pamoja
On Jul 24, 2015 9:10 PM, "Maurice Oduor" <mauricejoduor@gmail.com> wrote:----2015-07-24 19:52 GMT-04:00 Dr. Frank Mwakasisi <mwakasisi@tgpm.org>:Wapendwa WaTanzania na Marafiki zetu popote mlipo,
Kwa niaba ya uongozi wa Tanzania Global Prayer Movement (TGPM), natoa shukrani za dhati kwa wale wote walioungana nasi kupitia simu kwenye maombi ya Jumapili iliyopita. Tunawashukuru pia wale walioomba kwa wakati wao popote pale duniani. Jumapili iliyopita tuliombea:
1) Usalama wa mgombea Uraisi kupitia chama cha CCM.
2) Amani katika UKAWA huku wakiendelea kuchakanua mgombea wao wa Uraisi.
3) Tamko la Raisi Obama kuhusiana na Uhamiaji hapa Marekani.
Tuendelee kuombea hayo mambo matatu kwani yote bado ni nyeti. Endelea kuombea usalama wa Dr. Magufuli.
Kuanzia Jumapili ijayo yaani kesho kutwa Mungu ametupa mzigo wa maombi kulenga vitu vikubwa vitatu:
1) Utakaso wa Kiti cha Uraisi wa Tanzania
2) Utakaso wa Ikulu ikiwa ni mahali anapofanyia kazi Raisi wa Tanzania
3) Mgombea Uraisi wa UKAWA kama jina litakuwa limetoka. Kama bado, tutaendelea kuombea amani huku mchakachuo ukiendelea.
Bila kwenda ndani zaidi, maono yaliyotolewa yanaonyesha kafara nyingi zilizotolewa kwenye nguvu ya giza na kuchafua kiti cha Urahisi na eneo analofanyia kazi yaani Ikulu. Wapendwa tumepewa mzigo wa kuombea nchi yetu ili Mungu ajiinulie mtu wake mwenye hofu ya Mungu atakayeongoza Tanzania. Maono yanaonyesha kuwa huyo mtu hata akawa na hofu ya Mungu, atapata shida sana kufanya kazi yake kama hatutaomba utakaso wa hayo mambo mawili. Mpendwa haya ni maswala nyeti na yanahitaji msukumo mzito wa kiroho wa maombi kuweza kuisukuma hiyo giza inayozunguka hayo maeneo mawili. Maombi ya haya maswala si lelemama. Omba Mungu akupe mzigo wa kuyaombea.
Hizi dondoo mpya za maombi tutaanza kuombea siku ya Jumapili Julai 26. Vile vile nitaomba kila mtu kuendelea kuombea kwa wakati wako kila siku mpaka Jumapili Agosti 2.
To join the conference call, please dial (218) 895 9661 and passcode is 222555. The prayer starts at 9pm Eastern, 8pm central, 7pm Mountain or 6pm Pacific time.
For more information about Tanzania Global Prayer Movement (TGPM), please visit our website at:
Tafadhali sambaza huu ujumbe kwa watu wote unaowafahamu.
Neema ya Bwana ikufunike na kukushindia daima.
Frank Mwakasisi, Ph.D.
Founder
Evangelist, Pastor, Teacher, and Preacher
Tanzania Global Prayer Movement - "Praying for the Power of the Resurrected Jesus Christ, our Lord to Transform Tanzania and spring forth Personal Renewal and Community Revival."
Chicago, Illinois
USA
Website: http://www.tgpm.org
Email: info@tgpm.org
_______________________________________________
Prayers mailing list
Prayers@tgpm.org
http://tgpm.org/mailman/listinfo/prayers_tgpm.org
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:
Post a Comment