Tuesday 30 October 2012

[wanabidii] “Eti” Mulugo “Kuteleza” ni Kwa Sababu Ya Mahasimu wa Kisiasa - Mwanzo

Maafisa wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, wametoboa siri hatua ya Naibu Waziri wa wizara hiyo, Philipo Mulugo, kukosea kutaja Zimbabwe badala ya Zanzibar kama kisiwa kilichounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Wakizungumza na NIPASHE jana, walisema pamoja na kwamba aliteleza kutaja Zimbabwe akimaanisha Zanzibar, kimsingi suala hilo linakuzwa na baadhi ya mahasimu wake wa ndani na nje wa kisiasa.


http://wotepamoja.com/archives/9853#.UJAMkoKuEcU.gmail

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment