Wednesday 30 March 2016

[wanabidii] SERIKALI KUSAIDIANA NA TAASISI YA MILLEN MAGESE MAPAMBANO DHIDI YA TATIZO LA ENDOMETRIOSIS

Habari za jioni,

Tafadhali pokea CODES  hapa chini.


<img class=" wp-image-10512 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8548-1.jpg" alt="DSC_8548" width="632" height="421" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akitoa hotuba yake katika semina hiyo. Kushoto ni Mwasisi wa Taasisi ya Millen Magese, Millen Happiness Magese. </strong></em><em><strong>(Picha na Video na Andrew Chale,<span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://dewjiblog.com/2016/03/30/serikali-kusaidiana-na-taasisi-ya-millen-magese-mapambano-ya-tatizo-la-endometriosis/" target="_blank">Modewjiblog</a><span style="color: #000080;">).</span></span></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na wadau mbalimbali akiwemo Mwanadada Millen Magese na Taasisi yake katika mapambano ya ugonjwa na athari za Endometriosis ambao unawapata wanawake wengi hapa nchini.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kauli hiyo imetolewa mapema leo  Machi 30.2016 na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla  wakati wa kufungua rasmi semina maalum kwa vijana wapatao 500 wa shule za Sekondari zikiwemo za Turiani Sekondari, </strong></span><span style="color: #000000;"><strong>Makurumla na zinginezo za Manispaa ya Kinondoni pamoja na walezi na walimu, ambapo katika mkutano huo, Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, juhudi zinazofanywa na Mwanadada Millen Magese ni za kuungwa mkono hivyo wataendelea kushirikiana naye bega kwa bega.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, anatambua wanawake wengi duniani kote wanasumbuliwa na tatizo hilo ambapo gharama zake kwa kawaida ni kubwa huku bado wataalam wanaendelea kushughulikia namna ya upatikanaji wa tiba yake ili kuweza kuwa nafuu.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Napongeza juhudi za dhati zinazofanywa na taasisi ya Millen Magese, katika kuunga mkono juhudi za serikali ya tano kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto za kuwasogeza wananchi karibu na huduma bora kwa ajili ya Maendeleo na Ustawi wa Jamii yetu. </strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Tatizo la kutoshika mimba (kitaalamu Endomytiosis) hutokana na sababu mbalimbali, nyingi zikichangiwa na uelewa mdogo wa jamii inayomzunguka msichana au mama anayejianadaa kuanza kubeba mimba, lakini pia upungufu wa vifaa tiba hospitalini na kwenye vituo vya afya sambamba na kukosekana kwa wataalamu katika hospitali zetu, Hivyo tunapenda kuchukua fursa hii kupongeza juhudi kama hizi za kuandaa semina na warsha ikiwa ni hatua madhubuti na ya msingi katika kuikabiliana na changamoto ya uelewa wa tatizo hili katika jamii.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwani, tunaamini, limekuwa jambo la faraja sana, tangu Magesse alipojitokeza hadharani na kuihabarisha dunia juu ya tatizo hili linalomkabili yeye binafsi. Naomba kusema wazi kuwa, huo ulikuwa uthubutu wa pekee wa mrembo huyo, kiasi cha kuifanya jamii kubwa ya kimataifa kuanza kulifuatilia tatizo hili ili kusaidia mabinti wadogo ambao walikuwa hawajakumbwa na hali hiyo. " alieleza Naibu Waziri Dk. Kigwangalla katika hotuba yake hiyo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Aidha, Dk. Kigwangalla aliongeza kuwa, ni faraja kubwa kwa watanzania tangu Magese Foundation ilipoanzishwa ikifanya kazi kubwa ya kuhamasisha upatikanaji wa vifaa na pia ujenzi wa hospitali maalumu kwa ajili ya kutibu tatizo hilo. Jambo hilo linaendelea kuitia moyo serikali hususani Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kufikia lengo la kumuwezesha mtoto wa kike kufikia malengo tarajiwa.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Kwa upande wake, Mwanadada Millen Magese amewaeleza vijana wa kike katika semina hiyo kuwa, wawe wazi pindi wajisikiapo dalili mbalimbali wakati wanapokuwa katika mzunguko wa siku zao ambapo na kubainisha kuwa, jambo hilo endapo litabainika mapema ni rahisi kulipatia tiba kuliko kuficha na kufika steji mbaya.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Mwanadada, Millen Magese pia alitumia wasaha huo kuishukuru Serikali kwa namna walivyokubaliana kushirikiana naye bega kwa bega katika mapambano dhidi  ya tatizo hilo hapa nchini ambapo pia amewashukuru wadau wote kwa kuwa naye dhidi ya mapambano hayo.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Semina hiyo pia imeweza kukusanya watu mbalimbali wakiwemo watu maarufu wasanii, wanamitindo na wabunigu wa mavazi, wafanyabiashara na wanaharakati wanawake katika maendeleo hapa nchini  huku wanaume nao wakijumuika pamoja ilikusambaza ujumbe huo kwa wenza wao na marafiki zao.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong>Tazama MO tv, kuona tukio hilo hapa:
<iframe src="https://www.youtube.com/embed/GtvIV0uGjUo" width="560" height="315" frameborder="0" allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe>
</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #ff0000;"><em><strong><img class=" wp-image-10491 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8330.jpg" alt="DSC_8330" width="629" height="419" /></strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mwanadada, Millen Happiness Magese (katikati) pamoja na Afisa Elimu Manispaa ya Kinondoni, Bw. Rogers Shemwelekwa.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10492 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8338.jpg" alt="DSC_8338" width="630" height="420" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Mwanadada, Millen Happiness Magese.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"><img class=" wp-image-10493 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8343.jpg" alt="DSC_8343" width="630" height="420" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Baadhi ya wanafunzi, wadau wanaosaidiana na mwanadada Millen Magese  wakifuatilia semina hiyo.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"><img class=" wp-image-10494 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8349.jpg" alt="DSC_8349" width="630" height="420" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Baadhi ya wageni waalikwa, wakiwemo waliowahi kushiriki  mashindano ya ulimwende hapa nchini ..wakiwa wamejumuika pamoja kuungana na taasisi ya Millen Magese.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10495 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8353.jpg" alt="DSC_8353" width="632" height="421" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Wanafunzi wakifuatilia semina hiyo.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10496 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8366.jpg" alt="DSC_8366" width="633" height="422" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Wanafunzi wakifuatilia semina hiyo.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10497 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8370.jpg" alt="DSC_8370" width="630" height="420" /> <img class=" wp-image-10498 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8388.jpg" alt="DSC_8388" width="630" height="420" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Afisa Elimu Manispaa ya Kinondoni, Bw. Rogers  Shemwelekwa akitoa hotuba fupi katika semina hiyo</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10499 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8382.jpg" alt="DSC_8382" width="636" height="424" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Baadhi ya wadau walioungana kwa pamoja kusaidiana na taasisi ya Millen Magese wakifuatilia semina hiyo. Mustafa Hassanali pamoja na Rio Paul ambao wote ni wabunifu wa mavazi hapa nchini.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10500 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8478.jpg" alt="DSC_8478" width="632" height="421" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><em><strong>Seven Mosha na Miss Tanzania 2008, Nasreen Kareem.</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"> <img class=" wp-image-10501 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8394.jpg" alt="DSC_8394" width="636" height="424" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, akitoa hotuba yake.</span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;"><img class=" wp-image-10503 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8380.jpg" alt="DSC_8380" width="633" height="422" /> <img class=" wp-image-10504 aligncenter" style="font-size: 14px; line-height: 1.857;" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/DSC_8401.jpg" alt="DSC_8401" width="629" height="419" /></span></strong></em></p>
<p style="text-align: center;"><em><strong><span style="color: #000080;">Mmoja wa madaktari bingwa wa wanawake wa Hospitali ya Muhimbili akitoa maelezo machache. </span></strong></em><strong><span style="color: #000080;"><span style="color: #0000ff;"><a style="color: #0000ff;" href="http://dewjiblog.com/2016/03/30/serikali-kusaidiana-na-taasisi-ya-millen-magese-mapambano-ya-tatizo-la-endometriosis/" target="_blank">Kwa picha zaidi bofya link hapa </a></span></span></strong></p>



KAWAIDA


DSC_8548

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akitoa hotuba yake katika semina hiyo. Kushoto ni Mwasisi wa Taasisi ya Millen Magese, Millen Happiness Magese. (Picha na Video na Andrew Chale,Modewjiblog).

Serikali kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, imesema kuwa ipo tayari kushirikiana na wadau mbalimbali akiwemo Mwanadada Millen Magese na Taasisi yake katika mapambano ya ugonjwa na athari za Endometriosis ambao unawapata wanawake wengi hapa nchini.

Kauli hiyo imetolewa mapema leo  Machi 30.2016 na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla  wakati wa kufungua rasmi semina maalum kwa vijana wapatao 500 wa shule za Sekondari zikiwemo za Turiani Sekondari, Makurumla na zinginezo za Manispaa ya Kinondoni pamoja na walezi na walimu, ambapo katika mkutano huo, Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, juhudi zinazofanywa na Mwanadada Millen Magese ni za kuungwa mkono hivyo wataendelea kushirikiana naye bega kwa bega.

Dk. Kigwangalla amebainisha kuwa, anatambua wanawake wengi duniani kote wanasumbuliwa na tatizo hilo ambapo gharama zake kwa kawaida ni kubwa huku bado wataalam wanaendelea kushughulikia namna ya upatikanaji wa tiba yake ili kuweza kuwa nafuu.

"Napongeza juhudi za dhati zinazofanywa na taasisi ya Millen Magese, katika kuunga mkono juhudi za serikali ya tano kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,  Wazee na Watoto za kuwasogeza wananchi karibu na huduma bora kwa ajili ya Maendeleo na Ustawi wa Jamii yetu.

Tatizo la kutoshika mimba (kitaalamu Endomytiosis) hutokana na sababu mbalimbali, nyingi zikichangiwa na uelewa mdogo wa jamii inayomzunguka msichana au mama anayejianadaa kuanza kubeba mimba, lakini pia upungufu wa vifaa tiba hospitalini na kwenye vituo vya afya sambamba na kukosekana kwa wataalamu katika hospitali zetu, Hivyo tunapenda kuchukua fursa hii kupongeza juhudi kama hizi za kuandaa semina na warsha ikiwa ni hatua madhubuti na ya msingi katika kuikabiliana na changamoto ya uelewa wa tatizo hili katika jamii.

Kwani, tunaamini, limekuwa jambo la faraja sana, tangu Magesse alipojitokeza hadharani na kuihabarisha dunia juu ya tatizo hili linalomkabili yeye binafsi. Naomba kusema wazi kuwa, huo ulikuwa uthubutu wa pekee wa mrembo huyo, kiasi cha kuifanya jamii kubwa ya kimataifa kuanza kulifuatilia tatizo hili ili kusaidia mabinti wadogo ambao walikuwa hawajakumbwa na hali hiyo. " alieleza Naibu Waziri Dk. Kigwangalla katika hotuba yake hiyo.

Aidha, Dk. Kigwangalla aliongeza kuwa, ni faraja kubwa kwa watanzania tangu Magese Foundation ilipoanzishwa ikifanya kazi kubwa ya kuhamasisha upatikanaji wa vifaa na pia ujenzi wa hospitali maalumu kwa ajili ya kutibu tatizo hilo. Jambo hilo linaendelea kuitia moyo serikali hususani Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kufikia lengo la kumuwezesha mtoto wa kike kufikia malengo tarajiwa.

Kwa upande wake, Mwanadada Millen Magese amewaeleza vijana wa kike katika semina hiyo kuwa, wawe wazi pindi wajisikiapo dalili mbalimbali wakati wanapokuwa katika mzunguko wa siku zao ambapo na kubainisha kuwa, jambo hilo endapo litabainika mapema ni rahisi kulipatia tiba kuliko kuficha na kufika steji mbaya.

Mwanadada, Millen Magese pia alitumia wasaha huo kuishukuru Serikali kwa namna walivyokubaliana kushirikiana naye bega kwa bega katika mapambano dhidi  ya tatizo hilo hapa nchini ambapo pia amewashukuru wadau wote kwa kuwa naye dhidi ya mapambano hayo.

Semina hiyo pia imeweza kukusanya watu mbalimbali wakiwemo watu maarufu wasanii, wanamitindo na wabunigu wa mavazi, wafanyabiashara na wanaharakati wanawake katika maendeleo hapa nchini  huku wanaume nao wakijumuika pamoja ilikusambaza ujumbe huo kwa wenza wao na marafiki zao.

Tazama MO tv, kuona tukio hilo hapa:

DSC_8330

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla  (wa kwanza kushoto) akifuatiwa na Mwanadada, Millen Happiness Magese (katikati) pamoja na Afisa Elimu Manispaa ya Kinondoni, Bw. Rogers Shemwelekwa.

DSC_8338

Mwanadada, Millen Happiness Magese.

DSC_8343

Baadhi ya wanafunzi, wadau wanaosaidiana na mwanadada Millen Magese  wakifuatilia semina hiyo.

DSC_8349

Baadhi ya wageni waalikwa, wakiwemo waliowahi kushiriki  mashindano ya ulimwende hapa nchini ..wakiwa wamejumuika pamoja kuungana na taasisi ya Millen Magese.

DSC_8353

Wanafunzi wakifuatilia semina hiyo.

DSC_8366

Wanafunzi wakifuatilia semina hiyo.

DSC_8370DSC_8388

Afisa Elimu Manispaa ya Kinondoni, Bw. Rogers  Shemwelekwa akitoa hotuba fupi katika semina hiyo

DSC_8382

Baadhi ya wadau walioungana kwa pamoja kusaidiana na taasisi ya Millen Magese wakifuatilia semina hiyo. Mustafa Hassanali pamoja na Rio Paul ambao wote ni wabunifu wa mavazi hapa nchini.

DSC_8478

Seven Mosha na Miss Tanzania 2008, Nasreen Kareem.

DSC_8394

Mwakilishi wa Mganga Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, akitoa hotuba yake.

DSC_8380DSC_8401

Mmoja wa madaktari bingwa wa wanawake wa Hospitali ya Muhimbili akitoa maelezo machache. Kwa picha zaidi bofya link hapa 




--
Zainul A. Mzige,
Operation Manager,
MO BLOG,
+255714940992.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment