Pita nje ya Wizara ya Afya uone biashara za matikiti, matango, na matunda mengine pale penye gate lao la kuingia ndani ya fence yao. Uone biashara wazi ya matunda hakuna kufunika na wanamenya tikiti na kuuzia watu na linabaki hivyo kusubirisha vipande kwa wengine. Nenda restaurants jirani na Wizara ya Afya-vyakula wazi.
Tumbi na St Kizito Mikumi zinapokea sana waliopata ajali. Tumbi ina kazi kubwa mkoa wa Pwani huduma zake kuhimu na Kibaha ni mji wa vyuo, viwanda etc. Waipe vifaa inavyohitaji. Huwezi kuwa baba mkamilifu ukiondoka huachi pesa za chakula lakini ukirudi unataka ule kile chakula utakacho/upendacho. Unakuta wamepika mlenda wa bamia na fungu moja la mboga ya maboga. Unasema hupendi kula hivyo unataka kuku au samaki na ugali.-Unampiga mke daima! Zipo kichwani hapo kweli? Aibisheni wauguzi jukwaani, fungeni maduka nje ya GVT health services bila ya kutoa alternatives. Wauguzi watakaa, wanaangalia wagonjwa wakisubiri Kingwalala, Mangufuli na PMO waende wakawahudumie wagonjwa. Kuanzia sasa-takwimu za vifo kutokana na uzazoi na magonjwa mbalimbali, ukataji viungo kwa waathirika wa ajali ziwekwe. Zita shoot sana kutokana na go-slow ya watumishi ambao wataacha kujituma wakisubiri wewe mkali na mfungaji, mfokeaji upeleke vifaa na vitu vya huduma. Zamani wakichangamkia kutoa huduma, kuagiza ndugu wa mgonjwa kununua dawa na kumtibu mgonjwa kutokana na kupata motisha inkind kutoka mgonjwa au nduguze. Sasa-Hakuna vifaa, hakuna dawa za tiba, hakuna motisha ya hela. Tutazika wengi. Wapeni dawa na vifaa motisha na malipo ya overtime please na honoraria ya hela kwa mwezi kwa wote kwa hudiuma iliyotukuka ya kusaidia wengine ili rushwa iishe.
--------------------------------------------
On Fri, 4/3/16, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 4 March, 2016, 7:58
Naam, tumekusoma.
Ahsante
2016-03-03 10:46
GMT+03:00 orao.sylvester1 <orao.sylvester1@gmail.com>:
Mh, umesikia matatizo ya hospitali ya
Tumbi?
Tumbi inapokea majeruhi wengi sana wa ajali za
barabarani na kwa muda mrefu sasa. Tatizo lao lilipaswa
lipewe kipaumbele. Mna changamoto nyingi lakini jitahidini
kuimulika hospitali hii na kuisaidia kadri
iwezekanavyo
Concerned Citizen
Sent
from my Samsung device
-------- Original message --------
From: "Dr. Hamisi A. Kigwangalla" <hkigwangalla@gmail.com>
Date: 03/03/2016 08:29 (GMT+03:00)
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
Point tupu...
2016-03-01 12:42
GMT+03:00 Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>:
Pumba tupu. Nilipoteza mjukuu baada ya kuhangaika Lugalo
kwenda Muhimbili na nilinunua mafuta ya landrover ili
tupelekwe Muhimbili. Kufika huko ni ukanjanja tu mpaka binti
akakosa mtoto. Alifika asubuhi sana opertesheni jioni sana
mtoto maiti tumboni na alipitiliza muda wa kuzaa mtoto
alikuwa mkubwa sana pia-vifaa hawana mara hili mara lile.
Tuna stories nyingi zetu wenyewe tulizotendewa mahospitali,
kliniki, unatoa hela ya hili na lile na kumpa kitu muhudumu
ili tu mgonjwa wako, mzazi wako ahudumiwe. Kila kitu hakipo
na una kadi ya afya. Unalipia, unanunua ili uje upate
refund-wapi, utaipata?
Kama hata majengo ya hospitali kuu za serikali kunguru
anaruka na placenta na uchafu mwingine wa kutoka chumba cha
upasuaji incinerator haifanyi kazi-utakaba roho hospitari au
zahanati nyingine? Sitaki kuweka picha hapa za kugawa
mashuka niliyonunua mtumba kusaidia Zahanati mojawapo ya GVT
Tarafa ya Ngerengere 2014. Hakuna shuka na mapazia. wakina
mama wanalalia uchafu. rekebisha kwako kwanza kabla
hujadandia kwa wengine. Hii funga, kamata, fukuza ya sasa
itaumiza wengi na watu watakufa hasa wakati serikali yenyewe
vibaka wengi na ulaji mkubwa alocation ya hela ndogo. Vifaa
haviletwi kupewa wahusika au matengenezo duni.
--------------------------------------------
On Tue, 1/3/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:
Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
To:
Date: Tuesday, 1 March, 2016, 7:38
Habari za
asubuhi,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<p style="text-align:
center;"><span style="color:
#000000;"><strong>Naibu wa Waziri wa
Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
Kigwangalla ameagiza kufungwa mara moja Chumba cha
upasuaji
cha hospitali ya Sanitas ya Mikocheni Jijini Dar es
Salaam
baada ya kubaini kuwa na kasoro mbalimbali ikiwemo mfumo
na
ramani yake kimefungwa kwa kutokidhi vigezo vya kimataifa
vya namna chumba hicho kinavyotakiwa
kuwa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dk.
Kigwangalla ametoa agizo hilo mapema jana Februari
29.2016,
alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye hospitali hiyo
majira
ya saa nane na nusu mchana ambapo baada ya kutembelea
hospitali nzima na kushuhudia namna ya utolewaji wa
huduma,
hakuridhishwa na hali aliyokutana nayo kwenye chumba
hicho
na kutoa maagizo kwa Msajili wa Hospitali Binafsi, Dkt.
Pamela Sawa kufunga chumba hicho mpaka uongozi wa
hospitali
hiyo utakapofanya marekebisho ya mapungufu
yaliyopo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>"Chumba
cha upasuaji hakiko sawa, siwezi kuvumilia kuacha chumba
hiki kiko chini ya kiwango cha kimataifa. Rekebisheni
chumba
hiki kwa kutumia mfumo wa ramani wa wizara," alieleza
Dkt.
Kigwangalla wakati wa kutoa maagizo kwa mmoja wa Ofisa wa
Hospitali
hiyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aidha
uongozi wa hospitali hiyo umepewa siku saba wawe
wamewasilisha maelezo ya kutowalipa mishahara kwa kipindi
cha miezi minne watumishi wake pamoja na jinsi
wanavyoteketeza taka hatarishi za hospitali
hiyo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
ziara hiyo Naibu Waziri huyo alipata malalamiko kutoka
kwa
watumishi hao ambao wamelalamikia kukatwa kwa makato ya
mafao pasipo kupelekwa mahali husika kwa zaidi ya miaka
mitatu na
nusu.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Dkt.
Kigwangalla alivitaja viwango vya chumba cha upasuaji
kuwa kinatakiwa chumba cha kubadilishia mavazi,kunawa
mikono,sehemu ya alama maalum zenye rangi nyekundu, meza
ya
upasuaji, ukanda wa usafi, chumba cha mapunziko baada ya
kutoka kwenye upasuaji na chumba cha kusafishia vifaa vya
upasuaji na kuna mashine maalum kwa kuwa kila upasuaji
una
idadi ya vifaa
vinavyotumika.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;"><strong>Aliongeza
kuwa viwango hivi vinawekwa ili kuepuka
maambukizi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Kwa
upande wake Meneja Uendeshaji wa hospitali hiyo, Bi. Gean
Cabral alisema watarekebisha mapungufu yaliyobainika
pamoja
na kufanya yale yote waliyoagiziwa baada ya tukio
hilo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#ff0000;"><em><strong>Tazama MO tv,
kuangalia tukio hilo hapa:<iframe src="https://www.youtube.com/embed/R3LviAPZlKQ"
width="560" height="315"
frameborder="0"
allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe></strong></em></span></p><p
style="text-align:
center;"><em><span
style="color:
#000080;"><strong>Imeandaliwa na Magreth
Kinabo, (<span style="color:
#000000;">MAELEZO</span>), Andrew Chale,
<span style="color:
#ff0000;">Modewjiblog/MO
tv)</span></strong></span></em></p><p
style="text-align:
center;"><strong><img
class="size-full
wp-image-5868 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-kigwa.jpg"
alt="dk kigwa" width="702"
height="468"
/></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><span
style="color:
#000080;"><em>Naibu wa Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi
Kigwangalla (katikati) akipata maelezo machache kutoka
kwa
Meneja uendeshaji wa Hospitali ya Sanitas, Bi. Gean
Cabral
wakati walipowasilia katika ziara
hiyo..</em></span></strong></p><p
style="text-align:
center;"><em><strong><img
class="alignnone size-full wp-image-5869"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-888.jpg"
alt="dk hk 888" width="702"
height="468" /><span style="color:
#000080;">Dk Kigwangalla akikagua baaadhi ya
sehemu katika hospitali
hiyo.</span></strong></em></p><p
style="text-align:
center;"><strong><img
class="alignnone
size-full wp-image-5870" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk55.jpg"
alt="dk hk55" width="702"
height="468" /><em><span
style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akizungumza na baadhi ya wagonjwa (hawapo pichani) namna
Serikali ya Rais Magufuli inavyofanya kazi kwa kusimamia
haki na usawa ikiwemo kufika katika maeneo yenye kero na
kuchukua hatua ilikumuokoa Mwananchi katika kupata haki
yake
na huduma bora
anayostahiki.</span></em></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><img
class="size-full
wp-image-5872 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-34.jpg"
alt="Kigwangalla akitoa maagizo"
width="702" height="468"
/></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><em><span
style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akitoa
maagizo hayo kwa Meneja uendeshaji wa hospitali hiyo, Bi.
Gean Cabral
</span></em></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><img
class="size-full
wp-image-5873 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hkna-.jpg"
alt="dk hkna" width="702"
height="468"
/></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><em><span
style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akimuonesha moja ya 'karatasi' iliyoandikwa
ujumbe
mbalimbali dhidi ya madai kutoka kwa wafanyakazi wa
Hospitali
hiyo.</span></em></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><em><img
class="size-full wp-image-5877 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-kigwa-1.jpg"
alt="dk kigwa" width="702"
height="468"
/></em></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><em><span
style="color: #000080;">Meneja Uendeshaji wa
Hospitali hiyo Bi. Gean Cabral akifafanua jambo pamoja na
Naibu Waziri wakati wa ziara
hiyo..</span></em></strong></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><strong><img
class="size-full wp-image-5875 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-iio.jpg"
alt="dk hk iio" width="702"
height="468"
/></strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><strong><em>Dk Kigwangalla
akiangalia namna hali ya Maabara ya Hospitali hiyo licha
ya
kuwa na vifaa vya kutosha, lakini imeshindwa kuweka
mpangilio mzuri unaotakiwa kutumika katika mahabara.
ikiwemo
suala la
usafi</em></strong></span></p><p
style="text-align:
center;"><strong><img
class="size-full
wp-image-5874 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk67-1.jpg"
alt="dk hk67" width="702"
height="468"
/></strong></p><p
style="text-align:
center;"><strong><em><span
style="color: #000080;">Naibu Waziriwa Afya,
Dk. Kigwangalla (kushoto), Msajili wa Hospitali Binafsi
pamoja na maafisa wengine akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya
ya
Kinondoni, Dk. Aziz (kulia) wakijadiliana jambo muda
mfupi
baada ya kumalizika kwa ziara hiyo ya kushtukiza
kuangalia
namna ya uendeshaji katika huduma za Sekta za Afya,
zikiwemo
za Serikali na zile za watu binafsi. (Picha zote na
Andrew
Chale,Modewjiblog/MO
tv).</span></em></strong></p>
KAWAIDA
Naibu
wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na
Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza kufungwa mara
moja
Chumba cha upasuaji cha hospitali ya Sanitas ya Mikocheni
Jijini Dar es Salaam baada ya kubaini kuwa na kasoro
mbalimbali ikiwemo mfumo na ramani yake kimefungwa kwa
kutokidhi vigezo vya kimataifa vya namna chumba hicho
kinavyotakiwa kuwa.Dk.
Kigwangalla ametoa agizo hilo mapema jana Februari
29.2016,
alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye hospitali hiyo
majira
ya saa nane na nusu mchana ambapo baada ya kutembelea
hospitali nzima na kushuhudia namna ya utolewaji wa
huduma,
hakuridhishwa na hali aliyokutana nayo kwenye chumba
hicho
na kutoa maagizo kwa Msajili wa Hospitali Binafsi, Dkt.
Pamela Sawa kufunga chumba hicho mpaka uongozi wa
hospitali
hiyo utakapofanya marekebisho ya mapungufu
yaliyopo."Chumba
cha upasuaji hakiko sawa, siwezi kuvumilia kuacha chumba
hiki kiko chini ya kiwango cha kimataifa. Rekebisheni
chumba
hiki kwa kutumia mfumo wa ramani wa wizara," alieleza
Dkt.
Kigwangalla wakati wa kutoa maagizo kwa mmoja wa Ofisa wa
Hospitali hiyo.Aidha
uongozi wa hospitali hiyo umepewa siku saba wawe
wamewasilisha maelezo ya kutowalipa mishahara kwa kipindi
cha miezi minne watumishi wake pamoja na jinsi
wanavyoteketeza taka hatarishi za hospitali
hiyo.Katika
ziara hiyo Naibu Waziri huyo alipata malalamiko
kutoka kwa
watumishi hao ambao wamelalamikia kukatwa kwa makato ya
mafao pasipo kupelekwa mahali husika kwa zaidi ya miaka
mitatu na nusu.Dkt.
Kigwangalla alivitaja viwango vya chumba cha
upasuaji
kuwa kinatakiwa chumba cha kubadilishia mavazi,kunawa
mikono,sehemu ya alama maalum zenye rangi nyekundu, meza
ya
upasuaji, ukanda wa usafi, chumba cha mapunziko baada ya
kutoka kwenye upasuaji na chumba cha kusafishia vifaa vya
upasuaji na kuna mashine maalum kwa kuwa kila upasuaji
una
idadi ya vifaa vinavyotumika.Aliongeza
kuwa viwango hivi vinawekwa ili kuepuka
maambukizi.Kwa
upande wake Meneja Uendeshaji wa hospitali hiyo, Bi.
Gean
Cabral alisema watarekebisha mapungufu yaliyobainika
pamoja
na kufanya yale yote waliyoagiziwa baada ya tukio
hilo.Tazama
MO tv, kuangalia tukio hilo hapa:
Imeandaliwa
na Magreth Kinabo, (MAELEZO),
Andrew Chale, Modewjiblog/MO
tv)Naibu
wa Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na
Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akipata
maelezo
machache kutoka kwa Meneja uendeshaji wa Hospitali ya
Sanitas, Bi. Gean Cabral wakati walipowasilia katika
ziara hiyo..Dk
Kigwangalla akikagua baaadhi ya sehemu katika
hospitali
hiyo.Dk.
Kigwangalla akizungumza na baadhi ya wagonjwa
(hawapo
pichani) namna Serikali ya Rais Magufuli inavyofanya kazi
kwa kusimamia haki na usawa ikiwemo kufika katika maeneo
yenye kero na kuchukua hatua ilikumuokoa Mwananchi katika
kupata haki yake na huduma bora
anayostahiki.Dk.
Kigwangalla akitoa maagizo hayo kwa Meneja
uendeshaji wa
hospitali hiyo, Bi. Gean
Cabral Dk.
Kigwangalla akimuonesha moja ya 'karatasi'
iliyoandikwa ujumbe mbalimbali dhidi ya madai kutoka kwa
wafanyakazi wa Hospitali hiyo.Meneja
Uendeshaji wa Hospitali hiyo Bi. Gean Cabral
akifafanua
jambo pamoja na Naibu Waziri wakati wa ziara
hiyo..Dk
Kigwangalla akiangalia namna hali ya Maabara ya
Hospitali
hiyo licha ya kuwa na vifaa vya kutosha, lakini
imeshindwa
kuweka mpangilio mzuri unaotakiwa kutumika katika
mahabara.
ikiwemo suala la usafiNaibu
Waziriwa Afya, Dk. Kigwangalla (kushoto),
Msajili wa
Hospitali Binafsi pamoja na maafisa wengine akiwemo
Mganga
Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dk. Aziz (kulia)
wakijadiliana
jambo muda mfupi baada ya kumalizika kwa ziara hiyo ya
kushtukiza kuangalia namna ya uendeshaji katika huduma za
Sekta za Afya, zikiwemo za Serikali na zile za watu
binafsi.
(Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog/MO
tv).
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
"Vision is the ability to see the
invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
+255 782
636963
website: www.peercorpstrust.org
or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org
or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
"Vision is
the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
+255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org
or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org
or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment