Wednesday, 15 July 2015

[wanabidii] NATOSHA KUVAA VIATU VYA UBUNGE WA DEWJI SINGIDA MJINI- HASAN MAZALA

Habari za jioni,

Tafadhali pokea CODES


<span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/fomu.jpg"><img class="size-full wp-image-140636 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/fomu.jpg" alt="fomu" width="640" height="427" /></a></strong></em></span>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hasan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/kwa-nguvu.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140637" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/kwa-nguvu.jpg" alt="kwa nguvu" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nimenyooka.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140638" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/nimenyooka.jpg" alt="nimenyooka" width="427" height="640" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/ninao-uwezo.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140639" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/ninao-uwezo.jpg" alt="ninao uwezo" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/tuko-imara.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140640" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/tuko-imara.jpg" alt="tuko imara" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Philipo Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/pamoja.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140641" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/pamoja.jpg" alt="pamoja" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong><a style="color: #008000;" href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/vijana.jpg"><img class="aligncenter size-full wp-image-140642" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/07/vijana.jpg" alt="vijana" width="640" height="427" /></a></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #008000;"><em><strong>Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan Mazala nje ya jengo la makao makuu ya CCM Mkoa wa singida mara baada ya kuchukua fomu.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Na Hillary Shoo, SINGIDA</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida,Hassan Mazala amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini ..</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akizungumza na kundi la Vijana wa CCM kwenye ukumbi mdogo jana, Mazala amesema kuwa amefungua ukurasa mpya wa maisha yake kwa kuwania nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Mohammed Dewji aliyestaafu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>'Nimejipima nikaona ninaweza kuvaa viatu vilivyoachwa wazi na Dewji kwani katika kipindi chote alichukuwa Mbunge nilishirikiana nae katika kuyatekeleza yale yote aliyonituma kama msaidizi wake wa karibu." Alisema Mazala.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Nimekuwa Kiongozi kwa muda mrefu katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye vijiji ,Kata, Wilaya, Mkoa na sasa Taifa, hivyo nina uwezo wa kutosha na nimekomaa  kisiasa katika kufanya kazi hii ya Ubunge bila wasiwasi wowote pale alipoachia Dewji" Alisisitiza.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha alisema anazifahamu changamoto zinazolikabili Jimbo hilo kwani ametembea kona zote na kujionea hali halisi ya wananchi wanavyojishigulisha na shughuli za kijamii.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Nina Moyo wa dhati kabisa wa kuwatumikia, ninaombeni mnibebe, najua yamesemwa mengi sana juu yangu katika kipindi ambachio nimlikuwa nafanya kazi na MO, lakini yapuuzeni hayo kwani hayana ukuweli wowote ni chuki binafsi tu." Alisema huku akishangiliwa na kundi la vijana linalojiita team Mazala.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Hata hivyo Mazala ambaye ana uwezo mkubwa wa kutawa  jukwaa alisema kamwe hatawaanguisha wananchi wa Jimbo hilo huku akitumia misamiati Zimwi likujualo, Usiache mbachao na mwokoto kuni porini huota moto pamoja.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Akitangaza kutogombea tena Ubunge  mapema Julai 08 mwaka huu mjini Singida Dewji alimsifu Mazala kwa kusema kuwa ni mchapa kazi, mwaminifu, mwadilifu na ana moyo wa kujitolea kwani aliweza kusimamia kazi zake zote bila ya matatizo yoyote.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Na pia ninapenda kumshukuru kipekee mtu mmoja ambaye bila yeye mafanikio yangu ya kiuongozi niyoyopata hapa Singida yasingeweza kufanikiwa vizuri bila ya yeye." Alisema Dewji katika taarifa yake hivi karibuni.</strong></span></p>

KAWAIDA

fomu

Mjumbe Mkutano Mkuu wa CCM Manispaa ya Singida, Hasan Mazala akionesha vijana fomu yake ya kuwania ubunge Jimbo la Singida Mjini jana kwenye ukumbi wa mikutano wa CCM Mkoani Singida.

kwa nguvu

Mazala akiwaasa vijana kufanya kazi kwa nguvu katika jimbo hilo.

nimenyooka

Mkinipa nafasi ya kuwatumikia mambo yatanyooka namna hii.

ninao uwezo

tuko imara

Mgombea wa nafasi ya Ubunge Jimbo la Singida Mjini Hassan Philipo Mazala akisistiza jambo kwa vijana waliomsindikiza kuchukua fomu.

pamoja

vijana

Baadhi ya vijana wakiwa katika picha ya pamoja na Hassan Mazala nje ya jengo la makao makuu ya CCM Mkoa wa singida mara baada ya kuchukua fomu.(PICHA ZOTE NA HILLARY SHOO).

Na Hillary Shoo, SINGIDA

MJUMBE wa Mkutano Mkuu wa CCM Taifa (MNEC) Manispaa ya Singida,Hassan Mazala amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Singida Mjini ..

Akizungumza na kundi la Vijana wa CCM kwenye ukumbi mdogo jana, Mazala amesema kuwa amefungua ukurasa mpya wa maisha yake kwa kuwania nafasi hiyo iliyoachwa wazi na Mohammed Dewji aliyestaafu.

'Nimejipima nikaona ninaweza kuvaa viatu vilivyoachwa wazi na Dewji kwani katika kipindi chote alichukuwa Mbunge nilishirikiana nae katika kuyatekeleza yale yote aliyonituma kama msaidizi wake wa karibu." Alisema Mazala.

"Nimekuwa Kiongozi kwa muda mrefu katika ngazi mbalimbali kuanzia kwenye vijiji ,Kata, Wilaya, Mkoa na sasa Taifa, hivyo nina uwezo wa kutosha na nimekomaa  kisiasa katika kufanya kazi hii ya Ubunge bila wasiwasi wowote pale alipoachia Dewji" Alisisitiza.

Aidha alisema anazifahamu changamoto zinazolikabili Jimbo hilo kwani ametembea kona zote na kujionea hali halisi ya wananchi wanavyojishigulisha na shughuli za kijamii.

"Nina Moyo wa dhati kabisa wa kuwatumikia, ninaombeni mnibebe, najua yamesemwa mengi sana juu yangu katika kipindi ambachio nimlikuwa nafanya kazi na MO, lakini yapuuzeni hayo kwani hayana ukuweli wowote ni chuki binafsi tu." Alisema huku akishangiliwa na kundi la vijana linalojiita team Mazala.

Hata hivyo Mazala ambaye ana uwezo mkubwa wa kutawa  jukwaa alisema kamwe hatawaanguisha wananchi wa Jimbo hilo huku akitumia misamiati Zimwi likujualo, Usiache mbachao na mwokoto kuni porini huota moto pamoja.

Akitangaza kutogombea tena Ubunge  mapema Julai 08 mwaka huu mjini Singida Dewji alimsifu Mazala kwa kusema kuwa ni mchapa kazi, mwaminifu, mwadilifu na ana moyo wa kujitolea kwani aliweza kusimamia kazi zake zote bila ya matatizo yoyote.

"Na pia ninapenda kumshukuru kipekee mtu mmoja ambaye bila yeye mafanikio yangu ya kiuongozi niyoyopata hapa Singida yasingeweza kufanikiwa vizuri bila ya yeye." Alisema Dewji katika taarifa yake hivi karibuni.

--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment