Thursday 28 February 2013

Re: [wanabidii] CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Yona and the likes try to read between the lines to understand what people says. Do not misinterpret to mislead others.

--- On Thu, 2/28/13, Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com> wrote:

From: Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>
Subject: Re: [wanabidii] CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thursday, February 28, 2013, 3:06 AM

Yona wewe kiboko.kilichosemwa ni kuwa wanaotaka kujiunga chadema wafanye hivyo sasa,na hasa mafisadi ya CCM yanayosubiri yakitupwa kwenye kura za maoni huko CCM,NDO yanatafuta pa kwenda.hayo ndo hakuna nafasi.acha kupotosha watu weye

On Thu, Feb 28, 2013 at 2:01 PM, Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com> wrote:
Ndugu zangu

Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa
vyama vingine .

Kwa maana hiyo CHADEMA sasa imeshajaa wale wanachama wa vyama vingine
wanaotaka au kupanga kuhamia siku zijazo wachague vyama tofauti .

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.



--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE"

RE: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

 
Samahani Yona, nadhani wewe mwenyewe unaona ujinga wako, au siyo? unatoa shutuma kwa Dr. Slaa ambazo Dr. Slaa hajasema chochote kuhusu hilo, suala hilo limesemwa na mtu mwingine kabisa. Halafu unajiuliza swali wewe mwenyewe, eti haungi mkono?? Umeona ujinga wako ulivyo?? Hoja yako hapo nini? Uwezo wako wa kulewa mambo na kujenga hoja unanipa mashaka sana, au wewe ni sawa na wale wanafunzi waliochora Zombi halafu wakasema, amesahau kuvaa viatu??
 
 
 
> Date: Thu, 28 Feb 2013 10:04:17 -0800
> Subject: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
> From: oldmoshi@gmail.com
> To: wanabidii@googlegroups.com
>
> Nimetumia dr slaa kama mfano wa watu waliotumia uhuru wake kutoka CCM
> na kuingia CHADEMA baada ya kutokukubaliana na kura za maoni , iweje
> leo ndio awe kiongozi wa kunyima wenzake haki ya kujiunga na chama
> hicho ?
>
> Au uamuzi wa kuwakataa walioshindwa vyama vingine hauungwi mkono na dr
> slaa katibu mkuu wa chama ?
>
> On Feb 28, 7:00 pm, msiwah...@gmail.com wrote:
> > Yona ana Slaa-phobia. Alikuwa ana-criticize ishu za Chadema hususan kauli ya Mbowe lakini akilini mwake anamuwaza Slaa.
> >
> > Yona, Slaa amekufanyia nini?
> >
> > Mwamba.
> > Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> >
> > -----Original Message-----
> > From: Peter Lwegasira <petermak...@yahoo.com>
> >
> > Sender: wanabidii@googlegroups.com
> > Date: Thu, 28 Feb 2013 06:16:58
> > To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
> > Reply-To: wanabidii@googlegroups.com
> > Subject: Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
> >
> > Wewe umeanzisha mada kwa kusema NANUKUU Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa vyama vingine. MWISHO WA KUNUKU. Sasa Dr. Slaa anaingiaje kwenye hii mada?
> >
> > ________________________________
> >  From: Yona F Maro <oldmo...@gmail.com>
> > To: Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> > Sent: Thursday, February 28, 2013 5:11 PM
> > Subject: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
> >
> > Ndugu Joseph
> >
> > Dr Slaa alishindwa kura za maoni kugombea ubunge akajiondoa CCM na
> > kwenda CHADEMA akaupata ubunge na mwaka 2010 akagombea urais kwa chama
> > hicho ingawa amekiri kuendelea kuwa na kadi ya CCM .
> >
> > Kama yeye alikuwa huru kiasi hicho kutoka CCM kwenda CHADEMA na
> > kugombea ubunge kwanini leo aunge mkono sera ya kunyimwa uhuru kwa
> > watanzania wengine kujiunga na chadema dakika aitakayo ? ndio nauliza
> > hofu ni yeye kuondolewa kwenye urais mwaka 2015 ?
> >
> > On Feb 28, 5:02 pm, paul lawala <pasamila292...@gmail.com> wrote:
> > > Yona na wewe unaweza kuomba uanachama
> >
> > > 2013/2/28 Mohamedi Mtoi <mouddym...@gmail.com>:
> >
> > > > Akili ya Yona imejaa haipokei wala kutoa ukweli.
> >
> > > > On 2/28/13, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
> > > >> CHADEMA haina haki ya kuchagua wanachama wa kujiunga na chama hicho
> > > >> mtu atajiunga tokea popote atakapojisikia yeye na kugombea nafasi
> > > >> yoyote ndani ya chama hicho kama katiba inavyosema lakini hili la
> > > >> kukataza wakina fulani wasijiunge au wasigombee ni muendelezo wa
> > > >> ubaguzi ambao siku zote tumekuwa tukiulalamikia .
> >
> > > >> Maajabu kuliko yote ni kwamba katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa nae
> > > >> alianguka kwenye kura za CCM akakimbilia CHADEMA alitumia haki yake
> > > >> kikamilifu iweje leo mtu huyu huyu anyime wenzake fursa hiyo ? au hofu
> > > >> ni kuondolewa kwenye kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Mwaka 2015 ?
> >
> > > >> On Feb 28, 3:30 pm, Jovias Mwesiga <ngo...@gmail.com> wrote:
> > > >>> Kweli tunatafsiri tofauti kha!!!
> >
> > > >>> On Thu, Feb 28, 2013 at 5:01 AM, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
> >
> > > >>> > Ndugu zangu
> >
> > > >>> > Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa
> > > >>> > vyama vingine .
> >
> > > >>> > Kwa maana hiyo CHADEMA sasa imeshajaa wale wanachama wa vyama vingine
> > > >>> > wanaotaka au kupanga kuhamia siku zijazo wachague vyama tofauti .
> >
> > > >>> > --
> > > >>> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > > >>> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > > >>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > > >>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> > > >>> > ukishatuma
> >
> > > >>> > Disclaimer:
> > > >>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> > > >>> > legal
> > > >>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
> > > >>> > be
> > > >>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
> > > >>> > agree
> > > >>> > to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > > >>> > ---
> > > >>> > You received this message because you are subscribed to the Google
> > > >>> > Groups
> > > >>> > "Wanabidii" group.
> > > >>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
> > > >>> > an
> > > >>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > > >>> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> > > >> --
> > > >> Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > > >> International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > > >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > > >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> > > >> ukishatuma
> >
> > > >> Disclaimer:
> > > >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> > > >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> > > >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> > > >> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > > >> ---
> > > >> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> > > >> "Wanabidii" group.
> > > >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> > > >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > > >> For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> > > > --
> > > > "Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia Mtema.
> > > > --
> > > > Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
> > > > Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
> > > > Skype: Mohamedi.Mtoi
> > > > Twitter: @mohamedimtoi
> > > > Facebook:http://www.facebook.com/mouddymtoi
> > > > --
> >
> > > > --
> > > > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > > > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > > > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > > > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
> >
> > > > Disclaimer:
> > > > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > > > ---
> > > > You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> > > > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > > > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> > --
> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
> >
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
> >
> > --
> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
> >
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
> >
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>

Read More :- "RE: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE"

RE: [Mabadiliko] Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"

Abdul,
 
Mimi hata kusoma siku hizi huwa sisomi. Nikiona tu nina-delete haraka sana. Inawezekana nafanya vibaya.
 
Selemani
 

Subject: Re: [Mabadiliko] Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"
To: mabadilikotanzania@googlegroups.com; wanabidii@googlegroups.com
From: abduldello@gmail.com
Date: Thu, 28 Feb 2013 16:28:24 +0000

'Neno la leo' la Maggid siku hizi halina tija, lina alifulelaulela nyiiiingi, na ukimtingisha anakula kona
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com>
Sender: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Date: Thu, 28 Feb 2013 08:05:21 -0800 (PST)
To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>; mabadilikotanzania<mabadilikotanzania@googlegroups.com>
ReplyTo: mabadilikotanzania@googlegroups.com
Subject: [Mabadiliko] Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"

Mara "Hatujafika pabaya sana", mara "Hatujafika pabaya"- haya ndugu Mtanzania tuendelee kujifanya hatujafika pabaya (sana)


From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>; mabadilikotanzania <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
Sent: Thursday, February 28, 2013 7:27 AM
Subject: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"

Ndugu zangu,

Hakuna wawili watembeao pamoja pasi na maelewano.
Ukiwaona wanadamu wawili wanatembea pamoja, basi, wana makubaliano. Ni watu waliopatana.

Kwenye kundi la watu wa mataifa tofauti ukimsikia Mtanzania anamtamkia Mtanzania mwenzake, tena kwa Kiswahili; " E bwana inuka twende zetu!", na Mtanzania huyo mwingine akabaki amekaa bila kushtuka, basi, utilie mashaka UTanzania wake.

Ndio, " Inuka twende ni kwa waliogana". Ni watu wenye kufahamiana. Ni ndugu.

Nimeanza kuingiwa na hofu kuwa Watanzania tumeanza kupoteana kama ndugu. " Inuka twende' yetu imeanza kuangaliwa kwa sura ya udini, ukabila na itikadi.

Hatujafika pabaya sana, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tumeshaziona ishara. Miongoni mwetu Watanzania tumeanza kuzisikia kaauli za ; " Umewasikia jamaa zetu Wakrito? Umewasikia jamaa zetu Waislamu? Umewasikia jamaa zetu WaZanzibar? Umewasikia jamaa zetu wa Bara?......"

Hizi ni ishara za undugu unaosambaratika. Zamani sisi sote tulikuwa ni ndugu. Tulitembea pamoja, ishara ya watu tuliopatana.

Leo kuna Watanzania wanaoambiwa; " E bwana wee, siku hizi nakuona unatembea na kuongea na wale jamaa zetu wa upande mwingine!"

Ndio, Watanzania tumeacha kuwa ndugu. Tunagawanyika kwenye mapande. Ni kwa kuzitazama tofauti za dini, kabila na itikadi.

Hatujafikia pabaya, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tukumbuke; " Inuka twende ni kwa waliogana". Watanzania tulishaagana. Tulishakubaliana. Tulijua tunakokwenda kama Taifa. Kama ndugu. Tumeanza sasa kusambaratika.

Tuinuke sasa twende kupambana na yote yenye kutugawa kama ndugu wa taifa moja. Tuna kila sababu, nia na uwezo wa kushinda mapambano haya dhidi ya ubaguzi wa aina zote.


Na hilo ni Neno La Leo.

Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765
http://www.facebook.com/l.php?u=http%3A%2F%2Fmjengwablog.co.tz%2F&h=kAQGKGl1C&s=1
--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 



--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda; mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com
Utapokea Email ya kudhibitisha kujiondoa kwako.
 
TEMBELEA Facebook yetu:
http://www.facebook.com/MabadilikoForums?ref=hl
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
 
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forums" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "RE: [Mabadiliko] Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!""

Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Yona anataka kumleta Juliana Shonza!

--- On Thu, 2/28/13, Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com> wrote:

From: Chambi Chachage <chambi78@yahoo.com>
Subject: Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, February 28, 2013, 6:30 AM

Mbona inaonekana kuna uchakachuaji wa historia - Slaa alishindwa kura za maoni CCM au alishinda ila wakampitisha Qorro?


From: Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com
Sent: Thursday, February 28, 2013 9:21 AM
Subject: Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Yona unachekesha.sikufahamu kwa karibu lakini naona kwako kile samweli sitta aliita wakati fulani,unafikiunafiki hivi? imesemwa hakuna kuja baada ya kubwagwa kura za maoni basi.wewe unataka nini? swala la kadi lilishapita na ilibidi viongozi wako wajiuzuru kwa ujinga wa kufadhili mgombea urais wa chama kingine.Dr.Slaa wewe siyo saizi yako.kwa nini usiniongelee hata mimi,au wale vijana  wenu akina juliana shonza

2013/2/28 Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com>
Wewe umeanzisha mada kwa kusema NANUKUU Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa vyama vingine. MWISHO WA KUNUKU. Sasa Dr. Slaa anaingiaje kwenye hii mada? 


From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
To: Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Thursday, February 28, 2013 5:11 PM
Subject: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Ndugu Joseph

Dr Slaa alishindwa kura za maoni kugombea ubunge akajiondoa CCM na
kwenda CHADEMA akaupata ubunge na mwaka 2010 akagombea urais kwa chama
hicho ingawa amekiri kuendelea kuwa na kadi ya CCM .

Kama yeye alikuwa huru kiasi hicho kutoka CCM kwenda CHADEMA na
kugombea ubunge kwanini leo aunge mkono sera ya kunyimwa uhuru kwa
watanzania wengine kujiunga na chadema dakika aitakayo ? ndio nauliza
hofu ni yeye kuondolewa kwenye urais mwaka 2015 ?

On Feb 28, 5:02 pm, paul lawala <pasamila292...@gmail.com> wrote:
> Yona na wewe unaweza kuomba uanachama
>
> 2013/2/28 Mohamedi Mtoi <mouddym...@gmail.com>:
>
>
>
>
>
>
>
> > Akili ya Yona imejaa haipokei wala kutoa ukweli.
>
> > On 2/28/13, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
> >> CHADEMA haina haki ya kuchagua wanachama wa kujiunga na chama hicho
> >> mtu atajiunga tokea popote atakapojisikia yeye na kugombea nafasi
> >> yoyote ndani ya chama hicho kama katiba inavyosema lakini hili la
> >> kukataza wakina fulani wasijiunge au wasigombee ni muendelezo wa
> >> ubaguzi ambao siku zote tumekuwa tukiulalamikia .
>
> >> Maajabu kuliko yote ni kwamba katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa nae
> >> alianguka kwenye kura za CCM akakimbilia CHADEMA alitumia haki yake
> >> kikamilifu iweje leo mtu huyu huyu anyime wenzake fursa hiyo ? au hofu
> >> ni kuondolewa kwenye kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Mwaka 2015 ?
>
> >> On Feb 28, 3:30 pm, Jovias Mwesiga <ngo...@gmail.com> wrote:
> >>> Kweli tunatafsiri tofauti kha!!!
>
> >>> On Thu, Feb 28, 2013 at 5:01 AM, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
>
> >>> > Ndugu zangu
>
> >>> > Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa
> >>> > vyama vingine .
>
> >>> > Kwa maana hiyo CHADEMA sasa imeshajaa wale wanachama wa vyama vingine
> >>> > wanaotaka au kupanga kuhamia siku zijazo wachague vyama tofauti .
>
> >>> > --
> >>> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> >>> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>
> >>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> >>> > ukishatuma
>
> >>> > Disclaimer:
> >>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
> >>> > legal
> >>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
> >>> > be
> >>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
> >>> > agree
> >>> > to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> >>> > ---
> >>> > You received this message because you are subscribed to the Google
> >>> > Groups
> >>> > "Wanabidii" group.
> >>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
> >>> > an
> >>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >>> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> >> --
> >> Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> >> International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>
> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> >> ukishatuma
>
> >> Disclaimer:
> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> >> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> >> ---
> >> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> >> "Wanabidii" group.
> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> >> For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> > --
> > "Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia Mtema.
> > --
> > Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
> > Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
> > Skype: Mohamedi.Mtoi
> > Twitter: @mohamedimtoi
> > Facebook:http://www.facebook.com/mouddymtoi
> > --
>
> > --
> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>
> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
>
> > Disclaimer:
> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> > ---
> > You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.




--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 


--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE"

Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"

Magid,

Mungu akubariki. Tatizo ni fikra finyu za baadhi yetu. Tulidhani watu wanaweza kujitawala bila uwapo au ulazima wa kutumia sheria.

Urusi walijaribu, wakashindwa. Waliamini ukiona mtu anaiba basi ana njaa. Ikawagomea, wakarejesha utawala wa sheria.

Hapa kwetu tumejaribu kuachia uhuru, tumeutumia bila nidhamu. Imetufikisha hapo. Tusimamie matumizi ya sheria, vinginevyo...

Balile
Sent from my BlackBerry® smartphone on the Tigo Tanzania Network

From: Maggid Mjengwa <mjengwamaggid@gmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Thu, 28 Feb 2013 12:27:32 +0000
To: wanabidii<wanabidii@googlegroups.com>; mabadilikotanzania<mabadilikotanzania@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!"



Ndugu zangu,

Hakuna wawili watembeao pamoja pasi na maelewano.
Ukiwaona wanadamu wawili wanatembea pamoja, basi, wana makubaliano. Ni watu waliopatana.

Kwenye kundi la watu wa mataifa tofauti ukimsikia Mtanzania anamtamkia Mtanzania mwenzake, tena kwa Kiswahili; " E bwana inuka twende zetu!", na Mtanzania huyo mwingine akabaki amekaa bila kushtuka, basi, utilie mashaka UTanzania wake.

Ndio, " Inuka twende ni kwa waliogana". Ni watu wenye kufahamiana. Ni ndugu.

Nimeanza kuingiwa na hofu kuwa Watanzania tumeanza kupoteana kama ndugu. " Inuka twende' yetu imeanza kuangaliwa kwa sura ya udini, ukabila na itikadi.

Hatujafika pabaya sana, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tumeshaziona ishara. Miongoni mwetu Watanzania tumeanza kuzisikia kaauli za ; " Umewasikia jamaa zetu Wakrito? Umewasikia jamaa zetu Waislamu? Umewasikia jamaa zetu WaZanzibar? Umewasikia jamaa zetu wa Bara?......"

Hizi ni ishara za undugu unaosambaratika. Zamani sisi sote tulikuwa ni ndugu. Tulitembea pamoja, ishara ya watu tuliopatana.

Leo kuna Watanzania wanaoambiwa; " E bwana wee, siku hizi nakuona unatembea na kuongea na wale jamaa zetu wa upande mwingine!"

Ndio, Watanzania tumeacha kuwa ndugu. Tunagawanyika kwenye mapande. Ni kwa kuzitazama tofauti za dini, kabila na itikadi.

Hatujafikia pabaya, lakini, tunakoelekea ni kubaya. Tukumbuke; " Inuka twende ni kwa waliogana". Watanzania tulishaagana. Tulishakubaliana. Tulijua tunakokwenda kama Taifa. Kama ndugu. Tumeanza sasa kusambaratika.

Tuinuke sasa twende kupambana na yote yenye kutugawa kama ndugu wa taifa moja. Tuna kila sababu, nia na uwezo wa kushinda mapambano haya dhidi ya ubaguzi wa aina zote.


Na hilo ni Neno La Leo.

Maggid Mjengwa,
Iringa.
0788 111 765
http://mjengwablog.co.tz/

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] Neno La Leo: " Inuka Twende Ni Kwa Walioagana!""

[wanabidii] SHUBIRI MWITU (ALOE) TIBA YA MAGONJWA YA KUKU

Shubiri mwitu (Aloe au Aloe vera) ni mmea ambao umekuwa ukitumika kwa kutibu magonjwa mbalimbali ya binadamu na mifugo. Mmea huu unatumika sasa kutengeneza sabuni, dawa za binadamu na wanyama na mambo mengine mengi. Na kwa sababu ya madawa mengi ya kiwandani kushindwa kutibu baadhi ya magonjwa kwa kuwa wadudu wametengeza ukinzani dhidi ya dawa hizo, ipo haja kubwa ya kuweka umuhimu kwenye madawa ya asili yatokanayo na mimea. Mmea wa shubiri mwitu unauwezo wa kutibu magonjwa ya kuku hasa coccidiosis na kwa kiasi fulani Newcastle disease.

Endelea kusoma hapa http://www.achengula.blogspot.com/  ili ujue namna ya kuutumia kutibu magonjwa ya kuku.


--




To all the questions of your life YOU are the  most possible answer. To all the problems of your life YOU are the best solution. Trust yourself

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "[wanabidii] SHUBIRI MWITU (ALOE) TIBA YA MAGONJWA YA KUKU"

[wanabidii] WHY A VOTE FOR RAILA IS NOT GOOD FOR MUSLIMS

 


KENYA MUSLIM YOUTH FORUM

Why a vote for Raila is not good for Muslims

"A believer is not bitten in the same hole twice," so goes the sayings of Prophet Mohammed (P.B.U.H).
 The Prophet (peace be upon him) made it clear in this narration that the believers are not to be fooled more than once by anyone, and that they should learn from their past experiences in order to ensure that no-one else is able to dupe them again by deception and sweet-talk.
During the 2007 election campaigns, Raila Amolo Odinga was the darling of Muslims when he promised that he will exert all efforts to fight against the injustices being meted upon Muslims under the Kibaki leadership.  He bought full page space in the main national newspapers emphasizing on this fact and it is no wonder that   Muslims from across the country overwhelmingly voted for him believing that he would live up to his promises to end the injustices.   
But as it turned out to be, immediately he got his "half share of loaf" in the coalition government where he became a co-partner with Kibaki in the government, the Prime minister  quickly reneged on his promise and after the betrayal and without any sense of his regret, he still wants Muslims to again vote for him!
Before casting your vote for the CORD leader and ODM candidate, read the points below carefully and the clear conclusion will be that a vote for Raila will not bring any good for Muslims in Kenya.
1.      In 2007, Raila signed an MoU with Muslim leaders whose basis was to ensure that the rights of Muslims were protected and they too also have a fair share of the national cake. As it is well known to all and sundry, he trashed the MoU the moment he gained political power. To put it clear he used and dumped Muslims.
In his first cabinet appointments,   President Kibaki who had been shunned by Muslims went on to appoint more  Muslim ministers in the cabinet  compared to those appointed by Raila. Out of 20 ministers appointed by Kibaki five were Muslims while Raila managed only 2 out of 20!!
 
2.      When he was campaigning against President Kibaki in 2007, Raila bought full page advertisements in the Standard and Daily Nation newspapers where he consistently attacked Kibaki for the injustice against Muslims and demanded for the release of Kenyan Muslims who had been renditioned to Ethiopia. Upon being appointed Prime Minister, he quickly forgot his pledge to fight against injustices and maintained silence while the rights of Muslims were trampled upon in the war on terror campaign. In fact, it was the Kibaki's PNU side of the government which eventually brought back the Kenyans who had been deported to Ethiopia without Raila playing any role.
 
3.      One of the key components of the MoU reached with Muslim leaders stressed that Raila would establish a close working relationship with the leaders where regular consultations would be made. After he came to government, for six months, he deliberately refused to meet Muslims leaders and when he eventually agreed to do that, he told them off on their face by saying "I am not a beautiful woman you should wish to see all the time."
 
4.      The rendition of Kenyan citizens was a among the most horrendous acts of injustices against Muslims by the Coalition government and it attracted heavy criticism from human rights agencies locally and internationally,  the High Court, Parliament and Muslim leaders from the various organisations.   While he passionately talked about fighting for the rights of Kenyans, the Prime minister did not see this as an injustice and on the contrary he came out to publicly to support these injustice referring to those who were illegally renditioned as terrorists who don't deserve any justice and to add salt to injury, he made these remarks at a gathering of Muslims. Despite several letters to his office to intervene and petition the Ugandan authorities to bring back the Kenyans back home and have them tried locally according to the law, Raila has not even found it important to reply to the letters.
 
5.       In August last year, the Prime minister sacked Najib Balala who was the Minister of Tourism and he went on to replace him with Dan Mwanzo, a non-Muslim from Taita Taveta. This was the first time that Mombasa in several decades lacked a Muslim minister.  When complaints about his action heated up, he promised that he will appoint a full cabinet minister from Mombasa to replace Balala but to this day, his promise remains up to date empty air.
 
6.      Raila sacked Balala on the basis that he was not subordinate to him. But a closer look reveals that he took the action because he does not care about Muslims whom he takes for granted.  The accusations he made against Balala were not different from the actions by   the minister of Agriculture Sally Kosgei , the Roads minister Franklin Bett and the minister of Cooperatives Joseph Nyagah who publicly denounced  the Prime Minister but he never took any action against them. Kosgei infact told Raila to take back his  ministerial flag while Raila referred to  the Roads minister as "an inciter"  after his constant attacks against him but he never took any action against but by sacking the only  Muslim minister he appointed from the Coast province, he did not care that this would not be taken lightly by Muslims.  Even after Nyagah defected to TNA and has been outspoken against the Prime Minister, he comfortably continues to serve in office as a cabinet minister. 
 
7.      In the present campaigns, virtually all candidates have been personally going to the various communities to seek support from voters. On his part, Raila has not seen it important to look out for Muslims to explain to them why they should support him. It is rather a strange occurrence that those who are expressing their support for Raila have been the one to look for him and while others are making putting forward what they expect the  candidates to do for their community once in office, those who claim to be their supporters have not even bothered to put forward the Muslim agenda.
 
8.      In November 2011, Raila travelled to Israel where he signed a security pact with Israeli affirming that Israel's enemy is also his enemy and both pledged to fight "Islamic fundamentalists" in Kenya. Every Muslim is fully aware that Israel holds an antagonistic view of Muslims and it has featured prominent in the torture of Muslims in Kenya.    Even after the minister of defense Yusuf Mohammed Hajj distanced the government from the agreement and Muslims condemned him for his statement, he never bothered to make an apology.  This clearly shows that a vote for him will further cement his relationship with the illegal Zionist entity and this will mean more victimization of Muslims.
 
9.      It is open fact that Raila has the strong backing of Western states like the United States and Britain, countries which for the last ten years have been instrumental in ensuring that Muslims are victimized. These two countries are also known to play a vital role in the illegal arrest and rendition of Kenyan Muslims to Uganda. With his "brother" Barrack Obama at the helm in Washington, the violations will  continue as he will have a strong backer at the White House.
There is no doubt that Raila Amolo Odinga has shown his open  contempt for Muslims and perhaps the fact that he did not ascend to the presidency in 2007 was better for Muslims as this would have brought about worse times for Muslims.
We have to be cautious and take lessons from the warning from Prophet Mohammed that  allowing to be stung twice from the same hole is something unfitting for any Muslim and indeed any rational person.
Let us not follow the whims of those who would want Muslims to be bitten again and ensure that our votes do not go to Raila Amolo Odinga.  We should not repeat the same mistake and in it is necessary to learn from past experiences in order not to fall into similar error.
From the above experience, a vote for Raila Odinga will only portend worse times for Muslims.
 
Kenya Muslim Youth Forum



MKATABA (MOU) 2007 BAINA YA MHESHIMIWA. WAZIRI MKUU RAILA ODINGA NA NAMLEF


KWA NINI RAILA ODINGA HAFAI KWA WAISLAMU NA WAKENYA


1.       Mwaka wa 2007, NAMLEF (Muungano Wa Viongozi Wa Kiislamu Kenya)  ulifanya mkataba (MOU) na aliyekuwa,  wakati huo, mgombea uchaguzi  wa ODM, Mh. Riala Amolo Odinga. Kama NAMLEF, Tunajukumu kwa Wakenya kwa ujumla, Waislamu mahsusi, kutathmini na kueleza kuhusu MOU hiyo na utekelezaji wake. Mh. Raila, bila kuulizwa, aliapa mbele ya viongozi wa Kiislamu, kwa njia ya kitamaduni ya Kijaluo, ya kuwa atatimiza ahadi yake na kuleta utawala bora na tofauti Kenya.


2.       Kwa vile MOU ilifanywa wakati wa uchaguzi wa Rais wa 2007, huu pia ni wakati muafaka kuutathmini, kw vile Mh. Raila tena yuapigania Uraisi. Na kwa vile MOU ilikuwa jambo la wazi iliozungumzwa sana na Wakenya, ni muhimu NAMLEF iwe ndiye yenye kuielezea. Twamkaribisha Mh. Raila pia, kuchapisha tathmini yake.


3.       Jukumu la NAMLEF, katika MOU. ilikuwa kuhamasisha umma wa Kiislamu kumpigia kura Raila za Uraisi na Raila akaahidi kutekeleza, katika miaka ya 2008 mpaka 2012,  mambo kadha kutokana na MOU hiyo. MOU hiyo ilikuwa na vipengee muhimu, ikiwapo:


a.       Kudumisha uongozi na taifa uliwo wa ukweli, sawa, wa haki na demokrasia.


b.      Kuwaregesha vijana wa Kenya Waislamu waliofurukishwa na serikali na kutupwa Somalia na Ethiopia; kufuatilia na kuwezesha kuwa wale waliohusika na njama hizi watashtakiwa kisheria. Na muhimu, kuhakikisha ya kuwa hakuna Mkenya yeyote atatendewa matendo haya ya kinyama, uvunjaji wa sheria na utawala wa mabavu.


c.       Kuboresha hali ya maisha kwa sehemu zilizotengwa hasa mikoa ya Pwani na Kasizkazini Mashariki (North Eastern). Kwa hili, kuhakikisha kuwa kutatengwa kiwango maalumu cha fedha kurekebesha hali hizo zilizo mbaya, kiuchumi, kielimu, kiusalama na kijamii.


d.      Kuifanya NAMLEF kuwa mshiriki wake Mkuu katika utawala wake, na hasa mambo yanayohusu Waislamu. Kwa hili, kudumisha mawasiliano wazi na kuwepo mikutano rasmi na makhsusi iliyopangwa ili kutathmini utekelezaji wa MOU na kuboresha uhusiano.


e.      Kutenga asilimia ishirini (20%) za nafasi kwa Waislamu katika uajiri na uteuzi za kazi ya serikali kwa ngazi zote.


4.       NAMLEF walitimiza ahadi na kuhamasisha Waislamu, ili Raila apate kura nyingi Desemba 2007. Hili jambo lilifaulu mno.


5.       Mh. Raila aliteuliwa kuwa Waziri Mkuu (WM) katika serikali ya mseto. Jee Raila alitimiza ahadi zake kwa Waislamu na NAMLEF?


6.       Katika kuangalia swali hili, tukumbuke ya kuwa Mh. Raila alikuwa katika msitari wa mbele na mkali mno kumshtumu Rais Mwai Kibaki miaka 2003 hadi 2007, yakuwa alitupilia mbali MOU baina yao. Tukumbuke pia ya kuwa Mh. Raila, katika serikali ya mseto (2008 hadi 2013) amekuwa kinara pamoja na Rais Kibaki, kila mara akidai kutekelezwa kwa Mkataba wa Kitaifa (National Accord) uliofanywa na Kofi Annan. Jee Mh. Raila ni kiongozi mwenye uadilifu kutimiza mikataba na ahadi, au yuajitetea wakati maslahi yake peke yake yameathiriwa?


7.       Baada ya uteuzi wa Mh. Raila kuwa Waziri Mkuu April 2008, kuwasiliana na mashauriano naye ya kawa magumu mno.  Hakuona umuhimu kushauriana na viongozi Waislamu katika uteuzi wake wa Baraza la Mawaziri, afisi za serikali, mabalozi na nydhifa zengine. ikawa ni vigumu kuwasiliana naye wacha kumuona, licha ya kuwepo kwa MOU.


8.       Baada ya jitihada za kudhalilisha, viongozi wa NAMLEF wakakutana na WM, kwa mara ya kwanza-na ya mwisho!- mwezi wa Agosti 2008 katika ofisi yake. Mkutano ulikuwa mzuri hadi wakati WM alipokumbushwa  vipengele vya MOU kuhusu kudumisha mawasiliano na kuwepo mikutano rasmi na makhsusi iliyopangwa. WM alijibu na kusema kuwa " Mimi si mwanamke mrembo wa kuonekana mara kwa mara!". Kauli hii ilitushtua.


9.       Jee Wakenya na Waislamu waweza kumuamini Mh. Raila?


10.   Tangu kikao hicho cha April 2008, mpaka leo, hakujakua na kikao baina ya NAMLE na WM, kwa kuwa hapatikani, hana ushauri na ni wazi kuwa aliitupilia mbali MOU. Badili yake, WM akaanza mawasiliano na makundi mengine ya Waislamu katika njama za kukiuka MOU.


11.   Kuhusu vipengee vya MOUm WM, Mh. Raila kama kinara wa serikali, katika utawala wake, amesababish hali na wakati mgumu sana kwa Waislamu Kenya, ambayo hatujawahi kuikabili, mbali na kuwa kuna katiba mpya:


a.       Mashekhe wa Kiislamu wamenyanyaswa na kuuliwa ilhali yeye ni WM bila kuchukua hatua zozote, wala hata kutoa pole!


b.      Mashekhe na vijana wa Kiislamu wamenyakuliwa nje ya misikiti na nyumba zao na kufurukishwa hali Uganda zaidi ya miaka miwili iliyopita. WM, anapoulizwa, hujibu sihusiani na magaidi !


c.       Hali ya usalama katika sehemu na miji ya Waislamu imezorota sana, ikiwa Mh. Raila ni Waziri Mkuu. Hafanyi mawasiliano au mashauri na viongozi wa Waislamu kuvumbua suluhisho.


d.      Ni Mh. Raila, kama Waziri Mkuu aliyesimama bunge na kusema kwa ukali kuwa lazima serikali itapitisha Mswada wa Ugaidi. Hili halikuweza kufanyika tangu wakati wa  Raisi Moi, lakini amelifanya WM Raila! Ilibidi Waziri Metito kuliingila jambo hili kupunguza makali na athari mbaya ya mswada huo.


e.      Uteuzi katika tume za kikatiba wafanywa na jopo ambalo WM anawakilishwa sawa sawa na mtu wake, na kupata sehemu yake ya uakilishi kwa wanatume na wenyekiti. Katika historia ya Kenya, Waislamu, Wanapwani na Watu wa North Eastern hawajapata kutengwa katika tume zozote kama wakati huu chini ya WM Raila Odinga.


12.   Sisi kama NAMLEF jopo lilokuwa na kumuunga mkono Mh. Raila mwaka 2007, kwa niaba ya Waislamu ambao kwa kura zao (na kura za Wakenya wengine) walimuwezesha Mh. Raila kuwa Waziri Mkuu, tunawajibika mbele ya Allah, kutoa ushahidi kwa Waislamu na Wakenya, kulingana na uhusiano wetu na Mh. Raila, ya kuwa ni kiongozi ambayo hana ahadi, hana ukweli na anakiuka mikataba bila kujali athari zake. Mh. Sasa twajua ahadi na kiapo kwa Mh. Raila ni maneno tu, na hayana uzito unaotarajiwa kwa kiongozi..


 
Hussein Abbas
Mombasa,Kenya.

__._,_.___
Reply via web post Reply to sender Reply to group Start a New Topic Messages in this topic (1)
Recent Activity:
.

__,_._,___
Read More :- "[wanabidii] WHY A VOTE FOR RAILA IS NOT GOOD FOR MUSLIMS"

Re: [wanabidii] NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME


Itamaanisha tutarudi tena kwenye diesel kutengeneza umeme kama gas huko mtwara itakuwa na utata isitumike kutengeneza umeme? Kutumia maji kutengeneza umeme itakuwa ndoto kama kinachoendelea sasa ktk kilimo kisicho endelevu, ufugaji usio endelevu, kukata miti kwa ajili ya mikaa, kuuza mbao, kilimo na ufugaji; machimbo na uchafuzi wa mito, uchakachuaji ardhi ya mito na vilima. Malumbano hayaishi na umangimeza ktk utendaji ndio donda sugu mpaka lini hatuoni mbele sisi wabongo na hatujifunzi kutoka makosa yetu na ya nchi za wenzetu tukaika mema yatakiwayo ili tutoke hapa tulipo penye umasikini na uswahili usioisha?! Lakini-sote tunawajibika pale tulipo na makazi na nyadhifa zetu.

Ona kiambata. Wachaguliwa na watumishi wa umma wapo wapi? Mahitaji ya kukusanya kodi yaangalie na uhalali na athari wa shughuli sio kodi tu kipato cha pesa ama sivyo haya ya uharibifu wa mazinfira, mito na misitu yangeshughulikiwa.Tuandamane kupinga effects za tatizo lakini source au cause ya tatizo tuikodolee macho tu!!


--- On Thu, 28/2/13, Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com> wrote:

From: Abdalah Hamis <hamisznz@gmail.com>
Subject: [wanabidii] NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME
To: "Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, 28 February, 2013, 20:12

NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME, SERIKALI IELEZE WANANCHI UKWELI NA HATUA KUHUSU UDHAIFU KWENYE UTEKELEZAJI WA MPANGO WA DHARURA


Nchi imeingia tena katika mgawo wa umeme kinyume na ahadi iliyotolewa na Waziri wa Nishati na Madini Prof Sospeter Muhongo bungeni tarehe 28 Julai 2012. 

Hali hiyo ni matokeo ya Serikali kutozingatia tahadhari niliyoitoa bungeni tarehe 27 Julai 2012 kwa niaba ya Kambi Rasmi ya Upinzani na kwa nyakati mbalimbali kwa nafasi yangu ya Waziri Kivuli wa Nishati na Madini juu ya hali tete iliyotarajiwa kuwepo na hatua zinazopaswa kuchukuliwa katika utekelezaji wa mpango wa dharura wa umeme. 

Ikiwa ni sehemu ya wajibu wa kibunge wa kuisimamia Serikali nawataka viongozi na watendaji wa Wizara ya Nishati na Madini na Shirika la Umeme Nchini (TANESCO) kuacha kuficha hali ya mambo na kuwaeleza ukweli wananchi kuhusu mgawo wa umeme uliojitokeza na hatua za haraka zinazochukuliwa kurekebisha hali hiyo. 

Iwapo Wizara na TANESCO hawatatoa matangazo ya ukweli kwa wananchi, kwa nafasi yangu ya Waziri Kivuli wa Nishati na Madini nitaeleza vyanzo vya mgawo wa umeme uliojitokeza ili hatua ziweze kuchukuliwa wakati huu ambapo wajumbe wa kamati ya nishati na madini wenye wajibu wa kuisimamia Serikali kwa niaba ya Bunge katika sekta hizo nyeti hawajateuliwa.

Aidha, pamoja na kutoa maelezo kuhusu mgawo wa umeme, Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO watumie nafasi hiyo pia kueleza hatua zilizochukuliwa kuhusu ukaguzi wa awamu ya pili kuhusu tuhuma za ufisadi katika ununuzi wa vifaa na uzalishaji wa umeme wa dharura ikiwemo kuhusu mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme. 

Ikumbukwe kwamba mwanzoni mwezi Agosti 2012 Ofisi ya Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAOT) iliunda timu ya wakaguzi kufanya ukaguzi maalum wa hesabu za Shirika la Umeme (TANESCO) kufuatia tuhuma za ubadhirifu wa fedha za umma zilitajwa bungeni na Waziri Kivuli wa Nishati na Madini katika maoni ya Kambi Rasmi ya Upinzani tarehe 27 Julai 2012 na Waziri wa Nishati na Madini wakati wa majumuisho ya hoja ya Serikali tarehe 28 Julai 2012. 

Wizara ya Nishati na Madini na TANESCO waeleze pia hatua iliyofikiwa kuhusu uchunguzi mwingine uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Ununuzi wa Umma (PPRA) kuanzia mwezi Agosti 2012 wa mchakato wa ununuzi wa mafuta mazito ya kuendeshea mitambo ya kufua umeme wa dharura kutokana na tuhuma mbalimbali zilizotolewa bungeni kuhusu ununuzi huo suala ambalo Kambi Rasmi ya Upinzani ilitaka pia tarehe 27 Julai 2012 liundiwe kamati teule ya Bunge ili uchunguzi wa kina uweze kufanyika. 

Wenu katika uwakilishi wa wananchi, 

John Mnyika (Mb)
Waziri Kivuli wa Nishati na Madini 

27 Februari 2013

Source: http://www.wavuti.com/4/previous/2.html#ixzz2ME73XnTm

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
 
 
Read More :- "Re: [wanabidii] NCHI IMEINGIA TENA KWENYE MGAWO WA UMEME"

Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE

Kaka Nyaronyo

Ukitaka kukuta points za Yona kwenye wana bidii usubiri a-copy na
ku-paste zile tafiti anazozileta. Zaidi ya hapo uwe tayari kupokea
pumba dhidi ya Slaa. Na ole wako uhoji pesa za FOS alizotia kwapani.

On 2/28/13, nyaronyo kicheere <kicheere@yahoo.com> wrote:
> bandugu,
> hivi ni siku gani nitafungua mtandao nikute yona ametoa hoja ya maana, hoja
> ya kufikirisha, hoja ya kushawishi, hoja ya kuaminisha, hoja angalau ya
> kuunganisha wananchi?
> yona eti anasema, nanukuu:
>
> "> >> CHADEMA haina haki ya kuchagua wanachama wa kujiunga na chama hicho
>> >> mtu atajiunga tokea popote atakapojisikia yeye na kugombea nafasi
>> >> yoyote ndani ya chama hicho kama katiba inavyosema lakini hili la
>> >> kukataza wakina fulani wasijiunge au wasigombee ni muendelezo wa
>> >> ubaguzi ambao siku zote tumekuwa tukiulalamikia ."
>
> hivi bandugu kati ya chama tawala ccm na vyama vingine chama kinachoendesha
> sera na siasa za ubaguzi ni kipi? mbaguzi ni nani kati ya watawala akina
> mchemba, ndugai, nnauye, unhonourable honourable speaker, wataalamu wa
> ndiyooooooooooooh hata penye wizi na ubadhirifu na hao chadema ni nani
> mbaguzi?
>
> walioanza kwa kudai cuf ni chama cha waislamu kana kwamba watanzania
> waislamu hawana haki ya kuchagua chama cha kujiunga nacho ni nani kama siyo
> limbukeni wa ccm?
> wanaodai chadema ni chama cha kaskazini kana kwamba kaskazini hawastahili
> kuchagua chama cha kujiunga nacho ni nani kama siyo malipyoto wa ccm?
> wanaodai chadema ni chama cha wachaga hata pale wakurya wanapokipigania
> chadema tarime na musoma mjini ni nani kama siyo bondia tyson, lukuvi,
> nnauye, mchemba na ndugai wa ccm?
> waliotangaza bila aibu mchana kweupe kwa kuwagombanisha wachaga na wakurya
> kwa kudai hadharani kuwa mbunge wao kauawa na wachaga ni nani kama siyo
> akina joseph makamba wa ccm na wenzake waliobobea katika fitna?
> hebu nenda masasi leo kaulize wanaotangaza kuwa bodaboda walioandamana na
> kusababisha nyumba kadhaa kuchomwa moto eti ni watu wa kuja eti siyo wenyeji
> wa masasi ni nani? hivi mmatumbi wa kilwa leo anakuwa mtu kuja kusini huko
> huko? eti mmakonde wa newala anakuwa mtu kuja mkoani kwake wilayani
> masasi!!!!! anayetangaza hivyo akiwagawa wananchi wa masasi eti ili aendelee
> kuungwa mkono, ni nani kama siyo mbumbumbu wa ccm. leo maandamano ya
> bodaboda kuyaita maandamano ya gesi kwa lengo gani kama siyo kuwagawa watu
> wa kusini wote kwa kuwaunganisha na kuwalundika katika kundi moja la kupinga
> gesi ni nani nani anawagawa kama siyo wezi, wahujumu na mafisadi wa ccm?
>
> maro, chuki zako kwa slaa zisikuzuie kufikiri; tafadhali nenda aste aste
> kicheere, tungi, kigamboni tanganyika territory
>
> -- On Thu, 2/28/13, msiwahili@gmail.com <msiwahili@gmail.com> wrote:
>
>
> From: msiwahili@gmail.com <msiwahili@gmail.com>
> Subject: Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA
> VYAMA VINGINE
> To: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Thursday, February 28, 2013, 8:00 AM
>
>
>
> Yona ana Slaa-phobia. Alikuwa ana-criticize ishu za Chadema hususan kauli ya
> Mbowe lakini akilini mwake anamuwaza Slaa.
>
> Yona, Slaa amekufanyia nini?
>
> Mwamba.
> Sent from my BlackBerry® smartphone from Vodacom Tanzania
>
>
> From: Peter Lwegasira <petermakatu@yahoo.com>
> Sender: wanabidii@googlegroups.com
> Date: Thu, 28 Feb 2013 06:16:58 -0800 (PST)
> To: wanabidii@googlegroups.com<wanabidii@googlegroups.com>
> ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
> Subject: Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA
> VYAMA VINGINE
>
>
>
> Wewe umeanzisha mada kwa kusema NANUKUU Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama
> chake hakitapokea wanachama wa vyama vingine. MWISHO WA KUNUKU. Sasa Dr.
> Slaa anaingiaje kwenye hii mada?
>
>
>
>
>
>
> From: Yona F Maro <oldmoshi@gmail.com>
> To: Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
> Sent: Thursday, February 28, 2013 5:11 PM
> Subject: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA
> VINGINE
>
> Ndugu Joseph
>
> Dr Slaa alishindwa kura za maoni kugombea ubunge akajiondoa CCM na
> kwenda CHADEMA akaupata ubunge na mwaka 2010 akagombea urais kwa chama
> hicho ingawa amekiri kuendelea kuwa na kadi ya CCM .
>
> Kama yeye alikuwa huru kiasi hicho kutoka CCM kwenda CHADEMA na
> kugombea ubunge kwanini leo aunge mkono sera ya kunyimwa uhuru kwa
> watanzania wengine kujiunga na chadema dakika aitakayo ? ndio nauliza
> hofu ni yeye kuondolewa kwenye urais mwaka 2015 ?
>
> On Feb 28, 5:02 pm, paul lawala <pasamila292...@gmail.com> wrote:
>> Yona na wewe unaweza kuomba uanachama
>>
>> 2013/2/28 Mohamedi Mtoi <mouddym...@gmail.com>:
>>
>>
>>
>>
>>
>>
>>
>> > Akili ya Yona imejaa haipokei wala kutoa ukweli.
>>
>> > On 2/28/13, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com> wrote:
>> >> CHADEMA haina haki ya kuchagua wanachama wa kujiunga na chama hicho
>> >> mtu atajiunga tokea popote atakapojisikia yeye na kugombea nafasi
>> >> yoyote ndani ya chama hicho kama katiba inavyosema lakini hili la
>> >> kukataza wakina fulani wasijiunge au wasigombee ni muendelezo wa
>> >> ubaguzi ambao siku zote tumekuwa tukiulalamikia .
>>
>> >> Maajabu kuliko yote ni kwamba katibu mkuu wa CHADEMA Dr Slaa nae
>> >> alianguka kwenye kura za CCM akakimbilia CHADEMA alitumia haki yake
>> >> kikamilifu iweje leo mtu huyu huyu anyime wenzake fursa hiyo ? au hofu
>> >> ni kuondolewa kwenye kugombea urais kwa tiketi ya CHADEMA Mwaka 2015 ?
>>
>> >> On Feb 28, 3:30 pm, Jovias Mwesiga <ngo...@gmail.com> wrote:
>> >>> Kweli tunatafsiri tofauti kha!!!
>>
>> >>> On Thu, Feb 28, 2013 at 5:01 AM, Yona F Maro <oldmo...@gmail.com>
>> >>> wrote:
>>
>> >>> > Ndugu zangu
>>
>> >>> > Mwenyekiti wa CHADEMA amesema chama chake hakitapokea wanachama wa
>> >>> > vyama vingine .
>>
>> >>> > Kwa maana hiyo CHADEMA sasa imeshajaa wale wanachama wa vyama
>> >>> > vingine
>> >>> > wanaotaka au kupanga kuhamia siku zijazo wachague vyama tofauti .
>>
>> >>> > --
>> >>> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
>> >>> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> >>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
>> >>> > kudhibitisha
>> >>> > ukishatuma
>>
>> >>> > Disclaimer:
>> >>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for
>> >>> > any
>> >>> > legal
>> >>> > consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >>> > must
>> >>> > be
>> >>> > presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >>> > agree
>> >>> > to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >>> > ---
>> >>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> >>> > Groups
>> >>> > "Wanabidii" group.
>> >>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it,
>> >>> > send
>> >>> > an
>> >>> > email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >>> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>> >> --
>> >> Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
>> >> International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> >> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> >> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> >> ukishatuma
>>
>> >> Disclaimer:
>> >> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> >> legal
>> >> consequences of his or her postings, and hence statements and facts
>> >> must be
>> >> presented responsibly. Your continued membership signifies that you
>> >> agree to
>> >> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> >> ---
>> >> You received this message because you are subscribed to the Google
>> >> Groups
>> >> "Wanabidii" group.
>> >> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> >> an
>> >> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> >> For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>> > --
>> > "Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia
>> > Mtema.
>> > --
>> > Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
>> > Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
>> > Skype: Mohamedi.Mtoi
>> > Twitter: @mohamedimtoi
>> > Facebook:http://www.facebook.com/mouddymtoi
>> > --
>>
>> > --
>> > Jobs in Africa -www.wejobs.blogspot.com
>> > International Jobs -www.jobsunited.blogspot.com
>>
>> > Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
>> > ukishatuma
>>
>> > Disclaimer:
>> > Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> > legal consequences of his or her postings, and hence statements and
>> > facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies
>> > that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>> > Guidelines.
>> > ---
>> > You received this message because you are subscribed to the Google
>> > Groups "Wanabidii" group.
>> > To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>> > an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> > For more options, visithttps://groups.google.com/groups/opt_out.
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>
> --
> Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
> International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>
>
>


--
"Tukosoane, Turekebishane, Tuwajibishane, ndipo Tusameheane". Regia Mtema.
--
Mobile: +255 (0) 713 24 67 64
Alternative: +255 (0) 784 24 67 64
Skype: Mohamedi.Mtoi
Twitter: @mohamedimtoi
Facebook: http://www.facebook.com/mouddymtoi
--

--
Jobs in Africa - www.wejobs.blogspot.com
International Jobs - www.jobsunited.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Re: CHADEMA SASA IMEJAA HAITOPOKEA WANACHAMA WA VYAMA VINGINE"