Thursday, 3 March 2016

Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

Ukweli Kiwasila katika 'Tone' ya Dr Kigwangala akifunga chumba hicho alionekana 'anawaadhibu' wamiliki wa Hospitali hiyo. Sikuona kuwa nyuma ya mawqazo yake kulikuwa na wagonjwa ambao wamiliki wa hospitali wakiamua kuigeuza hospitali kuwa shule (wagonjwa hao) utakuwa mzigo wa Kigwangala kama waziri wa afya.
Nilitarajia kuwa angefunga chumba na kuisaidia hospitali kurekebisha makosa hayo.
Ninafuraha sana kwa kuamini kuwa Dr. kigwangala anasoma sana maoni haya.
Muhingo
--------------------------------------------
On Fri, 3/4/16, Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Friday, March 4, 2016, 8:40 AM



Pita nje ya Wizara ya Afya uone biashara za matikiti,
matango, na matunda mengine pale penye gate lao la
kuingia  ndani ya fence yao. Uone biashara wazi ya
matunda hakuna kufunika na wanamenya tikiti na kuuzia watu
na linabaki hivyo kusubirisha vipande kwa wengine. Nenda
restaurants jirani na Wizara ya Afya-vyakula wazi.

Tumbi na St Kizito Mikumi zinapokea sana waliopata ajali.
Tumbi ina kazi kubwa mkoa wa Pwani huduma zake kuhimu na
Kibaha ni mji wa vyuo, viwanda etc. Waipe vifaa
inavyohitaji. Huwezi kuwa baba mkamilifu ukiondoka huachi
pesa za chakula lakini ukirudi unataka ule kile chakula
utakacho/upendacho. Unakuta wamepika mlenda wa bamia na
fungu moja la mboga ya maboga. Unasema hupendi kula hivyo
unataka kuku au samaki na ugali.-Unampiga mke daima! Zipo
kichwani hapo kweli? Aibisheni wauguzi jukwaani, fungeni
maduka nje ya GVT  health services bila ya kutoa
alternatives. Wauguzi watakaa, wanaangalia wagonjwa
wakisubiri Kingwalala, Mangufuli na PMO waende wakawahudumie
wagonjwa. Kuanzia sasa-takwimu za vifo kutokana na uzazoi na
magonjwa mbalimbali, ukataji viungo kwa waathirika wa ajali
ziwekwe. Zita shoot sana kutokana na go-slow  ya
watumishi ambao wataacha kujituma wakisubiri wewe mkali na
mfungaji, mfokeaji upeleke vifaa na vitu vya huduma. Zamani
wakichangamkia kutoa huduma, kuagiza ndugu wa mgonjwa
kununua dawa na kumtibu mgonjwa kutokana na kupata motisha
inkind kutoka mgonjwa au nduguze. Sasa-Hakuna vifaa, hakuna
dawa za tiba, hakuna motisha ya hela. Tutazika wengi. Wapeni
dawa na vifaa motisha na malipo ya overtime please na
honoraria ya hela kwa mwezi kwa wote kwa hudiuma iliyotukuka
ya kusaidia wengine ili rushwa iishe.
--------------------------------------------
On Fri, 4/3/16, Dr. Hamisi A. Kigwangalla <hkigwangalla@gmail.com>
wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
To: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Friday, 4 March, 2016, 7:58

Naam, tumekusoma.
Ahsante 
2016-03-03 10:46
GMT+03:00 orao.sylvester1 <orao.sylvester1@gmail.com>:

     
Mh, umesikia matatizo ya hospitali ya
Tumbi? 
Tumbi inapokea majeruhi wengi sana wa ajali za
barabarani na kwa muda mrefu sasa. Tatizo lao lilipaswa
lipewe kipaumbele.  Mna changamoto nyingi lakini
jitahidini
kuimulika hospitali hii na kuisaidia kadri
iwezekanavyo 
Concerned Citizen


Sent
from my Samsung device

-------- Original message --------
From: "Dr. Hamisi A. Kigwangalla" <hkigwangalla@gmail.com>

Date: 03/03/2016  08:29  (GMT+03:00)
To: wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>

Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

Point tupu...
2016-03-01 12:42
GMT+03:00 Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>:




Pumba tupu. Nilipoteza mjukuu baada ya kuhangaika Lugalo
kwenda Muhimbili na nilinunua mafuta ya landrover ili
tupelekwe Muhimbili. Kufika huko ni ukanjanja tu mpaka
binti
akakosa mtoto. Alifika asubuhi sana opertesheni jioni sana
mtoto maiti tumboni na alipitiliza muda wa kuzaa mtoto
alikuwa mkubwa sana pia-vifaa hawana mara hili mara lile.
Tuna stories nyingi zetu wenyewe tulizotendewa
mahospitali,
kliniki, unatoa hela ya hili na lile na kumpa kitu
muhudumu
ili tu mgonjwa wako, mzazi wako ahudumiwe. Kila kitu
hakipo
na una kadi ya afya. Unalipia, unanunua ili uje upate
refund-wapi, utaipata?



Kama hata majengo ya hospitali kuu za serikali kunguru
anaruka na placenta na uchafu mwingine wa kutoka chumba
cha
upasuaji incinerator haifanyi kazi-utakaba roho hospitari
au
zahanati nyingine? Sitaki kuweka picha hapa za kugawa
mashuka niliyonunua mtumba kusaidia Zahanati mojawapo ya
GVT
Tarafa ya Ngerengere 2014. Hakuna shuka na mapazia. wakina
mama wanalalia uchafu. rekebisha kwako kwanza kabla
hujadandia kwa wengine. Hii funga, kamata, fukuza ya sasa
itaumiza wengi na watu watakufa hasa wakati serikali
yenyewe
vibaka wengi na ulaji mkubwa alocation ya hela ndogo.
Vifaa
haviletwi kupewa wahusika au matengenezo duni.



--------------------------------------------

On Tue, 1/3/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com>
wrote:



 Subject: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

 To:

 Date: Tuesday, 1 March, 2016, 7:38



 Habari za

 asubuhi,

 Tafadhali pokea CODES hapa chini.

 <p style="text-align:

 center;"><span style="color:

 #000000;"><strong>Naibu wa  Waziri wa
Afya,

 Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi

 Kigwangalla ameagiza kufungwa mara moja Chumba cha
upasuaji

 cha hospitali ya Sanitas ya Mikocheni Jijini Dar es
Salaam

 baada ya kubaini kuwa na kasoro mbalimbali ikiwemo mfumo
na

 ramani yake kimefungwa kwa kutokidhi vigezo vya
kimataifa

 vya namna chumba hicho kinavyotakiwa

 kuwa.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Dk.

 Kigwangalla ametoa agizo hilo mapema jana Februari
29.2016,

 alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye hospitali hiyo
majira

 ya saa nane na nusu mchana  ambapo baada ya kutembelea

 hospitali nzima na kushuhudia namna ya utolewaji wa
huduma,

 hakuridhishwa na hali aliyokutana nayo kwenye chumba
hicho

 na kutoa maagizo  kwa Msajili wa Hospitali Binafsi,
Dkt.

 Pamela Sawa kufunga chumba hicho mpaka uongozi wa
hospitali

 hiyo utakapofanya marekebisho ya mapungufu

 yaliyopo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>"Chumba

 cha upasuaji hakiko sawa, siwezi kuvumilia kuacha chumba

 hiki kiko chini ya kiwango cha kimataifa. Rekebisheni
chumba

 hiki kwa kutumia mfumo wa ramani wa wizara," alieleza
Dkt.

 Kigwangalla wakati wa kutoa maagizo kwa mmoja wa Ofisa
wa

 Hospitali

 hiyo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Aidha

 uongozi wa hospitali hiyo umepewa siku saba wawe

 wamewasilisha maelezo ya kutowalipa mishahara kwa
kipindi

 cha miezi minne watumishi wake pamoja na jinsi

 wanavyoteketeza taka hatarishi za hospitali

 hiyo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Katika

 ziara hiyo Naibu  Waziri huyo alipata malalamiko kutoka
kwa

 watumishi hao ambao wamelalamikia kukatwa kwa makato ya

 mafao pasipo kupelekwa mahali husika kwa zaidi ya miaka

 mitatu na

 nusu.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Dkt.

 Kigwangalla  alivitaja viwango  vya chumba cha
upasuaji

 kuwa kinatakiwa chumba cha kubadilishia mavazi,kunawa

 mikono,sehemu ya alama maalum zenye rangi nyekundu, meza
ya

 upasuaji, ukanda wa usafi, chumba cha mapunziko baada ya

 kutoka kwenye upasuaji na chumba cha kusafishia vifaa
vya

 upasuaji na kuna mashine maalum kwa kuwa kila upasuaji
una

 idadi ya vifaa

 vinavyotumika.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000000;"><strong>Aliongeza

 kuwa viwango hivi vinawekwa ili kuepuka

 maambukizi.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color: #000000;"><strong>Kwa

 upande wake Meneja Uendeshaji wa hospitali hiyo, Bi.
Gean

 Cabral alisema watarekebisha mapungufu yaliyobainika
pamoja

 na kufanya yale yote waliyoagiziwa baada ya tukio

 hilo.</strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #ff0000;"><em><strong>Tazama MO tv,

 kuangalia tukio hilo hapa:<iframe src="https://www.youtube.com/embed/R3LviAPZlKQ"

 width="560" height="315"

 frameborder="0"

 allowfullscreen="allowfullscreen"></iframe></strong></em></span></p><p

 style="text-align:
center;"><em><span

 style="color:

 #000080;"><strong>Imeandaliwa na Magreth

 Kinabo, (<span style="color:

 #000000;">MAELEZO</span>),  Andrew Chale,

 <span style="color:
#ff0000;">Modewjiblog/MO

 tv)</span></strong></span></em></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><img
class="size-full

 wp-image-5868 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-kigwa.jpg"

 alt="dk kigwa" width="702"

 height="468"

 /></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><span
style="color:

 #000080;"><em>Naibu wa  Waziri wa Afya,

 Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi

 Kigwangalla (katikati) akipata maelezo machache kutoka
kwa

 Meneja uendeshaji wa Hospitali ya Sanitas,  Bi. Gean
Cabral

  wakati walipowasilia katika ziara

 hiyo..</em></span></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><em><strong><img

 class="alignnone size-full wp-image-5869"

 src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-888.jpg"

 alt="dk hk 888" width="702"

 height="468" /><span style="color:

 #000080;">Dk Kigwangalla  akikagua baaadhi ya

 sehemu katika hospitali

 hiyo.</span></strong></em></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><img
class="alignnone

 size-full wp-image-5870" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk55.jpg"

 alt="dk hk55" width="702"

 height="468" /><em><span

 style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla

 akizungumza na baadhi ya wagonjwa (hawapo pichani) namna

 Serikali ya Rais Magufuli inavyofanya kazi kwa kusimamia

 haki na usawa ikiwemo kufika katika maeneo yenye kero na

 kuchukua hatua ilikumuokoa Mwananchi katika kupata haki
yake

 na huduma bora

 anayostahiki.</span></em></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><img
class="size-full

 wp-image-5872 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-34.jpg"

 alt="Kigwangalla akitoa maagizo"

 width="702" height="468"

 /></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><em><span

 style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla
akitoa

 maagizo hayo kwa Meneja uendeshaji wa hospitali hiyo,
Bi.

 Gean Cabral

 </span></em></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><img
class="size-full

 wp-image-5873 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hkna-.jpg"

 alt="dk hkna" width="702"

 height="468"

 /></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><em><span

 style="color: #000080;">Dk. Kigwangalla

 akimuonesha moja ya 'karatasi' iliyoandikwa
ujumbe

 mbalimbali dhidi ya madai kutoka kwa wafanyakazi wa

 Hospitali

 hiyo.</span></em></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><em><img

 class="size-full wp-image-5877 aligncenter"

 src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-kigwa-1.jpg"

 alt="dk kigwa" width="702"

 height="468"

 /></em></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><em><span

 style="color: #000080;">Meneja Uendeshaji wa

 Hospitali hiyo Bi. Gean Cabral akifafanua jambo pamoja
na

 Naibu Waziri wakati wa ziara

 hiyo..</span></em></strong></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:
#000080;"><strong><img

 class="size-full wp-image-5875 aligncenter"

 src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk-iio.jpg"

 alt="dk hk iio" width="702"

 height="468"

 /></strong></span></p><p

 style="text-align: center;"><span

 style="color:

 #000080;"><strong><em>Dk Kigwangalla

 akiangalia namna hali ya Maabara ya Hospitali hiyo licha
ya

 kuwa na vifaa vya kutosha, lakini imeshindwa kuweka

 mpangilio mzuri unaotakiwa kutumika katika mahabara.
ikiwemo

 suala la

 usafi</em></strong></span></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><img
class="size-full

 wp-image-5874 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/02/dk-hk67-1.jpg"

 alt="dk hk67" width="702"

 height="468"

 /></strong></p><p

 style="text-align:

 center;"><strong><em><span

 style="color: #000080;">Naibu Waziriwa Afya,

 Dk. Kigwangalla (kushoto), Msajili wa Hospitali Binafsi

 pamoja na maafisa wengine akiwemo Mganga Mkuu wa Wilaya
ya

 Kinondoni, Dk. Aziz (kulia) wakijadiliana jambo muda
mfupi

 baada ya kumalizika kwa ziara hiyo ya kushtukiza
kuangalia

 namna ya uendeshaji katika huduma za Sekta za Afya,
zikiwemo

 za Serikali na zile za watu binafsi. (Picha zote na
Andrew

 Chale,Modewjiblog/MO

 tv).</span></em></strong></p>



 KAWAIDA

 Naibu

 wa  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee
na

 Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla ameagiza kufungwa mara
moja

 Chumba cha upasuaji cha hospitali ya Sanitas ya
Mikocheni

 Jijini Dar es Salaam baada ya kubaini kuwa na kasoro

 mbalimbali ikiwemo mfumo na ramani yake kimefungwa kwa

 kutokidhi vigezo vya kimataifa vya namna chumba hicho

 kinavyotakiwa kuwa.Dk.

 Kigwangalla ametoa agizo hilo mapema jana Februari
29.2016,

 alipofanya ziara ya kushtukiza kwenye hospitali hiyo
majira

 ya saa nane na nusu mchana  ambapo baada ya kutembelea

 hospitali nzima na kushuhudia namna ya utolewaji wa
huduma,

 hakuridhishwa na hali aliyokutana nayo kwenye chumba
hicho

 na kutoa maagizo  kwa Msajili wa Hospitali Binafsi,
Dkt.

 Pamela Sawa kufunga chumba hicho mpaka uongozi wa
hospitali

 hiyo utakapofanya marekebisho ya mapungufu

 yaliyopo."Chumba

 cha upasuaji hakiko sawa, siwezi kuvumilia kuacha chumba

 hiki kiko chini ya kiwango cha kimataifa. Rekebisheni
chumba

 hiki kwa kutumia mfumo wa ramani wa wizara," alieleza
Dkt.

 Kigwangalla wakati wa kutoa maagizo kwa mmoja wa Ofisa
wa

 Hospitali hiyo.Aidha

 uongozi wa hospitali hiyo umepewa siku saba wawe

 wamewasilisha maelezo ya kutowalipa mishahara kwa
kipindi

 cha miezi minne watumishi wake pamoja na jinsi

 wanavyoteketeza taka hatarishi za hospitali

 hiyo.Katika

 ziara hiyo Naibu  Waziri huyo alipata malalamiko
kutoka kwa

 watumishi hao ambao wamelalamikia kukatwa kwa makato ya

 mafao pasipo kupelekwa mahali husika kwa zaidi ya miaka

 mitatu na nusu.Dkt.

 Kigwangalla  alivitaja viwango  vya chumba cha
upasuaji

 kuwa kinatakiwa chumba cha kubadilishia mavazi,kunawa

 mikono,sehemu ya alama maalum zenye rangi nyekundu, meza
ya

 upasuaji, ukanda wa usafi, chumba cha mapunziko baada ya

 kutoka kwenye upasuaji na chumba cha kusafishia vifaa
vya

 upasuaji na kuna mashine maalum kwa kuwa kila upasuaji
una

 idadi ya vifaa vinavyotumika.Aliongeza

 kuwa viwango hivi vinawekwa ili kuepuka

 maambukizi.Kwa

 upande wake Meneja Uendeshaji wa hospitali hiyo, Bi.
Gean

 Cabral alisema watarekebisha mapungufu yaliyobainika
pamoja

 na kufanya yale yote waliyoagiziwa baada ya tukio

 hilo.Tazama

 MO tv, kuangalia tukio hilo hapa:



 Imeandaliwa

 na Magreth Kinabo, (MAELEZO), 

 Andrew Chale, Modewjiblog/MO

 tv)Naibu

 wa  Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia,
Wazee na

 Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla (katikati) akipata
maelezo

 machache kutoka kwa Meneja uendeshaji wa Hospitali ya

 Sanitas,  Bi. Gean Cabral  wakati walipowasilia katika

 ziara hiyo..Dk

 Kigwangalla  akikagua baaadhi ya sehemu katika
hospitali

 hiyo.Dk.

 Kigwangalla akizungumza na baadhi ya wagonjwa
(hawapo

 pichani) namna Serikali ya Rais Magufuli inavyofanya
kazi

 kwa kusimamia haki na usawa ikiwemo kufika katika maeneo

 yenye kero na kuchukua hatua ilikumuokoa Mwananchi
katika

 kupata haki yake na huduma bora

 anayostahiki.Dk.

 Kigwangalla akitoa maagizo hayo kwa Meneja
uendeshaji wa

 hospitali hiyo, Bi. Gean

 Cabral Dk.

 Kigwangalla akimuonesha moja ya 'karatasi'

 iliyoandikwa ujumbe mbalimbali dhidi ya madai kutoka kwa

 wafanyakazi wa Hospitali hiyo.Meneja

 Uendeshaji wa Hospitali hiyo Bi. Gean Cabral
akifafanua

 jambo pamoja na Naibu Waziri wakati wa ziara

 hiyo..Dk

 Kigwangalla akiangalia namna hali ya Maabara ya
Hospitali

 hiyo licha ya kuwa na vifaa vya kutosha, lakini
imeshindwa

 kuweka mpangilio mzuri unaotakiwa kutumika katika
mahabara.

 ikiwemo suala la usafiNaibu

 Waziriwa Afya, Dk. Kigwangalla (kushoto),
Msajili wa

 Hospitali Binafsi pamoja na maafisa wengine akiwemo
Mganga

 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Dk. Aziz (kulia)
wakijadiliana

 jambo muda mfupi baada ya kumalizika kwa ziara hiyo ya

 kushtukiza kuangalia namna ya uendeshaji katika huduma
za

 Sekta za Afya, zikiwemo za Serikali na zile za watu
binafsi.

 (Picha zote na Andrew Chale,Modewjiblog/MO

 tv).









 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly. Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--
"Vision is the ability to see the
invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782
636963
website: www.peercorpstrust.org
or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org
or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.




--
"Vision is
the ability to see the invisible!"
Hamisi A. Kigwangalla, MD, MPH, MBA
P.O.Box 22499,
Dar es salaam.
Tanzania.
Phone No: +255 754 636963
                +255 782 636963
website: www.peercorpstrust.org
or www.hamisikigwangalla.com
Email: hamisi.kigwangalla@peercorpstrust.org
or info@hamisikigwangalla.com
Skype ID: hkigwangalla
Blog: blog.hamisikigwangalla.com 






--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and
hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to
the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment