Thursday 29 September 2016

Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI

Loh swali zuri sana. Na mimi ni mmoja kati ya watakaofaidika japo nilikuwa naona aibu kuuliza.
Zamani sana katika mjadala mwanasheria mmoja alibwatuka neno ovu kabisa Akaseka " LENGO KUU LA HAKI ZA BINADAMU NI KUMTENGANISHA MWANADAMU NA MUNGU" Kabla hajaongeza nikamvaa. Nikamshambulia.Akaniangalia kwa dharau. Mwisho wa maneno yangu akasema "Wewe ndugu naona una akili. Subiri wakati ukifika tumia akili zako kuelewa." Nikamuuliza wakati gani? Akasema pale itakapotangazwa kuwa NGONO NI HAKI ZA BINADAMU. Nikamwambia mpaka kurudi kwa Yesu hakutatokea kitu hicho. Ilipotokea namtafuta sana kuntaka radhi.

Jingine: Huwezi kuwasikia wanaharakati majambazi wanapomuua Polisi. Hawathibutu kusema. Lakini Polisi akithubutu tu hutajua walikotokea.

Jingine: Kuna mataifa ndiyo tu yanayoweza kutoa tafsiri ya gaidi. Angola ilipambana na gaidi Savimbi lakini usingesikia akiitwa gaidi labda Nyerere tu. Ghadafi aliitwa gaidi na mataifa hayo kila mwanaharakati akamwita gaidi. Kuna mmoja nilimuuliza kwanini unamwita Gadafi gaidi akaniuliza kama juzi nilisikiliza VoA. Yaani kwake ni gaidi kwa sababu VoA ilimwita gaidi. Sasa hivi Urusi inaisaidia Syria kupambana na magaidi lakini husikii wanaharakati wakisema. Ila Asaad ndiye anaitwa muuaji. Ukiuliza watasema Husikii VoA nini? Atakayejibu atusaidie mpaka huko.
Muhingo

--------------------------------------------
On Wed, 9/28/16, 'Mashaka Makana' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Wednesday, September 28, 2016, 3:35 PM

Habari
wote katika jamii! Naomba kufahamu MSINGI wa kuanzisha
shirika la kutetea haki za binaadamu! Mwezi huu wenzetu wa
Kagera walipatwa na madhara ya kuumia na wengine kufariki.
Nini mchango wa wanaharakati wa haki za binaadamu kwa
majanga ya aina hii? Au kwa uhalisia wanaharakati wa haki za
binaadamu mmefanya nini kwa tukio hilo? Mbona hamsikiki kama
ilivyo katika matukio mengine mfano police wakitumia nguvu
zaidi kudhibiti mfano waandamaji- mara moja utaona au
kusikia mikutano na waandishi wa habari kutoa matamko ya
kulaani na nk. 
Kwali lingine naomba kuelimishwa, mtu aliekufa ana
haki gani kama kifo chake kilitokana na kupigwa au kunyongwa
au kupigwa risasi na wahalifu? Hapo je, wanaharakati hakuna
kazi ya kufanya? Hili swali linawahusu pia wale wanaopinga
adhabu ya kifo. Mfano mdogo tu, janga la tetemeko limeua
watu Kagera na wengine wengi wanalala nje na wengine
darasani na watoto wanasoma na wahanga wakiendelea kuishi
darasanina wengine kuhitaji matibabu na makazi halafu
unasikia au kushuhudia mtu au kikundi cha watu wanahujumu
michango hiyo ya wahanga! Je huyu si muuaji? kwa nini
asiuawe au wasiuawe hawa?
Naomba kuelimishwa!



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment