia39@gmail.com  URL:www.speedycomputersonline.com
 
    

--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
To unsubscribe from this group, send email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] TUCHEKE PAMOJA ASUBUHI HII"

[wanabidii] Nigerian sex trafficker used ‘juju’ to terrorise young orphans he raped after smuggling them into UK - Mwanzo

A Nigerian smuggler who used witchcraft rituals to force children to work as sex slaves was jailed for 20 years on October 28th

Osezua Osolase, 42, tricked poverty-stricken Nigerian orphans into travelling to the UK with the promise of a better life. But the young victims were raped, sexually abused and subjected to voodoo-style rituals by a child trafficking ring.


http://wotepamoja.com/archives/9917#.UJIK6rIYjKc.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Nigerian sex trafficker used ‘juju’ to terrorise young orphans he raped after smuggling them into UK - Mwanzo"

Re: [wanabidii] Mhando “OUT” Tanesco - Mwanzo

Ewq0cu
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Magiri paul <kiganyi@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 1 Nov 2012 06:22:04 +0100
To: <wanabidii@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Mhando "OUT" Tanesco - Mwanzo

Taarifa iliyotolewa na bodi ya Wakurugenzi Tanesco imesema kutokana na tuhuma mbalimbali za ukiukwaji wa taratibu za shirika ikiwemo matumizi mabaya ya mamlaka, julai 16 2012 bodi iliamua kumsimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji Mhandisi William Mhando pamoja na maafisa wengine waandamizi ili kupisha uchunguzi huru na wa haki ili kufahamu ukweli wa tuhuma hizo.
http://wotepamoja.com/archives/9907#.UJIG4s-Guyc.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Mhando “OUT” Tanesco - Mwanzo"

[wanabidii] TUCHEKE PAMOJA ASUBUHI HII

Bush Men: Kaja Dar na akafikia kwa ndugu yake Ilala,akiwa pale kwa muda wa week moja akawa anasikia saanna ndugu yake kila akimwita mke wake anasema Darling embu njoo mara moja.
Bush Men: Akili ika mclick ahaa kumbee!!!,aka kaa kimyaa bila kusema chochote kumbe anawaza mambo yake,baada ya wiki akarudi kijijini morogoro.

Guess alifanyaje???
Nayeye akaiga mtindo ule ule.Kwa vile Dar ndugu yake alikua anamwita mke wake Daaarling....Yeye akaanza Mooorolling njoo mara moja.

Good Morning wadau!!!


--
Jonas Kiwia  |  Director
Speedy Computers
Tel:+255 754882825  |  Cell: +255 715882825 | 
P.O.Box: 55133  |  Dar esSalaam  |  Tanzania
Email:jonaskiwia39@gmail.com  URL:www.speedycomputersonline.com
 
    

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] TUCHEKE PAMOJA ASUBUHI HII"

[wanabidii] Mhando “OUT” Tanesco - Mwanzo

Taarifa iliyotolewa na bodi ya Wakurugenzi Tanesco imesema kutokana na tuhuma mbalimbali za ukiukwaji wa taratibu za shirika ikiwemo matumizi mabaya ya mamlaka, julai 16 2012 bodi iliamua kumsimamisha kazi Mkurugenzi mtendaji Mhandisi William Mhando pamoja na maafisa wengine waandamizi ili kupisha uchunguzi huru na wa haki ili kufahamu ukweli wa tuhuma hizo.
http://wotepamoja.com/archives/9907#.UJIG4s-Guyc.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Mhando “OUT” Tanesco - Mwanzo"

[wanabidii] GAIA's Response; Sweden runs out of Garbage



Let us here you and your comments.

On 10/31/2012 1:27 PM, Monica Wilson wrote:
Dear Odhiambo Okecth,

Would you please do me the great favor of sharing the following message with the recipients of your last message? I saw a number of email groups copied to which I don't belong, so I don't think a message sent from me would go through. But I think my response contains some useful context about this story of incineration in Sweden, and the drawbacks to this approach, as well as a recent report on zero waste from GAIA that might be of interest to your contacts.

Thanks for your help! Best wishes,
Monica

----------
Dear all,

The article about Sweden has become an internet phenomenon, but I wanted to clarify a few things about it, because it's not what it seems. I don't mean to drag the whole group of people into this conversation unwillingly, I only wanted to provide more background on this story -- so if you want to discuss further, please email me personally (monica@no-burn.org) instead of the whole list. Thanks!

Sweden has so many incinerators (garbage burners) that they are now importing garbage in order to keep feeding the burners. Incinerators are terribly expensive: a new incinerator currently proposed for the US has an estimated cost of over US$600 million. Incinerators are also inefficient energy generators, especially when they have less than the planned amount of waste. Many incinerators in Europe and the US struggle to get enough waste, and suffer serious financial consequences when they don't. So they end up creating a ridiculous waste trade, resulting in weaker recycling and composting even beyond the immediate area. Furthermore, the European Union has realized that they have a large problem of burning too many recyclable materials because they simply burn too much stuff. There is new policy momentum in the EU to scale back on incineration, especially of recyclable and compostable materials.

Here's a link to GAIA's fact sheet about incineration:  http://no-burn.org/incinerators-myths-vs-facts-2  and I'd be happy to answer any questions if you email me directly at monica@no-burn.org (so we don't take over others' inboxes!)

Also, those receiving these emails might be interested in the following publication from June 2012 called On the Road to Zero Waste: Successes and Lessons from Around the World which is available at http://no-burn.org/on-the-road-to-zero-waste-successes-and-lessons-from-around-the-world

Thanks, and best wishes for your ongoing work to reduce waste!
Monica Wilson
--
Monica Wilson
GAIA: Global Alliance for Incinerator Alternatives
1958 University Ave., Berkeley, CA 94704 USA
monica@no-burn.org | 510-883-9490 x 103 | www.no-burn.org | skype: monica_wilson | @GAIAnoburn


On 10/31/2012 1:25 AM, odhiambo okecth wrote:


Communication from Mr. Otieno Sungu- Director- Programmes and Communication at The Clean Kenya Campaign


Friends,

Sweden, through prudent management of waste. has run out of garbage and they are now importing the same from Norway- http://www.mnn.com/lifestyle/recycling/blogs/sweden-runs-out-of-garbage-forced-to-import-from-norway

There is also a Town in China that imports waste from a neighbouring Town.

These are just but examples to show-case that waste can never be an issue the way we are making it look.

Today in the morning, officials of Pumwani Youth Groups Networks- PYGRON, paid a Courtesy Call on us at our offices. The Team was led by their Chairman Mr. Ramadhan Maingi, Secretary Mr. Steven Singano, Mr. Superior Mudaala from the St John's Community Centre and Mr. George Otieno from Angola- an affiliate member of PYGRON.

The TCKC Team comprised of Odhiambo T Oketch and Otieno Sungu.

Seated L-R; Mr. Superior Mudaala, Mr. Ramadhan Maingi and Mr. Stephen Singano. Standing L-R; Oto, Mr. George Otieno and Mr. Otieno Sungu

We are looking at how to show-case Sofia Area in Pumwani as a waste free area by engaging in Practical Steps that would make this a reality. 

When we first hosted a Clean-up Campaign at Sofia in July 2012, we realized that the residents were not as enthusiastic as they were this time around on the 27th Oct 2012. Many Mothers came out on their own to help clean their immediate neighbourhoods and it was encouraging.

We now want to move a step forward and introduce a Training Programme at Pumwani on the 15th Nov 2012 focusing on Waste, Waste Management and the Conversion Processes. 

We will be inviting the residents to isolate all milk packaging materials and all the plastics and flimsy papers. In partnership with the Ministry of Environment and Mineral Resources, Tetra Pak Eastern Africa and EcoPost, we will reclaim these three items from the waste stream in Sofia area.

Again, we are inviting the cement manufacturers to also join with us and donate cement that will help us pave the whole area of Sofia. We will plant Trees in the area and each household will take personal responsibility to ensure success of the Programme.

Lastly, the Ministry of Public Health and Sanitation had promised us waste Receptacles. We will be following this with them to ensure that Sofia Area becomes the first beneficiary of this programme.

All this needs discipline and leadership. And we are happy that PYGRON and her affiliate members are showing this.

It all means, a Clean Sofia is Possible.

Let us all work for a Clean Kenya and a Clean Africa as a Transformative Deliverable as we turn 50 in Kenya. 

Otieno Sungu,
Director; Programmes and Communication
The Clean Kenya Campaign- TCKC
The Clean Kenya Campaign is an Initiative of The KCDN Kenya

--
Monica Wilson
GAIA: Global Alliance for Incinerator Alternatives
1958 University Ave., Berkeley, CA 94704
monica@no-burn.org | 510-883-9490 x 103 | www.no-burn.org | skype: monica_wilson | @GAIAnoburn

--
Monica Wilson
GAIA: Global Alliance for Incinerator Alternatives
1958 University Ave., Berkeley, CA 94704
monica@no-burn.org | 510-883-9490 x 103 | www.no-burn.org | skype: monica_wilson | @GAIAnoburn

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] GAIA's Response; Sweden runs out of Garbage"

[wanabidii] Vichwa Vya Habari Katika Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi - Mwanzo

http://wotepamoja.com/archives/9900#.UJIDCP2J-MA.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "[wanabidii] Vichwa Vya Habari Katika Magazeti Ya Tanzania Leo Alhamisi - Mwanzo"

Re: [wanabidii] Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya SSRA waota mbawa (?)

Nawaombeni sasa tuwe na subira wakati mchakato mzima ukifanyiwa kazi, nachukua fursa kutoa shukurani za pekee kwa Mheshimiwa Mnyika na Mheshimiwa Jaffo, sasa hoja ya Bwana Benjamini Dotto ianze kufanyiwa kazi na tupate kinachoendelea. Uamuzi wa kubatilisha unyanyasaji wa wafanyakazi vijana umepokelewa kwa shangwe nchi nzima. Natoa nasaha kwa serikali sasa iache mambo ya ujanja ujanja ambayo mwisho wa siku yutatuathiri wote.

2012/10/23 Majige, Petronila (Bulyanhulu) <PMajige@africanbarrickgold.com>

Mjadala: Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya SSRA waota mbawa (?)
23/10/2012

0 Comments


Kwenye kundi la WanaMabadiliko Tanzania, mada ifuatayo imewasilishwa na Benjamin Daudi Dotto.
Kama unataka kufuatilia, unaweza kufanya hivyo kwa kubofya hapa.
MUSWADA WA MAREKEBISHO YA SHERIA YA SSRA WAOTA MBAWA,WAFANYAKAZI WALIOACHA KAZI AU KUACHISHWA KAZI KUENDELEA KUTESEKA
Wadau,

Hatimaye  msimamo wa serikali juu ya kupeleka marekebisho ya sheria ya mifuko ya hifadhi ya jamii leo umeota mbawa baada ya kuthibitishwa mbele ya kamati ya kudumu ya maendeleo ya jamii ya Bunge iliyokutana na katika ukumbi wa wizara ya maendeleo ya jamii mjini Dar es salaam kwamba wizara ya kazi na ajira haijaandaa muswada huo. Akithibitisha juu ya swala hilo wakati akitoa maelezo ya wizara mbele ya kamati,katibu mkuu wa wizara hiyo ndugu shitindi amedai kwamba wizara imejipanga kupeleka miscellaneous amendments kwa mwanasheria mkuu wa serikali.

Katika amendments hiyo katibu mkuu amesema kwamba kifungu kitakachorekebishwa ni kile Na.44 cha sheria ya PPF ambacho ndo pekee kitaruhusu wanachama wa PPF kuchukua mafao yao.Wanachama wa mifuko mingine kama NSSF fao la kujitoa halitarudishwa katika sheria hivyo kubaki wakisubiri miaka 55 au 60 kuchukua mafao yao.Katika mjadala huo hoja mbalimbali zilijitokeza,mojawapo ni ile iliyoibuliwa na bwana Benjamin Dotto.

Akitoa mchango wake bwana Dotto alitaka kujua kwa nini wizara imekaidi kutekeleza mapendekezo ya bunge la nane,ambalo kupitia kwa mbunge Jaffo liliitaka wizara kurudisha fao la kujitoa kwa wafanyakazi wanaoacha au kuachishwa kazi wakati mchakato wa marekebisho ya sheria ukiendelea.Lakini vilevile alitaka kujua kwa nini wizara imekaidi kuandaa muswada wa sheria badala yake unaleta miscellaneous ammendments.

Akiwasilisha mapendekezo ya wafanyakazi mbele ya kamati,Dotto alisema kwamba rasilimali zote na fedha zilizoko kwenye mifuko ni mali ya wanachama wa mifuko hii.Kwa hiyo ili pesa hizi ziweze kulindwa na kukaa salama,wakati umefika uendeshaji wa mifuko hii usimamiwe na wanachama wenyewe.Hivyo akapendekeza mwenyekiti wa mamlaka ya SSRA,na wenyeviti wa mifuko mingine wasiteuliwe na rais bali wachaguliwe na wanachama wa mifuko ili wakienda kinyume waweze kuwajibishwa na wanachama wenyewe.pendekezo hili lilipingwa vikali na Mustafa mkulo na wabunge wengine kwa sababu linainyima serikali nafasi ya kuteua wenyeviti hao.

Akifafanua Dotto alisema kwamba lengo kubwa la pendekezo hilo ni kuiondolea serikali mamlaka ya kutumia fedha za wanachama jinsi wanavyotaka wao,kwa mfano ujenzi wa Udom,Daraja la kigamboni na njia za mabasi yaendayo kasi ni miradi inayotumia pesa za wanachama kwa sababu wasimamizi wa mifuko hiyo ni wateule wa rais.Kauli hiyo ilimsababishia kasheshe bwana dotto kwani alizuiliwa kuendelea kutoa mapendekezo mengine maana yalionekana kugusa masilahi ya wakubwa.

Hata hivyo baadhi ya mapendekezo aliyozuiliwa kuyataja na kufafanua mbele ya kamati ni pamoja na;

.1, FAIDA INAYOPATIKANA KUTOKANA NA UWEKEZAJI WA MIFUKO HIYO IGAWIWE KWA KILA MWANACHAMA KILA MWISHO WA HESABU ZA MWAKA KWA KUWEKWA KATIKA AKAUNTI YA MWANACHAMA.

2. MWANACHAMA ARUHUSIWE KUHAMA MFUKO MMOJA KWENDA MWINGINE KWA KUHAMA NA MAFAO YAKE FAIDA NA HAKI ZINGINE.

3.MFANYAKAZI AKIACHA AU KUACHISHWA KAZI MAFAO YAKE YALIPWE NDANI YA SIKU SABA.

4. KUWEPO NA MIKOPO YA WANACHAMA NA WARUHUSIWE KUCHUKUA HADI NUSU YA MAFAO YAO,DHAMANA YA MKOPO IWE MAFAO YAKE YALIYO KATIKA MFUKO.

Kwa ufupi hayo ndo baadhi ya mambo yaliyojiri.ANGALIZO wafanyakazi bado tuna safari ndefu sana kuweza kufika kwenye nchi ya ahadi na bila MSHIKAMANO DAIMA tutabaki kutendwa na kugeuzwa na serikali kama mafungu ya nyanya kama hali halisi ilivyojidhihirisha leo.

Naomba kuwasilisha.
Mchango wa John Mnyika (Mbunge wa Ubungo)
Wadau,

Mosi, mrejesho huu unadhihirisha masuala kadhaa niliyotahadharisha wakati mkutano wa nane wa Bunge, sasa yanaanza kujidhihirisha.

Pili, kama nilivyoeleza wakati huu msingi wa tangazo la SSRA la kusitisha fao la kujitoa kwa mifuko yote haikuwa marekebisho ya sheria yaliyofanyika tarehe 13 Aprili 2012 kama walivyoeleza, bali kuna marekebisho mengine yaliyofanyika miaka mingi ambayo yalikuwa hayatekelezwi. Katika muktadha huo ikiwa kuna dhamira ya kurekebisha hali hiyo, tunapaswa kurudi mpaka nyuma.

Tatu, wakati marekebisho ya sheria yakisubiriwa ni muhimu Wizara ya kazi ikazingatia maelekezo na maelekezo ya kisera niliyohitaji yatolewe kutengea tangazo la SSRA. Itakumbukwa kwamba baada ya Waziri kueleza kuwa ataleta muswada wa marekebisho na bunge kupitisha azimio bado nilishika mshahara wa Waziri na kumtaka atoe maelezo na maelekezo, pamoja na majibu ya Waziri badala ya kutoa maelekezo ya kutengua tangazo/agizo chini kwa chini wameendelea kutoa maelekezo kwamba SSRA inyamaze kimya. Kuna nini ambacho Serikali inaona vigumu kukisema na kukifanya?

Nne, toka mwanzo wa kadhia hii nilieleza kwamba pamoja na hatua ya haraka ya kutengua agizo la SSRA ufumbuzi wa kudumu unapatikana kwenye kurekebisha sheria kwa kuwa chanzo cha tatizo lenyewe ni sheria. Maelezo binafsi au hoja binafsi ni hatua tu kupeleka kwenye marekebisho ya sheria, na tungeweza kuruka hatua hiyo kwenye mkutano wa nane wa bunge na kwenda moja kwa moja kwenye kurekebisha sheria na tatizo hili lingekuwa limeahirishwa (nasema kuahirishwa sio kumalizwa kwa kuwa kulimaliza kunahitajika mabadiliko makubwa katika mfumo mzima wa hifadhi ya kijamii nchini). Kwa mujibu wa Katiba ibara ya 63 Bunge ndio lenye kutunga sheria, bunge lingeweza lenyewe kurekebisha hiyo sheria kwa muswada wake na hatimaye Rais kusaini, bunge likapeleka tena suala hilo kwa serikali ambayo inasuasua kulitekeleza. Kwa uwajibikaji wa pamoja, nitangaze maslahi kwamba mimi ni sehemu ya bunge hilo.

Tano, tunakwendaje mbele kutoka hapa? Ieleweke kwamba suala hili sasa ni la Bunge, sio la mbunge mmoja mmoja, ingawa kila mbunge anawajibu wa kusimamia utekelezaji wa maamuzi ya bunge kwa nafsi na nafasi yake. Ni la Bunge kwa sababu kuna azimio la Bunge tayari kuwa muswada uwasilishwe mkutano wa tisa wa bunge. Hivyo, ikiwa serikali inasuasua, bunge lichukue nafasi yake na kuwasilisha muswada; inaweza kuwa kupitia muswada wa kamati husika ya bunge baada ya kupokea majibu hayo ya serikali au muswada binafsi kutoka kwa mbunge yoyote ambaye bunge litaona anaweza kuwasilisha. Hata hivyo, kwa kuwa kwa maelezo haya Serikali imesema badala ya muswada kwa hati ya dharura wa marekebisho ya sheria za hifadhi ya jamii hoja hiyo inatarajiwa kuwasilishwa kupitia marekebisho ya sheria mbalimbali hii nayo ni hatua. Ushauri wangu kwa wadau mdai yafuatayo: Waziri Mkuu Mizengo Pinda au Mwanasheria Mkuu wa Serikali mmoja wao atoe kauli hadharani kuwa serikali imebadili msimamo kutoka kauli ya Naibu Waziri Makongoro Mahanga kama ilivyonukuliwa na Gazeti la Guardian On Sunday tarehe 14 Oktoba 2012 kuwa muswada utakuja Februari 2013 kwa kupelekwa na Wizara ya Kazi na Ajira na sasa muswada utaletwa tarehe 30 Oktoba 2012 na Mwanasheria Mkuu wa Serikali kupitia muswada wa marekebisho ya sheria mbalimbali. Aidha, rasimu ya muswada huo (naita rasimu, kwa sababu kama ni hati ya dharura, muswada hautachapwa kwenye gazeti la serikali bali utaonekana kwa mara ya kwanza ndani ya bunge) itolewe kwenye vikao vya kamati vinavyoendelea hivi sasa na utolewe pia kwa wadau na umma kwa ujumla ili kuhakikisha marekebisho hayo hayahusu PPF pekee bali ni pamoja na NSSF nk.

Tuendelee na mjadala,

JJ
Mchango wa Weston Mbuba kwa mtindo wa maswali akimwuliza Mnyika
Mh. Mnyika, JJ, (Mb.)

Nikuulize maswali machache.

-  Kwanini PPF wakaruhusiwa kunufaika na fao la kujitoa na si mifuko mingine?

-  Serikali inaogopa nini kutoa mafao hayo kwa wachangiaji wa mifuko hiyo?

-  Kwa uelewa wako, Bunge linaweza kuchukua hatua gani za kuhakikisha sheria hii inafutwa haraka iwezekanavyo na kuwa rais anaridhia mabadiliko hayo. Kwani Bunge linaweza kuibadili, kama ulivyosema lakini rais asiisaini na kuiidhinisha.

Kwa kanuni zenu, kuna namna yoyote ambayo rais anaweza kushinikizwa atekeleze kitu chenye maslahi kwa wananchi ilhali yeye mwenyewe hapendi?
Majibu ya Mnyika kwa Weston
Weston,

Naingia kwenye kikao lakini kwa haraka haraka:

1. Kwa nini PPF na si mifuko mingine, kwa kuwa Serikali ndio iliyokuja na mwelekeo huo inaweza kujisemea yenyewe. Lakini wanaweza kuja na maelezo kuwa awali PPF ilikuwa provident na sio pension pekee na kwamba marekebisho ya tarehe 13 April yaliyoelekezwa na Bunge yalihusu sheria hiyo pekee kwa upande wa fao la kujitoa. Maelezo hayo yasikubalike kwa sababu hifadhi ya jamii kwa mifuko yote inapaswa kutafsiriwa zaidi ya penseni ya uzeeni, kuna mafao mengine ya zaidi. Na kwamba hata baada ya marekebisho ya sheria kwa upande wa NSSF yaliyofanyika miaka kadhaa nyuma bado mafao ya kujitoa yaliendelea kutolewa (wanaweza kuja na maelezo kwamba yalikuwa kinyume cha sheria). Kama watakuja na majibu kuwa fao la kujitoa kwa NSSF lilikuwa linatolewa kinyume cha sheria maelezo hayo ni sababu tosha ya kwamba marekebisho hayo yanayoletwa pamoja na kugusa kifungu cha 44 cha sheria ya PPF yahusu pia sheria ya NSSF. Kama watakuja na majibu kuwa hakuna ulazima wa kurekebisha sheria kwa upande wa NSSF basi watoe tangazo la kutengua agizo la SSRA la kusjitisha mafao ya kujitoa kwa mifuko yote.

2. Serikali inaogopa nini kutoa fao la kujitoa? Mimi si msemaji wa Serikali, hata hivyo maelezo yanayotolewa ni kwamba fao la kujitoa si sehemu ya mafao ya msingi katika mfumo wa hifadhi ya jamii kwa mujibu wa mikataba ya ILO na hivyo kutolewa kwake kunaathiri lengo la msingi la kuwa na pensioni ya uzeeni. Majibu hayo hayana msingi, kwa kuwa hayazingatii ukweli kwamba mfumo wetu kwa sasa hauna mfumo mbadala wa kuziba pengo hilo mathalani fao la ukosefu wa ajira au fao la mkupuo kwa kuzingatia mazingira ya kazi katika sekta binafsi na hali halisi ya ujira, ajira na uchumi wetu. Pia, baadhi ya vifungu hivyo vinavyotumika kupigia upatu nchi yetu haijaridhia ndio maana hakuna ulazima wa kisheria wa mifuko yetu kutoa mafao yote tisa. Aidha, mazingira yetu ya kisera, kiuchumi na kijamii hayatufanyi tufanane na hizo nchi nyingine wanazozitolea mfano. Hivyo, majibu hayo yanayotolewa kimsingi ni visingizio, kuna majibu ambayo hayatolewi kwa uwazi juu ya mashaka kuhusu uendelevu wa mifuko pamoja na acturial studies kuonyesha kwamba mifuko yetu ni endelevu ripoti za CAG zinaonyesha kwamba kuna uwekezaji kwenye miradi isiyofanya kazi kwa ufanisi (non performing investments), unaweza pia kurejea hotuba yetu ya Kambi ya Upinzani Bungeni kupitia kwa Waziri Kivuli wa Kazi na Ajira kwa maelezo zaidi.

3. Kwa kuwa Serikali imesema inaleta muswada wa sheria ya marekebisho ya
Sheria mbalimbali, muswada ukishasomwa bungeni utakuwa ni mikononi mwa Bunge na unaweza kurekebishwa kwa kadiri ya matakwa ya wananchi. Ndio maana nasema mutake kama ni kwa hati ya dharura, serikali iweke wazi kwa umma kabla mapendekezo/rasimu ya muswada inaokusudia kuupeleka. Kama ni kwa utaratibu wa kawaida, siku 21 kabla ya Bunge zimeshafika, hivyo kama kuna muswada kama huo serikali ieleze ulichapwa kwenye gazeti la Serikali la tarehe ngapi na namba ngapi wadau muanze kuujadili.

4. Kuhusu nafasi ya Rais katika mchakato huu, naomba nisijibu chochote katika hatua ya sasa, mjadala wa sasa tupate kwanza kauli ya Waziri Mkuu Pinda au Mwanasheria Mkuu wa Serikali Werema zitatoa mwelekeo kuhusu sakata hili la fao la kujitoa kwa kuwa Wizara ya Kazi na Ajira kupitia kwa Waziri Kabaka na Naibu Wake Mahanga wameshindwa kutoa uongozi unaohitajika kumaliza mgogoro huu na wafanyakazi kwa kushughulikia chanzo kwa wakati badala ya kusubiri kukabiliana na matokeo.




Source: http://www.wavuti.com/#ixzz2A7o0SSxp

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.



--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya SSRA waota mbawa (?)"