Friday 30 September 2016

[wanabidii] SIMU FEKI

Bhandugu habari ya jioni?
Naomba kujua issue moja, kuhusu suala la simu feki.
Je TCRA kuna control yoyote imewekwa ili kudhibiti uingiaji wa simu feki katika soko la Bongo?
Au litakuwa suala la kudhurumiana fedha kila baada ya muda i.e. kuendelea na issue ya kuzima feki kila wakati.
 
Reuben

0 comments:

Post a Comment