Monday 28 March 2016

Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Kufukuza watu ambao maeneo yao ya kazi hayana maendeleo yoyote, hawapo katika Tarafa au Kata zao za kazi na kuweka wengine kutasaidia utendaji.
Haiwezekani kwamba yupo Bwana Afya Kata hapo ofisi ya kijiji naofisi haina choo. Shule ya msingi alipo haina choo au vyoo vimetapakaa kinyesi cha wanafunzi mpaka nje na hakuna Kibuyu Chirizi cha watoto kunawa mikono wakitoka chooni na madumu, chupa za plastiki zimezagaa kijijini.

Unafika kijijini kufanya tafiti shirikishi kwa mpango wa serikali kujenga mkwa mfano barabara ambapo watu watahamishwa pia-Extension staff wanakaa makao makuu ya mji wa wilaya sio Kata au Tarafa zao pamoja na huko kuwa na nyumba nzuri za kisasa. Hakuna mobile phone services! Ukimpakia uende naye katani kwake-eti ulimlipe posho! As if anasafiri kwenda nje ya eneo lake la kazi. Fukuza hawa!! Unataka kufanya presentation kiwilaya ili mpate comments zao tena kikao mnaomba muda wa kazi. Pia mmeandaa soda na sambusa-wanataka posho na unapewa kiasi cha posho ya DED, Mwenyekiti wa Council (65,000/=); wakuu wa kidara (40,000/=) na ulipe nauli na Posho wa Madiwani watakaoalikwa nauli na posho itafika 100,000+ per person. Hamna bajeti hiyo mnaamua kuacha kikao hicho ambacho ni sehemu shirikishi ya kazi. Muda wa kazi, unalipwa mshahara unataka tena ulipwe kwa kikao. Vikao vingine kila mtu anaondoka na 150 elfu na walikutana saa 1 tu muda wa kazi. Huu ni wakati sasa wa kurekebisha yote haya.

Mzungu anaingia Roma (TZ) anafanya kama Waroma wanavyofanya. Tunamwambia hiyo ndio Sera au matakwa ya serikali kulipa posho kwa vikao na hata hivyo vya capacity building. Niliondoa katika bajeti ya HESAWA Mara Region 1986-188 nilipata uadui mkubwa. Niliondoa RUDEP Rukwa 1990s ilizuka balaa kubwa sana. Unakuta mwaka mzima injinia wa maji anajenga anafukia mabomba ya maji lakini haonyeshi kilometa alizotakiwa versus ngapi amemaliza kwa kipindi gani cha kazi. Yupo anajenga tu milele na kuchukua hela. Ukisema ukaangalie vijiji husika hayo maendeleo ya kazi unapata upinzani nawe mgeni hukujui kwa kwenda na kuvamia. Usije ukasukiwa zari pia. Watu wamezila hela hasa lakini waliowengi wameishia pombe, nyumba ndogo, anasa kibao wachache sana wametumia pesa za ufisadi kwa maendeleo ya familia na jamii zao. Hii zuia mishahara na miradi hewa ya Mangufuli, tutashuhudia akina mama nyumba ndogo wakiaibisha familia zao kwa kupeleka kukabidhi watoto kwa wake zao halali kuwa baba hamtunzi tena hana hela. Shopping za kukutana katika vikao ulaya zitakwisha na wadada watawatema na tayari wamewajengea majumba na kuwaanzishia biashara. Kidada kitachukua kakijana na mzee hata msaada hatopata kutoka biashara alizomwanzishia. Hana hela sasa. Akina mama lea waliofanya hivyo kutokana na mihela ya kutoka bunge na vikao vingine vya serikali na magumashi yake-watatemwa. Miradi kijana ataiendesha na dogo wake. Kuna mengi ya fedheha yaja!!

--------------------------------------------
On Mon, 28/3/16, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, 28 March, 2016, 22:56

Kama una uzoefu na wafadhili hawa
utaona jinsi wanavyoweka fedha katika kitu wanachoita
'capacity building' Wanafanya hivyo kwa makusudi fulani na
kujiepusha kufanya vitu phisical. Wanapovifanya
wanahakikisha hamtavifaidi. Wakikutana na waombaomba wasiona
mwelekeo (kama waliopita) basi watawamwagia misaada na
mtaishia kupata fedha za semina na matangazo ya ''Msaada huu
umetolewa kwa hisani ya watu wa ----'.
--------------------------------------------
On Mon, 3/28/16, 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
wrote:

Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, March 28, 2016, 9:15 AM

Tukipata
misaada tukaitumia kuleta mifumo bora tutaendelea. Hata
Japani walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni kutaka
kuiba hiyo misaada na kutumia misaada kwa faida ya watu
wachache. Msaada unaombwa ukiwa umebeba administrative
costs
kubwa na development budget kidogo pia nazo zinahusu posho
za semina zinazoendeshwa na walewale walioandaa miradi
walioko serikalini. No tangible development costs. Kwahiyo
mamilioni ya dola yanaishia mifukoni mwa watu badala ya
kwenda kwenye miradi. 
Nilibahatika kufanya budget analysis kwenye
sector ya kilimo ktk Halmashauri moja mambo niliyoyaona
humo
ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta na posho. Hatuwekezi
kwenye miradi.
Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu sisi wenyewe.
Misaada ikitumika vizuri inaweza kuleta maendeleo na
kuondokana na utegemezi.

Sent
from Samsung Mobile


-------- Original message --------
From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>

Date: 
To: wanabidii@googlegroups.com

Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
 



Thanks, Ireneus Kakuru Mushongi na Elisa Muhingo amehoji
yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi kutufunua sisi
vipofu TZ tupo wengi wa kufuata mikumbo na kujali tumboni
street.
HK

--------------------------------------------
On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi
<ireneuskakurumushongi@gmail.com>
wrote:

  Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI
NA
UCHAGUZI WA TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups
com"
<wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05
 
  Nawaogopa wale mnaoutukuza umagharibi na na
  pia kupima mafanikio yenu kwa mizania ya
kimagharibi!
  Angalia China, India, Asian Tigers, hawaendekezi
  U-Magharibi. Wana principles zao nzuri wanazitumikia
  wanazifuata. Huku hatuna nidhamu ya kazi na kufuata
kanuni
  za mafanikia, hadi tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli
kwa
  akili hii tutafika?
  Hivi ni checklist gani ya
  kimagharibi unadhania inatufaa sisi hadi tuifuate
hatua
kwa
  hatua ndio tufanikiwe? Ya Kisiasa, kiuchumi au
  kiutamaduni?
  Our
  political, cultural, social and economical values in
terms
  of mission and visions should guide of undertakings.
We
are
  in a very different environment in any of the above;
how
  come their missions and visions guide our strategies?
Hapa
  kazi tu ni Kauli mbiu ambayo mission na vision yake
inaweza
  kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa vizuri kwa
vitendo
na
  nidhamu ya hali ya juu. Kwa nini tunang'ang'ania
  hizi dhana za kucopy na kupaste katika kuendesha
mambo
yetu?
  Can't we learn from others in the Eastern world?
  Can't we come up with something African and
particularly
  Tanzanian to guide of move?
  Or simply because bwana mkubwa Uncle
  Sam (US) is not happy, then we are in a wrong
direction?
  Because we not dancing in his tune? Yes it's time to
say
  no!
  For how long
  should WE keep on licking their feet, kissing their
ass to
  please them love us? South Africa, North Korea,
Iran,
Libya,
  were all sanctioned and denied the foreign aid few
years
  ago; you all know what they did out of dependence to
change
  their status.With exceptional of Libya where
  these western thugs intervened, we are well informed
of
the
  situation right now. Gadhafi is dead and Libya is a
mess.
US
  and her western allies are there at large controlling
oil
  reserves! Similarly they intervened Libya government
as
  undemocratic, supported few individuals who took
refuge in
  UK and US, formed political movements, ousted
Gadhafi;
those
  individuals as they were not united previously,
started
  fighting for power distribution; the West have failed
and
a
  situation in not manageable right now; gone beyond
control;
  some groups have turned into terrorist groups, joined
ISIS
  and Al-Qaeda; and surprising enough still few
Tanzanians
are
  hailing US as the remedy for our situation; come on
guys;
be
  serious and think ahead.
  Ndugu zangu wengine najua
  mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama kwa kuamua ama kwa
  kulazimishwa na mazingira. By the way Donald Trump
  doesn't need you anymore; km uko US; you better come
  back ili tujenge nchi yetu kwa kaulimbiu zetu
wenyewe
badala
  ya kuchochea vurugu na kulalamika tuuuu! We will
never
make
  it under US missions and visions to determine our
fate as
a
  country. Ndiyo changamoto zipo bado lakini
collectively
sisi
  wenyewe bila kuingiliwa na yeyote; we can make
  it.
  Just my
  take!
 
 
  Omukunirwa
  Ireneus 
 
 
 
   
 
  2016-03-27 12:56 GMT+03:00
  'Mashaka Makana' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>:
  Kama demokrasia ya
  chaguzi za viongozi kila baada ya miaka mitano
wakati
  chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi na kuimarisha
umasikini
basi
  mh.magufuli mpaka 2050!
 
  Sent
  from Yahoo Mail on Android 
From:"'mashakamakana'
  via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38
  Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 
  Tunalo
  jembe limechongwa usukumani wala hatuna haja ya amri
zao.
  Dawa ni kuwapuuza wakileta yasiyotufaa. Hongera
wanyarwanda
  mh. kagame mpaka 1937
 
 
  'Bernard' via Wanabidii
<wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
  Mapenzi ni
  chongo.From:
  'ELISA MUHINGO' via
  Wanabidii
  Sent:
  ‎27/‎03/‎2016
  00:52
  To:
  wanabidii@googlegroups.com
  Subject:
  Re: [wanabidii] MAREKANI INA
  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 
  Unazungumzia Marekani
  ipi? Iliyomuunga mkono Savimbi ili Angola  angola
  isiendelee na kuendeleza demokrasia? Hapo ndipo
ilikuwa
  inatetea democrasia? Marekani iliyovamia Panama?
Unaongelea
  marekani gani inayoona kuwa Tanzania haikufuata
demokrasia?
  Iliyomuunga Mkono Mobutu kufilisi Kongo?
  --------------------------------------------
  On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
 
  Subject: Re:
  [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups.com"
  <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM
 
  Marekani
 
  ina shida na wizi wa kura unaoendelea Tanzania.
  Kutofuatwa
  kwa misingi ya kidemokrasia
  ikiwa ni pamoja na
  kuwa na Tume
  huru ya Uchaguzi ndiyo
  tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume
  iliyoundwa
  naMwenyekiti wa CCM ambaye ndiye mgombea halafu
  useme kuta kuwa na uchaguzi hapo. Mwenyekiti
  wa CCM (Rais)
  ndiye huyo huyo anayeelekeza
  majeshi ya ulinzi na usalama
  yawanyanyase
  wapinzani wake ili wasishinde uchaguzi, bado
  kutakuwa na uchaguzi hapo?
 
  CCM
  inajua wazi kwamba haipendwi na
  wananchi ndiyo maana
  inang'ang'ania
  Katiba iliyopo inayompa madaraka
  makubwa
  Rais ambaye ni Mwenyekiti wa CCM ili kulinda
  masilahi yake madarakani.
 
  Hili halikubaliki na Marekani na mataifa mengine
  ya Ulaya yako sawa kabisa kupinga.
 
 
 
 
      On Thursday, March
  24, 2016 11:05 PM, 'ELISA MUHINGO' via
  Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
    
 
    Mara
  baada ya uchaguzi mkuu
  October 2015 na yaliyotokea Marekani
 
  ilisita kuruhusu msaada kwa serikali ya Tanzania.
  Sababu
  mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa
  Uchaguzi wa Zanzibar na
  2) Kutaka kujua
  kama kweli sheria ya mtandao ina haki ya
 
  kutumika kuwadhibiti waliokuwa wanatumia mtandao
kuvuruga
  uchaguzi ambao baadhi walikuwa mikononi mwa
  dola.
 
  Majuzi baada ya
  uchaguzi
  Zanzibar Marekani ililalamika kwa
  uchaguzi kufanyika bila
  waliogoma
  kushirikishwa.
 
  Marekani
  inajiona inakosa nini Tanzania kuwa
  salama
  na chini ya viongozi waliodhibitishwa na tume za
  uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?
    Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
   
     
   
 
    Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
 
    wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
   
  kudhibitisha ukishatuma
   
     
   
   
  Disclaimer:
   
 
  Everyone posting to this Forum bears the
  sole
  responsibility
    for
  any legal consequences
 
  of his or her postings, and hence
 
  statements and facts must be presented
  responsibly. Your
    continued membership
  signifies that you agree
  to this
    disclaimer and pledge to abide by
  our Rules and Guidelines.
   
 
 
  ---
   
 
    You received this
 
  message because you are subscribed to the
 
 
  Google Groups "Wanabidii"
  group.
 
 
    To unsubscribe from this group and stop
  receiving emails
    from it,
  send an email to
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
   
    For more options,
  visit
  https://groups.google.com/d/optout.
 
  --
  Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
  Kujiondoa Tuma Email
  kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to
  this Forum bears the
  sole responsibility for any legal
 
  consequences of his or
  her postings, and hence statements
  and
  facts must be presented responsi
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
  statements and facts must be presented responsibly.
Your
  continued membership signifies that you agree to
this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed
to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
  statements and facts must be presented responsibly.
Your
  continued membership signifies that you agree to
this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed
to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.
 
 
 
 
 
 
  --
 
  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
   
 
  Kujiondoa Tuma Email kwenda
 
  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email
ya
  kudhibitisha ukishatuma
 
   
 
  Disclaimer:
 
  Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
  for any legal consequences of his or her postings,
and
hence
  statements and facts must be presented responsibly.
Your
  continued membership signifies that you agree to
this
  disclaimer and pledge to abide by our Rules and
  Guidelines.
 
  ---
 
  You received this message because you are subscribed
to
the
  Google Groups "Wanabidii" group.
 
  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails
  from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 
  For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email
ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment