Wednesday 31 October 2012

[wanabidii] POLISI WAFANYA UNYAMA MKUBWA SANA ZANZIBAR!

"Akizungumza na waandishi wa habari mjini hapa jana, kijana aliyenusurika kuuawa, Salum Bakari Muya alidai aliteswa 
kwa kukatwa ngozi kwa kisu kichwani na kisha kunyonyolewa nywele na polisi ambao pia walikuwa na silaha".  

I say, hii inasikitisha. Haya mambo yalikuwa yafanywe na mkoloni na sio na JK!!!

0 comments:

Post a Comment