Saturday 28 July 2012

RE: [wanabidii] IDARA YA USALAMA WA TAIFA YAKANUSHA KUMTESA DR ULIMBOKA STEVEN

Wamechemsha


Date: Fri, 27 Jul 2012 11:48:21 +0300
Subject: Re: [wanabidii] IDARA YA USALAMA WA TAIFA YAKANUSHA KUMTESA DR ULIMBOKA STEVEN
From: magessabm@gmail.com
To: wanabidii@googlegroups.com

nosense!

2012/7/27 Damian Gabagambi <gabagambi2005@yahoo.com>
No substance.
 
Regards,

Damian M. Gabagambi, PhD.
Senior Lecturer
Sokoine University of Agriculture
Department of Agricultural Economics & Agribusiness
P. O. Box 3007
Chuo Kikuu
Morogoro-Tanzania


Tel: +255 23 260 3411-4 Ext. 4268
Cel: +255 754501541/655501541/786 830730
Fax: +255 23 260 1390
Email: gabagambi2005@yahoo.com; gabagambi@suanet.ac.tz


From: Henry Kaisi <henry.kaisi@gmail.com>
To: Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Sent: Friday, July 27, 2012 11:22 AM
Subject: [wanabidii] IDARA YA USALAMA WA TAIFA YAKANUSHA KUMTESA DR ULIMBOKA STEVEN

Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza taarifa zenye tuhuma kadhaa
dhidi ya Idara ya Usalama wa Taifa. Taarifa hizo zimekuwa zikitolewa
kwenye vyombo vya habari zikiihusisha Idara hii na matukio ambayo
yanaidhalilisha na kuzua maswali mengi kwa wananchi. Kati ya tuhuma
hizo ni tukio la kutekwa kwa Dr. STEPHEN ULIMBOKA, Mwenyekiti wa
Jumuiya ya Madaktari na madai ya kufanywa kwa mipango ya kuwadhuru
baadhi ya Viongozi wa Vyama vya Upinzani. Gazeti moja la kila wiki
limekuwa likurudia tuhuma hizo mara kwa mara kwa madai kwamba ni
habari za uchunguzi na kuihusisha Idara.

Idara inataka kuwahakikishia wananchi kwamba taarifa hizo ni zaUZUSHI
NA UONGO ambazo zina nia ya kuharibu jina na sifa ya Idara. Taarifa
hizo zimekuwa zikiunganishaunganisha vipande vya taarifa mbalimbali
ili kukidhi malengo yaliyokusudiwa na wanaolitumiagazeti hilo. Idara
haikuhusika wala haihusiki na matukio yoyote yaliyotajwa katika tuhuma
hizo. Hivyo tunawaomba wananchi wazipuuze taarifa hizo.

Matukio yaliyotajwa katika tuhuma hizo yanachunguzwa na Jeshi la
Polisi ambacho ndicho Chombo Chenye Dhamana, na kwa Maslahi ya Taifa
si vizuri kuachia upotoshaji huo uendelee.



Aidha, tunapenda kuwahakikishia Watanzania kuwa uzushi na tuhuma
zinazotolewa dhidi ya Idara hazitatuvunja moyo bali zitatuunganisha na
hivyo kutuimarisha katika azma yetu ya kuhakikisha nchi yetu
inaendelea kubaki salama kwa kushirikiana na wanachi na Vyombo vingine
vya Ulinzi na Usalama.



Imetolewa na Idara ya Usalama wa Taifa,

Makao Makuu,

DAR ES SALAAM

26 Julai, 2012.

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.





--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 



--

Sent from Samsung Galaxy Ace GT-S 5830 --The future of Android Technology


--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment