Naam tunaweza kuonana. Niambie kesho saa sita tukutane wapi. Kabla na baada ya hapo nitakuwa sipatikani.
--------------------------------------------
On Wed, 9/21/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera upya.
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, September 21, 2016, 6:07 PM
Mzee
muhingo. Niko Bukoba sasa hivi nafanya asesment ya misaada
na effects za tetemeko. Naweza kukuona tuhojiane kidogo? Am
a journalist sir
On Sep 21, 2016 4:45 PM,
"'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Bahati
mbaya nitatoka kwa muda hapa ningefuatilia.
Sijawa na uhakika kama misaada ya vifaa vya ujenzi inaweza
kugawiwa kwa watu wote na taasisi zaidi ya serikali. Ninaona
kila anayeleta anakabidhi serikali.
Nami kuna watu wangependa misaada iwafikie watu fulani na
wanatarajia kuipitisha kwangu. Ni ndugu zao. Hiyo inaweza
kuwaendea moja kwa moja. Lakini vinginevyo na viongozi wa
dini waligawa vyakula lakini vifaa vya ujenzi walivipeleka
serikalini *kama sikosei. Anayejua tofauti asaidie) najua
serikali ina urasimu ndiyo maana hadi sasa kuna watu tunaona
wanapata mateso na wako tayari kuanza kujen ga wanasubiri
serikali. nayo bado "inafanya maandalizi". They
were cought unprepared and arent experienced. Ninafikiri
wangewapa TCRS au Red cross wangeishawafikia tayari.
------------------------------ --------------
On Tue, 9/20/16, J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Tuesday, September 20, 2016, 4:51 PM
Muhingo n
LSM.
Binafsi sipendelei kupitisha misaada serikalini
cozy ningumu kidogo kufikia walengwa ipasavyo. Ningekuwa
na
muda wa kutosha ningeulizia wolrd vision na red cross
namna
ya kumsaidia LSM. Labda aingie kwenye web zao atapata
contacts na kama atashindwa anitaarifu alhamisi naweza
kufika world vision kuulizia au hata red cross.
On Sep 20, 2016 2:28 PM,
"'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:
Lakini
pia mratibu Mkuu akiwa serikali imetoa namba ya benki.
CRDB.
------------------------------ --------------
On Mon, 9/19/16, Ludovick Simon Mwijage <bugabo18@hotmail.com>
wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, September 19, 2016, 11:41 PM
#yiv7024275859 #yiv7024275859 -- P
{margin-top:0;margin-bottom: 0; }#yiv7024275859
Ndugu Kamala,
Ninashukuru sana. Niko Copenhagen, Denmark.
Ningependa
kutuma mchango wa kifedha kwa njia ya benki au
Western
Union
lakini sina anwani kamili ya kuwakilisha mchango huu
kwa
moja ya mashirika uliyotaja. Juma hili nitajaribu
kwenda
Msalaba Mwekundu hapa Copenhagen
nione kama wataniunganisha na mojawapo ya mashirika
hayo.
Vinginevyo ninakushukuru kwa kunielekeza ni wapi
nianzie.
Waitu obusinge
Alamsiki,
LSM
From:
wanabidii@googlegroups.com
<wanabidii@googlegroups.com>
on behalf of J L Kamala
<jlkamala@gmail.com>
Sent: Monday, September 19, 2016 9:28 PM
To: wanabidii
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
LSM
Misaada inaratibiwa na mashirika ya kidini,
kanisa katoloki, world vision nk.
For more info, jlkamala@gmail.com
On Sep 19, 2016 3:35
PM, "Ludovick Simon Mwijage" <bugabo18@hotmail.com>
wrote:
Tafadhali kama kuna anayefahamu shirika au watu
wanaoratibu misaada ya waathirika wa mtetemeko wa
ardhi
huko
Bukoba anifahamishe.
Ninatanguliza shukrani,
LSM
From:
wanabidii@googlegroups.com
<wanabidii@googlegroups.com>
on behalf of J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
Sent: Saturday, September 17, 2016 7:41 PM
To: Wanazuoni; wanabidii
Subject: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
Wandugu,
Ni faraja kubwa sana kuona Watanzania wenzetu na raia
wa
nje
ya nchi wanavyoshirikiana bega kwa bega kusaidia
wahanga
wa
tetemeko la ardhi la september 10. kwakweli
inafariji,
inatia moyo ni ishara ya umoja wetu.
Kagera imepigwa, kagera imeharibiwa watu wameathirika
kijamii, kiuchumi nk. Nyumba ziko chini,vifo,
magonjwa
na
ulemavu. wanakagera wana hali mbaya sana.
Hili ni pigo la tatu tangu nchi yetu ipate uhuru.
ilianza
vita ya kagera, ikaja janga la ukimwi, na sasa
tetemeko
la
ardhi. japo kuwa kuna kuzama kwa meli, mafuriko hasa
ya
elnino na vimbunga/ukame
Kagera ina wakati mgumu sana aisee. inatia huruma
kuzungukia
maeneo ya mkoa huu. zilipokuwa nyumba ni vifusi,
mabati
yaliyokuwa yameezeka majumba sasa yamepigiliwa
misumari
na
kuwa ndio makazi yao. hali ni mbaya.
Faraja kubwa ni kwa wanaochangia walichonacho.
Shurani
kwenu
--
J L Kamala
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata
Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata
Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata
Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed
to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly.
Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment