Wednesday 30 March 2016

Re: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani

Hakuna jambo baya kama umalaya wa kisiasa, wakati wa kampeni katika uchaguzi uliopita viongozi wa UKAWA walikuwa wakitwambia hakuna jambo baya kama kusifia ujenzi wa barabara kwa fedha za Wamarekani, huku wakisema nia aibu aibu kwa kupokea misaada hiyo cha ajabu leo imeondolewa na wamarekani wenyewe wanatafuta kick kupitia MCC. huu ni umalaya wea kisiasa watanzania tuuogope kama ukoma.



2016-03-30 14:47 GMT+03:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Ukawa inahitaji kujipanga. inahitaji kwa kuanza kujisafisha. kuondoa mamluki walioingia wakidhani hiyo ni kampuni ya miashara. Wanabadilisha sera na malengo kufuatana na soko au muwekezaji.
Alipokuwapo Slaa waliuhubiri vita ya ufisadi. Ameingia muwekezaji mwingine wanaongelea biashara yake. Kujisafisha ni kuiondoa mimamluki yote. waliokaribisha na waliokaribishwa.

baada ya hapo waanze upya kwa kuandaa mwelekeo. Watafute agenda waiendeleze na waaminike. Vinginevyo watakufa na tutapata hasara. UKAWA sikia.
--------------------------------------------
On Wed, 3/30/16, 'lang'itomoni lokomoi' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] Magufuli na wanyonge vs UKAWA na wahisani
 To: "ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Wednesday, March 30, 2016, 10:35 AM

 Magufuli
 na wanyonge vs UKAWA na wahisani
      Hatimaye UKAWA
 wamejipambanua katika rangi yao halisi ya kutaka kuuza uhuru
 kamili wa
 nchi...kwa kuwalilia na kuwashabikia wazungu!!
 Reference iko humu humu jamvini.
      Ni ukweli usio na shaka kwamba UKAWA
 walipambana sana hata kabla ya matokeo ya uchaguzi wa Rais
 Nov 2015...
      Ukawa walipambana vilivyo kuwaonesha wazungu
 kuwa Tanzania hakuna amani...
      Ukawa kwa mara ya kwanza Tanzania walihakikisha kuwa
 vyombo vya
 habari vya kimagharibi vinaonesha Tanzania kuna tension
 kiasi cha amani
 kutoweka....
 Ila kwa weledi mkubwa na uzalendo uliokithiri
 vyombo vyetu vya kiuongozi na kiusalama vikashinda jaribio
 hilo ovu la
 UKAWA na wananchi wa Tanzania wakamaliza uchaguzi kwa amani
 na ustaarabu
  kama ikivyo desturi yetu.
      UKAWA waliandaa maandamano UK na
 USA na sio Manzese,Magomeni au Tandahimba ili kuonesha kuwa
 nchi hii
 haina demokrasia kisa CCM ilikuwa imeshinda na inaendelea
 kushinda...huku wakisahau kuwa ndani ya vyama vyao wanacheza
 tikitaka na
  kugeuza gia za angani ili tu viongozi wao wawe wa kudumu
 yaani
 wanahubiri demokrasia ambayo ndani ya vyama vyao
 haipo.
      UKAWA wako tayari kuomba majeshi nje ili
 tukupambana na CCM(REFERENCE: Vijana wa IT na mabodyguard
 kutoka nje ya nchi)

      UKAWA inaendelea kujidhihirisha kwa sera
 zake za utegemezi kwa
 mataifa ya nje...yaani UKAWA inaachana na dhana ya kutumia
 resource
 nyingi tulizonazo kukwamua wananchi kutoka kwenye matatizo
 na badala
 yake inajikita kwenye kuamini kuwa maendeleo yatakuja kwa
 msaada na
 hisani ya watu wa marekani.
 UKAWA inatukumbusha vikundi vya miaka ile ya kudai uhuru
 ...vikundi tulivyoviita vibaraka wa wakoloni.
      HII NI HULKA CHAFU YA UKAWA
 iliyotubadilishia gia angani!!
      UKAWA hii ya sasa ni UKAWA inayonukia kinyesi cha
 UFISADI PAPA
 baada ya kukiokota na kujipaka yenyewe karibia na uchaguzi
 wa 2015.

      Hii ni UKAWA iliyopoteza agenda muhimu za
 kitaifa kama vile vita
 dhidi ya ufisadi,ukosefu wa ajira,ukosefu wa uadilifu,elimu
 duni na afya
  isiyoridhisha....UKAWA inahaha kutafuta Agenda ya kubakia
 kwenye ulingo
  wa siasa kwa gharama yoyote baada ya kuvurunda
 ...!
      UKAWA inajitenga rasmi na hoja za wananchi
 na badala yake inachukua mrengo wa kunyenyekea
 wakoloni!

      UKAWA inaanzisha mapambano upya ya sisi
 wazalendo dhidi ya Ukoloni
 wa kisasa na kwa nguvu zetu,adabu,uvumilivu na msimamo
 tutashinda tu...!
      UKAWA haisikiki kwebye vita dhidi ya mauaji ya albino
 lakini
 inataka isikike kwenye msaada wa MCC...HUU NI UNAFIKI WA
 KUTUPWA!!
      SHAME UPON UKAWA ILIYOAMINIWA NA KUJIGEUZIA
 GIA ANGANI...!
 KWA MAGUFULI HAKIKA MTAISOMA NAMBA....KWANI AGENDA YETU NI
 KAZI TU KAZI TU KAZI TU!

 iliwahi kusemwa kuwa 'NGUO YA KUAZIMA
 HAISITIRI.....Tufanye kazi na tulipe kodi!     KWA HISANI YA MTU WA
 TANZANIA!



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment