Wednesday 30 March 2016

Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?

Hatuwatetei Wamarekani, lakini ni lazima pia tuweze kujikosowa wenyewe, Hata kama uchaguzi ulitakiwa urudiwe ungeweza kurudiwa kwa namna bora zaidi ya jinsi ulivyorudiwa. Au labda na mimi niulize: 1) Je ulifutwa kwa kufuata kifungu gani cha katiba au sheria 2) Uliporudiwa ulirudiwa kwa kufungu gani cha katiba au sheria? Labda tuanzie hapo ndipo tuone kama hatuwezi kujikosowa maana kila kitu kilienda vizuri kama ilivyotakiwa.

2016-03-30 20:03 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Mimi naza kitenga no 2 na 1.
Hatukufanya madudu katika maeneo yote mawili.
Kwa manufaa ya traifa letu tusingeweza kuzuia uchaguzi Zanzibar kurudiwa. hapo hatuhitaji marekani kututafsiriwa.
Kuhusu sheriaq ya mtandao ni kama ambavyo FBI wanagombana na Apple.
Wao kutunyima msaada inahitaji kuhakikisha kama hawakuwa nyuma ya mambo hayo tunayoyakimbia. Inahitaji kuwa na miwani ya mbao kutoyaona haya na kuendelea kuwatetea wamarekani.
--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, Telesphor Magobe <tmagobe@gmail.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, March 30, 2016, 7:28 PM

 Mimi nadhani ni lazima
 tutofautishe:
 1. Kunyimwa misaada
 2. Aina ya madudu yaliyofanya tunyimwe
 misaada
 3. Tunapojadili 1 hatuwezi
 kukwepa 2
 4. Kudhani kwamba tumenyimwa
 misaada kwa sababu tunaweza kujitegemea ni kujidanganya.

 2016-03-30 18:46 GMT+03:00
 'Dominick Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
 HOFU ni kitu kibaya
 sana.Ukikutana na mtu hasa msomi
 lakini ana hofu ujue huyo ni sehemu ya tatizo maana pamoja
 na elimu,ujuzi na maarifa alivyo navyo hofu/woga vitamzuia
 kufikiri hata kama ana jawabu la tatizo
 lenu.Magufuli kama Daudi
 na Marekani kama Goliati, vyovyote marekani ilivyo lazima
 isalimu amri.Hofu inaleta
 ulegvu wa mikono. Hofu inaleta maswali ya ovyo, sasa mimi
 nitafanyaje? Hofu huleta miguu kupoteza uwezo wake wa
 kusimama. Hofu husababisha kinywa kuchemka kwa kuona
 haiwezekani na kuona hakuna njia. Hofu huleta kifo cha moyo.
 Hofu huendeleza utumwa. Watu wenye hofu kwa wanadamu wenzao
 na kujiona wao ni sawasawa na panzi wana akili kidogo hata
 kama wamesoma kiasi gani. Marekani hata wakiacha kutoa
 misaada yao, hawana uwezo wowote wa kuifuta
 TanzaniaHivi Watanzania
 wanatishwa na kukosa msaada wa trilioni moja na zaidi
 kidogo. Hivi tukiamua wote leo kufanya kazi kwa bidii
 inatuchukua muda gani kuziba pengo hili ambalo watu
 wanadhani kwa kukosa fedha hizi ni kama tumekataliwa na
 MUNGU. TANZANIA tuna nguvu sana bila hofu na tukifanya kazi
 kwa bidii.


     On Wednesday, March
 30, 2016 4:21 PM, 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:


  uo ndio ukweli sa sura ya jamaa hawa.
 ndiyo maana wengine tunawaza kuwa extremist Trump akichukua
 nchi ulimwengu wote utaungana dhidi ya dude hilo na utakuwa
 mwisho wa 'himaya' yao. Wengine hawajui kwa nini
 Putin anawakazania wamarekani wamchague jamaa huyo
 --------------------------------------------
 On Wed, 3/30/16, 'Pius Makomelelo' via
 Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

  Subject: Re: [wanabidii]
 MAREKANI INA SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
  To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
  Date: Wednesday, March 30, 2016, 3:43 PM

  Wakiona tumegangamala
 zaidi,
  hawatasita kuja kutafuta silaha za
 maangamizi! Urafiki
  mwingine inabidi tuwe
 makini sana!
  


     On Wednesday, 30
  March 2016, 14:41, 'ELISA MUHINGO' via
 Wanabidii
  <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
  

  
 Hii
  ndiyo sura sahihi ya marekani. Subiri
 kidogo, Wakigundua
  kuwa Tanzania ya
 magufuli imegangamala watatumia njia

 nyingine kuendeleza 'urafiki'. CIA ina taasisi
  nyingi. Kuna MCC, kuna USAID na mengine mengi.
 Yanatumika
  kuingilia mataifa yasiende
 yanakotaka.

 --------------------------------------------
  On Wed, 3/30/16, Ireneus Mushongi <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
  wrote:

  
 Subject: RE:
  [wanabidii] MAREKANI INA SHIDA
 GANI NA UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
   To: wanabidii@googlegroups.com
   Date: Wednesday, March 30, 2016, 9:32 AM
  
   Reaction from Charles
  Mwijage:
  
   MCC wamekataa
  kutoa pesa
 kutokana na jinsi uchaguzi wa

  Zanzibar ulivyoendeshwa, hiki ni kisingizio
 tu. Hatuwezi
   kuendesha nchi yetu kwa
 matakwa yao. Mbona
  wanatoa fedha
   Misri na Israel, hizi nchi

 hakuna wanaozilalamikia au
  
 hazikandamizi
  jamii Fulani?
  
   Reaction
  on MCC matter.From:
  
 Jovias

  Mwesiga
   Sent:


 ‎29/‎03/‎2016
   22:45

  To:
  
 WANA
   BIDII
   Subject:
   Re: [wanabidii]
  MAREKANI
 INA
   SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
  
   Watanzania
  bwana mimi
 nafurahia jinsi


 tunavyojitutumua. Ni kitu kizuri kweli ila huu uchungu
   umetoka wapi?
  
   Hivi kwaninj MCC wanaondoka vile? Kuna
 ukweli
  gani madai
  
 yao?
   On Mar 29,
  2016
 13:30,
   "Emmanuel Muganda"
  <emuganda@gmail.com>
  
 wrote:
   Dominick,Kati ya watu
  hao Kikwete
   anaongoza.em

  2016-03-29 7:51
   GMT-04:00 'Dominick

 Rukokelwa' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
   Wapo watu ambao kwao kujitegemea ni
   dhambi.Nchi kama Tanzania inaweza wakati
   wowote ikapata viongozi dhaifu. Kwa hali
  ilivyo haiwezekani
   kwa mtu
 ambaye ana elimu
  ya msingi kuwa rais wa
 Tanzania.
   Kwa hiyo
  wapo
 wasomi wa ngazi hiyo ya vyuo vikuu kuongoza
   taifa hili lakini ni watu dhaifu. Ndani
 yao
  hawana dhamira
   ya
 kujitegemea. Taifa
  linaweza kupata kiongozi
 ambaye hajui
   ni
  kwa nini
 yeye ni rais, waziri mkuu, waziri

  nk,Kuna watu ambao mawazo yao ni
   kuombaomba
  na kurithi.
 Akitaka kufanya jambo anataka

  aangalie ni wapi akaombe. Kama kiongozi wenu
 ni aina hii
  ya
   fikira za
 kuombaomba taifa halitoki.Na
  kama taifa
 lina raia
   wengi wa aina hii
  mwisho wake uko karibu sana. Na Marekani

  wanatumia udhaifu wetu huu
 kufanya wapendavyo. Ikiwa
  kesho
   Watanzania wote tukiamua kwa pamoja
  tunafanya kazi kwa akili
  
 zetu za kichwani
  na moyoni, mikono yetu,
 nguvu zetu, miguu

  yetu
 hawa wamarekani watatuheshimu na kutuogopa
   sana.Mtu anasomea uhasibu si kulijenga
   taifa bali akaibe fedha za ofisi. Kwa
 hiyo
  huyu anataka
  
 Marekani walete fedha ili
  aibe. Akili zake
 za moyoni ni
   kuiba mali ya
  nchi siyo kufanya kazi ili nchi na raia

  tuendelee. Kupanda mchungwa
 si jambo la kungoja jirani
  aje
   apande kwako ila ni la kwako mwenyewe
  ila kama unataka
   kutukanwa
 na watoto wa
  jirani yako aliyeamua
 kupanda
   michungwa

 unapokwenda kuomba machungwa kwao shauri


  yako.Bila kufanya kazi ili kujitegemea

  tutakuwa taifa la hovyo
 sana. 
  
       On
 Tuesday, March 29,

  2016
 6:56 AM, Atu Mwangomale <acanemwango@gmail.com>
   wrote:
    


   
 Irenei
   ni kweli kabisa

 vyama vya siasa hatuwezi
   kutuletea
  maendeleo.  na ni sahihi kabisa mataifa ya

  nje hayawezi kutufaa kwa
 maendeleo yetu na ya wajukuu
   zetu. 
 lakini tumefikaje huku, wameingiaje
  hawa?
 ni kwa
   sababu tumeonyesha
  kushindwa.  kwa muda mrefu tumekuwa

  tukiwafuata na bakuli la
 kuombea na kuwapigia magoti kuwa
  
 hatujiwezi tunaomba tafadhali.  Tumewaita

 km
   consultants watuandikie proposals
 nzuri
  maana sisi
  
 hatuwezi.. tumeshindwa.
  
   lakini hela ikija inaenda

 mifukoni mwa wachache..
   tumeshindwa.
  
   Juzi wananchi wa
 Musoma 
  waliripoti kuwa
  
 wanakunywa unreated
  water.  dawa
 inagharimu 1. 7m per
   month. 
  Idara inakusanya 20m za bills za maji per

  month.  Usishangae  kuomba
 msaada wa kuzuia
   kipindupindu.
   Jana Rais
  kupokea repoti za
 CAG.  tega
   sikio

 kakaangu usikie  mambo ya hovyo
   On 29
 Mar
  2016 00:02, "Ireneus
 Mushongi"

  <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
   wrote:
  
  
   Mbegu.
  
   Sisi

 tukaongea km watanzania. Si Bendera fuata upepo km boda
   boda wakati wa kampeni!. Wether ni magufuli
 or
  whoever we
   speak our
 minds.  Magufuli Sio
  Mungu but let's
 be
   realistic that

 American principle won't get us anywhere!
   I know you guys okays everything American
 as
  they have been
   your
 godfather funding and
  financing your
 political
   interests.
  

   As said earlier Americans
  work for their interests not from
   humanity
  point of view.
   
   Wewe

 ndivyo ulivyo individually. Do not generalise your
   mindset onto others. America is not a
 solution
  to global
  
 problems. Isn't a solution to
  our
 matters as well!
   That Mbowe, Lowassa
 or
  Magufuli favours America doesn't
   take
  away our own decisions
 from serving our country. None
   of them
 think on our behalf.


   Let's do it our own way!From:
   Edgar
   Mbegu

  Sent:
  
 ‎28/‎03/‎2016


 23:04
   To:
   Wanabidii
   Mawazo
   Subject:
   RE: [wanabidii] MAREKANI INA

  SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
 TANZANIA?
  
  
   Bifabusha, mtu akihoji

 matumizi ya hovyo namna hiyo,
   anaonekana
 si
  mzalendo, anachochea vurugu n.k. Hata

  waliokuwa wanahoji kupigwa
 danadana uchaguzi wa Meya DSM
   walionekana
 kuwa ni wachochezi hadi pale JPM

 alipotamka.
   Nina Imani kuwa hata hawa
  wanaoponda US na sera na siasa
   zake siku
  JPM akiziunga
 mkono, na wao wataunga mkono. Ndivyo
  
 tulivyo!
   Date: Mon, 28 Mar
  2016 15:19:15 +0300
  
 Subject: Re: RE:
  [wanabidii] MAREKANI INA
 SHIDA GANI NA

  UCHAGUZI WA
 TANZANIA?
   From: acanemwango@gmail.com
  
 To: wanabidii@googlegroups.com
  
   Nakubaliana sana na
 wewe
  Dominick. 
  
   Maendeleo
  yanaanza na mtu
 binafsi.  japo baadhi ya sera
   na
 taratibu zetu wakati mwingine zinarudisha

 nyumba juhudi
   za mtu binafsi.  
  
  
   On
 28 Mar
  2016 11:14, "'Dominick

  Rukokelwa' via
 Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
   Bifabusha umesema
 vema.Tujilaumu
  sisi wenyewe kama
 Tanzania/
   Afrika.Tanzania
  tuna ardhi
   iliyosheheni
 kila kitu. Hivi
  kupanda maharage
 kunahitaji
   msaada kutoka

 Marekani?Ardhi tunayo ila tunaitazamaje kwa macho
   yetu, kwa fikira zetu? Tuna maono gani
 kwenye
  ardhi
  
 yetu?Tunachokiona cha
   kwanza ni kuiuza
 ardhi ya Tanzania.Sisi ni
  walegevu sana,
 swala la kazi
   linapaswa

 kusimamiwa na kila mtu. Kazi peke yake ndiyo
   itakayoinua taifa.Kwa
  
 mfano
  kuna faida gani kuwa na mfuasi wa
 chama chako cha
   siasa lakini hataki
 kufanya kazi?Unaposimama
  kumhutubia
 mfuasi
   wako hotuba nzima
  humhimizi baada ya mkutano na
   maandamano
  aende akafanye
 kazi. Mtu yeyote anayeipenda

  Tanzania kazi ataizungumza kama chanzo cha

  maendeleo.Wenzetu
   wanaitazama ardhi tofauti

 na sisi. Wenzetu wanajua nini
   maana ya
  kazi. 
  

      On Monday,
  March 28,
   2016 9:15 AM,

 'jbifabusha' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
  wrote:
    
  
    Tukipata misaada
   tukaitumia
  kuleta mifumo
 bora tutaendelea. Hata Japani

  walifanya hivyo wakafanikiwa. Shida hapa ni
 kutaka kuiba
   hiyo misaada na kutumia
 misaada kwa faida ya
  watu wachache.
   Msaada unaombwa ukiwa

 umebeba administrative costs kubwa na

  development budget kidogo pia nazo zinahusu
 posho za
  semina
  
 zinazoendeshwa na walewale
  walioandaa
 miradi walioko
   serikalini. No
  tangible development costs. Kwahiyo
 mamilioni
   ya dola yanaishia mifukoni mwa
 watu badala ya
  kwenda kwenye
   miradi. 


 Nilibahatika kufanya budget analysis kwenye


  sector ya kilimo ktk Halmashauri moja
 mambo niliyoyaona
  humo
  
 ni aibu. Expenditure kubwa ni mafuta
  na
 posho. Hatuwekezi
   kwenye miradi.
   Tusilaumu Magharibi ils tujilaumu sisi
  wenyewe.
   Misaada ikitumika
 vizuri inaweza
  kuleta maendeleo na
   kuondokana na
  utegemezi.
  
   Sent from
  Samsung
   Mobile
  
  
  
 -------- Original message
  --------
   From: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>

   Date: 
   To: wanabidii@googlegroups.com


   Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI
 INA
  SHIDA GANI NA
  
 UCHAGUZI WA TANZANIA?
   
  
  
  
   Thanks, Ireneus Kakuru

 Mushongi na Elisa Muhingo amehoji

  yote-Mbarikiwe!! Tunahitaji watu kama ninyi
 kutufunua
  sisi
   vipofu TZ
 tupo wengi wa kufuata
  mikumbo na kujali
 tumboni
   street.
   HK
  


 --------------------------------------------
   On Sun, 27/3/16, Ireneus Kakuru Mushongi
  <ireneuskakurumushongi@gmail.com>
   wrote:
  

  
  Subject: Re: RE: [wanabidii] MAREKANI
 INA SHIDA GANI NA
   UCHAGUZI WA
 TANZANIA?
    To:
  "wanabidii@googlegroups
  com" <wanabidii@googlegroups.com>
    Date: Sunday, 27 March, 2016, 14:05
   
    Nawaogopa wale
  mnaoutukuza umagharibi na na

   pia kupima
  mafanikio yenu kwa mizania ya
 kimagharibi!
    Angalia China, India, Asian
 Tigers,
  hawaendekezi
   
 U-Magharibi. Wana principles
  zao nzuri
 wanazitumikia
    wanazifuata. Huku
  hatuna nidhamu ya kazi na kufuata kanuni
   
  za mafanikia, hadi
 tusimamiwe na wa-Magharibi, kweli kwa
   
 akili hii tutafika?
    Hivi
  ni checklist gani ya
   
 kimagharibi
  unadhania inatufaa sisi hadi
 tuifuate hatua

  kwa
    hatua ndio tufanikiwe? Ya Kisiasa,
  kiuchumi au
   
 kiutamaduni?
    Our
   
 political, cultural,
  social and economical
 values in terms
    of

 mission and visions should guide of undertakings. We
   are
    in a very
 different
  environment in any of the above;
 how
    come
  their missions
 and visions guide our strategies? Hapa
   
 kazi tu ni Kauli mbiu ambayo mission na

 vision yake
   inaweza

  
  kutukwamua hapa ilipo kama ikisimamiwa
 vizuri kwa vitendo
   na
   
 nidhamu ya hali ya juu.
  Kwa nini
 tunang'ang'ania
    hizi
  dhana za kucopy na kupaste katika kuendesha
 mambo
   yetu?
    Can't
 we learn
  from others in the Eastern
 world?
   
  Can't we
 come up with something African and
  
 particularly
    Tanzanian to
  guide of move?
    Or simply
 because bwana
  mkubwa Uncle

   Sam (US) is not happy, then
  we are in a
 wrong direction?
    Because we
  not dancing in his tune? Yes it's time
 to
   say
    no!
   
  For how long
    should WE keep on licking

 their feet, kissing their ass to
   
 please
  them love us? South Africa, North
 Korea, Iran,
   Libya,
   
 were all sanctioned
  and denied the foreign
 aid few years
    ago;
  you
 all know what they did out of dependence to
   change
    their
 status.With
  exceptional of Libya where
    these western
  thugs
 intervened, we are well informed of

  the
    situation right now.
 Gadhafi is dead
  and Libya is a mess.
   US
   
  and
 her western allies are there at large controlling oil
    reserves! Similarly they intervened
 Libya
  government as
   
 undemocratic, supported few
  individuals who
 took refuge in
    UK and US,
  formed political movements, ousted Gadhafi;

  those
   
 individuals as they were not united

 previously, started
    fighting for
 power
  distribution; the West have failed
 and
   a
    situation in
 not manageable right now; gone
  beyond
   control;
    some
  groups have turned into terrorist groups,
 joined ISIS
    and Al-Qaeda; and surprising
 enough still
  few Tanzanians
   are
   

 hailing US as the remedy for our situation; come on guys;
   be
    serious and think
  ahead.
    Ndugu zangu wengine
 najua
    mnaishi huko nje/ ughaibuni, ama
 kwa kuamua
  ama kwa
   
 kulazimishwa na mazingira. By the
  way
 Donald Trump
    doesn't need you
  anymore; km uko US; you better come
    back
  ili tujenge nchi yetu
 kwa kaulimbiu zetu wenyewe
   badala
    ya kuchochea vurugu
  na
 kulalamika tuuuu! We will never
   make
    it under US missions and visions to
  determine our fate as
   a
   
  country. Ndiyo changamoto
 zipo bado lakini collectively
   sisi
    wenyewe bila
  kuingiliwa na
 yeyote; we can make
    it.

   Just my
    take!
   
   
   

 Omukunirwa
    Ireneus 

  

   

  
   
   

  
    2016-03-27 12:56

 GMT+03:00
    'Mashaka Makana'
 via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
    Kama demokrasia ya
   
  chaguzi za viongozi kila baada ya miaka mitano
 wakati
    chaguzi hizi ndiyo zinatufirisi
 na
  kuimarisha umasikini
  
 basi
    mh.magufuli mpaka 2050!
   

   
 Sent
    from Yahoo Mail
  on
 Android 


 From:"'mashakamakana'
   
 via
  Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
    Date:Sun, Mar 27, 2016 at 12:38
    Subject:RE: [wanabidii] MAREKANI INA
    SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA TANZANIA?
   
     Tunalo
    jembe limechongwa usukumani wala hatuna
 haja
  ya amri zao.
    Dawa
 ni kuwapuuza wakileta
  yasiyotufaa.
 Hongera
   wanyarwanda
   
 mh. kagame mpaka 1937
   

  
    'Bernard' via
  Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
    wrote:
   
    Mapenzi ni
   
  chongo.From:
    'ELISA
 MUHINGO'
  via
   
 Wanabidii
    Sent:
   
 ‎27/‎03/‎2016
   

 00:52
    To:
    wanabidii@googlegroups.com

   Subject:
    Re: [wanabidii]
  MAREKANI INA
    SHIDA GANI NA
 UCHAGUZI WA
  TANZANIA?
   

   
  Unazungumzia
 Marekani
    ipi? Iliyomuunga
  mkono Savimbi ili Angola  angola
   
  isiendelee na kuendeleza
 demokrasia? Hapo ndipo ilikuwa
    inatetea
 democrasia? Marekani iliyovamia
  Panama?
   Unaongelea
   
  marekani gani inayoona kuwa Tanzania
 haikufuata
   demokrasia?

   Iliyomuunga
  Mkono Mobutu kufilisi
 Kongo?
   

 --------------------------------------------
    On Fri, 3/25/16, 'Elias Msuya'
  via
    Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>
    wrote:
   

    Subject: Re:
    [wanabidii] MAREKANI INA

 SHIDA GANI NA UCHAGUZI WA
    TANZANIA?
     To: "wanabidii@googlegroups.com"
    <wanabidii@googlegroups.com>
     Date: Friday, March 25, 2016, 9:35 AM
    
     Marekani
   
    ina shida na wizi
 wa
  kura unaoendelea Tanzania.
    Kutofuatwa
     kwa
 misingi ya kidemokrasia
    ikiwa ni pamoja
 na
     kuwa
  na Tume
     huru ya Uchaguzi ndiyo

   tatizo. Hatuwezi kuwa na Tume
    
 iliyoundwa
    naMwenyekiti

 wa CCM ambaye ndiye mgombea halafu
    
 useme
  kuta kuwa na uchaguzi hapo.
 Mwenyekiti
    wa
  CCM
 (Rais)
     ndiye huyo huyo
  anayeelekeza
    majeshi ya
 ulinzi na
  usalama
    
 yawanyanyase
   
  wapinzani
 wake ili wasishinde uchaguzi, bado
    
 kutakuwa na uchaguzi hapo?
   
    CCM
    

 inajua wazi kwamba haipendwi na
   
 wananchi
  ndiyo maana
    
 inang'ang'ania
    Katiba iliyopo
 inayompa madaraka
     makubwa
    Rais ambaye ni
  Mwenyekiti
 wa CCM ili kulinda
     masilahi
  yake madarakani.
   
   
  Hili halikubaliki na
 Marekani na mataifa mengine
     ya Ulaya
 yako sawa kabisa kupinga.
    
    
    


    
        On
 Thursday,
  March
     24,
 2016 11:05 PM, 'ELISA
  MUHINGO'
 via
    Wanabidii
    
 <wanabidii@googlegroups.com>
    wrote:
      
    
      Mara
     baada ya uchaguzi mkuu

  
  October 2015 na yaliyotokea Marekani
   
    ilisita kuruhusu
 msaada kwa serikali ya
  Tanzania.
     Sababu
    
  mbili ilizozitaja ni 1) Kufutwa kwa
   
  Uchaguzi wa Zanzibar na
     2) Kutaka
  kujua
    kama kweli sheria ya mtandao ina
  haki ya
   

   kutumika
  kuwadhibiti waliokuwa wanatumia
 mtandao kuvuruga
     uchaguzi ambao baadhi
 walikuwa mikononi
  mwa
   
 dola.
    
     Majuzi
 baada ya
   
  uchaguzi
     Zanzibar Marekani ililalamika
  kwa
    uchaguzi kufanyika
 bila
     waliogoma
   
  kushirikishwa.
    
    
  Marekani
    inajiona inakosa nini Tanzania
  kuwa
     salama
    na chini
  ya viongozi
 waliodhibitishwa na tume za
    
  uchaguzi kuwa ndio waliochaguliwa?
     
  Send
  
   Emails to wanabidii@googlegroups.com

    
       
     
   
     

 Kujiondoa Tuma Email kwenda
    
    
      wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
     Utapata Email ya
   
  
    kudhibitisha ukishatuma
   
   
     
  
     
     
    Disclaimer:
     
    
    

 Everyone posting to this Forum bears the

  
  sole
    
 responsibility
   
   
 for
    a
   [The entire
  original message is not
  
 included.]
  
  
  
   --
  

   Send
  Emails to wanabidii@googlegroups.com
  
    
  

   Kujiondoa Tuma Email kwenda


  
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya
  
 kudhibitisha ukishatuma
  
    
  
  
 Disclaimer:
  

  Everyone posting to this Forum bears the
 sole
  responsibility
   for
 any legal consequences
  of his or her
 postings, and hence


 statements and facts must be presented responsibly. Your
   continued membership signifies that you
 agree
  to this
   disclaimer
 and pledge to abide by
  our Rules and
 Guidelines.
  

  ---
  
  
 You received this
  message because you are
 subscribed to the

  Google
 Groups "Wanabidii" group.


   To unsubscribe from this
 group and stop
  receiving emails
   from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  
   For more options,
 visit
  https://groups.google.com/d/optout.

  --
  Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com


  Kujiondoa Tuma Email kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  Disclaimer:

 Everyone posting to
  this Forum bears the
 sole responsibility for any legal

 consequences of his or her postings, and hence statements
  and facts must be presented responsibly. Your
 continued
  membership signifies that you
 agree to this disclaimer and
  pledge to
 abide by our Rules and Guidelines.
  ---
  You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups
  "Wanabidii" group.

 To unsubscribe
  from this group and stop
 receiving emails from it, send an
  email to
 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
  For more options, visit
  https://groups.google.com/d/optout.

    


  --

  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com


   


 Kujiondoa Tuma Email kwenda

  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya
  kudhibitisha ukishatuma

   

  Disclaimer:


 Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility
  for any legal consequences
 of his or her postings, and hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your
  continued membership signifies that you agree
 to this
  disclaimer and pledge to abide by
 our Rules and
  Guidelines.


  ---


 You received this message because you are subscribed to
 the
  Google Groups "Wanabidii"
 group.

  To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

 --
 Send
 Emails to wanabidii@googlegroups.com

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata
 Email ya kudhibitisha ukishatuma

 Disclaimer:
 Everyone posting to
 this Forum bears the sole responsibility for any legal
 consequences of his or her postings, and hence statements
 and facts must be presented responsibly. Your continued
 membership signifies that you agree to this disclaimer and
 pledge to abide by our Rules and Guidelines.
 ---
 You received this message
 because you are subscribed to the Google Groups
 "Wanabidii" group.
 To unsubscribe
 from this group and stop receiving emails from it, send an
 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.






 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment