Friday 30 September 2016

Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI

Hakukuwa na maandamano lakini kama inavyokuaga kwa raia kama akina Ulimboka, mapambano na wafanya biashara mababarani na askari kubondwa etc. Wakiandamana kama inavyokuwa kwa Raia akibondwa itaeleweka kwa wengi ambao hawasomi magazeti, tovuti etc.

--------------------------------------------
On Fri, 30/9/16, Ezekiel Massanja <ezekielmassanja@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 30 September, 2016, 10:45



Ndiyo maana
Elisa nakuambia huwa sikuelewi kwenye mambo mengi
unayochangia kwa kupotosha ukweli, na unategemea sana tabia
ya watanzania ya kutopenda kusoma kuwadanganya. Kituo Cha
Sheria na Haki za Binadamau kilitoa tamko pale askari wetu
chapa kazi walipopata mkasa wa kuuliwa na majambazi. Na hili
sio jambo la kutolea kebehi kama unavyofanya hapa, kwa vile
askari polisi ni combo muhimu sana katika kulinda usalama wa
raia na mali zao. Tukiruhusu watu wenye agenda zisizokuwa na
mashiko kutumia kuuwawa kwa walinda amani wetu hawa ni
kuruhusu ujinga usio kifani kututawala. Ni bora ukatafuta
mada nyingine kupotezea muda wako.
Nimeambatanisha hapa tamko
lililotolewa ili usizidi kudanganya watu. Fuatilia mambo ya
Haki za Binadamu yanayotokea nchi hii kwenye tovuti hii: www.humanrights.or.tz





2016-09-29 22:11 GMT+03:00
'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:


Basi ipo haja kurudi nyuma na kuunganisha maneno. HAKI NA
WAJIBU WA BINADAMU.

Kama kweli madhali mtu kavaa magwanda ya uaskari akifaniwa
gasia na mtu ambaye hakuvaa magwanda basi wanaharakati
wanakaa kimya hiyo ni kasoro kubwa maana na askari ni
binadamu. Kama kundi la watu likiji-organise na kuanza
kunyanyasa maaskari mwanaharakati hahusiki nalo basi
uanaharakati ni ajera mbaya

------------------------------ --------------

On Thu, 9/29/16, Telesphor
Magobe <tmagobe@gmail.com>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM
NIELIMISHENI

 To: "wanabidii@googlegroups.com"
<wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Thursday, September 29, 2016, 3:07 PM



 1.Kwa maoni yangu, haki

 za binadamu ni kanuni za msingi za maisha zinazopaswa

 zilindwe na mamlaka ya nchi ili raia waishi maisha ya
heri

 (kanuni zinazolinda ustawi wa raia na mali zao).

 2. Kanuni hizi za msingi ni kama

 vile: kuishi, kuheshimiwa, kupata riziki halali ya
maisha,

 kutekeleza majukumu ya kifamilia, kijamii, kupata
elimu,

 huduma za afya, maendeleo nk.

 3.

 Jambazi kumwua polisi au raia au mume kumpiga mkewe au
mtoto

 ni mambo ambayo yako nje ya haki za binadamu, lakini
yako

 ndani ya makosa ya jinai kwa mujibu wa sheria za nchi.
Ila

 polisi au mtu yeyote mwenye mamlaka ya kiserikali
akimwua

 raia (kama si katika kujilinda au katika kutekeleza
wajibu

 wake kisheria na unaoendana na kanuni za kimataifa

 zinazolinda ustawi wa watu) basi hata hapo haki za
binadamu

 zimeguswa.

 4. Kimsingi, haki za

 binadamu ni madai halali dhidi ya mamlaka ya nchi -
yaani

 yale ambayo mamlaka ya nchi inapaswa iyatekeleze kwa
raia

 wake.

 5. Mamlaka ya nchi ikitekeleza

 inakuwa kwamba nchi fulani inaheshimu haki za binadamu
na

 ikishindwa/kukiuka au kupuuza inakuwa kwamba nchi
fulani

 inavunja haki za binadamu.

  



 2016-09-29 14:11 GMT+03:00

 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

 Loh swali

 zuri sana. Na mimi ni mmoja kati ya watakaofaidika japo

 nilikuwa naona aibu kuuliza.



 Zamani sana katika mjadala mwanasheria mmoja alibwatuka
neno

 ovu kabisa Akaseka " LENGO KUU LA HAKI ZA BINADAMU
NI

 KUMTENGANISHA MWANADAMU NA MUNGU" Kabla hajaongeza

 nikamvaa. Nikamshambulia.Akaniangalia kwa dharau. Mwisho
wa

 maneno yangu akasema "Wewe ndugu naona una akili.

 Subiri wakati ukifika tumia akili zako kuelewa."

 Nikamuuliza wakati gani? Akasema pale itakapotangazwa
kuwa

 NGONO NI HAKI ZA BINADAMU. Nikamwambia mpaka kurudi kwa
Yesu

 hakutatokea kitu hicho. Ilipotokea namtafuta sana
kuntaka

 radhi.







 Jingine: Huwezi kuwasikia wanaharakati majambazi
wanapomuua

 Polisi. Hawathibutu kusema. Lakini Polisi akithubutu tu

 hutajua walikotokea.







 Jingine: Kuna mataifa ndiyo tu yanayoweza kutoa tafsiri
ya

 gaidi. Angola ilipambana na gaidi Savimbi lakini
usingesikia

 akiitwa gaidi labda Nyerere tu. Ghadafi aliitwa gaidi
na

 mataifa hayo kila mwanaharakati akamwita gaidi. Kuna
mmoja

 nilimuuliza kwanini unamwita Gadafi gaidi akaniuliza
kama

 juzi nilisikiliza VoA. Yaani kwake ni gaidi kwa sababu
VoA

 ilimwita gaidi. Sasa hivi Urusi inaisaidia Syria
kupambana

 na magaidi lakini husikii wanaharakati wakisema. Ila
Asaad

 ndiye anaitwa muuaji. Ukiuliza watasema Husikii VoA
nini?

 Atakayejibu atusaidie mpaka huko.



 Muhingo







 ------------------------------ --------------



 On Wed, 9/28/16, 'Mashaka Makana' via Wanabidii

 <wanabidii@googlegroups.com>

 wrote:







  Subject: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM

 NIELIMISHENI



  To: "wanabidii@googlegroups.com"

 <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Wednesday, September 28, 2016, 3:35 PM







  Habari



  wote katika jamii! Naomba kufahamu MSINGI wa
kuanzisha



  shirika la kutetea haki za binaadamu! Mwezi huu
wenzetu

 wa



  Kagera walipatwa na madhara ya kuumia na wengine

 kufariki.



  Nini mchango wa wanaharakati wa haki za binaadamu kwa



  majanga ya aina hii? Au kwa uhalisia wanaharakati wa
haki

 za



  binaadamu mmefanya nini kwa tukio hilo? Mbona
hamsikiki

 kama



  ilivyo katika matukio mengine mfano police wakitumia

 nguvu



  zaidi kudhibiti mfano waandamaji- mara moja utaona au



  kusikia mikutano na waandishi wa habari kutoa matamko

 ya



  kulaani na nk. 



  Kwali lingine naomba kuelimishwa, mtu aliekufa ana



  haki gani kama kifo chake kilitokana na kupigwa au

 kunyongwa



  au kupigwa risasi na wahalifu? Hapo je, wanaharakati

 hakuna



  kazi ya kufanya? Hili swali linawahusu pia wale

 wanaopinga



  adhabu ya kifo. Mfano mdogo tu, janga la tetemeko

 limeua



  watu Kagera na wengine wengi wanalala nje na wengine



  darasani na watoto wanasoma na wahanga wakiendelea

 kuishi



  darasanina wengine kuhitaji matibabu na makazi halafu



  unasikia au kushuhudia mtu au kikundi cha watu

 wanahujumu



  michango hiyo ya wahanga! Je huyu si muuaji? kwa nini



  asiuawe au wasiuawe hawa?



  Naomba kuelimishwa!















  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings,
and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.

 Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving

 emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.











 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma







 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@

 googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/

 optout.













 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/
optout.




--
Ezekiel J. Massanja
Director of Finance and Administration
Legal and Human Rights Centre
P.O. BOX 75254
Dar es Salaam

Tel: +255 22 2773038,
2773048
Fax: +255 22 2773037
Cel: +255 754 283593





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment