Friday 30 September 2016

Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI

"Hakukuwa na maandamano lakini kama kulivyokuwa kwa akina Ulimboka,"anasema Hildegarda Kiwasila. Kama hoja ni hiyo, kwani ni nani wana jukumu la kwanza la kulinda raia na mali zao ni raia wanaotetea haki za binadamu au askari? Hebu kwanza jibu hapa halafu tuendelee.

2016-09-30 10:57 GMT+03:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

Hakukuwa na maandamano lakini kama inavyokuaga kwa raia kama akina Ulimboka, mapambano na wafanya biashara mababarani na askari kubondwa etc. Wakiandamana kama inavyokuwa kwa Raia akibondwa itaeleweka kwa wengi ambao hawasomi magazeti, tovuti etc.

--------------------------------------------
On Fri, 30/9/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Friday, 30 September, 2016, 10:45



 Ndiyo maana
 Elisa nakuambia huwa sikuelewi kwenye mambo mengi
 unayochangia kwa kupotosha ukweli, na unategemea sana tabia
 ya watanzania ya kutopenda kusoma kuwadanganya. Kituo Cha
 Sheria na Haki za Binadamau kilitoa tamko pale askari wetu
 chapa kazi walipopata mkasa wa kuuliwa na majambazi. Na hili
 sio jambo la kutolea kebehi kama unavyofanya hapa, kwa vile
 askari polisi ni combo muhimu sana katika kulinda usalama wa
 raia na mali zao. Tukiruhusu watu wenye agenda zisizokuwa na
 mashiko kutumia kuuwawa kwa walinda amani wetu hawa ni
 kuruhusu ujinga usio kifani kututawala. Ni bora ukatafuta
 mada nyingine kupotezea muda wako.
 Nimeambatanisha hapa tamko
 lililotolewa ili usizidi kudanganya watu. Fuatilia mambo ya
 Haki za Binadamu yanayotokea nchi hii kwenye tovuti hii: www.humanrights.or.tz





 2016-09-29 22:11 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:


 Basi ipo haja kurudi nyuma na kuunganisha maneno. HAKI NA
 WAJIBU WA BINADAMU.

 Kama kweli madhali mtu kavaa magwanda ya uaskari akifaniwa
 gasia na mtu ambaye hakuvaa magwanda basi wanaharakati
 wanakaa kimya hiyo ni kasoro kubwa maana na askari ni
 binadamu. Kama kundi la watu likiji-organise na kuanza
 kunyanyasa maaskari mwanaharakati hahusiki nalo basi
 uanaharakati ni ajera mbaya

 ------------------------------ --------------

 On Thu, 9/29/16, Telesphor
 Magobe <tmagobe@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM
 NIELIMISHENI

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Thursday, September 29, 2016, 3:07 PM



  1.Kwa maoni yangu, haki

  za binadamu ni kanuni za msingi za maisha zinazopaswa

  zilindwe na mamlaka ya nchi ili raia waishi maisha ya
 heri

  (kanuni zinazolinda ustawi wa raia na mali zao).

  2. Kanuni hizi za msingi ni kama

  vile: kuishi, kuheshimiwa, kupata riziki halali ya
 maisha,

  kutekeleza majukumu ya kifamilia, kijamii, kupata
 elimu,

  huduma za afya, maendeleo nk.

  3.

  Jambazi kumwua polisi au raia au mume kumpiga mkewe au
 mtoto

  ni mambo ambayo yako nje ya haki za binadamu, lakini
 yako

  ndani ya makosa ya jinai kwa mujibu wa sheria za nchi.
 Ila

  polisi au mtu yeyote mwenye mamlaka ya kiserikali
 akimwua

  raia (kama si katika kujilinda au katika kutekeleza
 wajibu

  wake kisheria na unaoendana na kanuni za kimataifa

  zinazolinda ustawi wa watu) basi hata hapo haki za
 binadamu

  zimeguswa.

  4. Kimsingi, haki za

  binadamu ni madai halali dhidi ya mamlaka ya nchi -
 yaani

  yale ambayo mamlaka ya nchi inapaswa iyatekeleze kwa
 raia

  wake.

  5. Mamlaka ya nchi ikitekeleza

  inakuwa kwamba nchi fulani inaheshimu haki za binadamu
 na

  ikishindwa/kukiuka au kupuuza inakuwa kwamba nchi
 fulani

  inavunja haki za binadamu.

   



  2016-09-29 14:11 GMT+03:00

  'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  Loh swali

  zuri sana. Na mimi ni mmoja kati ya watakaofaidika japo

  nilikuwa naona aibu kuuliza.



  Zamani sana katika mjadala mwanasheria mmoja alibwatuka
 neno

  ovu kabisa Akaseka " LENGO KUU LA HAKI ZA BINADAMU
 NI

  KUMTENGANISHA MWANADAMU NA MUNGU" Kabla hajaongeza

  nikamvaa. Nikamshambulia.Akaniangalia kwa dharau. Mwisho
 wa

  maneno yangu akasema "Wewe ndugu naona una akili.

  Subiri wakati ukifika tumia akili zako kuelewa."

  Nikamuuliza wakati gani? Akasema pale itakapotangazwa
 kuwa

  NGONO NI HAKI ZA BINADAMU. Nikamwambia mpaka kurudi kwa
 Yesu

  hakutatokea kitu hicho. Ilipotokea namtafuta sana
 kuntaka

  radhi.







  Jingine: Huwezi kuwasikia wanaharakati majambazi
 wanapomuua

  Polisi. Hawathibutu kusema. Lakini Polisi akithubutu tu

  hutajua walikotokea.







  Jingine: Kuna mataifa ndiyo tu yanayoweza kutoa tafsiri
 ya

  gaidi. Angola ilipambana na gaidi Savimbi lakini
 usingesikia

  akiitwa gaidi labda Nyerere tu. Ghadafi aliitwa gaidi
 na

  mataifa hayo kila mwanaharakati akamwita gaidi. Kuna
 mmoja

  nilimuuliza kwanini unamwita Gadafi gaidi akaniuliza
 kama

  juzi nilisikiliza VoA. Yaani kwake ni gaidi kwa sababu
 VoA

  ilimwita gaidi. Sasa hivi Urusi inaisaidia Syria
 kupambana

  na magaidi lakini husikii wanaharakati wakisema. Ila
 Asaad

  ndiye anaitwa muuaji. Ukiuliza watasema Husikii VoA
 nini?

  Atakayejibu atusaidie mpaka huko.



  Muhingo







  ------------------------------ --------------



  On Wed, 9/28/16, 'Mashaka Makana' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:







   Subject: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM

  NIELIMISHENI



   To: "wanabidii@googlegroups.com"

  <wanabidii@googlegroups.com>



   Date: Wednesday, September 28, 2016, 3:35 PM







   Habari



   wote katika jamii! Naomba kufahamu MSINGI wa
 kuanzisha



   shirika la kutetea haki za binaadamu! Mwezi huu
 wenzetu

  wa



   Kagera walipatwa na madhara ya kuumia na wengine

  kufariki.



   Nini mchango wa wanaharakati wa haki za binaadamu kwa



   majanga ya aina hii? Au kwa uhalisia wanaharakati wa
 haki

  za



   binaadamu mmefanya nini kwa tukio hilo? Mbona
 hamsikiki

  kama



   ilivyo katika matukio mengine mfano police wakitumia

  nguvu



   zaidi kudhibiti mfano waandamaji- mara moja utaona au



   kusikia mikutano na waandishi wa habari kutoa matamko

  ya



   kulaani na nk. 



   Kwali lingine naomba kuelimishwa, mtu aliekufa ana



   haki gani kama kifo chake kilitokana na kupigwa au

  kunyongwa



   au kupigwa risasi na wahalifu? Hapo je, wanaharakati

  hakuna



   kazi ya kufanya? Hili swali linawahusu pia wale

  wanaopinga



   adhabu ya kifo. Mfano mdogo tu, janga la tetemeko

  limeua



   watu Kagera na wengine wengi wanalala nje na wengine



   darasani na watoto wanasoma na wahanga wakiendelea

  kuishi



   darasanina wengine kuhitaji matibabu na makazi halafu



   unasikia au kushuhudia mtu au kikundi cha watu

  wanahujumu



   michango hiyo ya wahanga! Je huyu si muuaji? kwa nini



   asiuawe au wasiuawe hawa?



   Naomba kuelimishwa!















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings,
 and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha

  ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

  googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/

  optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.




 --
 Ezekiel J. Massanja
 Director of Finance and Administration
 Legal and Human Rights Centre
 P.O. BOX 75254
 Dar es Salaam

 Tel: +255 22 2773038,
 2773048
 Fax: +255 22 2773037
 Cel: +255 754 283593





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment