Kwenye dunia ya leo jenda siyo hoja, tumekuja kuelewa na kuamin zaidi kuliko pale mwanzo kuwa binadamu ni sawa, kwa hiyo suala la kutoa nafasi sawa kwa wanawake na wanaume liko sahihi, ila tu nafasi kama hizo zisitolewe kwa lengo eti kuweka usawa, kuwe na nia njema ya kufanya hivyo, naamini kabisa hata kusudi lingelikuwa ni lazima kuwa na Spika mwanamke, kuna kinamama wengi tu makini hawakupewa hiyo nafasi na ninaamini wangelifanya kazi bora kuliko kuwa mtu mwenyenafasi nyetu kama hiyo kuwa msemaji wa chama. Je kwa nini binadam ni vigumu kunakili kwa watu wengini?
Sipingani sana na yule mtu anayesema mtu mmoja anaweza akawa chanzo cha kufumua mfumo uliopo, inawezekana kabisa, kwa mfano Rais akijitoa kupambana na walio chini yake wale watakaovunja miiko ya uongozi, anaweza. Anakataa kata kata kugeuzwa kuwa jiwe la chumvi at any cost.
Siyo mtu kuanza uongozi kwa nguvu na kadiri muda unavyopita nguvu zinazidi kufifia na kuwa mtizamaji kama wengine wasiokuwa na mamlka hayo.
On Tuesday, 28 July 2015, 15:36, 'ananilea nkya' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Hapana John,
Mfumo unafumuliwa kwa kuweka misingi, siyo mtu mmoja (Rais). Misingi ya kufumua mfumo Katiba ya Wananchi CCM waliizika pale Dodoma. Tusijidanganye. Tulidanganywa Bunge likiongozwa na mwanamke litakuwa poa kwa wananchi-je ni kweli Bunge lililoongozwa na mwanamke limesaidia wananchi au limewaumiza zaidi?
Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:39 PM
Muhingo
unasema...'Kama
ni mfumo CCM imeonekana kuufumua ndiyo maana ikamtema
Lowasa....' sidhani kama hii ni sahihi. Yaani kwa
kumtema Lowassa ndio imefumua mfumo. Sijui lini wameanza
kuufumua huo mfumo wa ufisadi -past
habits die hard. Kweli tunapoongolea siasa tunaongelea
uendeshaji wa nchi, sio kamari, lakini ni muhimu kuwa na
madiliko makubwa ya kimfumo katika huo uendeshaji. Maana ni
miaka zaidi ya hamsini tumekua na mfumo ambao umezidi
kutuletea umaskini. Kwa hiyo ni wakati sasa wa
kubadilisha. Tuko kwenye vita kwa hiyo si busara kuchagua
silaha kupigana na adui yako. Mimi mtazamo wangu uko zaidi
katika kuleta mabadiliko ya uendeshaji wa nchi. Lakini
kumbuka Lowasa alipokatwa hakuna mtu CCM aliyethubutu kusema
sababu ya kukatwa kwake, lakini pia sikatai anazo kashfa za
ufisadi kama walivyo wanasiasa wengine. Ni 'kashfa'.
Kama lowasa atahamia UKAWA na hao wengine uliowataja na
kama watapokelewa na UKAWA hatujalijua bado. Ila kwa sasa
tumjadili Lowasa kama ni mtu sahihi kwa UKAWA au la. Lakini
lowasa pamoja na kashfa zake bado ni mwanasiasa mwenye mvuto
kwa sasa (ana wafuasi wengi wanaoangalia mazuri yake), na
ndio maana UKAWA wamevutiwa nae wakijua mapungufu yake.
lakini pia tusisahau utendaji wake na uthubutu wake katika
kutenda, sitaki kueleza hapa mfano wa mazuri aliyoyatenda
wengi wanayafahamu. Tuzidi
kutafakari! John
On Tuesday, July 28,
2015 12:48 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:
John.
Unamuongelea Lowasa yupi aliyeutumikia mfumo
mbovu upi wa CCM?
Ninayemuongelea mimi ni
Lowasa aliyekuwa akikusanya pesa za watu akizitoa makanisani
na misikitini. mfumo sawa ulimruhusu. namuongelea Lowasa
ambaye katika kukusanya kura za maoni ameonekana kutoa pesa
kupindukia. namuongelea Lowasa ambaye wapambe wake ambao
lazima ataongozana nao UKAWA ni Chenge, Lostam, Karamagi
na wengine. naongelea Lowasa ambaye kila aliyeona
anavyotumia pesa alizosema anapewa na marafikizake
alijiuliza atawalipaje watu hao ambao hawataendelea
kufuatilia malipo yao CCM bali watamfuata atakakokuwa. UKAWA
inajiandaaje kumsaidia Lowasa kuwatuliza watu hao?
naongelea hayo na mengine yanayofanana nayo na
ndugu John tunapoongelea siasa hatuzungumzii kamali au
mchezo wa mpira. Tunaongelea uendeshaji wa nchi kwa manufaa
ya watu wote.
Kumbuka watanzania walipokuwa
wanajenga imani yao juu ya vyama vya upinzani na UKAWA sasa
hawakuwa wanajenga imani yao juu ya bendera za vyama au
magwanda wanayovaa. Ni ahadi zilizokuwa zinaonyesha
kutambuliwa kwa matatizo yao. naongelea hayo yaliyosemwa na
UKAWA.
Kama ni mfumo CCM imeonekana kuufumua
ndiyo maana ikamtema Lowasa. Watanzania wanataka mabadiliko.
Wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje. S\asa CCM
imefanya kazi kubwa. Imefumua mfumo kwa kuanza kuwatema
akina Lowasa.
Nawaza kuwa huenda
wakayafurahia mabadiliko kwa sababu hawana chuki na CCM
ila mfumo. Mfumo ilioanza kuufumua.
Nisaidie
John kunielewesha zaidi.
--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
TU
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:08 PM
najaribu
kuchangia hoja ya comments za Muhingo na Mollel, kwa
mtazamo
wangu hili halina shida kwenye
siasa. lazima tukubali kwenda
na
mabadiliko. upepo wa siasa ndiko huko unakoelekea, lakini
pia tujifunze na siasa za nchi nyingine.
wakati Kibaki
alipohama KANU Alisingiziwa
ni fisadi lakini akashinda
uraisi, na
tunaona siasa za kenya zilivyobadilika baada ya
changamoto za upinzani. maendeleo pia
yamepatikana. Ugomvi
wa ufisadi nchini sio
wa mtu, ni tatizo la kimfumo. watu
wengi
hamtaki kelewa hili. Kwa hiyo tatizo sio Lowasa tatizo
ni mfumo wa chama alichokuwapo kabla ya
kuingia UKAWA. kama
alikua ni fisadi kwa
nini hadi leo hakuna hatua zozote
zilizochukuliwa dhidi yake? sasa basi kama lowasa
anahamia
UKAWA ataendana na mfumo na sera
za UKAWA ambazo zinagiga
vita ufisadi wa
kimfumo sio wa mtu mojamoja ili kuleta
ustawi kwa watanzania. lengo ni kuleta mabadiliko ya
siasa
nchini kwa hiyo kama lengo la UKAWA
ni kushika dola njia
iliyotumika ni sahihi.
The ends justify the means. Ndugu
Muhingo
inabidi upanue fikra kuendena na hali halisi ya
siasa na kuelewa hasa maana ya
mageuzi.wasalaamJohn
On Tuesday, July 28,
2015 10:31 AM,
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Molel nadhani una
matatizo. Toka tumepata uhuru siasa za
Tanzania zinasema
maadui wetu ni Ujinga,
Maradhi na umaskini. How comes you
are
telling people that in Politics we dont have permanent
enemies. It is America that dont have permnent
friends
though you can not creat enemities
beterrn it and Israel.
usyaly we dont have
enemity with people but their
behaviours.
Hooligans cant change just because they have
changed memberships of political parties
--------------------------------------------
On Mon, 7/27/15, 'Lesian Mollel'
via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] UKAWA SUMU
HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
TU
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, July 27, 2015, 2:16 AM
Elisa muhingo,siasa
hujui
na hutakaa ujue coz unalazimisha
ubongo wako
kwenda
kusikotakiwa mzee,read here
carefully'
in politics we
dont have a
permeernent enemy' elewa bro au niweke
kwa
kiswahiki sanifu....kwenye siasa
hakunaga
uadui wa kudumu
,,,,,,,
Remeber slaa
katoka ccm'sasa
lowasa
kuingia chadema ni shida mzee,kwann asiingie
ilhali
ni mtanzani na hana hatia yeyote
na ana mengi
ambayo anayo
sirini na kibaya zaidi anungwa
na watu wengi ambao nyinyi
hamuwaoni
kabisaaaaa,ila wao wanojua siasa
wanaona'stop
your eneminity bropeace
and love...usije ufe
na dhambi ya
chuki
Lesian
Hosea Ndaki
<hosea.ndaki@gmail.com>
wrote:
Tuwe
na subira, ccm
wameshatangaza wa kwao,
tusubiri na wengine ukawa chadema cuf adc act, na tuone
sera
na ilani ya kila
mmoja, hatuwezi
kufanya maamuzi kwa
mwali
mmoja aliyechezwa
ngoma wakati wengine bado wako kwa
shangazi
na kungwi.
Hatujazijua
sera za ccm na
ilani yao ya
uchaguzi, hivyo
hivyo kwa ukawa na wengine, kipenga
kikishapulizwa na kila mmoja
akaanza kujinadi ndipo
tutafanya maamuzi.
Tukizidisha makelele
tutawachanganya
wazee wetu, tutulie
kwanza.
2015-07-26
22:51
GMT+03:00
'jbifabusha' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mtalika.
Una mapenzi
ya
kupitiliza kwa CCM.
kwani ni lazima UKAWA
kuweka mgombea?
Usituchoshe na
ngonjera
zako.
WSent from Samsung
Mobile
--------
Original message
--------
From: 'mpombe mtalika' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:
To: ELISA
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii]
UKAWA
SUMU HAIONJWI
HATA
SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
Sasa ni karibia wiki ya tatu hivi tangu
chama
tawala
kutangaza
mgombea wake wa
Urais, Mh. John Pombe Magufuli.
Hapo nyuma
UKAWA walisikika wakitamba kuwa wanamsubiri
kwa
umakini mkubwa mgombea wa CCM, ili
wajipange
kumsambaratisha. Baada ya
uteuzi
wa mgombea wa CCM,
UKAWA ni kama
wameingia kizunguzungu na
kigugumizi,
maana
mahesabu yao yamegota vibaya.
Kinachoonejana dhahiri ni kwamba uhai wa
UKAWA
unapewa
uhalali tu
na makosa ya
chama tawala. Chama tawala
kinapo weka mambo
yao safi na kwa
umakini, UKAWA
wanaishiwa
hoja na uhalali wa kisiasa, kwa
vile wao
wenyewe
hawana unifying
ideology, apart from being reactionary!
Tunachoshudia hivi sasa katika UKAWA,
kushindwa vibaya
kukubaliana juu ya
mgombea wao urais ni
kiekelezo tosha kuwa
UKAWA ni utapeli
wa kisiasa kati ya
mambumbumbu wanao wania urais.
Hawajui nni awawakilishe na
hawajui huko wanaenda kufanya
nini.Hii
ni
hatari kubwa!
Watu
wanaonadiwa na mamluki
wa kibiashara inaelekea
watainunua UKAWA
wakati
wowote ule na ni
kwa nia moja tu, kukamata dili zote za
dola
ili wanufaike
kiuchumi. Lakini wananchi makini
wanaendekea
kugutuka.
Tunajua kuwa hata wapinzani ni watanzania
na huko kuna
watu
makini
kitaifa.
Simpigii debe Dr
Skaa
lakini haingii akilini Dr Slaa
kumtangaza Lowassa kuwa
fisadi, halafu kula
matapishi yake bila
maelezo na
kumkaribisha
fisadi huyo
huyo kukipigia debe chama
chao.
Maendeleo ya Tanzania ni kuwa na upinzani
makini utakao
sahihisha kama sio
kupiku chama tawala.Kwa ujinga huu wa
kukumbatia ufisadi
ulio
temwa na chama
tawala, UKAWA
unawakaribisha kina Rosta na
Karamaga and
co.
iliwagawane rasilmali
za nchi hii.
Mungu
bariki, mpaka hivi sasa ndani ya
UKAWA ni mtafaruku wa
kukaribia
kusambaratika kwani
hawajui
wanaenda Ikulu kufanya nini na
kwa
madhumuni gani
kwa
mwananchi wa kawaida.
Sumu haionjwi
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented
responsibly. Your
continued membership
signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to
the
Google
Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented
responsibly. Your
continued membership
signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to
the
Google
Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for
any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer
and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for
any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer
and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the
sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your
continued
membership signifies that you
agree to this disclaimer and
pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Mfumo unafumuliwa kwa kuweka misingi, siyo mtu mmoja (Rais). Misingi ya kufumua mfumo Katiba ya Wananchi CCM waliizika pale Dodoma. Tusijidanganye. Tulidanganywa Bunge likiongozwa na mwanamke litakuwa poa kwa wananchi-je ni kweli Bunge lililoongozwa na mwanamke limesaidia wananchi au limewaumiza zaidi?
Ananilea Nkya
E-mail:ananilea_nkya@yahoo.com
--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:39 PM
Muhingo
unasema...'Kama
ni mfumo CCM imeonekana kuufumua ndiyo maana ikamtema
Lowasa....' sidhani kama hii ni sahihi. Yaani kwa
kumtema Lowassa ndio imefumua mfumo. Sijui lini wameanza
kuufumua huo mfumo wa ufisadi -past
habits die hard. Kweli tunapoongolea siasa tunaongelea
uendeshaji wa nchi, sio kamari, lakini ni muhimu kuwa na
madiliko makubwa ya kimfumo katika huo uendeshaji. Maana ni
miaka zaidi ya hamsini tumekua na mfumo ambao umezidi
kutuletea umaskini. Kwa hiyo ni wakati sasa wa
kubadilisha. Tuko kwenye vita kwa hiyo si busara kuchagua
silaha kupigana na adui yako. Mimi mtazamo wangu uko zaidi
katika kuleta mabadiliko ya uendeshaji wa nchi. Lakini
kumbuka Lowasa alipokatwa hakuna mtu CCM aliyethubutu kusema
sababu ya kukatwa kwake, lakini pia sikatai anazo kashfa za
ufisadi kama walivyo wanasiasa wengine. Ni 'kashfa'.
Kama lowasa atahamia UKAWA na hao wengine uliowataja na
kama watapokelewa na UKAWA hatujalijua bado. Ila kwa sasa
tumjadili Lowasa kama ni mtu sahihi kwa UKAWA au la. Lakini
lowasa pamoja na kashfa zake bado ni mwanasiasa mwenye mvuto
kwa sasa (ana wafuasi wengi wanaoangalia mazuri yake), na
ndio maana UKAWA wamevutiwa nae wakijua mapungufu yake.
lakini pia tusisahau utendaji wake na uthubutu wake katika
kutenda, sitaki kueleza hapa mfano wa mazuri aliyoyatenda
wengi wanayafahamu. Tuzidi
kutafakari! John
On Tuesday, July 28,
2015 12:48 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com> wrote:
John.
Unamuongelea Lowasa yupi aliyeutumikia mfumo
mbovu upi wa CCM?
Ninayemuongelea mimi ni
Lowasa aliyekuwa akikusanya pesa za watu akizitoa makanisani
na misikitini. mfumo sawa ulimruhusu. namuongelea Lowasa
ambaye katika kukusanya kura za maoni ameonekana kutoa pesa
kupindukia. namuongelea Lowasa ambaye wapambe wake ambao
lazima ataongozana nao UKAWA ni Chenge, Lostam, Karamagi
na wengine. naongelea Lowasa ambaye kila aliyeona
anavyotumia pesa alizosema anapewa na marafikizake
alijiuliza atawalipaje watu hao ambao hawataendelea
kufuatilia malipo yao CCM bali watamfuata atakakokuwa. UKAWA
inajiandaaje kumsaidia Lowasa kuwatuliza watu hao?
naongelea hayo na mengine yanayofanana nayo na
ndugu John tunapoongelea siasa hatuzungumzii kamali au
mchezo wa mpira. Tunaongelea uendeshaji wa nchi kwa manufaa
ya watu wote.
Kumbuka watanzania walipokuwa
wanajenga imani yao juu ya vyama vya upinzani na UKAWA sasa
hawakuwa wanajenga imani yao juu ya bendera za vyama au
magwanda wanayovaa. Ni ahadi zilizokuwa zinaonyesha
kutambuliwa kwa matatizo yao. naongelea hayo yaliyosemwa na
UKAWA.
Kama ni mfumo CCM imeonekana kuufumua
ndiyo maana ikamtema Lowasa. Watanzania wanataka mabadiliko.
Wakiyakosa ndani ya CCM watayapata nje. S\asa CCM
imefanya kazi kubwa. Imefumua mfumo kwa kuanza kuwatema
akina Lowasa.
Nawaza kuwa huenda
wakayafurahia mabadiliko kwa sababu hawana chuki na CCM
ila mfumo. Mfumo ilioanza kuufumua.
Nisaidie
John kunielewesha zaidi.
--------------------------------------------
On Tue, 7/28/15, 'john msinde' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] UKAWA SUMU HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
TU
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, July 28, 2015, 12:08 PM
najaribu
kuchangia hoja ya comments za Muhingo na Mollel, kwa
mtazamo
wangu hili halina shida kwenye
siasa. lazima tukubali kwenda
na
mabadiliko. upepo wa siasa ndiko huko unakoelekea, lakini
pia tujifunze na siasa za nchi nyingine.
wakati Kibaki
alipohama KANU Alisingiziwa
ni fisadi lakini akashinda
uraisi, na
tunaona siasa za kenya zilivyobadilika baada ya
changamoto za upinzani. maendeleo pia
yamepatikana. Ugomvi
wa ufisadi nchini sio
wa mtu, ni tatizo la kimfumo. watu
wengi
hamtaki kelewa hili. Kwa hiyo tatizo sio Lowasa tatizo
ni mfumo wa chama alichokuwapo kabla ya
kuingia UKAWA. kama
alikua ni fisadi kwa
nini hadi leo hakuna hatua zozote
zilizochukuliwa dhidi yake? sasa basi kama lowasa
anahamia
UKAWA ataendana na mfumo na sera
za UKAWA ambazo zinagiga
vita ufisadi wa
kimfumo sio wa mtu mojamoja ili kuleta
ustawi kwa watanzania. lengo ni kuleta mabadiliko ya
siasa
nchini kwa hiyo kama lengo la UKAWA
ni kushika dola njia
iliyotumika ni sahihi.
The ends justify the means. Ndugu
Muhingo
inabidi upanue fikra kuendena na hali halisi ya
siasa na kuelewa hasa maana ya
mageuzi.wasalaamJohn
On Tuesday, July 28,
2015 10:31 AM,
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Molel nadhani una
matatizo. Toka tumepata uhuru siasa za
Tanzania zinasema
maadui wetu ni Ujinga,
Maradhi na umaskini. How comes you
are
telling people that in Politics we dont have permanent
enemies. It is America that dont have permnent
friends
though you can not creat enemities
beterrn it and Israel.
usyaly we dont have
enemity with people but their
behaviours.
Hooligans cant change just because they have
changed memberships of political parties
--------------------------------------------
On Mon, 7/27/15, 'Lesian Mollel'
via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Subject: Re:
[wanabidii] UKAWA SUMU
HAIONJWI HATA SIKU, UKIONJA UTAKUFA
TU
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, July 27, 2015, 2:16 AM
Elisa muhingo,siasa
hujui
na hutakaa ujue coz unalazimisha
ubongo wako
kwenda
kusikotakiwa mzee,read here
carefully'
in politics we
dont have a
permeernent enemy' elewa bro au niweke
kwa
kiswahiki sanifu....kwenye siasa
hakunaga
uadui wa kudumu
,,,,,,,
Remeber slaa
katoka ccm'sasa
lowasa
kuingia chadema ni shida mzee,kwann asiingie
ilhali
ni mtanzani na hana hatia yeyote
na ana mengi
ambayo anayo
sirini na kibaya zaidi anungwa
na watu wengi ambao nyinyi
hamuwaoni
kabisaaaaa,ila wao wanojua siasa
wanaona'stop
your eneminity bropeace
and love...usije ufe
na dhambi ya
chuki
Lesian
Hosea Ndaki
<hosea.ndaki@gmail.com>
wrote:
Tuwe
na subira, ccm
wameshatangaza wa kwao,
tusubiri na wengine ukawa chadema cuf adc act, na tuone
sera
na ilani ya kila
mmoja, hatuwezi
kufanya maamuzi kwa
mwali
mmoja aliyechezwa
ngoma wakati wengine bado wako kwa
shangazi
na kungwi.
Hatujazijua
sera za ccm na
ilani yao ya
uchaguzi, hivyo
hivyo kwa ukawa na wengine, kipenga
kikishapulizwa na kila mmoja
akaanza kujinadi ndipo
tutafanya maamuzi.
Tukizidisha makelele
tutawachanganya
wazee wetu, tutulie
kwanza.
2015-07-26
22:51
GMT+03:00
'jbifabusha' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mtalika.
Una mapenzi
ya
kupitiliza kwa CCM.
kwani ni lazima UKAWA
kuweka mgombea?
Usituchoshe na
ngonjera
zako.
WSent from Samsung
Mobile
--------
Original message
--------
From: 'mpombe mtalika' via
Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Date:
To: ELISA
MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: [wanabidii]
UKAWA
SUMU HAIONJWI
HATA
SIKU, UKIONJA UTAKUFA TU
Sasa ni karibia wiki ya tatu hivi tangu
chama
tawala
kutangaza
mgombea wake wa
Urais, Mh. John Pombe Magufuli.
Hapo nyuma
UKAWA walisikika wakitamba kuwa wanamsubiri
kwa
umakini mkubwa mgombea wa CCM, ili
wajipange
kumsambaratisha. Baada ya
uteuzi
wa mgombea wa CCM,
UKAWA ni kama
wameingia kizunguzungu na
kigugumizi,
maana
mahesabu yao yamegota vibaya.
Kinachoonejana dhahiri ni kwamba uhai wa
UKAWA
unapewa
uhalali tu
na makosa ya
chama tawala. Chama tawala
kinapo weka mambo
yao safi na kwa
umakini, UKAWA
wanaishiwa
hoja na uhalali wa kisiasa, kwa
vile wao
wenyewe
hawana unifying
ideology, apart from being reactionary!
Tunachoshudia hivi sasa katika UKAWA,
kushindwa vibaya
kukubaliana juu ya
mgombea wao urais ni
kiekelezo tosha kuwa
UKAWA ni utapeli
wa kisiasa kati ya
mambumbumbu wanao wania urais.
Hawajui nni awawakilishe na
hawajui huko wanaenda kufanya
nini.Hii
ni
hatari kubwa!
Watu
wanaonadiwa na mamluki
wa kibiashara inaelekea
watainunua UKAWA
wakati
wowote ule na ni
kwa nia moja tu, kukamata dili zote za
dola
ili wanufaike
kiuchumi. Lakini wananchi makini
wanaendekea
kugutuka.
Tunajua kuwa hata wapinzani ni watanzania
na huko kuna
watu
makini
kitaifa.
Simpigii debe Dr
Skaa
lakini haingii akilini Dr Slaa
kumtangaza Lowassa kuwa
fisadi, halafu kula
matapishi yake bila
maelezo na
kumkaribisha
fisadi huyo
huyo kukipigia debe chama
chao.
Maendeleo ya Tanzania ni kuwa na upinzani
makini utakao
sahihisha kama sio
kupiku chama tawala.Kwa ujinga huu wa
kukumbatia ufisadi
ulio
temwa na chama
tawala, UKAWA
unawakaribisha kina Rosta na
Karamaga and
co.
iliwagawane rasilmali
za nchi hii.
Mungu
bariki, mpaka hivi sasa ndani ya
UKAWA ni mtafaruku wa
kukaribia
kusambaratika kwani
hawajui
wanaenda Ikulu kufanya nini na
kwa
madhumuni gani
kwa
mwananchi wa kawaida.
Sumu haionjwi
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented
responsibly. Your
continued membership
signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to
the
Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this
Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented
responsibly. Your
continued membership
signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are
subscribed to
the
Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for
any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer
and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the
sole
responsibility
for
any legal consequences
of his or her
postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you
agree
to this
disclaimer
and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this
message because you are subscribed to
the
Google Groups
"Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options,
visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email
kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the
sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your
continued
membership signifies that you
agree to this disclaimer and
pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop
receiving emails from it, send an
email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences
of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree
to this
disclaimer and pledge to abide by
our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii"
group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send
Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to
this Forum bears the sole responsibility for any legal
consequences of his or her postings, and hence statements
and facts must be presented responsibly. Your continued
membership signifies that you agree to this disclaimer and
pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message
because you are subscribed to the Google Groups
"Wanabidii" group.
To unsubscribe
from this group and stop receiving emails from it, send an
email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment