Saturday 30 November 2013

[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Kitila huo ndio unapaswa kuwa msimamo sahihi sio ohh wakenya watatupora ardhi au ajira zetu. 

On Sunday, December 1, 2013, kitila mkumbo wrote:
Hii inatia moyo sana. Tunaweza. Tatizo kuna viongozi ambao wanatia watu unyonge bila sababu zozote. Hatuna sababu kuogopa Jumuiya yetu ya Afrika Masharika. Watu wetu wana uwezo kabisa wa kushindana wakipewa mtizamo sahihi.

Kitila
 



From: matinyi <matinyi@hotmail.com>
To: wanabidii@googlegroups.com; mabadilikotanzania@googlegroups.com
Sent: Saturday, November 30, 2013 7:31 PM
Subject: [Mabadiliko] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.
--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Unapokea Email hizi kwa sababu umejiunga na Jukwaa la 'Mabadiliko'.
Kuchangia mada tuma kwenye Email hii: mabadilikotanzania@googlegroups.com
 
MUHIMU KWA WANACHAMA WOTE: Jukwaa hili litafungwa hivi karibuni hivyo hii ni taarifa ya Mwisho kwako kuhakikisha unajisajili www.mabadiliko.com
 
For more options, visit this group at:
http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania?hl=en?hl=en
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Mabadiliko Forum" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to mabadilikotanzania+unsubscribe@googlegroups.com.
To post to this group, send email to mabadilikotanzania@googlegroups.com.
Visit this group at http://groups.google.com/group/mabadilikotanzania.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "[wanabidii] Re: [Mabadiliko] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Man gets 10 years for sleeping with a Goat !!!!

You are vegetarian. Good for your health keep it up.
Indeed you can't sleep with goat.

On Dec 1, 2013 7:37 AM, "denis Matanda" <denis.matanda@gmail.com> wrote:

Kama unavyosema Maurice ni ujinga mtupu na ukosefu wa matumizi ya common sense. Siungi mkono vitendo vya kikatili dhidi ya wanyama na hiyo inahusisha kuwachinja!

Fikiria ulimwengu ambao wanyama wataishi kwa amani bila hofu ya kuingiliwa au kuchinjwa na binadamu! Tukiweka ushabiki pembeni kipi kibaya kati ya kumuingilia kiumbe yeyote na kumuua kikatili kwa kutenganisha kichwa na mwili?
UKwangu jibu liko wazi.....,

On Nov 29, 2013 7:34 PM, "Maurice Oduor" <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Now this is the kind of news that embarrasses me about our judicial system. A man who sleeps with a goat does not belong in prison. That is a sick man who needs psychiatric treatment; or at best, a woman. Spending hundreds of thousands of shillings on this guy over a 10-yr period is a waste of taxpayers' money, not to mention the possibility that he probably has a wife and children to look after who will now be condemned to artificial poverty. Mtume !!!

That aside; what prompts a grown man to choose to sleep with a goat?  Is it curiosity, lack of a woman or just as I theorize, a mental illness? In this case, the man says he had a disabled wife. could it be that she could not make love to him and instead of cheating on her he chose to do a goat? I hope his appeal makes a difference.
What about the guy who went to relive himself in the bushes and caught this guy? Why can't he be charged with polluting the environment?

http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000098975&story_title=court-hands-man-ten-years-in-jail-for-sleeping-with-goat

Court hands man ten years for sleeping with goat
Updated Friday, November 29th 2013 at 15:18 GMT +3 0

By Paul Gitau. MALINDI, KENYA:
There was shock and drama at a Malindi court when a magistrate sentenced a middle aged man to ten years in jail after he admitted having sex with a goat.

Members of pubic inside the court room were shocked when the charges were read against Katana Kitsao Gona only for him to admit he committed the offence.

Present in the court was a she goat that the accused was said to have had carnal knowledge of.
Gona was sentenced to serve ten years in prison by the Malindi Resident Magistrate Mrs Muthoni Nzibe.

The accused had been charged that on 25th November 2013 at Dabaso village in Gede location within Malindi district in Kilifi county he had carnal knowledge of a goat.

Prosecuting Chief Inspector Jimmy Kema told the court that on the material day a man had gone to relieve himself in a bush when he saw some clothes hanging on a tree.
Inspector Kema said upon further search to establish the owner of the clothes he spotted the accused having sex with the goat. The witness left and alerted the owner of the goat together with the villagers they later cornered Gona in the act. He was nabbed and handed over to police officers at the Watamu police station.

 Also presented in court was a report from District veterinary officer who indicated that after examining the goat they discovered fluid mucus on the virginal opening of the goat and blood was also oozing from its vulva.

In Mitigation the accused pleaded for pardon saying he had a disabled wife who depended on him.

However the magistrate noted that the offence was serious and sentenced him to serve ten years in prison. He was given fourteen days to appeal.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Man gets 10 years for sleeping with a Goat !!!!"

Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Ama hakika,  hizi ni habari njema mno. Pongezi nyingi sana kwake kijana. 

 

T-Mobile. America's First Nationwide 4G Network.

------ Original message ------
From: matinyi
Date: 30/11/2013 19:51
To: wanabidii@googlegroups.com;mabadilikotanzania@googlegroups.com;
Subject:[wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.

 

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Man gets 10 years for sleeping with a Goat !!!!

No! A man can not "sleep" with a goat!


On 29 November 2013 22:34, Maurice Oduor <mauricejoduor@gmail.com> wrote:
Now this is the kind of news that embarrasses me about our judicial system. A man who sleeps with a goat does not belong in prison. That is a sick man who needs psychiatric treatment; or at best, a woman. Spending hundreds of thousands of shillings on this guy over a 10-yr period is a waste of taxpayers' money, not to mention the possibility that he probably has a wife and children to look after who will now be condemned to artificial poverty. Mtume !!!

That aside; what prompts a grown man to choose to sleep with a goat?  Is it curiosity, lack of a woman or just as I theorize, a mental illness? In this case, the man says he had a disabled wife. could it be that she could not make love to him and instead of cheating on her he chose to do a goat? I hope his appeal makes a difference.
What about the guy who went to relive himself in the bushes and caught this guy? Why can't he be charged with polluting the environment?

http://www.standardmedia.co.ke/?articleID=2000098975&story_title=court-hands-man-ten-years-in-jail-for-sleeping-with-goat

Court hands man ten years for sleeping with goat
Updated Friday, November 29th 2013 at 15:18 GMT +3 0

By Paul Gitau. MALINDI, KENYA:
There was shock and drama at a Malindi court when a magistrate sentenced a middle aged man to ten years in jail after he admitted having sex with a goat.

Members of pubic inside the court room were shocked when the charges were read against Katana Kitsao Gona only for him to admit he committed the offence.

Present in the court was a she goat that the accused was said to have had carnal knowledge of.
Gona was sentenced to serve ten years in prison by the Malindi Resident Magistrate Mrs Muthoni Nzibe.

The accused had been charged that on 25th November 2013 at Dabaso village in Gede location within Malindi district in Kilifi county he had carnal knowledge of a goat.

Prosecuting Chief Inspector Jimmy Kema told the court that on the material day a man had gone to relieve himself in a bush when he saw some clothes hanging on a tree.
Inspector Kema said upon further search to establish the owner of the clothes he spotted the accused having sex with the goat. The witness left and alerted the owner of the goat together with the villagers they later cornered Gona in the act. He was nabbed and handed over to police officers at the Watamu police station.

 Also presented in court was a report from District veterinary officer who indicated that after examining the goat they discovered fluid mucus on the virginal opening of the goat and blood was also oozing from its vulva.

In Mitigation the accused pleaded for pardon saying he had a disabled wife who depended on him.

However the magistrate noted that the offence was serious and sentenced him to serve ten years in prison. He was given fourteen days to appeal.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Man gets 10 years for sleeping with a Goat !!!!"

Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Walio wengi wanakatishwa tamaa na mazingira ikiwa ni pamoja na jamaa na jamii inayowazunguka

On Nov 30, 2013 9:07 PM, "Phares Magesa" <magesa@tanzaniaports.com> wrote:
Nachukua nafasi hii kumpongeza sana kijana Peter kwa ushindi huo mzuri na wa kujivunia.

Pia nawapongeza wazazi, walimu na walezi wa Peter kwa malezi mazuri ya kijana huyo.

Penye nia siku zote pana njia, watanzania tujenge tabia ya kuthubutu na kushiriki katika mambo mbalimbali makubwa hususani ya kimataifa ili kuongeza nafasi ya nchi yetu kujitangaza nje ya mipaka yetu.

Wapo watanzania wachache huwa wanajitokeza kushiriki katika mambo ya kimataifa yenye ushindani na ni wachache zaidi huwa wanafanikiwa, tuna haja ya kuhamasishana ili tushiriki zaidi hususani katika nyanja za kitaaluma, kazi, biashara, burudani na michezo.

Na wachache ambao hujitokeza baadhi badala ya kuwapongeza na kuwatia moyo mara nyingine tunawabeza pale wanaposhindwa au wanapoteleza kidogo, tuwe chanya zaidi, tushirikiane, tutiane Moyo na tutafanikiwa zaidi.

Mungu Mbariki Peter afanikiwe zaidi,
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika Mashariki,
Mungu ibariki Afrika.

Phares Magesa.


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: matinyi <matinyi@hotmail.com>
Date: Sat, 30 Nov 2013 19:31:28 +0300
Subject: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Hizi ni habari njema kwa Watanzania

Rgrds
Magora

On Nov 30, 2013 9:07 PM, "Phares Magesa" <magesa@tanzaniaports.com> wrote:
Nachukua nafasi hii kumpongeza sana kijana Peter kwa ushindi huo mzuri na wa kujivunia.

Pia nawapongeza wazazi, walimu na walezi wa Peter kwa malezi mazuri ya kijana huyo.

Penye nia siku zote pana njia, watanzania tujenge tabia ya kuthubutu na kushiriki katika mambo mbalimbali makubwa hususani ya kimataifa ili kuongeza nafasi ya nchi yetu kujitangaza nje ya mipaka yetu.

Wapo watanzania wachache huwa wanajitokeza kushiriki katika mambo ya kimataifa yenye ushindani na ni wachache zaidi huwa wanafanikiwa, tuna haja ya kuhamasishana ili tushiriki zaidi hususani katika nyanja za kitaaluma, kazi, biashara, burudani na michezo.

Na wachache ambao hujitokeza baadhi badala ya kuwapongeza na kuwatia moyo mara nyingine tunawabeza pale wanaposhindwa au wanapoteleza kidogo, tuwe chanya zaidi, tushirikiane, tutiane Moyo na tutafanikiwa zaidi.

Mungu Mbariki Peter afanikiwe zaidi,
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika Mashariki,
Mungu ibariki Afrika.

Phares Magesa.


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: matinyi <matinyi@hotmail.com>
Date: Sat, 30 Nov 2013 19:31:28 +0300
Subject: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa

CHAMBUENI KAMA KARANGA ILI TUPATE MAWAZI WATAKAO SAINI MIKATABA MIZURI 2015

On 30/11/2013, Vincent Mhangwa <vmhangwa@gmail.com> wrote:
> CHADEMA, toeni taka ili mchele ubaki pekee tayari kwa mapishi 2015. Ni
> afadhali mfike 2 wa ukweli.
>
>
> 2013/11/30 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>
>
>> Heko Golugwa
>> On Nov 30, 2013 6:50 PM, "Magiri paul" <kiganyi@gmail.com> wrote:
>>
>>> Amani haitarudi ila kwa makali ya upanga.
>>>
>>> Magiri.
>>>
>>> Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.
>>> On Nov 30, 2013 6:44 PM, "MABADILIKO CHADEMA" <
>>> mabadilikochadema@gmail.com> wrote:
>>>
>>>> TAARIFA KWA UMMA
>>>>
>>>> Kwa niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha
>>>> umma wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji
>>>> Amani
>>>> Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya
>>>> ya
>>>> monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito za uvunjifu
>>>> wa
>>>> kanuni za maadili ya chama.
>>>>
>>>> Hatua hii imefikiwa baada ya kuthibitika na yeyé mwenyewe kukiri mbele
>>>> ya kikao cha kamati tendaji ya wilaya ya monduli kilichoketi tarehe 29
>>>> Novemba 2913 saa NNE asubuhi kuwa alitoa tamko batili akitumia wadhifa
>>>> wa
>>>> mwenyekiti wa wilaya bila ridhaa ya kamati tendaji na huku akidanganya
>>>> kuwa
>>>> ni tamko kwa niaba ya wilaya ya monduli.
>>>>
>>>> Katika tamko lake ametoa tuhuma dhidi ya wajumbe wa kamati kuu na
>>>> viongozi wakuu wa kitaifa kwa maamuzi halali ya kikao cha kamati kuu
>>>> huku
>>>> akijua kuwa anavunja kanuni za chama kwa mujibu wa katiba ya chama toleo
>>>> la
>>>> mwaka 2006 ya Kanuni za uendeshaji kazi za chama, sura ya KUMI, ibara ya
>>>> 10
>>>> (X) "Kiongozi asitoe tuhuma zozote juu ya viongozi wenzake pasipo
>>>> kupitia
>>>> vikao halali na kuzingatia taratibu na ngazi zilizoelezwa kwenye kanuni
>>>> za
>>>> chama".
>>>>
>>>> Sambamba na hilo, Mchungaji Amani Silanga ametoa tuhuma za uzushi,
>>>> uongo
>>>> na upotoshaji na kutaka kuaminisha jamii kuwa chadema ina makundi ya
>>>> CHADEMA Asili na CHADEMA Family kitu ambacho ni upotoshaji mkubwa na wa
>>>> hatari kwa ustawi na umoja wa chama na kinyume na kanuni za uendeshaji
>>>> kazi
>>>> za chama, sura ya KUMI, ibara ya 10 (VII), "Kiongozi anatakiwa kuwa
>>>> mkweli
>>>> na muwazi wakati wote hususani katika vikao halali na aachane na
>>>> vikundi
>>>> vya majungu, wadanganyifu (Rumour Mongers).
>>>>
>>>> Ni mwiko kwa kiongozi kujihusisha na upotoshaji wa maamuzi wa vikao
>>>> halali". Kamati tendaji ya wilaya ilipomtaka aonyeshe CHADEMA asili ni
>>>> kina
>>>> nani na CHADEMA family ni kina nani alishindwa kutoa maelezo yoyote ya
>>>> maana na kufikia hatua ya kutaka kuvuruga kikao kwa kuleta vijana
>>>> wahuni
>>>> wapatao 17 ndani ya kikao ambao wengi walijulikana kuwa sio
>>>> WANACHADEMA.
>>>>
>>>> Katika utambulisho wake wa majigambo Mchungaji Amani SIlanga kwa
>>>> kiburi
>>>> na kejeli amejitambulisha na kukiri kuwa yeye yupo kambi ya Zito Kabwe
>>>> na
>>>> hakuna wa kumfanya kitu maana ni mjumbe wa baraza kuu la chama. Maneno
>>>> yake
>>>> yalidhihirisha kuwa Mchungaji Amani Silanga anashiriki mpango wa kuunda
>>>> makundi yasiyo na tija ndani ya chama na hivyo kuwa kinyume na sura
>>>> hiyo
>>>> hiyo ya kumi ya kanuni za uendeshaji kazi za chama ibara ya 10 (IX),
>>>> "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi au vitendo vya
>>>> kuchonganisha
>>>> au kuzua migogoro ndani ya uongozi wa chama au wanachama wake".
>>>>
>>>> AZIMIO LA BARAZA LA UONGOZI LA MKOA WA ARUSHA:
>>>>
>>>> Baraza la uongozi la mkoa lililoketi tarehe 29 Novemba 2013, limepokea
>>>> mapendekezo ya kamati tendaji ya wilaya na kuzingatia hofu kubwa
>>>> iliyoainishwa na kamati tendaji kufuatia matendo mengi yanayotia shaka
>>>> ya
>>>> uadilifu na uwezo wa kiuongozi wa Mchungaji Amani Silanga na hivyo
>>>> baraza
>>>> la uongozi la mkoa limeridhia kuwa amevunja kanuni za maadili ya chama
>>>> sura
>>>> ya KUMI ibara ya (VII) hadi (XII) na hivyo kupelekea ukomo wa yeye kuwa
>>>> Mwenyekiti wa wilaya kuanzia tarehe 29 Novemba 2013. Baraza la mkoa
>>>> likiwa
>>>> mamlaka ya nidhamu kwa mujibu wa katiba ibara ya 6.3.6 (a) (iv)
>>>> limemjulisha tuhuma zake na hatua hii stahiki iliyochukuliwa.
>>>>
>>>> Kwa vile Mchungaji Amani Silanga alikiri kosa hili mbele ya kamati
>>>> tendaji ya wilaya bila kulijutia au kuomba msamaha, baraza la mkoa
>>>> limechukua hatua hii stahiki kwa maslahi ya chama na kuwa uchunguzi
>>>> zaidi
>>>> utafanyika ili kufikia maamuzi makubwa zaidi ya tuhuma nyingi kwa mujibu
>>>> wa
>>>> kanuni za hatua za kinidhamu.
>>>>
>>>> Baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, linatoa onyo kwa wote ambao wapo
>>>> katika mtandao huu mchafu, ama watoke wenyewe mapema maana
>>>> hawatavumiliwa
>>>> kamwe. Baraza la uongozi wa mkoa liliona kuwa Mchungaji Silanga
>>>> amepotoka
>>>> na hivyo yeyé kuendelea kuwepo ndani ya chama wakati wa uchunguzi wa
>>>> tuhuma
>>>> hizi nzito dhidi yake ni hatari zaidi kwa ustawi wa chama na hivyo
>>>> baraza
>>>> likaridhia kwa kuzingatia tafsiri ya katiba ya chama ibara ya 6.3.4 (c)
>>>> wa
>>>> yeyé kukoma uongozi na hivyo akae nje kwa muda na waliopotoka wenzake.
>>>>
>>>>
>>>> Amani Golugwa
>>>> Katibu wa CHADEMA – Mkoa wa Arusha.
>>>> (Kwa niaba ya Baraza la Uongozi la Mkoa wa Arusha)
>>>> Tarehe 30 Novemba 2013
>>>>
>>>> --
>>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>>
>>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>>>> ukishatuma
>>>>
>>>> Disclaimer:
>>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>>> legal consequences of his or her postings, and hence statements and
>>>> facts
>>>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that
>>>> you
>>>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>>>> Guidelines.
>>>> ---
>>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>>> Groups "Wanabidii" group.
>>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>>>> an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>>
>>> --
>>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>>
>>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>>> ukishatuma
>>>
>>> Disclaimer:
>>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>>> legal consequences of his or her postings, and hence statements and
>>> facts
>>> must be presented responsibly. Your continued membership signifies that
>>> you
>>> agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and
>>> Guidelines.
>>> ---
>>> You received this message because you are subscribed to the Google
>>> Groups
>>> "Wanabidii" group.
>>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send
>>> an
>>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>>
>> --
>> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>>
>> Kujiondoa Tuma Email kwenda
>> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
>> ukishatuma
>>
>> Disclaimer:
>> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any
>> legal
>> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must
>> be
>> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree
>> to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
>> ---
>> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
>> "Wanabidii" group.
>> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
>> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
>> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>>
>
> --
> Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
>
> Kujiondoa Tuma Email kwenda
> wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
> ukishatuma
>
> Disclaimer:
> Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal
> consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be
> presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to
> this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
> ---
> You received this message because you are subscribed to the Google Groups
> "Wanabidii" group.
> To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an
> email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
> For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa"

Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Nachukua nafasi hii kumpongeza sana kijana Peter kwa ushindi huo mzuri na wa kujivunia.

Pia nawapongeza wazazi, walimu na walezi wa Peter kwa malezi mazuri ya kijana huyo.

Penye nia siku zote pana njia, watanzania tujenge tabia ya kuthubutu na kushiriki katika mambo mbalimbali makubwa hususani ya kimataifa ili kuongeza nafasi ya nchi yetu kujitangaza nje ya mipaka yetu.

Wapo watanzania wachache huwa wanajitokeza kushiriki katika mambo ya kimataifa yenye ushindani na ni wachache zaidi huwa wanafanikiwa, tuna haja ya kuhamasishana ili tushiriki zaidi hususani katika nyanja za kitaaluma, kazi, biashara, burudani na michezo.

Na wachache ambao hujitokeza baadhi badala ya kuwapongeza na kuwatia moyo mara nyingine tunawabeza pale wanaposhindwa au wanapoteleza kidogo, tuwe chanya zaidi, tushirikiane, tutiane Moyo na tutafanikiwa zaidi.

Mungu Mbariki Peter afanikiwe zaidi,
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika Mashariki,
Mungu ibariki Afrika.

Phares Magesa.


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: matinyi <matinyi@hotmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 30 Nov 2013 19:31:28 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>; <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Nachukua nafasi hii kumpongeza sana kijana Robert kwa ushindi huo mzuri na wa kujivunia.

Pia nawapongeza wazazi, walimu na walezi wa Robert kwa malezi mazuri ya kijana huyo.

Penye nia siku zote pana njia, watanzania tujenge tabia ya kuthubutu na kushiriki katika mambo mbalimbali makubwa hususani ya kimataifa ili kuongeza nafasi ya nchi yetu kujitangaza nje ya mipaka yetu.

Wapo watanzania wachache huwa wanajitokeza kushiriki katika mambo ya kimataifa yenye ushindani na ni wachache zaidi huwa wanafanikiwa, tuna haja ya kuhamasishana ili tushiriki zaidi hususani katika nyanja za kitaaluma, kazi, biashara, burudani na michezo.

Na wachache ambao hujitokeza baadhi badala ya kuwapongeza na kuwatia moyo mara nyingine tunawabeza pale wanaposhindwa au wanapoteleza kidogo, tuwe chanya zaidi, tushirikiane, tutiane Moyo na tutafanikiwa zaidi.

Mungu Mbariki Robert afanikiwe zaidi,
Mungu Ibariki Tanzania,
Mungu ibariki Afrika Mashariki,
Mungu ibariki Afrika.

Phares Magesa.


Sent from my BlackBerry® smartphone provided by Airtel Tanzania.

From: matinyi <matinyi@hotmail.com>
Sender: wanabidii@googlegroups.com
Date: Sat, 30 Nov 2013 19:31:28 +0300
To: <wanabidii@googlegroups.com>; <mabadilikotanzania@googlegroups.com>
ReplyTo: wanabidii@googlegroups.com
Subject: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC

Peter Robert Kilave, mwanafunzi wa kidato cha tatu wa Shule ya Sekondari ya Kata ya Tushikamane ya mjini Morogoro, amechukua ushindi wa kwanza kwa wanafunzi wote wa shule za sekondari wa nchi tano za Jumuiya ya Afrika Mashariki katika shindano la insha kuhusu ujenzi wa miundombinu Afrika Mashariki. 

Amepewa tuzo ya dola za Marekani 1,500 na cheti na Mwenyekiti mpya wa Jumuiya, Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya. 

Hiyo ilikuwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa EAC jijini Kampala, leo Jumamosi, Novemba 30, 2013. Rais Jakaya Kikwete alimwita jukwaani na kumpa mkono wa pongezi huku ukumbi ukizizima kwa shangwe. 

Kijana huyo mtanashati na mpole alijizolea dola zingine kutoka kwa viongozi na maafisa wa Serikali ya Tanzania kwa kuibeba Tanzania katika kipindi hiki chenye changamoto za ajabu ajabu ndani ya Jumuiya.

Mshindi wa pili alitoka Uganda; wa tatu Burundi; wa nne Rwanda na Mkenya alishika mkia. 

Dogo huyo wa Tanzania ataendelea kuvinjari nchini Uganda kwa siku ili wamwone kwa karibu zaidi. Atakuwa na maafisa wa EAC, afisa mwandamizi wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Tanzania pamoja na mwalimu mkuu wake.

Hongera Watanzania wote.


Matinyi.


From my Android phone on T-Mobile. The first nationwide 4G network.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mtoto Mtanzania ashinda insha EAC"

Re: [wanabidii] Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa

CHADEMA, toeni taka ili mchele ubaki pekee tayari kwa mapishi 2015. Ni afadhali mfike 2 wa ukweli. 


2013/11/30 Bariki Mwasaga <bmwasaga@gmail.com>

Heko Golugwa

On Nov 30, 2013 6:50 PM, "Magiri paul" <kiganyi@gmail.com> wrote:

Amani haitarudi ila kwa makali ya upanga.

Magiri.

Dau dogo huambaa mwambao, kubwa huenda kwenye kilindi.

On Nov 30, 2013 6:44 PM, "MABADILIKO CHADEMA" <mabadilikochadema@gmail.com> wrote:
TAARIFA KWA UMMA

Kwa niaba ya baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, napenda kuujulisha umma wote kwa ujumla kuwa mwenyekiti wa wilaya ya monduli Mchungaji Amani Silanga Mollel amekoma/amesimamishwa kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA wilaya ya monduli kuanzia tarehe 29 Novemba 2013 kufuatia tuhuma nzito za uvunjifu wa kanuni za maadili ya chama. 

Hatua hii imefikiwa baada ya kuthibitika na yeyé mwenyewe kukiri mbele ya kikao cha kamati tendaji ya wilaya ya monduli kilichoketi tarehe 29 Novemba 2913 saa NNE asubuhi kuwa alitoa tamko batili akitumia wadhifa wa mwenyekiti wa wilaya bila ridhaa ya kamati tendaji na huku akidanganya kuwa ni tamko kwa niaba ya wilaya ya monduli. 

Katika tamko lake ametoa tuhuma dhidi ya wajumbe wa kamati kuu na viongozi wakuu wa kitaifa kwa maamuzi halali ya kikao cha kamati kuu huku akijua kuwa anavunja kanuni za chama kwa mujibu wa katiba ya chama toleo la mwaka 2006 ya Kanuni za uendeshaji kazi za chama, sura ya KUMI, ibara ya 10 (X) "Kiongozi asitoe tuhuma zozote juu ya viongozi wenzake pasipo kupitia vikao halali na kuzingatia taratibu na ngazi zilizoelezwa kwenye kanuni za chama". 

Sambamba na hilo, Mchungaji Amani Silanga ametoa tuhuma za uzushi, uongo na upotoshaji na kutaka kuaminisha jamii kuwa chadema ina makundi ya CHADEMA Asili na CHADEMA Family kitu ambacho ni upotoshaji mkubwa na wa hatari kwa ustawi na umoja wa chama na kinyume na kanuni za uendeshaji kazi za chama, sura ya KUMI, ibara ya 10 (VII), "Kiongozi anatakiwa kuwa mkweli na muwazi wakati wote hususani katika vikao halali na aachane na vikundi vya majungu, wadanganyifu (Rumour Mongers). 

Ni mwiko kwa kiongozi kujihusisha na upotoshaji wa maamuzi wa vikao halali". Kamati tendaji ya wilaya ilipomtaka aonyeshe CHADEMA asili ni kina nani na CHADEMA family ni kina nani alishindwa kutoa maelezo yoyote ya maana na kufikia hatua ya kutaka kuvuruga kikao kwa kuleta vijana wahuni wapatao 17 ndani ya kikao ambao wengi walijulikana kuwa sio WANACHADEMA.

 Katika utambulisho wake wa majigambo Mchungaji Amani SIlanga kwa kiburi na kejeli amejitambulisha na kukiri kuwa yeye yupo kambi ya Zito Kabwe na hakuna wa kumfanya kitu maana ni mjumbe wa baraza kuu la chama. Maneno yake yalidhihirisha kuwa Mchungaji Amani Silanga anashiriki mpango wa kuunda makundi yasiyo na tija ndani ya chama na hivyo kuwa kinyume na sura hiyo hiyo ya kumi ya kanuni za uendeshaji kazi za chama ibara ya 10 (IX), "Kiongozi asijihusishe au kushiriki na vikundi au vitendo vya kuchonganisha au kuzua migogoro ndani ya uongozi wa chama au wanachama wake".

AZIMIO LA BARAZA LA UONGOZI LA MKOA WA ARUSHA:

Baraza la uongozi la mkoa lililoketi tarehe 29 Novemba 2013, limepokea mapendekezo ya kamati tendaji ya wilaya na kuzingatia hofu kubwa iliyoainishwa na kamati tendaji kufuatia matendo mengi yanayotia shaka ya uadilifu na uwezo wa kiuongozi wa Mchungaji Amani Silanga na hivyo baraza la uongozi la mkoa limeridhia kuwa amevunja kanuni za maadili ya chama sura ya KUMI ibara ya (VII) hadi (XII) na hivyo kupelekea ukomo wa yeye kuwa Mwenyekiti wa wilaya kuanzia tarehe 29 Novemba 2013. Baraza la mkoa likiwa mamlaka ya nidhamu kwa mujibu wa katiba ibara ya 6.3.6 (a) (iv) limemjulisha tuhuma zake na hatua hii stahiki iliyochukuliwa. 

Kwa vile Mchungaji Amani Silanga alikiri kosa hili mbele ya kamati tendaji ya wilaya bila kulijutia au kuomba msamaha, baraza la mkoa limechukua hatua hii stahiki kwa maslahi ya chama na kuwa uchunguzi zaidi utafanyika ili kufikia maamuzi makubwa zaidi ya tuhuma nyingi kwa mujibu wa kanuni za hatua za kinidhamu.

Baraza la uongozi la mkoa wa Arusha, linatoa onyo kwa wote ambao wapo katika mtandao huu mchafu, ama watoke wenyewe mapema maana hawatavumiliwa kamwe. Baraza la uongozi wa mkoa liliona kuwa Mchungaji Silanga amepotoka na hivyo yeyé kuendelea kuwepo ndani ya chama wakati wa uchunguzi wa tuhuma hizi nzito dhidi yake ni hatari zaidi kwa ustawi wa chama na hivyo baraza likaridhia kwa kuzingatia tafsiri ya katiba ya chama ibara ya 6.3.4 (c) wa yeyé kukoma uongozi na hivyo akae nje kwa muda na waliopotoka wenzake.


Amani Golugwa
Katibu wa CHADEMA – Mkoa wa Arusha.
(Kwa niaba ya Baraza la Uongozi la Mkoa wa Arusha)
Tarehe 30 Novemba 2013

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] Mwenyekiti wa CHADEMA Wilaya ya Monduli asimamishwa"

Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI

Back kidogo tutajua kama wangwe kifo chake kilipangwa au ni ajali

On Nov 30, 2013 8:21 PM, "Telesphor Magobe" <tmagobe@gmail.com> wrote:
Actually, amechelewa sana. Alitakiwa awe amejiondoa muda mfupi baada ya kujiunga Chadema.


2013/11/30 lesian mollel <aramakurias@yahoo.com>
sishangai jamani chadema walitaka wenyewe, yetu macho mengi yataibuka ya ukweli na uongo....hapa tayar mgogoro umeleta mambo...ni kukosekana kwa ustahamilifu tu ndio kinacholeta haya sasa
kushika dola si mchezo......yetu macho


On Saturday, November 30, 2013 4:37 PM, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:
----- Forwarded Message -----

Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (emuganda@gmail.com) Add cleanup rule | More info
Aende kwa amani.
em


2013/11/30 embegu <embegu@hotmail.com>
Mwenyekiti huyu aliyetoka bila shaka CCM, akaenda NCCR Mageuzi, kisha CHADEMA, na sasa sijui wapi! Anaondoka na ajenda ya udini na ukanda...Na anasema eti aliwahi kupanga mikakati mibaya kwa nchi...




Sent from Samsung tablet


-------- Original message --------
From: Boniface Magessa
Date:30/11/2013 18:33 (GMT+07:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI

Buku 7 za Lumumba ziko humu!
On 30 Nov 2013 14:30, "Bariki Mwasaga" <bmwasaga@gmail.com> wrote:
Magesa
Huyu ni Mwenyekiti wa Mkoa wewe hata uwakilishi wa msingi ama kata hauna. Mimi nilishasema kuna uwezekano chama hiki kina watu wenye matatizo sana haiwezekani watu  (viongozi) muda wote huu wanavumiliana tu ili kuonekana ni wamoja kumbe siyo hata kidogo.
Wanachama na mashabiki wa Chadema ndani Mabadiliko ni wakati wenu kwenda kukiongoza chama hiki vinginevyo mtatoka mapovu kukitetea chama kumbe ndani ya uongozi kuna minyukano.  Chukueni nafasi sasa mkisubiri au mkiendelea kuamini mambo yako sawa itakula kwenu. Sio kila asemacho mtu ndicho kilichomo moyoni. Siri ya moyoni anaijua mhusika, Mungu na shetani. Viongozi hawa wanaonekana majuha mkumbuke kuna watu wengi wana imani nao na hivyo siyo vizuri kudharau kuna Mbunge wa chadema mmoja alishinda kwa kura 48 tu sasa unapodharau mtu mmoja itaweza kuwaathiri pindi kura zitakapopigwa.
On Nov 30, 2013 1:54 PM, "Boniface Magessa" <magessabm@gmail.com> wrote:
Yeye ndiye Juha...MM2!
On 30 Nov 2013 13:47, "Chadema Tanga" <mabadilikochadema@gmail.com> wrote:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NDUGU ALLY O. CHITANDA

NDG: WANA HABARI:
Kwanza kabisa ninawashukuru kwa kuitika wito wangu. 

Jina langu naitwa ALLY OMARY CHITANDA, nimejiunga CHADEMA mwaka 2003 nikitokea NCCR –MAGEUZI.

Nyadhifa nilizowahi kuzishika na kukitumikia Chama ni:-

Kuanzia mwaka 2004- Mjumbe wa Baraza kuu Taifa nikiwakilisha vijana Bara niliendelea kuaminiwa na Chama na kupewa kazi nyingine za kukitumikia Chama, nimewahi kuwa Afisa wa Vijana Makao Makuu, Afisa wa sheria na Haki za binadamu Makao Makuu, Katibu wa Kamati ya muda ya Baraza la Vijana Taifa (BAVICHA) kwa sasa ni Mjumbe wa Mkutano Taifa nawakilisha Nachingwea, Mwenyekiti wa Mkoa wa Lindi tangu tarehe 26/05/2013.Pia ni Afisa Mwandamizi Ofisi ya Katibu Mkuu Makao makuu Dsm.

vile vile kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikifanya shuhuli ya uandishi wa kumbukumbu za sekretarieti ya chama kama KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.
Hivyo sasa, pamoja na mambo mengine yapo masuala nyeti na muhimu ninayoyafahamu na ikibidi kuwaarifu watanzania kwa njia mbali mbali pindi itakaponihitaji kufanya hivyo.

Ndugu zangu wanahabari, nimewaita ili kupitia nyinyi niwaambie Watanzania wenzaqngu juu ya hali ya kisiasa ilivyo hasa ndani ya Chama chetu. Itakumbukwa kuwa tarehe 20-21/11/2013 Kamati kuu ya Chama ilikaa pamoja na mambo mengine ilifanya maazimio ya kuwavua nafasi za Uongozi ndani ya Chama alikuwa Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Mhe. ZITTO KABWE na Mjumbe wa Kamati kuu wa kuchaguliwa Mhe. Dr. FITILA MKUMBO, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kwa sababu:-

(a) Mhe. ZITTO KABWE (Mb) alishiriki kusaidia Wabunge watatu wa CCM kupita bila kupingwa kenye Majimbo yao ya Uchaguzi 2010.

(b) Kuandaa mkakati waliouita mabadiliko ya Chama 2013. Mkakati uliolenga kumuwezesha Mhe. Zitto kushinda nafasi ya Uenyekiti wa Chama Taifa endapo angekubali kugombea.

(c) Mhe. Zitto alishindwa kutimiza majukumu yake ndani ya Chama kwa kutoshiriki pamoja na Viongozi wenzake kwenye matukio makubwa yaliyokikumba Chama kama:-
(i) Maandamano ya Arusha.
(ii) Operesheni zilzofanyika Morogoro na Iringa nk.

MAAMUZI MENGINE YA UBORESHAJI WA MAKAO:
Ni kweli kuwa pamoja na mambo mengine Baraza kuu la Chama iliridhia pendekezo lililetwa kwake na Kamati Kuu kuhusu jambo hili.Na katika utekelezaji wake Kamati Kuu ya juzi iliridhia kuwa, uteuzi wa Wakurugenzi watano ambao ni:-
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.
2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb).
3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu.
4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema.
5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.

Uteuzi huu hauonyeshi sura ya Kitaifa Wakurugenzi wote watano ni Wakristo kanakwamba CHADEMA hakuna Waislamu wenye uwezo wa kushika nafasi hizo.

Lakini pia hauzingatii mgawanyo wa kijamii kwa kuwa kati ya kurugenzi hizo sita wakurugenzi wanne kati yao wanatokea mkoa mmoja wa kilimanjaro

Na uteuzi huu unakwenda sambamba na kuboresha maslahi yao kwa kuongeza posho, -kutoka Tshs. 800,000/= za awali na sasa itakuwa ni kuanzia Tshs. 1,500,000-2,500,000/= kwa Mkurugenzi na kutoka Tshs. 6,800,000/= kwa Afisa Mwandamizi na sasa ni Tshs.1,000,000-1,500,000/=.

Pamoja na kwamba uboreshaji uliridhiwa, lakini katika mpango ulioridhiwa na Baraza kuu ni pamoja na kulipa Posho kwa Makatibu wa Wilaya na Mikoa. Hawa ndio watendaji muhimu katika Ujenzi na Uhai wa Taasisi hii lakini, hawakuangaliwa wala kuguswa badala yake wanatakiwa kujitolea tu kwa hali na mali.

Mimi kama nilivyotangulia kusema hapo awali, kuwa niko kwa kwa miaka 10 sasa na nimeshiriki kwa kiasi kikubwa katika Ujenzi wa Chama hiki.Sioni sababu ya kutoharakisha kulipa posho ya Mkatibu wa Wilya na Mikoa pamoja na watendaji wengine na badala yake tunaharakisha kujilipa posho nono sisi watendaji wa Makao Makuu, wakati hawa wa ngazi za chini wanamaeneo makubwa ya Kiutendaji na wanafanya kazi katika mazingira magumu kwa kujitolea hata Ofisi zao wanajitolea wenyewe.

MAAMUZI YA KAMATI KUU
Ningependa kuwaambia wanachadema na watanzania kwa ujumla, maamuzi haya ya kamati kuu ya kuwavua uongozi zitto kabwe na dkt mkumbo ni maamuzi ya kijuha na yanayowafanya watanzania sasa waangalie mara mbili mbili kama hawa watu wapo makini na huo ukombozi wanaousema.

Tumekuwa tukiweka mikakati mbali mbali ya ushindi ili chama kishinde, kwa mfano, kabla hata ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa arumeru mashariki, wakati tu ilipobainika anaugua, chama kiliandaa mkakati wa kushinda ubunge wa jimbo hilo na uchaguzi uliporudiwa mkakati ule ulitumika na kushinda.

Nikiwa mtendaji wa ofisi ya katibu mkuu, nimeshiriki pamoja na zitto kabwe na dkt Slaa kupanga mikakati mbali mbali mizuri na mibaya kwa nchi, lakini hatukuwahi kuitwa wasaliti, wahaini wala sina lolote baya. Ni fedheha leo mimi kuwa sehemu ya watu wanaomuita zitto kabwe ni msaliti. Siwezi kuendelea na ujinga huu na sipo tayari tena.

Si dhambi kumuhukumu mtu kwa kuwa anapanga mipango ya kukushinda kwenye uchaguzi, dawa ya mpinzani wako ni kumkabili.

Naomba nikiri kwamba nikiwa katibu wa sekretarieti tumekuwa tukilazimishwa mara kadhaa kuwashawishi wajumbe wengi kutowaunga mkono watu wenye misimamo thabiti ndani ya chama na badala yake tumekuwa tukitumia rasilimali za chama kuwajenga wajumbe ndio.

Kwa mfano hivi sasa tunapozungumza, wakati katibu mkuu wa chama anasema mjadala wa zitto kabwe umefungwa rasmi, amewaagiza wakurugenzi wa chama kuzunguza nchi nzima kusambaza waraka waliouandaa ukimchafua zitto. Hii si sawa hata kidogo, si vema kutumia rasilimali za chama kuwanufaisha watu binafsi kutimiza matakwa yao ya kisiasa.

Nafsi yangu haipo tayari kuendelea kuwa sehemu ya upotoshaji dhidi ya watanzania wenzangu.

Nafsi yangu inanikataza kabisa kuendelea kufumbia macho maovu yanayoendelezwa na chama changu.

Nafsi yangu imechoka kuendelea kushuhudia ubaguzi wa kidini na kikabila unaofanywa wazi wazi na viongozi wa chama changu.

Nafsi yangu imekataa sasa, haipo tayari tena kuwa kuwadi wa kuwahadaa Watanzania kuyafikia matarajio tunayowapa ambayo kamwe hayafikiki.

Kwa kuwa siamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa zitto kabwe na dkt kitila mkumbo ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, bali ninaamini kuvuliwa kwao ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda. 

Hivyo basi, nikiwa na akili timamu kabisa, leo tarehe 30.11.2013 nimeamua kujivua nyadhifa zangu zote nilizokuwa nazo ndani ya chama.

Sioni tena sababu ya kuendelea kuwa MwanaCHADEMA, sioni tena sababu ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA MKOA WA LINDI, sioni tena sababu ya kuwa KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.

Kwa kuwa vipaumbele vya chadema ni kukijenga chama mikoa ya kaskazini. Basi sisi wananchi wa mkoa wa lindi tunawatakia kila la heri, na kwamba waendelee kukijenga chama chao huko huko waliko.

Nashukuru wote ambao nilifanya nao kazi pamoja katika kutekeleza majukumu yangu.

Ahsante Sana

A.O. CHITANDA

0753418510

MWENYEKITI CHADEMA MKOA LINDI
MJUMBE BARAZA KUU TAIFA
KATIBU OFISI YA KATIBU MKUU- SEKRETARIETI
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI"

Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI

Actually, amechelewa sana. Alitakiwa awe amejiondoa muda mfupi baada ya kujiunga Chadema.


2013/11/30 lesian mollel <aramakurias@yahoo.com>
sishangai jamani chadema walitaka wenyewe, yetu macho mengi yataibuka ya ukweli na uongo....hapa tayar mgogoro umeleta mambo...ni kukosekana kwa ustahamilifu tu ndio kinacholeta haya sasa
kushika dola si mchezo......yetu macho


On Saturday, November 30, 2013 4:37 PM, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:
----- Forwarded Message -----

Boxbe This message is eligible for Automatic Cleanup! (emuganda@gmail.com) Add cleanup rule | More info
Aende kwa amani.
em


2013/11/30 embegu <embegu@hotmail.com>
Mwenyekiti huyu aliyetoka bila shaka CCM, akaenda NCCR Mageuzi, kisha CHADEMA, na sasa sijui wapi! Anaondoka na ajenda ya udini na ukanda...Na anasema eti aliwahi kupanga mikakati mibaya kwa nchi...




Sent from Samsung tablet


-------- Original message --------
From: Boniface Magessa
Date:30/11/2013 18:33 (GMT+07:00)
To: wanabidii@googlegroups.com
Subject: Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI

Buku 7 za Lumumba ziko humu!
On 30 Nov 2013 14:30, "Bariki Mwasaga" <bmwasaga@gmail.com> wrote:
Magesa
Huyu ni Mwenyekiti wa Mkoa wewe hata uwakilishi wa msingi ama kata hauna. Mimi nilishasema kuna uwezekano chama hiki kina watu wenye matatizo sana haiwezekani watu  (viongozi) muda wote huu wanavumiliana tu ili kuonekana ni wamoja kumbe siyo hata kidogo.
Wanachama na mashabiki wa Chadema ndani Mabadiliko ni wakati wenu kwenda kukiongoza chama hiki vinginevyo mtatoka mapovu kukitetea chama kumbe ndani ya uongozi kuna minyukano.  Chukueni nafasi sasa mkisubiri au mkiendelea kuamini mambo yako sawa itakula kwenu. Sio kila asemacho mtu ndicho kilichomo moyoni. Siri ya moyoni anaijua mhusika, Mungu na shetani. Viongozi hawa wanaonekana majuha mkumbuke kuna watu wengi wana imani nao na hivyo siyo vizuri kudharau kuna Mbunge wa chadema mmoja alishinda kwa kura 48 tu sasa unapodharau mtu mmoja itaweza kuwaathiri pindi kura zitakapopigwa.
On Nov 30, 2013 1:54 PM, "Boniface Magessa" <magessabm@gmail.com> wrote:
Yeye ndiye Juha...MM2!
On 30 Nov 2013 13:47, "Chadema Tanga" <mabadilikochadema@gmail.com> wrote:
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI YA NDUGU ALLY O. CHITANDA

NDG: WANA HABARI:
Kwanza kabisa ninawashukuru kwa kuitika wito wangu. 

Jina langu naitwa ALLY OMARY CHITANDA, nimejiunga CHADEMA mwaka 2003 nikitokea NCCR –MAGEUZI.

Nyadhifa nilizowahi kuzishika na kukitumikia Chama ni:-

Kuanzia mwaka 2004- Mjumbe wa Baraza kuu Taifa nikiwakilisha vijana Bara niliendelea kuaminiwa na Chama na kupewa kazi nyingine za kukitumikia Chama, nimewahi kuwa Afisa wa Vijana Makao Makuu, Afisa wa sheria na Haki za binadamu Makao Makuu, Katibu wa Kamati ya muda ya Baraza la Vijana Taifa (BAVICHA) kwa sasa ni Mjumbe wa Mkutano Taifa nawakilisha Nachingwea, Mwenyekiti wa Mkoa wa Lindi tangu tarehe 26/05/2013.Pia ni Afisa Mwandamizi Ofisi ya Katibu Mkuu Makao makuu Dsm.

vile vile kwa kipindi kirefu sasa nimekuwa nikifanya shuhuli ya uandishi wa kumbukumbu za sekretarieti ya chama kama KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.
Hivyo sasa, pamoja na mambo mengine yapo masuala nyeti na muhimu ninayoyafahamu na ikibidi kuwaarifu watanzania kwa njia mbali mbali pindi itakaponihitaji kufanya hivyo.

Ndugu zangu wanahabari, nimewaita ili kupitia nyinyi niwaambie Watanzania wenzaqngu juu ya hali ya kisiasa ilivyo hasa ndani ya Chama chetu. Itakumbukwa kuwa tarehe 20-21/11/2013 Kamati kuu ya Chama ilikaa pamoja na mambo mengine ilifanya maazimio ya kuwavua nafasi za Uongozi ndani ya Chama alikuwa Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara Mhe. ZITTO KABWE na Mjumbe wa Kamati kuu wa kuchaguliwa Mhe. Dr. FITILA MKUMBO, kwa kile kilichoelezwa kuwa ni kwa sababu:-

(a) Mhe. ZITTO KABWE (Mb) alishiriki kusaidia Wabunge watatu wa CCM kupita bila kupingwa kenye Majimbo yao ya Uchaguzi 2010.

(b) Kuandaa mkakati waliouita mabadiliko ya Chama 2013. Mkakati uliolenga kumuwezesha Mhe. Zitto kushinda nafasi ya Uenyekiti wa Chama Taifa endapo angekubali kugombea.

(c) Mhe. Zitto alishindwa kutimiza majukumu yake ndani ya Chama kwa kutoshiriki pamoja na Viongozi wenzake kwenye matukio makubwa yaliyokikumba Chama kama:-
(i) Maandamano ya Arusha.
(ii) Operesheni zilzofanyika Morogoro na Iringa nk.

MAAMUZI MENGINE YA UBORESHAJI WA MAKAO:
Ni kweli kuwa pamoja na mambo mengine Baraza kuu la Chama iliridhia pendekezo lililetwa kwake na Kamati Kuu kuhusu jambo hili.Na katika utekelezaji wake Kamati Kuu ya juzi iliridhia kuwa, uteuzi wa Wakurugenzi watano ambao ni:-
1. Mkurugenzi wa Oganaizesheni Mhe. Singo Kigaila Benson.
2. Mkurugenzi wa Mawasiliano na Mahusiano ya ndani Mhe. John Mnyika (Mb).
3. Mkurugenzi wa Fedha na uwekezaji Mhe. Anthony Komu.
4. Mkurugenzi wa Bunge na Halmashuri Mhe. John Mrema.
5. Mkurugenzi wa Ulinzi na Usalama Mhe. Wilfred Lwakatale.

Uteuzi huu hauonyeshi sura ya Kitaifa Wakurugenzi wote watano ni Wakristo kanakwamba CHADEMA hakuna Waislamu wenye uwezo wa kushika nafasi hizo.

Lakini pia hauzingatii mgawanyo wa kijamii kwa kuwa kati ya kurugenzi hizo sita wakurugenzi wanne kati yao wanatokea mkoa mmoja wa kilimanjaro

Na uteuzi huu unakwenda sambamba na kuboresha maslahi yao kwa kuongeza posho, -kutoka Tshs. 800,000/= za awali na sasa itakuwa ni kuanzia Tshs. 1,500,000-2,500,000/= kwa Mkurugenzi na kutoka Tshs. 6,800,000/= kwa Afisa Mwandamizi na sasa ni Tshs.1,000,000-1,500,000/=.

Pamoja na kwamba uboreshaji uliridhiwa, lakini katika mpango ulioridhiwa na Baraza kuu ni pamoja na kulipa Posho kwa Makatibu wa Wilaya na Mikoa. Hawa ndio watendaji muhimu katika Ujenzi na Uhai wa Taasisi hii lakini, hawakuangaliwa wala kuguswa badala yake wanatakiwa kujitolea tu kwa hali na mali.

Mimi kama nilivyotangulia kusema hapo awali, kuwa niko kwa kwa miaka 10 sasa na nimeshiriki kwa kiasi kikubwa katika Ujenzi wa Chama hiki.Sioni sababu ya kutoharakisha kulipa posho ya Mkatibu wa Wilya na Mikoa pamoja na watendaji wengine na badala yake tunaharakisha kujilipa posho nono sisi watendaji wa Makao Makuu, wakati hawa wa ngazi za chini wanamaeneo makubwa ya Kiutendaji na wanafanya kazi katika mazingira magumu kwa kujitolea hata Ofisi zao wanajitolea wenyewe.

MAAMUZI YA KAMATI KUU
Ningependa kuwaambia wanachadema na watanzania kwa ujumla, maamuzi haya ya kamati kuu ya kuwavua uongozi zitto kabwe na dkt mkumbo ni maamuzi ya kijuha na yanayowafanya watanzania sasa waangalie mara mbili mbili kama hawa watu wapo makini na huo ukombozi wanaousema.

Tumekuwa tukiweka mikakati mbali mbali ya ushindi ili chama kishinde, kwa mfano, kabla hata ya kifo cha aliyekuwa mbunge wa arumeru mashariki, wakati tu ilipobainika anaugua, chama kiliandaa mkakati wa kushinda ubunge wa jimbo hilo na uchaguzi uliporudiwa mkakati ule ulitumika na kushinda.

Nikiwa mtendaji wa ofisi ya katibu mkuu, nimeshiriki pamoja na zitto kabwe na dkt Slaa kupanga mikakati mbali mbali mizuri na mibaya kwa nchi, lakini hatukuwahi kuitwa wasaliti, wahaini wala sina lolote baya. Ni fedheha leo mimi kuwa sehemu ya watu wanaomuita zitto kabwe ni msaliti. Siwezi kuendelea na ujinga huu na sipo tayari tena.

Si dhambi kumuhukumu mtu kwa kuwa anapanga mipango ya kukushinda kwenye uchaguzi, dawa ya mpinzani wako ni kumkabili.

Naomba nikiri kwamba nikiwa katibu wa sekretarieti tumekuwa tukilazimishwa mara kadhaa kuwashawishi wajumbe wengi kutowaunga mkono watu wenye misimamo thabiti ndani ya chama na badala yake tumekuwa tukitumia rasilimali za chama kuwajenga wajumbe ndio.

Kwa mfano hivi sasa tunapozungumza, wakati katibu mkuu wa chama anasema mjadala wa zitto kabwe umefungwa rasmi, amewaagiza wakurugenzi wa chama kuzunguza nchi nzima kusambaza waraka waliouandaa ukimchafua zitto. Hii si sawa hata kidogo, si vema kutumia rasilimali za chama kuwanufaisha watu binafsi kutimiza matakwa yao ya kisiasa.

Nafsi yangu haipo tayari kuendelea kuwa sehemu ya upotoshaji dhidi ya watanzania wenzangu.

Nafsi yangu inanikataza kabisa kuendelea kufumbia macho maovu yanayoendelezwa na chama changu.

Nafsi yangu imechoka kuendelea kushuhudia ubaguzi wa kidini na kikabila unaofanywa wazi wazi na viongozi wa chama changu.

Nafsi yangu imekataa sasa, haipo tayari tena kuwa kuwadi wa kuwahadaa Watanzania kuyafikia matarajio tunayowapa ambayo kamwe hayafikiki.

Kwa kuwa siamini kwamba kuvuliwa nyadhifa kwa zitto kabwe na dkt kitila mkumbo ni kwa sababu ya waraka wa ushindi, bali ninaamini kuvuliwa kwao ni kutokana na hofu ya uchaguzi, ubaguzi wa kikabila na kikanda. 

Hivyo basi, nikiwa na akili timamu kabisa, leo tarehe 30.11.2013 nimeamua kujivua nyadhifa zangu zote nilizokuwa nazo ndani ya chama.

Sioni tena sababu ya kuendelea kuwa MwanaCHADEMA, sioni tena sababu ya kuwa mwenyekiti wa CHADEMA MKOA WA LINDI, sioni tena sababu ya kuwa KATIBU WA SEKRETARIETI YA KAMATI KUU.

Kwa kuwa vipaumbele vya chadema ni kukijenga chama mikoa ya kaskazini. Basi sisi wananchi wa mkoa wa lindi tunawatakia kila la heri, na kwamba waendelee kukijenga chama chao huko huko waliko.

Nashukuru wote ambao nilifanya nao kazi pamoja katika kutekeleza majukumu yangu.

Ahsante Sana

A.O. CHITANDA

0753418510

MWENYEKITI CHADEMA MKOA LINDI
MJUMBE BARAZA KUU TAIFA
KATIBU OFISI YA KATIBU MKUU- SEKRETARIETI
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/groups/opt_out.
Read More :- "Re: [wanabidii] TAARIFA YA KUJIUZURU KWA MWENYEKITI WA CHADEMA MKOA WA LINDI"