Friday 30 September 2016

Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI

Jarbu kumwelimisha Masanja labda atakuelewa maana wengine ameishakuwa alergic to our comments.
--------------------------------------------
On Fri, 9/30/16, Joseph Ludovick <josephludovick@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, September 30, 2016, 9:11 PM

Walitoa kujikosha Tu!
Chombo gani cha habari kilirusha?
On 30 Sep 2016 12:21,
"Ezekiel Massanja" <ezekielmassanja@gmail.com>
wrote:



Elisa, mimi nilidhani hukujua tu kwamba tamko
lilitolewa, lakini naona kwa muendelezo huu, shida ni zaidi
ya tamko kutoka asasi za haki za binadamu. Basi, nafikiri
nikuache ufanye kazi yako uliyopewa au uliyojipa nisipoteze
muda wangu bure.



2016-09-30 12:06
GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Masanja rudi nyuma ufanye homework
zaidi.

Baada ya mauaji kuna kiongozi nadhani Mkuu wa mkoa aliyesema
wauaji wauwawe. Tume ya haki za binadamu ikamvaa. Baada ya
tamko la kumvaa mkuu wa mkoa tukaivaa ndipo (nadhani) ikatoa
tamko. Linalosemwa lipo fuatilia sana.

------------------------------ --------------

On Fri, 9/30/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM
NIELIMISHENI

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Friday, September 30, 2016, 10:45 AM







 Ndiyo maana

 Elisa nakuambia huwa sikuelewi kwenye mambo mengi

 unayochangia kwa kupotosha ukweli, na unategemea sana
tabia

 ya watanzania ya kutopenda kusoma kuwadanganya. Kituo Cha

 Sheria na Haki za Binadamau kilitoa tamko pale askari
wetu

 chapa kazi walipopata mkasa wa kuuliwa na majambazi. Na
hili

 sio jambo la kutolea kebehi kama unavyofanya hapa, kwa
vile

 askari polisi ni combo muhimu sana katika kulinda usalama
wa

 raia na mali zao. Tukiruhusu watu wenye agenda zisizokuwa
na

 mashiko kutumia kuuwawa kwa walinda amani wetu hawa ni

 kuruhusu ujinga usio kifani kututawala. Ni bora ukatafuta

 mada nyingine kupotezea muda wako.

 Nimeambatanisha hapa tamko

 lililotolewa ili usizidi kudanganya watu. Fuatilia mambo
ya

 Haki za Binadamu yanayotokea nchi hii kwenye tovuti hii:
www.humanrights.or.tz











 2016-09-29 22:11
GMT+03:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:





 Basi ipo haja
kurudi nyuma na kuunganisha maneno. HAKI NA

 WAJIBU WA BINADAMU.



 Kama kweli madhali mtu kavaa magwanda ya uaskari
akifaniwa

 gasia na mtu ambaye hakuvaa magwanda basi wanaharakati

 wanakaa kimya hiyo ni kasoro kubwa maana na askari ni

 binadamu. Kama kundi la watu likiji-organise na kuanza

 kunyanyasa maaskari mwanaharakati hahusiki nalo basi

 uanaharakati ni ajera mbaya



 ----------------------------- - --------------



 On Thu, 9/29/16, Telesphor

 Magobe <tmagobe@gmail.com>

 wrote:







  Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA
BINAADAM

 NIELIMISHENI



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date:
Thursday, September 29, 2016, 3:07 PM







  1.Kwa maoni yangu, haki



  za binadamu ni kanuni za msingi za maisha zinazopaswa



  zilindwe na mamlaka ya nchi ili raia waishi maisha ya

 heri



  (kanuni zinazolinda ustawi wa raia na mali zao).



  2. Kanuni hizi za msingi ni kama



  vile: kuishi, kuheshimiwa, kupata riziki halali ya

 maisha,



  kutekeleza majukumu ya kifamilia, kijamii, kupata

 elimu,



  huduma za afya, maendeleo nk.



  3.



  Jambazi kumwua polisi au raia au mume kumpiga mkewe au

 mtoto



  ni mambo ambayo yako nje ya haki za binadamu, lakini

 yako



  ndani ya makosa ya jinai kwa mujibu wa sheria za nchi.

 Ila



  polisi au mtu yeyote mwenye mamlaka ya kiserikali

 akimwua



  raia (kama si katika kujilinda au katika kutekeleza

 wajibu



  wake kisheria na unaoendana na kanuni za kimataifa



  zinazolinda ustawi wa watu) basi hata hapo haki za

 binadamu



  zimeguswa.



  4. Kimsingi, haki za



  binadamu ni madai halali dhidi ya mamlaka ya nchi -

 yaani



  yale ambayo mamlaka ya nchi inapaswa iyatekeleze kwa

 raia



  wake.



  5. Mamlaka ya nchi ikitekeleza



  inakuwa kwamba nchi fulani inaheshimu haki za binadamu

 na



  ikishindwa/kukiuka au kupuuza inakuwa kwamba nchi

 fulani



  inavunja haki za binadamu.



   







  2016-09-29
14:11 GMT+03:00



  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:



  Loh swali



  zuri sana. Na mimi ni mmoja kati ya watakaofaidika japo



  nilikuwa naona aibu kuuliza.







  Zamani sana katika mjadala mwanasheria mmoja alibwatuka

 neno



  ovu kabisa Akaseka " LENGO KUU LA HAKI ZA BINADAMU

 NI



  KUMTENGANISHA MWANADAMU NA MUNGU" Kabla hajaongeza



  nikamvaa. Nikamshambulia.Akaniangalia kwa dharau.
Mwisho

 wa



  maneno yangu akasema "Wewe ndugu naona una akili.



  Subiri wakati ukifika tumia akili zako kuelewa."



  Nikamuuliza wakati gani? Akasema pale itakapotangazwa

 kuwa



  NGONO NI HAKI ZA BINADAMU. Nikamwambia mpaka kurudi kwa

 Yesu



  hakutatokea kitu hicho. Ilipotokea namtafuta sana

 kuntaka



  radhi.















  Jingine: Huwezi kuwasikia wanaharakati majambazi

 wanapomuua



  Polisi. Hawathibutu kusema. Lakini Polisi akithubutu tu



  hutajua walikotokea.















  Jingine: Kuna mataifa ndiyo tu yanayoweza kutoa tafsiri

 ya



  gaidi. Angola ilipambana na gaidi Savimbi lakini

 usingesikia



  akiitwa gaidi labda Nyerere tu. Ghadafi aliitwa gaidi

 na



  mataifa hayo kila mwanaharakati akamwita gaidi. Kuna

 mmoja



  nilimuuliza kwanini unamwita Gadafi gaidi akaniuliza

 kama



  juzi nilisikiliza VoA. Yaani kwake ni gaidi kwa sababu

 VoA



  ilimwita gaidi. Sasa hivi Urusi inaisaidia Syria

 kupambana



  na magaidi lakini husikii wanaharakati wakisema. Ila

 Asaad



  ndiye anaitwa muuaji. Ukiuliza watasema Husikii VoA

 nini?



  Atakayejibu atusaidie mpaka huko.







  Muhingo















  ---------------------------- -- --------------







  On Wed, 9/28/16, 'Mashaka Makana' via Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



  wrote:















   Subject: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM



  NIELIMISHENI







   To: "wanabidii@googlegroups.com"



  <wanabidii@googlegroups.com>







   Date: Wednesday, September 28, 2016, 3:35 PM















   Habari







   wote katika jamii! Naomba kufahamu MSINGI wa

 kuanzisha







   shirika la kutetea haki za binaadamu! Mwezi huu

 wenzetu



  wa







   Kagera walipatwa na madhara ya kuumia na wengine



  kufariki.







   Nini mchango wa wanaharakati wa haki za binaadamu kwa







   majanga ya aina hii? Au kwa uhalisia wanaharakati wa

 haki



  za







   binaadamu mmefanya nini kwa tukio hilo? Mbona

 hamsikiki



  kama







   ilivyo katika matukio mengine mfano police wakitumia



  nguvu







   zaidi kudhibiti mfano waandamaji- mara moja utaona au







   kusikia mikutano na waandishi wa habari kutoa matamko



  ya







   kulaani na nk. 







   Kwali lingine naomba kuelimishwa, mtu aliekufa ana







   haki gani kama kifo chake kilitokana na kupigwa au



  kunyongwa







   au kupigwa risasi na wahalifu? Hapo je, wanaharakati



  hakuna







   kazi ya kufanya? Hili swali linawahusu pia wale



  wanaopinga







   adhabu ya kifo. Mfano mdogo tu, janga la tetemeko



  limeua







   watu Kagera na wengine wengi wanalala nje na wengine







   darasani na watoto wanasoma na wahanga wakiendelea



  kuishi







   darasanina wengine kuhitaji matibabu na makazi halafu







   unasikia au kushuhudia mtu au kikundi cha watu



  wanahujumu







   michango hiyo ya wahanga! Je huyu si muuaji? kwa nini







   asiuawe au wasiuawe hawa?







   Naomba kuelimishwa!































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,

 and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.















   ---















   You received this message because you are subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha



  ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@



  googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/



  optout.



























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.

















 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googleg
roups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegr
oups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/op
tout.










--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment