Wednesday 30 March 2016

Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Elisa,
Tatizo la Zanzibar ni kwamba mpaka leo hatujaambiwa ni kasoro gani zilipelekea Jecha kusimamisha zoezi la kuhesabu kura. Kura zilikuwa zimeshapigwa.
Hesabu zikaonyesha Maalim anaongoza na hakuna jinsi  CCM itashinda. Kungetokea mvurugano wakati kura zinapigwa, kwa mfano, gaidi ajiripue katikati ya wapiga 
kura na kuleta taharuki tungeleewa kama zoezi lingesitishwa mpaka usalama uimarike. None of that happened. Do you personally know what was the irregularity that led Jecha to
annul the vote counting?
em

2016-03-30 15:11 GMT-04:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Magoge. Jana ulisikiliza kipindi cha hotuba za Mwalimu Nyerere ITV? Anasema 'samahani japo tunatetea utawala wa sheria lakini yule mgiriki kusema serikali yangu iko mfukoni mwake na hakuna namna ya kumbana kisheria ilibidi nimuweke ndani'. Ukitaka vifungu vya katiba vya kusaidia kurudia uchaguzi na ukivikosa unatumia akili ili mradi ni kwa manufaa ya taifa. Hata Marekani walimpiga Saddam bila haki za kisheria. UN haikuruhusu na bado alipigwa. Sio Tanzania tu inayofanya hivyo.
--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, March 30, 2016, 8:33 PM

 Hatuwatetei Wamarekani, lakini ni lazima pia
 tuweze kujikosowa wenyewe, Hata kama uchaguzi ulitakiwa
 urudiwe ungeweza kurudiwa kwa namna bora zaidi ya jinsi
 ulivyorudiwa. Au labda na mimi niulize: 1) Je ulifutwa kwa
 kufuata kifungu gani cha katiba au sheria 2) Uliporudiwa
 ulirudiwa kwa kufungu gani cha katiba au sheria? Labda
 tuanzie hapo ndipo tuone kama hatuwezi kujikosowa maana kila
 kitu kilienda vizuri kama ilivyotakiwa.

 2016-03-30 20:03 GMT+03:00
 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 Mimi naza
 kitenga no 2 na 1.

 Hatukufanya madudu katika maeneo yote mawili.

 Kwa manufaa ya traifa letu tusingeweza kuzuia uchaguzi
 Zanzibar kurudiwa. hapo hatuhitaji marekani
 kututafsiriwa.

 Kuhusu sheriaq ya mtandao ni kama ambavyo FBI wanagombana na
 Apple.

 Wao kutunyima msaada inahitaji kuhakikisha kama hawakuwa
 nyuma ya mambo hayo tunayoyakimbia. Inahitaji kuwa na miwani
 ya mbao kutoyaona haya na kuendelea kuwatetea wamarekani.

 --------------------------------------------

 On Wed, 3/30/16, Telesphor
 Magobe <tmagobe@gmail.com>
 wrote:



  Subject: Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA
 UCHAGUZI WA TANZANIA?

  To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Wednesday, March 30, 2016, 7:28 PM



  Mimi nadhani ni lazima

  tutofautishe:

  1. Kunyimwa misaada

  2. Aina ya madudu yaliyofanya tunyimwe

  misaada

  3. Tunapojadili 1 hatuwezi

  kukwepa 2

  4. Kudhani kwamba tumenyimwa

  misaada kwa sababu tunaweza kujitegemea ni
 kujidanganya.



  2016-03-30 18:46 GMT+03:00

  'Dominick Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

  HOFU ni kitu kibaya

  sana.Ukikutana na mtu hasa msomi

  lakini ana hofu ujue huyo ni
 sehemu ya tatizo maana pamoja

  na elimu,ujuzi na maarifa alivyo navyo hofu/woga
 vitamzuia

  kufikiri hata kama ana jawabu la tatizo

  lenu.Magufuli kama Daudi

  na Marekani kama Goliati,
 vyovyote marekani ilivyo lazima

  isalimu amri.Hofu inaleta

  ulegvu wa mikono. Hofu inaleta
 maswali ya ovyo, sasa mimi

  nitafanyaje? Hofu huleta miguu kupoteza uwezo wake wa

  kusimama. Hofu husababisha kinywa kuchemka kwa kuona

  haiwezekani na kuona hakuna njia. Hofu huleta kifo cha
 moyo.

  Hofu huendeleza utumwa. Watu wenye hofu kwa wanadamu
 wenzao

  na kujiona wao ni sawasawa na panzi wana akili kidogo
 hata

  kama wamesoma kiasi gani. Marekani hata wakiacha kutoa

  misaada yao, hawana uwezo wowote wa kuifuta

  TanzaniaHivi Watanzania

  wanatishwa na kukosa msaada wa
 trilioni moja na zaidi

  kidogo. Hivi tukiamua wote leo kufanya kazi kwa bidii

  inatuchukua muda gani kuziba pengo hili ambalo watu

  wanadhani kwa kukosa fedha hizi ni kama tumekataliwa na

  MUNGU. TANZANIA tuna nguvu sana bila hofu na tukifanya
 kazi

  kwa bidii.





      On Wednesday, March

  30, 2016 4:21 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:





   uo ndio ukweli sa sura ya jamaa hawa.

  ndiyo maana wengine tunawaza kuwa extremist Trump
 akichukua

  nchi ulimwengu wote utaungana dhidi ya dude hilo na
 utakuwa

  mwisho wa 'himaya' yao. Wengine hawajui kwa
 nini

  Putin anawakazania wamarekani wamchague jamaa huyo

  --------------------------------------------

  On Wed, 3/30/16, 'Pius Makomelelo' via

  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:



   Subject: Re: [wanabidii]

  MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

   To: "wanabidii@googlegroups.com"
 <wanabidii@googlegroups.com>

   Date: Wednesday, March 30, 2016, 3:43 PM



   Wakiona tumegangamala

  zaidi,

   hawatasita kuja kutafuta silaha za

  maangamizi! Urafiki

   mwingine inabidi tuwe

  makini sana!

   





      On Wednesday, 30

   March 2016, 14:41, 'ELISA MUHINGO' via

  Wanabidii

   <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

   



   

  Hii

   ndiyo sura sahihi ya marekani. Subiri

  kidogo, Wakigundua

   kuwa Tanzania ya

  magufuli imegangamala watatumia njia



  nyingine kuendeleza 'urafiki'. CIA ina taasisi

   nyingi. Kuna MCC, kuna USAID na mengine mengi.

  Yanatumika

   kuingilia mataifa yasiende

  yanakotaka.



  --------------------------------------------

   On Wed, 3/30/16, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

   wrote:



   

  Subject: RE:

   [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA

  GANI NA UCHAGUZI WA

   TANZANIA?

    To: wanabidii@googlegroups.com

    Date: Wednesday, March 30, 2016, 9:32 AM

   

    Reaction from Charles

   Mwijage:

   

    MCC wamekataa

   kutoa pesa

  kutokana na jinsi uchaguzi wa



   Zanzibar ulivyoendeshwa, hiki ni kisingizio

  tu. Hatuwezi

    kuendesha nchi yetu kwa

  matakwa yao. Mbona

   wanatoa fedha

    Misri na Israel, hizi nchi



  hakuna wanaozilalamikia au

   

  hazikandamizi

   jamii Fulani?

   

    Reaction

   on MCC matter.From:

   

  Jovias



   Mwesiga

    Sent:





  ‎29/‎03/‎2016

    22:45



   To:

   

  WANA

    BIDII

    Subject:

    Re: [wanabidii]

   MAREKANI

  INA

    SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

   TANZANIA?

   

    Watanzania

   bwana mimi

  nafurahia jinsi





  tunavyojitutumua. Ni kitu kizuri kweli ila huu uchungu

    umetoka wapi?

   

    Hivi kwaninj MCC wanaondoka vile? Kuna

  ukweli

   gani madai

   

  yao?

    On Mar 29,

   2016

  13:30,

    "Emmanuel Muganda"

   <emuganda@gmail.com>

   

  wrote:

    Dominick,Kati ya watu

   hao Kikwete

    anaongoza.em



   2016-03-29 7:51

    GMT-04:00 'Dominick



  Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

    Wapo watu ambao kwao kujitegemea ni

    dhambi.Nchi kama Tanzania inaweza wakati

    wowote ikapata viongozi dhaifu. Kwa hali

   ilivyo haiwezekani

    kwa mtu

  ambaye ana elimu

   ya msingi kuwa rais wa

  Tanzania.

    Kwa hiyo

   wapo

  wasomi wa ngazi hiyo ya vyuo vikuu kuongoza

    taifa hili lakini ni watu dhaifu. Ndani

  yao

   hawana dhamira

    ya

  kujitegemea. Taifa

   linaweza kupata kiongozi

  ambaye hajui

    ni

   kwa nini

  yeye ni rais, waziri mkuu, waziri



   nk,Kuna watu ambao mawazo yao ni

    kuombaomba

   na kurithi.

  Akitaka kufanya jambo anataka



   aangalie ni wapi akaombe. Kama kiongozi wenu

  ni aina hii

   ya

    fikira za

  kuombaomba taifa halitoki.Na

   kama taifa

  lina raia

    wengi wa aina hii

   mwisho wake uko karibu sana. Na Marekani



   wanatumia udhaifu wetu huu

  kufanya wapendavyo. Ikiwa

   kesho

    Watanzania wote tukiamua kwa pamoja

   tunafanya kazi kwa akili

   

  zetu za kichwani

   na moyoni, mikono yetu,

  nguvu zetu, miguu



   yetu

  hawa wamarekani watatuheshimu na kutuogopa

    sana.Mtu anasomea uhasibu si kulijenga

    taifa bali akaibe fedha za ofisi. Kwa

  hiyo

   huyu anataka

   

  Marekani walete fedha ili

   aibe. Akili zake

  za moyoni ni

    kuiba mali ya

   nchi siyo kufanya kazi ili nchi na raia



   tuendelee. Kupanda mchungwa

  si jambo la kungoja jirani

   aje

    apande kwako ila ni la kwako mwenyewe

   ila kama unataka

    kutukanwa

  na watoto wa

   jirani yako aliyeamua

  kupanda

    michungwa



  unapokwenda kuomba machungwa kwao shauri





   yako.Bila kufanya kazi ili kujitegemea



   tutakuwa taifa la hovyo

  sana. 

   

        On

  Tuesday, March 29,



   2016

  6:56 AM, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com>

    wrote:

     





    

  Irenei

    ni kweli kabisa



  vyama vya siasa hatuwezi

    kutuletea

   maendeleo.  na ni sahihi kabisa mataifa ya



   nje hayawezi kutufaa kwa

  maendeleo yetu na ya wajukuu

    zetu. 

  lakini tumefikaje huku, wameingiaje

   hawa?

  ni kwa

    sababu tumeonyesha

   kushindwa.  kwa muda mrefu tumekuwa



   tukiwafuata na bakuli la

  kuombea na kuwapigia magoti kuwa

   

  hatujiwezi tunaomba tafadhali.  Tumewaita



  km

    consultants watuandikie proposals

  nzuri

   maana sisi

   

  hatuwezi.. tumeshindwa.

   

    lakini hela ikija inaenda



  mifukoni mwa wachache..

    tumeshindwa.

   

    Juzi wananchi wa

  Musoma 

   waliripoti kuwa

   

  wanakunywa unreated

   water.  dawa

  inagharimu 1. 7m per

    month. 

   Idara inakusanya 20m za bills za maji per



   month.  Usishangae  kuomba

  msaada wa kuzuia

    kipindupindu.

    Jana Rais

   kupokea repoti za

  CAG.  tega

    sikio



  kakaangu usikie  mambo ya hovyo

    On 29

  Mar

   2016 00:02, "Ireneus

  Mushongi"



   <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

    wrote:

   

   

    Mbegu.

   

    Sisi



  tukaongea km watanzania. Si Bendera fuata upepo km boda

    boda wakati wa kampeni!. Wether ni magufuli

  or

   whoever we

    speak our

  minds.  Magufuli Sio

   Mungu but let's

  be

    realistic that



  American principle won't get us anywhere!

    I know you guys okays everything American

  as

   they have been

    your

  godfather funding and

   financing your

  political

    interests.

   



    As said earlier Americans

   work for their interests not from

    humanity

   point of view.

    

    Wewe



  ndivyo ulivyo individually. Do not generalise your

    mindset onto others. America is not a

  solution

   to global

   

  problems. Isn't a solution to

   our

  matters as well!

    That Mbowe, Lowassa

  or

   Magufuli favours America doesn't

    take

   away our own decisions

  from serving our country. None

    of them

  think on our behalf.





    Let's do it our own way!From:

    Edgar

    Mbegu



   Sent:

   

  ‎28/‎03/‎2016





  23:04

    To:

    Wanabidii

    Mawazo

    Subject:

    RE: [wanabidii] MAREKANI INA



   SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

   

   

    Bifabusha, mtu akihoji



  matumizi ya hovyo namna hiyo,

    anaonekana

  si

   mzalendo, anachochea vurugu n.k. Hata



   waliokuwa wanahoji kupigwa

  danadana uchaguzi wa Meya DSM

    walionekana

  kuwa ni wachochezi hadi pale JPM



  alipotamka.

    Nina Imani kuwa hata hawa

   wanaoponda US na sera na siasa

    zake siku

   JPM akiziunga

  mkono, na wao wataunga mkono. Ndivyo

   

  tulivyo!

    Date: Mon, 28 Mar

   2016 15:19:15 +0300

   

  Subject: Re: RE:

   [wanabidii] MAREKANI INA

  SHIDA GANI NA



   UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

    From: acanemwango@gmail.com

   

  To: wanabidii@googlegroups.com

   

    Nakubaliana sana na

  wewe

   Dominick. 

   

    Maendeleo

   yanaanza na mtu

  binafsi.  japo baadhi ya sera

    na

  taratibu zetu wakati mwingine zinarudisha



  nyumba juhudi

    za mtu binafsi.  

   

   

    On

  28 Mar

   2016 11:14, "'Dominick



   Rukokelwa' via

  Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

   wrote:

    Bifabusha umesema

  vema.Tujilaumu

   sisi wenyewe kama

  Tanzania/

    Afrika.Tanzania

   tuna ardhi

    iliyosheheni

  kila kitu. Hivi

   kupanda maharage

  kunahitaji

    msaada kutoka



  Marekani?Ardhi tunayo ila tunaitazamaje kwa macho

    yetu, kwa fikira zetu? Tuna maono gani

  kwenye

   ardhi

   

  yetu?Tunachokiona cha

    kwanza ni kuiuza

  ardhi ya Tanzania.Sisi ni

   walegevu sana,

  swala la kazi

    linapaswa



  kusimamiwa na kila mtu. Kazi peke yake ndiyo

    itakayoinua taifa.Kwa

   

  mfano

   kuna faida gani kuwa na mfuasi wa

  chama chako cha

    siasa lakini hataki

  kufanya kazi?Unaposimama

   kumhutubia

  mfuasi

    wako hotuba nzima

   humhimizi baada ya mkutano na

    maandamano

   aende akafanye

  kazi. Mtu yeyote anayeipenda



   Tanzania kazi ataizungumza kama chanzo cha



   maendeleo.Wenzetu

    wanaitazama ardhi tofauti



  na sisi. Wenzetu wanajua nini

    maana ya

   kazi. 

   



       On Monday,

   March 28,

    2016 9:15 AM,



  'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

   wrote:

     

   

     Tukipata misaada

    tukaitumia

   kuleta mifumo

  bora tutaendelea. Hata Japani



   walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni

  kutaka kuiba

    hiyo misaada na kutumia

  misaada kwa faida ya

   watu wachache.

    Msaada unaombwa ukiwa



  umebeba administrative costs kubwa na



   development budget kidogo pia nazo zinahusu

  posho za

   semina

   

  zinazoendeshwa na walewale

   walioandaa

  miradi walioko

    serikalini. No

   tangible development costs. Kwahiyo

  mamilioni

    ya dola yanaishia mifukoni mwa

  watu badala ya

   kwenda kwenye

    miradi. 





  Nilibahatika kufanya budget analysis kwenye





   sector ya kilimo ktk Halmashauri moja

  mambo niliyoyaona

   humo

   

  ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta

   na

  posho. Hatuwekezi

    kwenye miradi.

    Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu sisi

   wenyewe.

    Misaada ikitumika

  vizuri inaweza

   kuleta maendeleo na

    kuondokana na

   utegemezi.

   

    Sent from

   Samsung

    Mobile

   

   

   

  -------- Original message

   --------

    From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>



    Date: 

    To: wanabidii@googlegroups.com





    Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI

  INA

   SHIDA GANI NA

   

  UCHAGUZI WA TANZANIA?

    

   

   

   

    Thanks, Ireneus Kakuru



  Mushongi na Elisa Muhingo amehoji



   yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi

  kutufunua

   sisi

    vipofu TZ

  tupo wengi wa kufuata

   mikumbo na kujali

  tumboni

    street.

    HK

   





  --------------------------------------------

    On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi

   <ireneuskakurumushongi@gmail.com>

    wrote:

   



   

   Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI

  INA SHIDA GANI NA

    UCHAGUZI WA

  TANZANIA?

     To:

   "wanabidii@googlegroups

   com" <wanabidii@googlegroups.com>

     Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05

    

     Nawaogopa wale

   mnaoutukuza umagharibi na na



    pia kupima

   mafanikio yenu kwa mizania ya

  kimagharibi!

     Angalia China, India, Asian

  Tigers,

   hawaendekezi

    

  U-Magharibi. Wana principles

   zao nzuri

  wanazitumikia

     wanazifuata. Huku

   hatuna nidhamu ya kazi na kufuata kanuni

    

   za mafanikia, hadi

  tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli kwa

    

  akili hii tutafika?

     Hivi

   ni checklist gani ya

    

  kimagharibi

   unadhania inatufaa sisi hadi

  tuifuate hatua



   kwa

     hatua ndio tufanikiwe? Ya Kisiasa,

   kiuchumi au

    

  kiutamaduni?

     Our

    

  political, cultural,

   social and economical

  values in terms

     of



  mission and visions should guide of undertakings. We

    are

     in a very

  different

   environment in any of the above;

  how

     come

   their missions

  and visions guide our strategies? Hapa

    

  kazi tu ni Kauli mbiu ambayo mission na



  vision yake

    inaweza



   

   kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa

  vizuri kwa vitendo

    na

    

  nidhamu ya hali ya juu.

   Kwa nini

  tunang'ang'ania

     hizi

   dhana za kucopy na kupaste katika kuendesha

  mambo

    yetu?

     Can't

  we learn

   from others in the Eastern

  world?

    

   Can't we

  come up with something African and

   

  particularly

     Tanzanian to

   guide of move?

     Or simply

  because bwana

   mkubwa Uncle



    Sam (US) is not happy, then

   we are in a

  wrong direction?

     Because we

   not dancing in his tune? Yes it's time

  to

    say

     no!

    

   For how long

     should WE keep on licking



  their feet, kissing their ass to

    

  please

   them love us? South Africa, North

  Korea, Iran,

    Libya,

    

  were all sanctioned

   and denied the foreign

  aid few years

     ago;

   you

  all know what they did out of dependence to

    change

     their

  status.With

   exceptional of Libya where

     these western

   thugs

  intervened, we are well informed of



   the

     situation right now.

  Gadhafi is dead

   and Libya is a mess.

    US

    

   and

  her western allies are there at large controlling oil

     reserves! Similarly they intervened

  Libya

   government as

    

  undemocratic, supported few

   individuals who

  took refuge in

     UK and US,

   formed political movements, ousted Gadhafi;



   those

    

  individuals as they were not united



  previously, started

     fighting for

  power

   distribution; the West have failed

  and

    a

     situation in

  not manageable right now; gone

   beyond

    control;

     some

   groups have turned into terrorist groups,

  joined ISIS

     and Al-Qaeda; and surprising

  enough still

   few Tanzanians

    are

    



  hailing US as the remedy for our situation; come on
 guys;

    be

     serious and think

   ahead.

     Ndugu zangu wengine

  najua

     mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama

  kwa kuamua

   ama kwa

    

  kulazimishwa na mazingira. By the

   way

  Donald Trump

     doesn't need you

   anymore; km uko US; you better come

     back

   ili tujenge nchi yetu

  kwa kaulimbiu zetu wenyewe

    badala

     ya kuchochea vurugu

   na

  kulalamika tuuuu! We will never

    make

     it under US missions and visions to

   determine our fate as

    a

    

   country. Ndiyo changamoto

  zipo bado lakini collectively

    sisi

     wenyewe bila

   kuingiliwa na

  yeyote; we can make

     it.



    Just my

     take!

    

    

    



  Omukunirwa

     Ireneus 



   



    



   

    

    



   

     2016-03-27 12:56



  GMT+03:00

     'Mashaka Makana'

  via

   Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:

     Kama demokrasia ya

    

   chaguzi za viongozi kila baada ya miaka mitano

  wakati

     chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi

  na

   kuimarisha umasikini

   

  basi

     mh.magufuli mpaka 2050!

    



    

  Sent

     from Yahoo Mail

   on

  Android 





  From:"'mashakamakana'

    

  via

   Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

     Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38

     Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA

     SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

    

      Tunalo

     jembe limechongwa usukumani wala hatuna

  haja

   ya amri zao.

     Dawa

  ni kuwapuuza wakileta

   yasiyotufaa.

  Hongera

    wanyarwanda

    

  mh. kagame mpaka 1937

    



   

     'Bernard' via

   Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

     wrote:

    

     Mapenzi ni

    

   chongo.From:

     'ELISA

  MUHINGO'

   via

    

  Wanabidii

     Sent:

    

  ‎27/‎03/‎2016

    



  00:52

     To:

     wanabidii@googlegroups.com



    Subject:

     Re: [wanabidii]

   MAREKANI INA

     SHIDA GANI NA

  UCHAGUZI WA

   TANZANIA?

    



    

   Unazungumzia

  Marekani

     ipi? Iliyomuunga

   mkono Savimbi ili Angola  angola

    

   isiendelee na kuendeleza

  demokrasia? Hapo ndipo ilikuwa

     inatetea

  democrasia? Marekani iliyovamia

   Panama?

    Unaongelea

    

   marekani gani inayoona kuwa Tanzania

  haikufuata

    demokrasia?



    Iliyomuunga

   Mkono Mobutu kufilisi

  Kongo?

    



  --------------------------------------------

     On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya'

   via

     Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

     wrote:

    



     Subject: Re:

     [wanabidii] MAREKANI INA



  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA

     TANZANIA?

      To: "wanabidii@googlegroups.com"

     <wanabidii@googlegroups.com>

      Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM

     

      Marekani

    

     ina shida na wizi

  wa

   kura unaoendelea Tanzania.

     Kutofuatwa

      kwa

  misingi ya kidemokrasia

     ikiwa ni pamoja

  na

      kuwa

   na Tume

      huru ya Uchaguzi ndiyo



    tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume

     

  iliyoundwa

     naMwenyekiti



  wa CCM ambaye ndiye mgombea halafu

     

  useme

   kuta kuwa na uchaguzi hapo.

  Mwenyekiti

     wa

   CCM

  (Rais)

      ndiye huyo huyo

   anayeelekeza

     majeshi ya

  ulinzi na

   usalama

     

  yawanyanyase

    

   wapinzani

  wake ili wasishinde uchaguzi, bado

     

  kutakuwa na uchaguzi hapo?

    

     CCM

     



  inajua wazi kwamba haipendwi na

    

  wananchi

   ndiyo maana

     

  inang'ang'ania

     Katiba iliyopo

  inayompa madaraka

      makubwa

     Rais ambaye ni

   Mwenyekiti

  wa CCM ili kulinda

      masilahi

   yake madarakani.

    

    

   Hili halikubaliki na

  Marekani na mataifa mengine

      ya Ulaya

  yako sawa kabisa kupinga.

     

     

     





     

         On

  Thursday,

   March

      24,

  2016 11:05 PM, 'ELISA

   MUHINGO'

  via

     Wanabidii

     

  <wanabidii@googlegroups.com>

     wrote:

       

     

       Mara

      baada ya uchaguzi mkuu



   

   October 2015 na yaliyotokea Marekani

    

     ilisita kuruhusu

  msaada kwa serikali ya

   Tanzania.

      Sababu

     

   mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa

    

   Uchaguzi wa Zanzibar na

      2) Kutaka

   kujua

     kama kweli sheria ya mtandao ina

   haki ya

    



    kutumika

   kuwadhibiti waliokuwa wanatumia

  mtandao kuvuruga

      uchaguzi ambao baadhi

  walikuwa mikononi

   mwa

    

  dola.

     

      Majuzi

  baada ya

    

   uchaguzi

      Zanzibar Marekani ililalamika

   kwa

     uchaguzi kufanyika

  bila

      waliogoma

    

   kushirikishwa.

     

     

   Marekani

     inajiona inakosa nini Tanzania

   kuwa

      salama

     na chini

   ya viongozi

  waliodhibitishwa na tume za

     

   uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?

      

   Send

   

    Emails to wanabidii@googlegroups.com



     

        

      

    

      



  Kujiondoa Tuma Email kwenda

     

     

       wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

      Utapata Email ya

    

   

     kudhibitisha ukishatuma

    

    

      

   

      

      

     Disclaimer:

      

     

     



  Everyone posting to this Forum bears the



   

   sole

     

  responsibility

    

    

  for

     a

    [The entire

   original message is not

   

  included.]

   

   

   

    --

   



    Send

   Emails to wanabidii@googlegroups.com

   

     

   



    Kujiondoa Tuma Email kwenda





   

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

   Utapata Email ya

   

  kudhibitisha ukishatuma

   

     

   

   

  Disclaimer:

   



   Everyone posting to this Forum bears the

  sole

   responsibility

    for

  any legal consequences

   of his or her

  postings, and hence





  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

    continued membership signifies that you

  agree

   to this

    disclaimer

  and pledge to abide by

   our Rules and

  Guidelines.

   



   ---

   

   

  You received this

   message because you are

  subscribed to the



   Google

  Groups "Wanabidii" group.





    To unsubscribe from this

  group and stop

   receiving emails

    from it, send an email to



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

   

    For more options,

  visit

   https://groups.google.com/d/optout.



   --

   Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com





   Kujiondoa Tuma Email kwenda



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



   Disclaimer:



  Everyone posting to

   this Forum bears the

  sole responsibility for any legal



  consequences of his or her postings, and hence
 statements

   and facts must be presented responsibly. Your

  continued

   membership signifies that you

  agree to this disclaimer and

   pledge to

  abide by our Rules and Guidelines.

   ---

   You received this message



  because you are subscribed to the Google Groups

   "Wanabidii" group.



  To unsubscribe

   from this group and stop

  receiving emails from it, send an

   email to

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

   For more options, visit

   https://groups.google.com/d/optout.



     





   --



   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com





    





  Kujiondoa Tuma Email kwenda



   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata

  Email ya

   kudhibitisha ukishatuma



    



   Disclaimer:





  Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility

   for any legal consequences

  of his or her postings, and hence



  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

   continued membership signifies that you agree

  to this

   disclaimer and pledge to abide by

  our Rules and

   Guidelines.





   ---





  You received this message because you are subscribed to

  the

   Google Groups "Wanabidii"

  group.



   To unsubscribe

  from this group and stop receiving emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



  --

  Send

  Emails to wanabidii@googlegroups.com



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata

  Email ya kudhibitisha ukishatuma



  Disclaimer:

  Everyone posting to

  this Forum bears the sole responsibility for any legal

  consequences of his or her postings, and hence
 statements

  and facts must be presented responsibly. Your continued

  membership signifies that you agree to this disclaimer
 and

  pledge to abide by our Rules and Guidelines.

  ---

  You received this message

  because you are subscribed to the Google Groups

  "Wanabidii" group.

  To unsubscribe

  from this group and stop receiving emails from it, send
 an

  email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

   Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.













  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly.
 Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving
 emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment