Thursday 31 March 2016

Re: [wanabidii] WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA

(Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto). Wizara hii inahitaji umakini la sivyo itajikuta inaishia kuwa wizara ya Afya tu. Vipengele vingine vitatelekezwa.
--------------------------------------------
On Thu, 3/31/16, zainul mzige <zainul.mzige21@gmail.com> wrote:

Subject: [wanabidii] WAZIRI WA AFYA AKAGUA UTOAJI WA HUDUMA ZA AFYA KATIKA MAJIMBO YA MTWARA VIJIJINI, MASASI NA NDANDA
To:
Date: Thursday, March 31, 2016, 3:44 PM

Habari za
mchana,
Tafadhali pokea CODES hapa chini
<img class="size-full wp-image-10770
aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0021.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="640"
height="480" /><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu (wa pili kushoto) akiwasili katika hospitali ya
Rufaa Ndanda
Mission.</strong></em></span></p><span
style="color: #000000;"><strong>Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed
Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi (Mkomaindo),
Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha Afya cha
Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara
Vijijini.</strong></span><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
ziara hiyo ya siku 2 Mh. Ummy alipata fursa ya kukagua
shughuli mbalimbali za sekta ya afya ikiwemo kukagua wodi za
wagonjwa, maabara pamoja na kusikiliza kero mbalimbali
kutoka kwa watumishi wa idara ya afya na wananchi katika
utoaji wa huduma za afya katika maeneo
hayo.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mh. Ummy
alisema kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe Dk. John
Pombe Magufuli imejikita zaidi katika kuwahudumia wananchi
hasa wa kipato cha chini kwa kuimarisha Nidhamu na
Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma. Pamoja na kusimamia Uwazi
na matumizi bora ya rasilimali za
Taifa.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Licha ya
kukiri kuwa sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto
mbalimbali Mh. Ummy aliwapongeza na kuwashukuru madaktari na
wauguzi kwa kazi na nzuri wanayoifanya ktk kutoa huduma kwa
wananchi. Alieeleza kuwa Serikali inatambua na kuthamini
kazi yao na imedhamiria kutatua changamoto zilizoko katika
utoaji wa huduma ikiwemo kuongeza watumishi wa afya na
kununua vifaa tiba na kuboresha mazingira ya kazi ya
watumishi wa afya hasa walioko
pembezoni.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Aliwaasa
wananchi  kuwathamini madaktari na waaguzi na iwapo kuna
malalamiko dhidi ya watumishi hao basi wananchi wazingatie
Sheria, Kanuni na Taratibu ktk kuonyesha malalamiko yao
badala ya kujichukulia sheria
mkononi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Alisema,
Hata hivyo wapo watumishi wachache ambao wanafanya kazi kwa
kutozingatia maadili ya kazi na viapo vyao, hivyo aliwataka
wabadilike kwani Serikali ya awamu ya 5 haitamvumilia
mtumishi yeyote anaejihusisha na vitendo vya rushwa na
uzembe
kazini.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10757 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0017.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="633"
height="405" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akiongea na wananchi Ndanda
mission.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Pia
aliwaasa watumishi hao kujiepusha na mambo ambao yanaweza
kuleta mgongano na hisia mbaya kwa wananchi. Mfano tuhuma
dhidi ya mfamasia wa Wilaya kumiliki maduka matatu ya 3
ambapo mhe Waziri ameelekeza uchunguzi wa TAKUKURU
ufanyike.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Hospitali ya Mkomaindo, Mhe Ummy ameipongeza Halmashauri ya
Mji wa Masasi kwa mafanikio waliyopata ktk ukusanyaji wa
mapato ambapo baada ya kufunga mfumo wa kukusanya mapato wa
kielektronik mapato yao yameongezeka kutoka shs 500,000 hadi
1,500,000 kwa siku. Amezitaka Halmashauri zote nchini kuiga
mfano wa hospitali ya Mkomaindo kwa sababu hatua hii
itachangia sana kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa
wananchi ikiwemo uwezo wa Halmashauri wa kununua dawa na
vifaa
tiba.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Kituo cha Afya cha Nanguruwe Mh. Ummy aliihimiza Halmashauri
kukamilisha ujenzi wa wodi mbili ili Kituo hicho kiweze
kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Pia aliwataka
kuongeza jitihada katika kuingiza wananchi/kaya nyingi
katika Bima ya Afya kwani asilimia 5 wa waliojiunga ni ndogo
sana.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong><img
class="wp-image-10765 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0026.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="630"
height="419"
/></strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akiongea na wananchi ili kujua kero zao katika ziara
ya siku mbili mkoani
humo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Katika
Hospitali ya Rufaa ya Mission Ndanda Mhe Ummy ameipongeza
kwa kufanyia kazi agizo lake la wiki mbili zilizopita la
kuzitaka hospitali za Taasisi za Dini zinazopokea ruzuku ya
Serikali (Fedha na au Watumishi) kutekeleza kwa vitendo sera
za Taifa za Serikali ikiwemo ya Matibabu Bure kwa
Wajawazito, Watoto chini ya umri wa miaka 5 na Wazee.
Hospitali ya Rufaa Ndanda imekubaliana na Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi kuanza utekelezaji wa jambo hili kuanzia
Julai 1,
2016.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mh. Ummy
pia amepongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi na
matibabu bure ya Ugonjwa wa Kifua kikuu hospitalini hapo
ambapo alisema ni asilimia 10 tu ya vituo vya afya/Hospitali
binafsi nchini zinazotoa huduma hizo licha ya Serikali kuwa
tayari kuvipatia vifaa vya uchunguzi na dawa bure. Mhe Ummy
amezitaka hospitali nyingine binafsi kuunga mkono jitihada
za Serikali za kutokomeza ugonjwa wa Kifuu kikuu kama sehemu
ya mchango wao kwa
jamii.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;"><strong>Mhe Ummy
pia ametembelea Chuo  cha Maafisa Tabibu na Chuo cha uuguzi
vilivyoko
Masasi.</strong></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10766 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0025.jpg"
alt="IMG-20160331-WA0025" width="626"
height="416" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri Ummy
akiongea na wagonjwa aliowakuta wakisubiri huduma katika
hospitali ya Mkomaindo
Masasi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class="size-full wp-image-10773 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0019.jpg"
alt="Mohammed Bakari " width="640"
height="480" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mganga Mkuu wa
Serikali Prof. Mohammed Bakari akizungumza na Watumishi wa
Afya Ndanda Mission katika ziara aliyoambatana na Waziri wa
Afya Mh. Ummy
Mwalimu.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class="size-full wp-image-10772 aligncenter"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0018.jpg"
alt="Mohammed Bakari " width="640"
height="480" /></p><p
style="text-align: center;"><img
class="wp-image-10774 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0023.jpg"
alt="IMG-20160331-WA0023" width="419"
height="278" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Baadhi ya
watumishi wa afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa afya
Mh.Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati ziara yake tar 30
Machi.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10776 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0024.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="613"
height="408" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh. Ummy
Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa kwenye
wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya
hospitali
hiyo.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10779 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0029.jpg"
alt="Mussa Rashid" width="630"
height="419" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Kaimu Mganga mkuu
Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid akitoa taarifa
kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha vipimo katika
hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa Serikali Prof.
Muhammed
Bakari.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><img
class=" wp-image-10777 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/IMG-20160331-WA0016.jpg"
alt="Ummy Mwalimu" width="615"
height="461" /></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Waziri Mh. Ummy
Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya Masasi Mhe.
Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya Hospitali ya
Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus
Kessy.</strong></em></span></p>

KAWAIDA
Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu (wa pili kushoto) akiwasili katika hospitali ya
Rufaa Ndanda Mission.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu pamoja na Mganga Mkuu wa Serikali Prof.
Mohammed Bakari wametembelea Hospitali ya Mji wa Masasi
(Mkomaindo), Hospitali ya Rufaa Ndanda Mission na Kituo cha
Afya cha Nanguruwe kilichopo Jimbo la Mtwara
Vijijini.Katika
ziara hiyo ya siku 2 Mh. Ummy alipata fursa ya kukagua
shughuli mbalimbali za sekta ya afya ikiwemo kukagua wodi za
wagonjwa, maabara pamoja na kusikiliza kero mbalimbali
kutoka kwa watumishi wa idara ya afya na wananchi katika
utoaji wa huduma za afya katika maeneo
hayo.Mh.
Ummy alisema kuwa serikali ya awamu ya tano chini ya Mhe Dk.
John Pombe Magufuli imejikita zaidi katika kuwahudumia
wananchi hasa wa kipato cha chini kwa kuimarisha Nidhamu na
Uwajibikaji kwa Watumishi wa Umma. Pamoja na kusimamia Uwazi
na matumizi bora ya rasilimali za
Taifa.Licha
ya kukiri kuwa sekta ya Afya inakabiliwa na changamoto
mbalimbali Mh. Ummy aliwapongeza na kuwashukuru madaktari na
wauguzi kwa kazi na nzuri wanayoifanya ktk kutoa huduma kwa
wananchi. Alieeleza kuwa Serikali inatambua na kuthamini
kazi yao na imedhamiria kutatua changamoto zilizoko katika
utoaji wa huduma ikiwemo kuongeza watumishi wa afya na
kununua vifaa tiba na kuboresha mazingira ya kazi ya
watumishi wa afya hasa walioko
pembezoni.Aliwaasa
wananchi  kuwathamini madaktari na waaguzi na iwapo kuna
malalamiko dhidi ya watumishi hao basi wananchi wazingatie
Sheria, Kanuni na Taratibu ktk kuonyesha malalamiko yao
badala ya kujichukulia sheria mkononi.Alisema,
Hata hivyo wapo watumishi wachache ambao wanafanya kazi kwa
kutozingatia maadili ya kazi na viapo vyao, hivyo aliwataka
wabadilike kwani Serikali ya awamu ya 5 haitamvumilia
mtumishi yeyote anaejihusisha na vitendo vya rushwa na
uzembe kazini.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akiongea na wananchi Ndanda
mission.Pia
aliwaasa watumishi hao kujiepusha na mambo ambao yanaweza
kuleta mgongano na hisia mbaya kwa wananchi. Mfano tuhuma
dhidi ya mfamasia wa Wilaya kumiliki maduka matatu ya 3
ambapo mhe Waziri ameelekeza uchunguzi wa TAKUKURU
ufanyike.Katika
Hospitali ya Mkomaindo, Mhe Ummy ameipongeza Halmashauri ya
Mji wa Masasi kwa mafanikio waliyopata ktk ukusanyaji wa
mapato ambapo baada ya kufunga mfumo wa kukusanya mapato wa
kielektronik mapato yao yameongezeka kutoka shs 500,000 hadi
1,500,000 kwa siku. Amezitaka Halmashauri zote nchini kuiga
mfano wa hospitali ya Mkomaindo kwa sababu hatua hii
itachangia sana kuboresha utoaji wa huduma za afya kwa
wananchi ikiwemo uwezo wa Halmashauri wa kununua dawa na
vifaa tiba.Katika
Kituo cha Afya cha Nanguruwe Mh. Ummy aliihimiza Halmashauri
kukamilisha ujenzi wa wodi mbili ili Kituo hicho kiweze
kupandishwa hadhi kuwa Hospitali ya Wilaya. Pia aliwataka
kuongeza jitihada katika kuingiza wananchi/kaya nyingi
katika Bima ya Afya kwani asilimia 5 wa waliojiunga ni ndogo
sana.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akiongea na wananchi ili kujua kero zao katika
ziara ya siku mbili mkoani humo.Katika
Hospitali ya Rufaa ya Mission Ndanda Mhe Ummy ameipongeza
kwa kufanyia kazi agizo lake la wiki mbili zilizopita la
kuzitaka hospitali za Taasisi za Dini zinazopokea ruzuku ya
Serikali (Fedha na au Watumishi) kutekeleza kwa vitendo sera
za Taifa za Serikali ikiwemo ya Matibabu Bure kwa
Wajawazito, Watoto chini ya umri wa miaka 5 na Wazee.
Hospitali ya Rufaa Ndanda imekubaliana na Halmashauri ya
Wilaya ya Masasi kuanza utekelezaji wa jambo hili kuanzia
Julai 1, 2016.Mh.
Ummy pia amepongeza upatikanaji wa huduma za uchunguzi na
matibabu bure ya Ugonjwa wa Kifua kikuu hospitalini hapo
ambapo alisema ni asilimia 10 tu ya vituo vya afya/Hospitali
binafsi nchini zinazotoa huduma hizo licha ya Serikali kuwa
tayari kuvipatia vifaa vya uchunguzi na dawa bure. Mhe Ummy
amezitaka hospitali nyingine binafsi kuunga mkono jitihada
za Serikali za kutokomeza ugonjwa wa Kifuu kikuu kama sehemu
ya mchango wao kwa jamii.Mhe
Ummy pia ametembelea Chuo  cha Maafisa Tabibu na Chuo cha
uuguzi vilivyoko Masasi.Waziri
Ummy akiongea na wagonjwa aliowakuta wakisubiri huduma
katika hospitali ya Mkomaindo
Masasi.Mganga
Mkuu wa Serikali Prof. Mohammed Bakari akizungumza na
Watumishi wa Afya Ndanda Mission katika ziara aliyoambatana
na Waziri wa Afya Mh. Ummy
Mwalimu.Baadhi
ya watumishi wa afya wakimsikiliza kwa makini Waziri wa afya
Mh.Ummy Mwalimu (hayupo pichani) wakati ziara yake tar 30
Machi.Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mh.
Ummy Mwalimu akizungumza na mmoja wa wakinamama aliyelazwa
kwenye wodi ya wazazi alipokua akikagua maeneo mbalimbali ya
hospitali hiyo.Kaimu
Mganga mkuu Halmashauri ya mji wa Masasi DK. Mussa Rashid
akitoa taarifa kwa Waziri wa afya alipotembelea chumba cha
vipimo katika hospitali hiyo. Kulia ni Mganga Mkuu wa
Serikali Prof. Muhammed Bakari.Waziri
Mh. Ummy Mwalimu akibadilisha mawazo na Mkuu wa Wilaya ya
Masasi Mhe. Bernard Nduta. Kulia Mwenyekiti wa Bodi ya
Hospitali ya Rufaa Ndanda, Fr. Silvanus
Kessy.


--
Zainul A.
Mzige,Operation
Manager,MO BLOG,www.modewjiblog.com+255714940992.




--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment