Thursday 29 September 2016

Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI

Hakuna aliye jibu MASWALI ya Muhingo. Maana haya asemayo Magobe tumeuliza tukiwa tunayajua. Swali ni hivi, Lissu kukamatwa akalazwa ndani bila Dhamana inakiuka haki zake zaidi kuliko askari anayeuliwa akiwa kwenye majukumu yake?
Swali liko hapo. Uswahiliswahili tuache!
Mimi naijua sehemu ya jibu sahihi. Wana harakati wa hapa bongo wengi ni tawi ama basi mapandikizi ya CHADEMA! Nani anataka kubisha!?

On 29 Sep 2016 22:11, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Basi ipo haja kurudi nyuma na kuunganisha maneno. HAKI NA WAJIBU WA BINADAMU.
Kama kweli madhali mtu kavaa magwanda ya uaskari akifaniwa gasia na mtu ambaye hakuvaa magwanda basi wanaharakati wanakaa kimya hiyo ni kasoro kubwa maana na askari ni binadamu. Kama kundi la watu likiji-organise na kuanza kunyanyasa maaskari mwanaharakati hahusiki nalo basi uanaharakati ni ajera mbaya
--------------------------------------------
On Thu, 9/29/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM NIELIMISHENI
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Thursday, September 29, 2016, 3:07 PM

 1.Kwa maoni yangu, haki
 za binadamu ni kanuni za msingi za maisha zinazopaswa
 zilindwe na mamlaka ya nchi ili raia waishi maisha ya heri
 (kanuni zinazolinda ustawi wa raia na mali zao).
 2. Kanuni hizi za msingi ni kama
 vile: kuishi, kuheshimiwa, kupata riziki halali ya maisha,
 kutekeleza majukumu ya kifamilia, kijamii, kupata elimu,
 huduma za afya, maendeleo nk.
 3.
 Jambazi kumwua polisi au raia au mume kumpiga mkewe au mtoto
 ni mambo ambayo yako nje ya haki za binadamu, lakini yako
 ndani ya makosa ya jinai kwa mujibu wa sheria za nchi. Ila
 polisi au mtu yeyote mwenye mamlaka ya kiserikali akimwua
 raia (kama si katika kujilinda au katika kutekeleza wajibu
 wake kisheria na unaoendana na kanuni za kimataifa
 zinazolinda ustawi wa watu) basi hata hapo haki za binadamu
 zimeguswa.
 4. Kimsingi, haki za
 binadamu ni madai halali dhidi ya mamlaka ya nchi - yaani
 yale ambayo mamlaka ya nchi inapaswa iyatekeleze kwa raia
 wake.
 5. Mamlaka ya nchi ikitekeleza
 inakuwa kwamba nchi fulani inaheshimu haki za binadamu na
 ikishindwa/kukiuka au kupuuza inakuwa kwamba nchi fulani
 inavunja haki za binadamu.
  

 2016-09-29 14:11 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Loh swali
 zuri sana. Na mimi ni mmoja kati ya watakaofaidika japo
 nilikuwa naona aibu kuuliza.

 Zamani sana katika mjadala mwanasheria mmoja alibwatuka neno
 ovu kabisa Akaseka " LENGO KUU LA HAKI ZA BINADAMU NI
 KUMTENGANISHA MWANADAMU NA MUNGU" Kabla hajaongeza
 nikamvaa. Nikamshambulia.Akaniangalia kwa dharau. Mwisho wa
 maneno yangu akasema "Wewe ndugu naona una akili.
 Subiri wakati ukifika tumia akili zako kuelewa."
 Nikamuuliza wakati gani? Akasema pale itakapotangazwa kuwa
 NGONO NI HAKI ZA BINADAMU. Nikamwambia mpaka kurudi kwa Yesu
 hakutatokea kitu hicho. Ilipotokea namtafuta sana kuntaka
 radhi.



 Jingine: Huwezi kuwasikia wanaharakati majambazi wanapomuua
 Polisi. Hawathibutu kusema. Lakini Polisi akithubutu tu
 hutajua walikotokea.



 Jingine: Kuna mataifa ndiyo tu yanayoweza kutoa tafsiri ya
 gaidi. Angola ilipambana na gaidi Savimbi lakini usingesikia
 akiitwa gaidi labda Nyerere tu. Ghadafi aliitwa gaidi na
 mataifa hayo kila mwanaharakati akamwita gaidi. Kuna mmoja
 nilimuuliza kwanini unamwita Gadafi gaidi akaniuliza kama
 juzi nilisikiliza VoA. Yaani kwake ni gaidi kwa sababu VoA
 ilimwita gaidi. Sasa hivi Urusi inaisaidia Syria kupambana
 na magaidi lakini husikii wanaharakati wakisema. Ila Asaad
 ndiye anaitwa muuaji. Ukiuliza watasema Husikii VoA nini?
 Atakayejibu atusaidie mpaka huko.

 Muhingo



 ------------------------------ --------------

 On Wed, 9/28/16, 'Mashaka Makana' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



  Subject: [wanabidii] WANAHARAKATI WA HAKI ZA BINAADAM
 NIELIMISHENI

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Wednesday, September 28, 2016, 3:35 PM



  Habari

  wote katika jamii! Naomba kufahamu MSINGI wa kuanzisha

  shirika la kutetea haki za binaadamu! Mwezi huu wenzetu
 wa

  Kagera walipatwa na madhara ya kuumia na wengine
 kufariki.

  Nini mchango wa wanaharakati wa haki za binaadamu kwa

  majanga ya aina hii? Au kwa uhalisia wanaharakati wa haki
 za

  binaadamu mmefanya nini kwa tukio hilo? Mbona hamsikiki
 kama

  ilivyo katika matukio mengine mfano police wakitumia
 nguvu

  zaidi kudhibiti mfano waandamaji- mara moja utaona au

  kusikia mikutano na waandishi wa habari kutoa matamko
 ya

  kulaani na nk. 

  Kwali lingine naomba kuelimishwa, mtu aliekufa ana

  haki gani kama kifo chake kilitokana na kupigwa au
 kunyongwa

  au kupigwa risasi na wahalifu? Hapo je, wanaharakati
 hakuna

  kazi ya kufanya? Hili swali linawahusu pia wale
 wanaopinga

  adhabu ya kifo. Mfano mdogo tu, janga la tetemeko
 limeua

  watu Kagera na wengine wengi wanalala nje na wengine

  darasani na watoto wanasoma na wahanga wakiendelea
 kuishi

  darasanina wengine kuhitaji matibabu na makazi halafu

  unasikia au kushuhudia mtu au kikundi cha watu
 wanahujumu

  michango hiyo ya wahanga! Je huyu si muuaji? kwa nini

  asiuawe au wasiuawe hawa?

  Naomba kuelimishwa!







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha
 ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@
 googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/
 optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment