Wednesday 30 March 2016

[wanabidii] WAZIRI UMMY MWALIMU AWAKEMEA WANAOJICHUKULIA SHERIA KWA WATUMISHI WA AFYA

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODES hapa chini 


<img class="wp-image-10523 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0050.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="627" height="390" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula kufuatia tukio la mmoja wa Madaktari kupigwa na mwananchi. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akemea tabia inayotaka kujengeka ndani ya jamii ya kuwashambulia watumishi wa afya hasa Madaktari na Wauguzi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amevitaka  vyombo ya dola kuwachukulia hatua wananchi wanaojihusisha na vitendo hivi ambavyo vitaathiri utoaji wa huduma za afya kwa wananchi hasa wa kipato cha chini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mhe Ummy amewasili Mtwara jana akiongozana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi ambapo alifanya mazungumzo na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Amewaonya wananchi kutoitumia vibaya dhamira ya dhati ya Rais Dkt. John Magufuli na Serikali ya kuimarisha nidhamu na uwajibikaji katika utumishi wa umma kwa kujichukulia sheria mkononi.</strong></span></p>
<img class="size-full wp-image-10526 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0044.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wazee aliyefika kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula mara baada kuwasili hospitalini hapo kuzungumza na wafanyakazi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10545 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0062.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10534 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0060.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na baadhi ya wananchi waliokusanyika nje ya hospitali kufuatia tukio la mwananchi kumpiga daktari.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10535 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0049.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akisikiliza maoni kutoka kwa mmoja wa wananchi  aliyefika hospitalini hapo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10537 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0046.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula kufuatia tukio la mmoja wa Madaktari kupigwa na mwananchi. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-10540 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0048.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="621" height="466" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula wakimsikiliza Mh. Ummy Mwalimu (hayupo pichani).</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10551 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0056.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Mh. Ummy Mwalimu akisikiliza hoja mbalimbali za madktari wa hospitali hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10541 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0045.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akikagua neti ya mmoja wa mama aliyejifungua katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10542 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0061.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akifurahi kumuona mmoja wa watoto aliyezaliwa katika wodi ya wazazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula mara baada ya kufanya mazungumzo na watumishi wa hospitali hiyo.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10547 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0058.jpg" alt="IMG-20160329-WA0058" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akifurahi jambo na mmoja wa kina mama alipotembelea wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><img class="size-full wp-image-10543 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160329-WA0047.jpg" alt="Ummy Mwalimu" width="640" height="480" /></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungukia baadhi ya maeneo ya hospitali hiyo.</strong></em></span></p>


KAWAIDA


Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akemea tabia inayotaka kujengeka ndani ya jamii ya kuwashambulia watumishi wa afya hasa Madaktari na Wauguzi.

Amevitaka  vyombo ya dola kuwachukulia hatua wananchi wanaojihusisha na vitendo hivi ambavyo vitaathiri utoaji wa huduma za afya kwa wananchi hasa wa kipato cha chini.

Mhe Ummy amewasili Mtwara jana akiongozana na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi ambapo alifanya mazungumzo na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.

Amewaonya wananchi kutoitumia vibaya dhamira ya dhati ya Rais Dkt. John Magufuli na Serikali ya kuimarisha nidhamu na uwajibikaji katika utumishi wa umma kwa kujichukulia sheria mkononi.

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wazee aliyefika kupata matibabu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula mara baada kuwasili hospitalini hapo kuzungumza na wafanyakazi.

Ummy Mwalimu

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na baadhi ya wananchi waliokusanyika nje ya hospitali kufuatia tukio la mwananchi kumpiga daktari.

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akisikiliza maoni kutoka kwa mmoja wa wananchi  aliyefika hospitalini hapo.

Ummy Mwalimu

Mh. Ummy Mwalimu akizungumza na na watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula kufuatia tukio la mmoja wa Madaktari kupigwa na mwananchi. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Kambi.

Ummy Mwalimu

Baadhi ya watumishi wa Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula wakimsikiliza Mh. Ummy Mwalimu (hayupo pichani).

Ummy Mwalimu

Mh. Ummy Mwalimu akisikiliza hoja mbalimbali za madktari wa hospitali hiyo.

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akikagua neti ya mmoja wa mama aliyejifungua katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akifurahi kumuona mmoja wa watoto aliyezaliwa katika wodi ya wazazi Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula mara baada ya kufanya mazungumzo na watumishi wa hospitali hiyo.

IMG-20160329-WA0058

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akifurahi jambo na mmoja wa kina mama alipotembelea wodi ya wazazi katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Mtwara Ligula.

Ummy Mwalimu

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy Mwalimu akizungukia baadhi ya maeneo ya hospitali hiyo.


--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment