Wednesday, 29 July 2015

Re: [wanabidii] Lowassa apigwa shinikizo kali

Elisa,
 unachokisema ni mabadiliko siyaoni kwa kweli. Ni watu wachache sana watakaokubaliana na wewe. Anachofanya Kinana ni kutoa hotuba kwenye majukwaa na kutoa kauli ambazo hazifanyiwi kazi. Lakini katika yote tusiite  kuwasafisha mawaziri wenye kashfa ni mabadiliko ya mfumo. Hiki kilichotokea kwa Lowasa kuhamia UKAWA mimi nakitazama kama ni kukomaa kwa siasa za ushindani wa vyama. Lakini pia hata kama viongozi vya UKAWA huko nyuma walimsema majukwaani kuwa yeye ni fisadi,hilo lilitegemewa. sidhani kama mwanasiasa yeyote wa upinzani atasimama na kusema watu wa chama kingine ni safi, na hivyohivyo kwa chama tawala. Ila ni swala la wakati- kwa wakati huu yeye ndie mtu anayefaa kujaribu kuunagusha mfumo wa kifisadi, anaweza kufanya hivyo akiwa UKAWA,  ila angekua ccm asingeweza kufanya hayo.
lazima tujifunze kubadilika na kuangalia maswala haya kwa upana zaidi. Maendeleo yetu yatapatikana tu tukiwa na ushindani wa vyama, (kukua kwa demokrasia) ila kwa chama kimoja kukaa madarakani mda wote tusitegemee kupata mabadiliko ya maisha yetu.
Kuhusu yatakayotokea Tar 26, siongei mengi ila hakuna kinachoweza kutabirika kwa mazingira ambayo hakuna tume huru ya uchaguzi. Unachagua mtu ambaye unamwambia asimamie uchaguzi ambao wewe ni mshiriki! (hii mada nyingine)
John



On Tuesday, July 28, 2015 9:57 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


John. Kujiengua kwa Lowasa kuna faida nyingi. kati ya faida hizo licha ya mvuto unaousema hakutaisaidia UKAWA kulishika dola hili. badala yake chances za kushika dola zimepotea kuliko ingetumia wanachama wake kwa ngazi ya urais.
Kwa habari za CCM kuanza kujirekebisha kuko wazi. naamini toka Kinana kuingiz kazini tumeshuhudia mabadiliko fulani. Yapo mengi ambayo yanahitaji kufanyika kufumua mfumo huu lakini utakumbuka kuwa Kikwete alilazimika kupewa nafasi ya kugombea urais just because he was 'popular'. Kiasi cha kutompitisha Lowasa licha ua popularity yake ni ishara ya mabadiliko.
Mabadiliko tuliyo yatarajia kuletwa na ukawa yalitegemewa kuwa makubwa zaidi. Sasa hamna aisee. Nina deadlines lakini naufurahia mjadala huu
--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] Lowassa apigwa shinikizo kali
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 2:37 PM

Muhingo
unasema...'Kama
ni mfumo CCM imeonekana kuufumua ndiyo maana ikamtema
Lowasa....' sidhani kama hii ni sahihi. Yaani kwa
kumtema Lowassa ndio imefumua mfumo. Sijui lini wameanza
kuufumua huo mfumo wa ufisadi -past
habits die hard. Kweli tunapoongolea siasa tunaongelea
uendeshaji wa nchi, sio kamari, lakini ni muhimu kuwa na
madiliko makubwa ya kimfumo katika huo uendeshaji. Maana ni
miaka zaidi ya hamsini tumekua na mfumo ambao umezidi
kutuletea umaskini. Kwa hiyo ni wakati sasa wa
kubadilisha. Tuko kwenye vita kwa hiyo si busara kuchagua
silaha kupigana na adui yako. Mimi mtazamo wangu uko zaidi
katika kuleta mabadiliko ya uendeshaji wa nchi. Lakini
kumbuka Lowasa alipokatwa hakuna mtu CCM aliyethubutu kusema
sababu ya kukatwa kwake, lakini pia sikatai anazo kashfa za
ufisadi kama walivyo wanasiasa wengine. Ni 'kashfa'.
Kama lowasa atahamia UKAWA na hao wengine uliowataja na
kama watapokelewa na UKAWA hatujalijua bado. Ila kwa sasa
tumjadili Lowasa kama ni mtu sahihi kwa UKAWA au la. Lakini
lowasa pamoja na kashfa zake bado ni mwanasiasa mwenye mvuto
kwa sasa (ana wafuasi wengi wanaoangalia mazuri yake), na
ndio maana UKAWA wamevutiwa nae wakijua mapungufu yake.
lakini pia tusisahau utendaji wake na uthubutu wake katika
kutenda, sitaki kueleza hapa mfano wa mazuri aliyoyatenda
wengi wanayafahamu. Tuzidi
kutafakari! John
 



    On Tuesday, July 28,
2015 12:49 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:

   

  John.
Unamuongelea Lowasa yupi aliyeutumikia mfumo
mbovu upi wa CCM?
Ninayemuongelea mimi ni
Lowasa aliyekuwa akikusanya pesa za watu akizitoa makanisani
na misikitini. mfumo sawa ulimruhusu. namuongelea Lowasa
ambaye katika kukusanya kura za maoni ameonekana kutoa pesa
kupindukia. namuongelea Lowasa ambaye wapambe wake ambao
lazima ataongozana nao UKAWA  ni Chenge, Lostam, Karamagi
na wengine. naongelea Lowasa ambaye kila aliyeona
anavyotumia pesa alizosema anapewa na marafikizake
alijiuliza atawalipaje watu hao ambao hawataendelea
kufuatilia malipo yao CCM bali watamfuata atakakokuwa. UKAWA
inajiandaaje kumsaidia Lowasa kuwatuliza watu hao?
naongelea hayo na mengine yanayofanana nayo na
ndugu John tunapoongelea siasa hatuzungumzii kamali au
mchezo wa mpira. Tunaongelea uendeshaji wa nchi kwa manufaa
ya watu wote.
Kumbuka watanzania walipokuwa
wanajenga imani yao juu ya vyama vya upinzani na UKAWA sasa
hawakuwa wanajenga imani yao juu ya bendera za vyama au
magwanda wanayovaa. Ni ahadi zilizokuwa zinaonyesha
kutambuliwa kwa matatizo yao. naongelea hayo yaliyosemwa na
UKAWA.
Kama ni mfumo CCM imeonekana kuufumua
ndiyo maana ikamtema Lowasa. Watanzania wanataka mabadiliko.
Wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje. S\asa CCM
imefanya kazi kubwa. Imefumua mfumo kwa kuanza kuwatema
akina Lowasa.
Nawaza kuwa huenda
wakayafurahia mabadiliko kwa sababu  hawana chuki na CCM
ila mfumo. Mfumo ilioanza kuufumua.
Nisaidie
John kunielewesha zaidi.

--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

  Subject: Re:
[wanabidii] Lowassa apigwa shinikizo kali

To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:10 PM
 
  najaribu

kuchangia hoja ya comments za Muhingo na Mollel, kwa
mtazamo
  wangu hili halina shida kwenye
siasa. lazima tukubali kwenda
  na
mabadiliko. upepo wa siasa ndiko huko unakoelekea, lakini
  pia tujifunze na siasa za nchi nyingine.
wakati Kibaki
  alipohama KANU Alisingiziwa
ni fisadi lakini akashinda
  uraisi, na
tunaona siasa za kenya zilivyobadilika baada ya
  changamoto za upinzani. maendeleo pia
  yamepatikana. Ugomvi wa ufisadi nchini sio wa
mtu, ni
  tatizo la kimfumo. watu wengi
hamtaki kelewa hili. Kwa hiyo
  tatizo sio
Lowasa tatizo ni mfumo wa chama alichokuwapo
  kabla ya kuingia UKAWA. kama alikua ni fisadi
kwa nini hadi
  leo hakuna hatua zozote
zilizochukuliwa dhidi yake? sasa
  basi kama
lowasa anahamia UKAWA ataendana na mfumo na sera
  za UKAWA ambazo zinagiga vita ufisadi wa
kimfumo sio wa mtu
  mojamoja ili kuleta
ustawi kwa watanzania. lengo ni
  kuleta
mabadiliko ya siasa nchini kwa hiyo kama lengo la
  UKAWA ni kushika dola njia iliyotumika ni
sahihi. The ends
  justify the means. Ndugu
Muhingo inabidi upanue fikra
  kuendena na
hali halisi ya siasa na kuelewa hasa maana ya
  mageuzi.wasalaamJohn
 
  
 
 
      On Tuesday, July 28,

2015 9:55 AM, fadhil fadhil
  <fadhil.fadhil96@gmail.com>
wrote:
    
 
  Muhingo nakubaliana na wewe

hata siku moja haki haichanganyani batili ukawa
tuliipenda
  lakini mafisadi wameipenda
zaidi
  On Jul 28, 2015 10:00 AM,
  "'ELISA MUHINGO' via
Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
  anzania
  ina
mascientist wa ajabu. aweza kujaribu kumhamisha Sangara
  kutoka ziwa kubwa kama Victoria na kumuweka
katika bwawa la
  kuchimbwa na kutarajia humo
aishi na kuzaa sana. Kuna
  wanaojua kuwa
Sangara akishaona jua basi. haishi zaidi ya

masaa. Sasa tusubiri tuone wanasayansi hawa. Waliambiwa
  Lowasa hawezi kuteuliwa na CCM kupeperusha
bendera yake
  kuwania urais. Wakabisha mpaka
wengine kuapa kuwa
  asipoteuliwa wafe.
Wengine wakasema wanaoona kichefuchefu
  wale
limau. Ikatokea. Sasa wanadhani CCM iliyomkataa
  itamruhusu auchukue urahisi kupitia mabwawa ya
kuchimbwa.
  Nani kasema. Toka lini moja kwon
geza moja ikazaa sita?
  Hesabu nyingine
mbona rahisi. Jamani Watanzania wamechoka

kubahatisha. Wamebahatisha ndani ya CCM wakafika mahala
  wakaamua hawatabahatisha tena. Tumaini
lilikuwa UKAWA. CCM
  ikaona hilo. Najua kuwa
kama watanazania wakitaka
  kubahatisha tena
watabahatisha ndani ya CCM inayoonekanas

kujua watanzania wamechoka nini. Watanzania hawajaichoka
 
   CCM. Wamezichoka sera zao
za kuwavumilia mafisadi.
  Haiwezekani
mafisadi wakakaribishwa UKAWA ikatarajia kuwa
  watanzania watasema sisi na ukawa. hapana.
Wakati CCM
  inajipinda kuwatimua mafisadi
UKAWA inadhani itaendelea kuwa
  UKAWA na
mafisadi hao. Kifo cha UKAWA hakiwezi kuleta
  kishindo kama cha CCM. Hapana. Madereva
tunajua. Ukikanyaga
  kuku wala gari
haliyumbi. UKAWA inakufa
 

--------------------------------------------
 
  On Sun, 7/26/15, 'mpombe
mtalika' via Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
 
 


   Subject: [wanabidii] Lowassa apigwa
shinikizo kali
 
   To:
"ELISA MUHINGO' via Wanabidii"
  <wanabidii@googlegroups.com>
 
   Date: Sunday, July 26,
2015, 7:11 AM
 
 
 
 
 
 
 
   Kwa
 
   ufupi
 
 
 

 Washirika wake wataka
 

 maamuzi sasa, Mkewe, Rostam Aziz wadaiwa


   kumzuia.
 
 
 
 
 
 
 
   Shinikizo
 

  dhidi ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, la
  kumtaka
 

 akihame
 
   Chama Cha
Mapinduzi (CCM) linazidi kuongezeka na

katika timu
 
   yake ya
 
   ndani ni watu wawili tu
wanaonekana kumtaka abakie
  ndani ya
 
   chama hicho.
 
 
 
 
 
 
 
   Habari


    za ndani ya vikao vya kujadili hatua za
kuchukuliwa
  na
 
   Lowassa baada ya
 
    jina lake kukatwa kwenye mchakato wa
kugombea urais
  kupitia
 
   CCM,
 

 zinasema kuwa wandani wake wanaamini kuwa hana
  atakachopata
 
   kama
 

 ataendelea kubaki kwenye chama hicho
 
   tawala.
 


 
 
 
 
 

 "Kaka
 
    sikiliza,
inavyoelekea shinikizo dhidi ya Lowassa ni

kubwa
 
   sana. Watu
 
   wake wa ndani wanataka
aondoke CCM. Wanaona kama
 

 amedhalilishwa mno,"
 
   kilisema chanzo chetu ndani ya vikao
 
   hivyo.


 
 
 
 
 
 
   Chanzo
 
   
hicho kilichoomba kutokutajwa jina kwa sasa, kilisema
  kuwa
 
   watu
wake wa
 
    ndani
wanaamini Lowassa akiendelea kubaki CCM

atakuwa
 
   amewavunja
moyo
 
   wale wote
waliompigania, hasa vijana waliojaa

matumaini ya
 
   kumuona
 
   akiongoza taifa hili.
 
 
 
 
 
 
 
   Wandani


    wa Lowassa wanaamini kuwa kama akiamua
kujiunga na
  chama
 
   chenye nguvu
 
   cha upinzani anaweza kutimiza ndoto yake
ya
  kuwatumikia
 
   Watanzania kama
 
   rais wa awamu ya tano.
 
 
 
 
 
 
 
   Chanzo
 
   
chetu kinasema kuwa Lowassa mwenyewe amekwisha
  kuamua
 

 kufanya uamuzi
 
   mgumu,
ila kuna msuguano juu ya namna ya kuondoka


   CCM.
 


 
 
 
 
 

 Taarifa
 
    zaidi
zinasema kuwa watu wawili katika timu ya ndani
  ya
 

 Lowassa ndio
 

 wanaelekea kuwa na mawazo tofauti. Hawa ni Rostam
  Aziz,
 

 mwanasiasa na
 

 mfanyabiashara mashuhuri nchini na mtu mwingine
 
   anayetofautiana na
 
   mkakati huu mpya wa
kung'oka CCM ni mkewe, Mama
  Regina
 
   Lowassa.


 
 
 
 
 
 
   Chanzo
 
   
chetu kinasema kuwa wawili hao wanaamini mapigo
  ambayo
 

 Lowassa
 
   amekumbana
nayo ni mengi na yanatosha, kwa maana

hiyo
 
   ingefaa tu
 
   apumzike.


 
 
 
 
 
 
   "Sijui
 
    ni kwa nini RA (Rostam Aziz) anakuwa
skeptical
  (shaka). Si
 
   unakumbuka
 
   ndiye aliyesema amechoshwa na siasa
uchwara... sasa
  sijui
 
   kwa nini
 

 anapunguza makali," chanzo
 
   kilisema.
 


 
 
 
 
 
   Hata
 
    hivyo, vyanzo vyetu
vinaongeza kuwa pamoja na
  upinzani huo
 
   Lowassa


   anadaiwa kuwa amekwisha kuamua na
kinachosubiriwa sasa
  ni


   muda tu wa
 
   kutamka anakokwenda.
 
 
 
 
 
 
 
   Wakati
 
   
hali ikiwa hivyo ndani ya kambi ya Lowassa, kuna
  taarifa za
 

 kuaminika
 
   kuwa
kumekuwa na mashauriano baina ya watu wake na
  viongozi
 

 waandamizi
 
   wa kambi
ya upinzani juu ya mwelekeo wake wa
 
   kisiasa.
 


 
 
 
 
 

 Mwandani
 
    mwingine
katika kambi ya Lowassa alisema kimsingi

yeye
 
   (Lowassa)
 
   amekwisha kuamua,
anachofanya ni kuona kwamba watu
  wake wa
 
   karibu


   hawadhuriki na uamuzi wake huo.
 
 
 
 
 
 
 
   Chanzo


    hicho kiliiambia NIPASHE kuwa wenye
msimamo mkali
  katika
 
   kambi ya
 

 Lowassa wanaamini utabiri wa Baba wa Taifa Mwalimu
  Nyerere
 

 kuwa upinzani
 
   
utatoka ndani ya CCM utatimia mwaka
 
   huu.
 
 
 
 
 
 
 

 "Mnakumbuka ya Mrema
 
   (Augustino) alipoondoka CCM siasa za
Tanzania
  zilibadilika
 
   mpaka leo? Sasa safari hii ni
zaidi,"
 

 alisema.
 
 
 
 
 
 
 
   Takriban
wiki mbili sasa,
 

 Lowassa amekuwa na jambo kubwa moyoni analitaka
  kuwaambia
 

 Watanzania.
 
 
 
 
 
 
 
   Mara
 
    ya kwanza alikuwa afanye
mkutano na waandishi wa
  habari
 
   Julai 13 mwaka
 
   huu mjini Dodoma majira ya
asubuhi, lakini mkutano
  huo
 
   ukahamishiwa Dar
 
   es Salaam ambako pia
ukaahirishwa kwa muda
 

 usiojulikana.
 
 
 
   Tangu wakati huo
kumekuwa
 
   na tetesi kuwa
alikuwa atangaze kujiondoa
 
   CCM.
 
 
 
 
 
 
 

 Lowassa
 
    ni miongoni
mwa makada 38 waliojitosa kuwania

kuteuliwa
 
   kuwa
wagombea
 
   wa nafasi ya
urais wa CCM katika uchaguzi mkuu

utakaofanyika
 
   Oktoba
25,
 
   mwaka huu. Hata
hivyo, jina lake halikuwamo katika
  orodha
ya
 
   makada
 
   watano waliopitishwa
kwenye vikao vya juu vya chama
  hicho
 
   ambavyo


   mwishowe vilimteua John Pombe Magufuli
kuwa mgombea
  urais
 
   atakayekabiliana na wagombea wa upinzani
katika
  uchaguzi
 
   mkuu huo.
 


 
 
 
 
 

 CHANZO:
 
   NIPASHE
 
 
 
 
 
 
 
   --
 
 
 
   Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
    
 
 
 
   Kujiondoa Tuma Email
kwenda
 
 


   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
 
   kudhibitisha ukishatuma
 
 
 
    
 
 
 
   Disclaimer:
 
 
 
   Everyone
posting to this Forum bears the sole

responsibility
 
   for any
legal consequences of his or her postings, and
  hence
 

 statements and facts must be presented responsibly.
  Your
 

 continued membership signifies that you agree to
  this
 

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 


 
   ---


 
 
   You
received this message because you are subscribed
  to the
 

 Google Groups "Wanabidii" group.
 
 
 
   To unsubscribe from this group and stop
receiving
  emails
 
   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
 
 
   For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
 
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
 
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 
  You
received this message because you are subscribed to the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this
group and stop receiving emails
  from it,
send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
  Guidelines.


  ---
 

You received this message because you are subscribed to
the
  Google Groups "Wanabidii"
group.
 
  To unsubscribe
from this group and stop receiving emails

from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
     


 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda


  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences
of his or her postings, and hence

statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
to this
  disclaimer and pledge to abide by
our Rules and Guidelines.
 

---
 
  You received this
message because you are subscribed to the

Google Groups "Wanabidii" group.


  To unsubscribe from this group and stop
receiving emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 

--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

   


--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment