Tuesday 31 July 2012

Re: [wanabidii] CHAGGA DAY MLICHEMSHA

Wachaga wanapenda kujishaua tu!!!!!!!!!!!!!!! hamna lolote la maana

2012/7/31 Monica Malle <moninaike@hotmail.com>
 
Wadau walioandaa chagga day jumamosi iliyopita mlichemsha kwani mlichokuwa mnatangaza
na kilichokuwepo ni tofauti kabisa.
Baadhi ya vyakula mlivyokuwa mkisema vitakuwepo , havikuwepo na kama vilikuwepo vilikuwa vichache sana,
mfano mtu analeta hotpot moja ya kitawa atakula nani na ataacha nani? next time jipangeni vizuri na muwaconsult wazee wa kichaga
waliopo hapa mjini wawasaidie katika kupanga nini kinatakiwa na muziki gani na ngoma za kichaga ziwepo.
Milio andaa inaelekea ni Wachagga  waliokulia mjini.
Hongereni lakini next time mjipange hiyo ni changa moto.
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

--
Karibu Jukwaa la www.mwanabidii.com
Pata nafasi mpya za Kazi www.kazibongo.blogspot.com
Blogu ya Habari na Picha www.patahabari.blogspot.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 
 

0 comments:

Post a Comment