Thursday, 10 March 2016

Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

Ms Hildegarda Lucian Kiwasila, Institute of Resource Assessment, P.O BOx 35097 Dar Es Salaam, Tanzania. Email: khildegarda@yahoo.co.uk lphildegarda2009@googlemail.com +255-22-2410144 Ext2422 +255762544553/754763803

--------------------------------------------
On Mon, 7/3/16, Neatness Msemo <nmuzeh@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Monday, 7 March, 2016, 0:37

Jamani mimi niko
kijijini kabisa yaani kama serikali ni sikivu nadhani NW
angekuwa anaibukia vijijini kusikokuwa na A B ndipo
angejua.watu wapo vijijini kuna miungu huko usisikie kila
kitu hakuna ningefurahi kama miezi sita angeibukia tu
vijijini bila taarifa na uone bibi afya ambaye hajasoma yupo
huko ndiye anaonekana badala ya NW kweli unampa mtu darasa
la saba kuwa bibi afya kata unategemea nini wakati vijana
wamesoma hawana kazi kisa vijijini hakuna wasomi jamani
waambieni wakurugenzi wa wilaya waende masijala kila wilaya
wakaone madudu hospital zipo lakini hakuna watendaji kila
mtu ni mwizi na fisadi mahali pa kazi hakuna wa kuwasemesha
watendaji wenyewe ngumbaru unategemea nini kwanini wote hao
hawaendi kusoma au wapewe redundancy.For the sake of the
Govt.wasomi wapo kila kona hawana kazi lakini tuna wilaya
nzima au mikoa wasomi unahesabu je hamuoni.unatafuta afisa
vijana amechoka yuko frustrated hawezi hata andaa mipango
mikakati lakini yupo tu ukimuuliza mkuu wa wilaya anasema
sina watu creative lakini ofisi zina mizigo waende shule au
waachie ngazi ni Tanzania yote.unaweza usiwe msomi lakini
mchapa kazi kwa uzoefu lakini wengi hulindana mamizigo ni
mengi sana serikalini.lazima sasa Dr.Kingwangala mtusaidie
kushape kila ofisi kuanzia chini hadi huu.
On Mar 6, 2016 4:42
PM, "Hildegarda Kiwasila" <khildegarda@yahoo.co.uk>
wrote:




Kwenye health education theory kuna warning au understanding
kwamba-Health Education in important but not sufficient for
positive behaviour change. Ninaomba uende Google Search
utafute-Health Education Theory or Behaviour Change Theory
-utajifunza mengi. Binadamu wote hata ulaya kuna matatizo
mengi. Wanajua Cigarette Smoking can cause cancer lakini wao
ni chain smokers wanawake na wanaume na kansa za koo
zinawamaliza. Hapa ni kipindupindu, ukimwi na elimu ya afya
inatolewa lakini bado tu wachafu sana tupo katika stages za
pre-contemplation pamoja na kuona vifi vya HIV, cholera na
hata TB. Wanaojichubua jee-mapaka wanatoka makovu. Vipi
kuhusu vidonge vya minyoo-matangazo mabango kibao, taarifa
redioni, TV, magazetini na ubalozi kupita kuhimiza kuhusu
kunywa dawa za matende na mabusha, minyoo-wazazi wanakataza
watoto wasiende kunywa dawa hizo nao ukienda ktk foleni
huwakuti bali wasichana, middle age women na wanafunzi au
watoto wachache. Wanafunzi wanaomezeshwa mashuleni na
kukaguliwa kinywa-baadhi yao wanakatazwa siku hiyo wasiende
shule.



Ufagiaji na uzoaji takataka upo decentralized na wananchi
wanajua, wameelimishwa na kuunda kamati za mazingira Mtaa.
Wameombwa kuuna CBOs au NGOs kujiajiri katika kufagia na
kukusanya takataka, mkandarasi ajaajiriwa kubeba taka
kupeleka dampo. Mkandarasi anaomba kikao kinakaa kumjadili
na Halmashauri inahusishwa na Mtaa kupitia list ya
walijiorodhesha kuomba kuzoa taka. Kila Mtaa unapanga
gharama ya kaya kulipia, aina ya biashara na gharama zake
zinatofautiana. Kama ni duka, genge, meza tu ya samaki,
mashine ya kusaga, bar lodging etc. Wanaweza kukubaliana
kulipa kwa wiki au mwezi. Hata hivyo, ulipaji wengine
wanakataa na kuamka usiku kuzitupa mferejini au nyumba
jirani ili asitoe 500/= kwa wiki. Mwingine anasema-anashinda
kazi na hana familia. Mwingine anamlipa mzoaji binafsi ambae
anazoa na kuzitupa mitaroni, nyumba zinazojengwa anatoa hapa
nyumba hii anatupa nyumba ile na vichochoroni, katikati ya
barabara kwenye bustani na hata rapid bus transport stands.
Mzoaji binafsi anatakiwa akaziweke ktk substation na
alipie-hataki. wakati mzoaji binafsi anapata kama 150,000/=
kwa mwezi na akifika majumbani anatumwa kufua, kutengeneza
bustani, kufyeaka na kulipwa hela na chakula anapewa na nguo
mbovu wanazotaka kutupa-anapata na vivalo. Utafiti wangu wa
2003 funded by ILO TZ nilitembea na wafagizi na wazoa taka
kuanzia 10 jioni hadi midnight wakifagia namna hiyo
usiku-UHuru-kariakoo area na Zanaki-Libya mjini. Kima cha
chini cha GVT mshahara ilikuwa 80,000/= mzoaji akipata
150,000/+ yule aliyejiajiri. Aliyeajiriwa 30,000-50,000/= na
foreman na dreva wa lori la taka 70-75,000/= (uonevu ulioje)
Akiumwa mfagiaji hata kama alishafagia wiki anaanza moja na
analipwa hiyo 30 elfu kidogo kidogo. Sexual abuse ilitawala
pia kwa akina dada. Nilikuta walimu wastaafu wakifagia pia.
Mikataba ya magari ya kubeba taka-utata mkubwa sina haja ya
kuwapotezea muda. Nilihoji  kampuni 23. Nia yangu ilikuwa
kuona kwa nini pamoja na kuwepo PPP bado mji mchafu, wazoao
taka na kufagia hawavai protective gear? (Solid waste
collection and utilization of protective gear with a gender
perspective). Wengi hawapewi, wapewao huziuza na pia kuna
kuporwa gum boot, fagio, reki, toroli na vibaka hasa mjini.
Mfagizi anabondwa-anaporwa. Kampuni inakutaka-ujinunulie
ikiajiri kama mfagiaji, mpakia taka kwa sepeto. Red cross na
kampuni chache ndio wakilipa waajiriwa vema. Makusanyo ya
kaya kulipa wafagizi na makampuni ya kuzoa taka-hufisadiwa
na viongozi wa Mtaa halafu kuwa wakali asiulizwe. wapatao
kontrakti-makanjanja kumbe magari hawana kimagumashi kukodi
gari hela hawana na waliupata mkataba kimagumashi
waliowapatia wakijua uwezo hawana wamekula hela hawawezi
kuwadhibiti. Au-halmashauri ilidanganjwa mjamaa alikodisha
magari akaandika majina na kupanga vifaa vya kukodi na
vijana walamba bangi akaonekana ana ofisi na anauwezo
kumbe-kiini macho taka zinamshinda. CBO na NGO nyingine si
za wajasiriamali ni mtu kanjanja binafsi hivyo anawadhulumu
anashiba yeye. Bongoland hiyo-taka zinalundikana Sokoni,
management inakusanya hela-tumboni street kuchafu, kunanuka.
wanaona ila sugu na vipofu wa kuona ulaji tu sio afya zao na
taifa lao. Mfuatilie kiongozi hapo sokoni-uokotwe kichwa
Urafiki na mikuu mabibo dampo la maji machafu.

Hata pale walipo wataalam Neatness-utakuta ofisi ya kata haina choo lakini eneo limezungukwa na msitu na watu wanakata na kuuza mbao, kuchoma matofari ya udongo na kuuza. Kwingine kama Monduli na Srerengeti kuna mawe yenye gypsum ambayo wanaweza kuyachoma na kutoa gypsum na kujenga choo na kutumia gypsum as a binder kwa mawe ya ukuta wa choo. Zahanati choo chake mlango umebomoda, slab imekaa upande watu wanaogopa kuingia watatumbukiwa. Hebu fika Morogoro ukikaribia kuingia mjini kuna Ofisi ya TAFORI- Tanzania Forest Research Institute (mnisamehe kama nimekosea kirefu chake) angalia milimani hapo adjacent TAFORI-wananchi wanapanda milima wanalima unsustainably hawapigi makinga maji na udogo na wamekata miti wala hawapandi veltiva grass ya kuzuia mmomomyoko wa udongo. Ni hivyo milima iliyozunguka Sokoine University ambako kunazalishwa wataalamu wa kilimo, misitu, mifugo etc. Vijiji jirani na Chuo hicho wanalima unsuastainably, nyumba za kisasa zinapanda milimani na kunalimwa bila kutumia makinga maji na udongo na huko kunachumwa moto miamba ya mawe inapasuka na land slides zinaweza kuua na kutia vilema watu. Pili maji ya mto inayotegemewa mjini yanakauka. Ukiyaona yana rangi ya udongo sio meupe tena na povu jeupe hayatiririki kwa spidi na kutoa sauti ya maanguko kama zamani. Vyuo vya ardhi, management vipo Morogorio lakini environmental conservation ni worse, land use planning hakuna na inaonekana katika ugawaji viwanja mabondeni watu wanajaza michanga na udongo katika wetlands ambako wanazungusha makuta makubwa sana na kufukia underground capillaries/tubes za maji na kusababisha matatizo mengine. Wanakwenda study tours Capetown na bila shaka Uswisi (Switzerland) wanaona wenzetu wanavyojenga kiuhifadhi milimani na kilimo kipoje mabondeni na upandaji miti na barabara za milimani zinajengwaje kwa wakaao milimani. Sio tu kupasua mawe, kuchoma moto na kulima na mifugo mpaka milimani kwa mamia kama hapa kwetu. Wanasheria wasomi sana, Wabunge wasomi, wakurugeszi na other extension workers wa kilimo, mazingira, ufugaji, misitu, maji wapo lakini-wapo wapo hata walipo wao iwe Tarafa, Kata, Kijiji-haya unayaona mpaka adjacent to Universities za sekta husika! Ofisi ya extension staff alipo bwana Afya na Maendeleo haina Choo na resources zote hapo zipo? Majipu hayo-Tumbua! Nyuma ya TAFORI mlima unalimwa unsustainably-JIPU tena la cancer!!
Kama Kawa



Mabango ya Elimu Jamii ni mengi mno barabarani, zahanati na
kazini.Ngoja nipate muda nikuwekee, mpaka ofisi za mtaa,
kata, kijiji. Nimehusika sana na Evaluation ya IEC
(Information Education, Communication) inayohusiana na elimu
ya afya jamii, mazingira, afya kazini na mpaka kupima
wafanyakazi waliopewa elimu ya afya na kuwahoji kuhuysu
matumizi ya condom. Ukimuuliza mtu Mtanzania utapata majibu
sahihi 80-100%. Lakini positive action less tha 40%. Katika
HIV unakuta 90% positive ni married people. Hata kula dawa
ya matende na ngiri maji-wanayaona matende na mabusha-hawali
dawa kutikana na Imani potofu ina dominate kuizidi elimu ya
afya waliyopewa. Hata ulaya-wamesoma lakini sigara
inamfariji anaivuta daily kila mtu na matatizo yake.
Enjoyment bila kondom ni superior kuliko outcome ya bila
kutumia-Mungu yupo akitaka ufe utakufa tu na HIV. Hata
mafuriko yalivyowaathiri wanabebwa na boat na kupewa
viwanja, bati, cement wakae Mabwepande-waliuza
wakarudi-tumezoea mjini ikawa dominant kiakili kuliko athari
iliyokuwa inawafika kupoteza ndugu, mali na kuishi uchafuni
daima. Mabwe pande ni uzunguni sasa. UMUELIMISHE KILA SIKU
AU UACHE SIASA UTUMIE SHERIA UMZOE NA KUMUONDOA ASIRUDI
HAPO-BOMOA, JENGA MIUNDO MBINU YA KISASA JANGWANI IWE KAMA
UK-THAMES VALLEY!!





Hii ya usafirishaji taka kila jumamosi ni ya  Mh Mangufuli.
Kila Mtaa una maamuzi yake ktk kuzoa taka na kupeleka dampo.
Kuna mitaa Dar inafanya vizuri sana sana kwa usafi-Manzese
Uwanja wa Fisi ni Mtaa/Eneo  mmojawapo na Jumuiya za
Watumia maji Manzese pia Kibaha ni mfano wa kuiga.

Kodi wanazolipa mbona zina kazi nyingi lakini 'Polluter
Pay Principle' inakutaka ugharimie uchafunzi unaoufanya
ndio RIO Summit na mikutano mingine ya kidunia
ilivyokubaliana na World Bank na DFID, SNV na donor wengineo
hawapo tena kutugharimia city cleansing. Kunyonya maji
machafu CIty Council na Municipality wawaachie private
sector pia kufagia na kuzoa taka kulipiwe na wachafuaji. Ila
waannchi tunatoboa vyoo na kutiririshia nje na mitaropni ili
tusilipie. Kama kodi yako ilipie kila kitu hiyo 500 kwa wiki
basi pia GVT ije ikuchambishe au ikuogesho ukitoka haja!
Hizi pumba sizipendi. Unaweka choo kinafura, unakitiririsha
maji ya kinyesi na maji taka mitaroni na hasa mvua ikinyesha
ndio unafungulia ilioje, kisha  bomba lako la maji
limepasuka lina plasta linapita uchafuni mtaroni, unakunywa
maji mashafu, unaumwa, ulipiwe matibabu pia kwa pumba zako
mwenyewe mtanzania! Changia kadi ya afya-nalipa kodi. Lakini
unalewa, kununua madela, nyumba ndogo, unavuta sigara,
kucheza kamali, kutwa kigengeni unakula ubishi wa simba na
yanga huna hela ila umebweteka- Hebu tuwe na senses!!



Kliniki akina baba wanatakiwa waende-wabishi hawaendi. Mama
anaelekezwa yote kuhusu uzazi salama, kondom ya kike na ya
kiume, tubal ligation lakini-Hataki anaogpopa kuachwa
akitumia dawa za majira au kuweka kitanzi au kutumia kondom.
Michepuko mume na mke wanayo wote. Hata Mererani, Geita
machimboni elimu inakotolewa sana na mabango yapo-na kule
ambako wafanyakazi wanapewa kondomu bure-tumeluta matumizi
yake madogo sana 2%. Wafanyakazoi huzibena na kuziuza.



Kama ni Elimu ya AFYA-Tanzania inaongoza. Sera na
Mikakati-mingi na mizuri, sheria-zipo zinatakiwa
kurekebishwa nyingine ziwe updated. Tatizo ni utendaji wetu
kuanzia kaya hadi ofisi za Mtaa, Wlaya, Mkoa na Mawizara.
Ifike wakati hata ktk kilimo unapofika mahara kuna kilimo na
ufugaji sio endelevu, ofisi ya kijiji, kata, Tafara haina
choo au choo bora-fukuza hao extension staff kama hakuna
sababu maalum ya kuridhisha kwa nini hakuna choo na kilimo
ni haribifu. Kituo cha Afya choo  kibovu au mlango hauna
bawaba haufukingi na fundi yupo kuweka bawaba tu!-Tumbua
mshahara wa fundi kama hela alipewa hakuweka.



Bila ya Unyapara-nchi haitobadilika hata aje nani udikteta
lazima.  Kila mmoja nje ya nyumba yake mfereji uwe safi no
majani, taka ngumu, maji kutoka nyumba yake kuingia
mtaroni-Tumbua. Wakifagia hayakubebwa wamelundika nje au
mtaroni-Tumbua Serikali ya Mtaa (sio Wilaya)-Bwana Afya
Kata, Diwani, Viongozi wa Mtaa na kamati zao na Ubalozi.
Kwani Mbunge naye jimbo lake chafu anafanya nini; kilimo na
ufugaji usio endelevu anachekelea na kujali maandamano tu!
Hivi kweli kuwe na Chuo cha Kilimo, Ranch ya GVT ya Ufugaji
lakini vijiji kuzunguka chuo na ranchi viwe vinalima na
kufuga ktk hali ya Karne ya 6? TUMBUA! Field practice yao
wanafanya wapi. Nje ya Health Training Institution takataka
mitaani zimelundikana halafu eti unafundisha hapo Sanitary
engineers, Health officers???? Ndani ya Chuo cha
Construction Engineers mazingira ya chuo ngazi zote
zimeporomoka, concere slabs zimetoka mitaroni pia zinazagaa
na kuvunjika, ceiling board ya darasa imemegeka inataka
kuanguka-EXCUSE ME!! tumbua Mkuu wa Idara na wa Chuo Hicho!!
Mbona wanafanya consultancies na practices wanakwenda
kufanyia wapi?



Nina mengi usinichokozege haha12. Unyapara lazima uwepo!!

Kama Kawa





--------------------------------------------

On Sun, 6/3/16, haha12@poczta.fm
<haha12@poczta.fm>
wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA
CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

 To: wanabidii@googlegroups.com

 Date: Sunday, 6 March, 2016, 1:30



 Nakubaliana na mengi

 uliyoyasema, na ndio maana mapema niliandika kuwa ni

 serikali ndiyo inapaswa kutowa muweleweko unaoweza
kueleweka

 kwa jumuia nzima. Iwapo bajeti inaruhusu zitumike kiasi

 kadhaa kwa madhumuni fulani na zaidi ya hapo nchi
haimudu,

 basi wananchi waelewe. Kuelimisha watu liwe ni jambo la

 kawaida. Vyombo vya habari, mashuleni, wana siasa, kwenye

 familia zetu tuwe tunaambiana ukweli na sio propanda.
Watu

 lazima wajue hizo kodi wanazolipa zinakwenda wapi na zina

 umihimu gani katka fani mbali mbali za maisha yao. Umetoa

 mfano wa usafishaji kila jumamosi, lakini still watu

 wanatupa taka hovyo. Ni kwamba watu hawaelewi kwa nini

 wanatakiwa kusafisha miji wakati kuna serikali za miji-

 town/city councils. Lakini ukiwaelisha watu wajue kuwa
pesa

 za usafishaji tutazitumia kwa shughuli nyingine kama
kununua

 dawa n.k wataacha tabia hiyo ambayo unaweza kuilinganisha
na

 usaliti. Nchi yetu hivi sasa ina wasomi wengi, ndio maana

 unaona watu hawataki tena mambo ya kienyeji. Wote

 tunakimbilia hospitalini ambako pia wanapaswa sio tu

 kutubiwa bali kupewa health education ambayo itasaidia

 kupunguza/eradicate baadhi ya maradhi. Yote hayo yapo

 mikononi mwa serikali na sisi kama raia tunapaswa

 kuyatekeleza. Unyapara lazima uwepo

 Mtanganyka





 Od: "Hildegarda Kiwasila" <khildegarda@yahoo.co.uk>

 Do: wanabidii@googlegroups.com;



 Wysłane: 20:42 Sobota 2016-03-05

 Temat: Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA

 KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA

 MIKOCHENI



 >

 >

 > Unayoyasema Haha12

 ni sawa kabisa. Lakini ujue-kujaa watu hospitali au
katika

 huduma za afya kwa sasa ni positive trend katika uelewa
wa

 watu kuhusu huduma ya kisasa ya afya. Pia akina mama

 kujazana na kuazlia zahanati au hospitali. Ina maana

 hawategemei zaidi waganga wa kienyeji bali huduma ya

 kisasa.

 >

 > Kama kuna

 zahanati ambayo hupokea wagonjwa na kuwahudumia vizuri-

 watatoka mbali na kujazana hapo na madaktari wakiwa
wachache

 ila wanafuata huduma bora.

 >

 > Kuhusu wananchi kumudu gharama-elfu kumi

 kwa mwaka kadi ya afya na nyingine gharama ni ya serikali
ni

 hela kidogo sana kwa kaya kwa mafao ya afya bora.
Ukifanya

 household survey na kuangalia expenditure yao kwa siku

 utaona wanaweza kulipa elfu kumi kwa mwaka-pombe, sigara
na

 matumizi mengine binafsi.

 >

 > Fikiria kuku mmoja kijijini ni 12,000+

 angalia mauzo ya nyanya, bamia, na mazao mengine ya

 biashara-nazi, samaki, korosho, kahawa, maziwa, nyama.

 Mfugaji ana ng'ombe elfu 5 a na mifugo mingineyo na

 masikini anao  angalau wa 5 na mbuzi chache anauza
,mnavu

 pori, maziwa, dawa. Mkulima-kisambu, mchicha etc;

 Mvuvi-samaki gharama-elfu 10 kwa mwaka?! Unawaelimisha na

 kichwa na mifano kuonyeshwa na wanaona wanapoumwa ghafla
au

 ugonjwa sugu. Bado anapokwenda kwa mganga wa kienyeji

 anatumia pesa nyingi kuliko hospitali kuchangia kadi ya
afya

 kwa familia TAS 10 elfu kwa mwaka.

 >

 > Uelewa wetu hata na mifano ya wagonjwa na

 wanaofariki bado hakieleweki. Mifano hata hii ya usafi

 takataka kuziweka panapohusika, usafi wa pamoja kila
jmosi

 na kila mwisho wa mwezi-bado tunatupa takataka mifereji
wazi

 zinakwama, kunafurika mpaka ndani ya nyumba na
tunaendelea

 kutupa na kuunganisha vyoo katika open drainage system.

 Chakula kuuzwa wazi, kipindupindu kinaua na tunaona

 walivyolala chini na wanaofariki-bado tunauza chalkula
wazi

 pembeni taka zipo na mainzi kibao, tunanunua na mainzi
yapo,

 serikali ya mtaa inakusanya kodi mainzini hapo. Ajali

 tunaziona lakini tunapanga biashara mpaka barabarani na
njia

 za kupita kwa miguu hazipitiki. Kitu gani utufundishe
sisi

 wabongo tuelewe na tutie katika matiki tuzingatie uhai na

 afya zetu. Hata viongozi wa siasa wanaelewa lakini bora

 apike mazuri ili apate kura atetee tu ushabiki wa

 kupinga.

 >

 > Ulaya

 wanakatwa kodi hasa kuikwepa si rahisi sana na kodi
inakuwa

 invested katika huduma. Huwezi kusafiri na kuingia nchi
zao

 bila ya Health Insurance labda uwe mhamiaji haram
umejificha

 na hutoumwa wakakubamba. Kama bajeti inawekwa kikanjanja

 halafu inaingia kugharimia kisiasa sio kununua vifaa na

 kugharimia panapohusika-kumfukuza daktari wa wagonjwa
kulala

 chini au kukosa dawa si vema. wapo vibaka lakini wapo pia

 watendaji bora watoa huduma na kuhurumia watu. Kama kuna

 good governance na ufuatiliaji uliotukuka-haya yote ya

 vibaka kuiba vya health sector kusingekuwepo. Hapa

 bongoland-ubadhirifu mpaka family/household level.

 >

 > Maduka ya Umma yes

 yawe ndani ya huduma husika ya afya -kuwe na dirisha la
dawa

 na duka la dawa apate zile ambazo anastahili kutokana na

 kadi yake ya afya na Duka la umm hap ktk health facility
la

 watu kununua ambazo hawezi kupata kutokana na card yake
au

 mahitaji yake kama kalazwa Lakini usikataze watu
wasifanye

 biashara hiyo kama vile utakavyotakiwa usikataze wasiuze

 mbegu na madawa ya kilimo eti wategemee ofisi za kilimo
tu

 au za Vet care tu ambazo zitakuwa mbali na waliowengi
vijini

 na mijijini. Liberalization of the economy itarudishwa
nyuma

 na masuala ya ajira. Ila msisitizo ni sheria izingatiwe,

 kutokuuza vitu feki na vilivyoisha muda wake sekta zote.

 Serikali iboreshe mifumo yake na kuisimamia vizuri,
iondoe

 utata ilioutengeneza before punishing the innocent and

 blaiming the victims unnecessarily.

 >

 --------------------------------------------

 >

 >

 > On Sat, 5/3/16, haha12@poczta.fm 

 wrote:

 >

 >  Subject:

 Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA KUFUNGWA CHUMBA
CHA

 UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

 >  To: wanabidii@googlegroups.com

 >  Date: Saturday, 5 March, 2016, 21:25

 > 

 >  Huo ukosefu wa

 madawa

 >  haukuanza leo, lakini

 ninayoyasikia leo kuhusu suala hilo

 > 

 inaonyesha jinsi ufanisi wa kazi zinavyodidimia- Hospital

 >  managements zinandelea kuwa mbovu.

 Zamani hayakuwepo maduka

 >  mengi ya

 madawa kama yalivyo leo na wakuu wa hospitali zote

 >  kuanzia zahanati walikuwa wanapatiwa

 dawa kuambatana na

 >  matakwa halisi

 ikiangaliwa na uwezo wa bajeti iliyotelewa na

 >  serikali. Wagonjwa hawakuwa wanalala

 chini, wagonjwa

 >  mawodini walikuwa

 hawanunui dawa wala chakula. Sasa iwapo

 >  leo kuna haja ya kujitegemea kiafya,

 serikali inapaswa

 >  iwaeleze wananchi

 ukweli halisi  kuwa ukienda hospitali

 >  unapaswa ulipe au usilipe badala tu ya

 kuwalaumu wafanya

 >  kazi. Sio wananchi

 wote wana health insurance kutokana na

 >  sababu mbali mbali. Tatizo hilo ni zito

 sana hata kwa nchi

 >  ziliZOendelea.

 Wananchi wanapaswa waelimishwe umuhimu wa

 >  health insurance na serikali iwe makini

 kwa wahujumu wa aina

 >  yeyote kwenye

 masuala ya madawa, vifaa na pesa za umma .

 >  Maduka ya madawa ni vyema yarudishwe

 mikononi mwa serikali

 >  ili kupunguza

 ulanguaji na ubinafsi unaofanywa na baadhi ya

 >  wafanya kazi ktk hospiltali zetu. Tuache

 kuwalaumu madaktari

 >  na wauguzi kwani

 sio wao wanaopanga sheria

 > 

 Mtanganyika

 > 

 > 



 >  Od: "Hildegarda

 >  Kiwasila"

 > 

 Do: wanabidii@googlegroups.com;

 > 

 >  Wysłane: 18:07

 Sobota 2016-03-05

 >  Temat: Re:

 [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA

 > 

 KUFUNGWA CHUMBA CHA UPASUAJI CHA HOSPITALI YA SANITAS YA

 >  MIKOCHENI

 > 

 >  >

 >  >

 >  > Yes Kim-Zamani hata

 >  kama dawa hospitali hakuna anakwambia

 doctor au nurse nenda

 >  hapa au pale

 ukanunue dawa aliyokuandikia lete hapa hakuna

 >  au zimekwisha. Mgonjwa anatibiwa na

 unakuta kila mgongwa ana

 >  bahasha lake

 la dawa alilonunua nurse kaliweka separate na

 >  mengine. Hakuna pampas unakwenda dukani

 nje unanunua

 >  unapeleka kwani private

 hospital huwezi gharama zake ambako

 > 

 pamsai utazilipia ktk bili yako ya gharama za juu.

 >  Unaridhika unampa kadogo kitu doctor wa

 GVT hospital kama

 >  asante.

 >  >

 >  > Sasa

 hii

 >  fukuza na funga hapa na pale,

 fukuza nurse, daktari

 > 

 waliobaki-watakuangalia pale unakufa- Msubiri Mangufuli

 na

 >  Kingwalala waje!! Cheza na mbongo

 wewe!

 >  >

 > 

 >  > Narudia-usifunge Duka la Dawa nje

 ya

 >  zahanati au huduma ya afya yoyote

 kabla hujafungua lako

 >  ndani ya huduma

 hiyo na kuhakikisha Health Kit ya huduma

 >  husika ina dawa za kutosha. Wakitoka nje

 wanakuta dawa ghali

 >  kuliko duka la

 ndani ya facility hiyo ya GVT hawanunui nje

 >  bali ndani.  Daktari atafanya uwekezaji

 upi kama sio ktk

 >  sekta yake

 aliyosomea?_Duka la Dawa. kama hana

 > 

 hilo-ataondoka hapo mapema kwenda kutoa huduma private

 >  hospital ili agange njaa. Foleni ndefu

 yupo  daktari mmoja

 >  tu wengine

 wamesepa kuongeza mshahara.

 >  >

 > 

 >  > Kama maduka

 ya dawa yamezingatia

 >  sheria na kupata

 leseni na wananunua dawa kiuhalali hata

 >  liwe la daktari liache!. Daktari ya

 hospitali, health

 >  Centre, Dispensary

 anajua ni magonjwa gani yapo highly

 > 

 prevalent hapo na muda gani yanatokea. Hivyo ananunua

 dawa

 >  anazoona zitahitajika eneo hilo.

 Health Kit ya Zahanati kwa

 >  mfano

 inategemea kaya ngapi zimenunua Health Card ya SHS

 >  10,000 kwa mwaka familia ya watu sita na

 health Card ya

 >  mwanafunzi shule

 watoto 5 wanaweza kujumuishwa shs elfu 2

 >  kila mmoja matibabu ya mwaka kwa kadi

 moja ya elfu 10.

 >  >

 >  > Binafsi-nimejitolea

 >  sana kutibu wanafunzi kwa pesa zangu

 kila nipitapo vijijini

 >  kwa research

 na ninaposimamia miradi ya maendeleo vijijini

 >  ambayo huhusisha pia school health. Dawa

 nyingine za minyoo

 >  iliyomfanya mtoto

 awe na matezi nilizinunua DSM kwa ajili ya

 >  mwanafunzi aliyepo Milola kilometa 60

 kutoka Lindi mjini.

 >  Haikupatikana

 Lindi. Kuzisafirisha vijijini kwa bus la

 >  abiria. Vifaa vya zahanati kuvinunua Dar

 maduka ya medical

 >  equipment

 authorized by the Ministry na kusafirisha Zahanati

 >  ninakosimamia mradi husika unaogopa

 vikipitisha Wilayani

 >  vinaweza

 visifike vinakotakiwa lakini unamuarifu DMO kuwa

 >  umepeleka hiki na kile kama

 mlivyokubaliana wakavikague

 > 

 vimeshafika. Hiyo ni Health Centre au Zahanati ya

 Serikali.

 > 

 > 

 >

 >  > Mzazi anashindwa

 >  hata kumpa mtoto hela akatibiwe zahanati

 lakini anakunywa

 >  pombe daily hanunui

 health card. Kama kaya ni elfu 2

 > 

 waliolippia kadi ya afya ni kaya asilimia 2 unafikiri

 Health

 >  Kit ya Zahanati itapatikana

 vipi? Wakati mwingine inakwenda

 >  sio

 kit husika kwa eneo hilo. Mpaka irudishwe inayohusika

 >  hapo na madawa hitajika ifike-hawajafa

 tu kama hakuna duka

 >  la dawa la

 binafasi? Hii funga funga mimi inanikera labda

 >  kwa mtu ambae hana uelewa na sekta hii

 ataona ile ingia

 >  funga na toka nje

 funga maduka ya dawa ni kitu chema. Hata

 >  vyuo vya elimu ya juu wameruhusu

 restaurants za watu binafsi

 >  na

 wanauza chakula sio bure tena kama tuposoma sisi

 >  cafeteria unapata nusu kuku unakula na

 kutupa. Sasa lipia

 >  kula ule utupe kwa

 matakwa yako. Huwezi ukafunga tu biashara

 >  hapo campus au nje ya shule wakati

 huduma ya serikali ya

 >  chuo kwa sasa

 inaendeshwa na mkandarasi sio dezo tena.

 >  Tujiangalie na maamuzi ya Hapa Kazi tu

 yanavyofasiriwa

 >  vibaya bila ya

 kuzingatia principles of good democratic

 >  governance, effective manpower

 management and effective

 > 

 institutional management.

 >  >

 >  > Kama Kawa

 > 

 >

 >  >

 > 

 --------------------------------------------

 >  > On Fri, 4/3/16, De kleinson

 kim 

 >  wrote:

 > 

 >

 >  >  Subject:

 >  Re: [wanabidii] DK. KIGWANGALLA AAGIZA

 KUFUNGWA CHUMBA CHA

 >  UPASUAJI CHA

 HOSPITALI YA SANITAS YA MIKOCHENI

 > 

 >  To: wanabidii@googlegroups.com

 >  >  Date: Friday, 4 March, 2016,

 22:51

 >  > 

 > 

 >  MAMA Kiwasila

 >  ametoa

 >  >  mwangaza,

 > 

 > 

 >  >  serikali isishie

 >  kuwa wakali kwa watumishi wa afya

 haswa

 >  >  huduma za afya,

 tuangalie takwimu za

 >  vifo na

 huduma

 >  >  nyinginezo katika

 >  hospitali zetu!! 

 >  > 

 >  > 

 Ndio namna ya kugundua kama tunasonga

 > 

 mbele, zikizidi

 >  >  tunarudi

 kurekebisha

 >  jambo, zikipungua

 tunashukuru

 >  > 

 >  tumeweza!!  Ila kugawa mambo ya msingi

 kama dawa n.k. ni

 >  >  jukumu la

 serikali.

 >  > 

 >  > 

 >  > 



 >  >  --

 > 

 > 

 >  >  Send Emails to

 >  wanabidii@googlegroups.com

 >  > 

 >  > 

  

 >  > 

 > 

 >  Kujiondoa Tuma

 >  Email kwenda



 >  > 

 > 

 > 

 >  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 >  Utapata Email ya

 > 

 >  kudhibitisha

 >  ukishatuma

 >  > 

 >  > 

 >   

 >  > 

 >  > 

 > 

 Disclaimer:

 >  > 

 >  > 

 >  Everyone

 posting to this Forum bears the sole

 > 

 responsibility

 >  >  for any

 legal

 >  consequences of his or her

 postings, and hence

 >  >  statements

 and facts must be presented

 > 

 responsibly. Your

 >  >  continued

 >  membership signifies that you agree to

 this

 >  >  disclaimer and pledge to

 abide by our

 >  Rules and Guidelines.

 >  > 

 >  > 

 ---

 >  > 

 > 

 >  You received this message because you

 >  are subscribed to the

 >  >  Google Groups

 >  "Wanabidii" group.

 >  > 

 >  >  To

 unsubscribe from this group and stop

 > 

 receiving emails

 >  >  from it, send

 an

 >  email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 >  > 

 >  > 

 For more

 >  options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.

 > 

 >

 >  > --

 > 

 > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 >  >

 >  >

 Kujiondoa Tuma Email

 >  kwenda

 >  > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 >  Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma

 >  >

 >  > Disclaimer:

 > 

 > Everyone posting to this Forum bears the

 >  sole responsibility for any legal

 consequences of his or her

 >  postings,

 and hence statements and facts must be presented

 >  responsibly. Your continued membership

 signifies that you

 >  agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules

 >  and Guidelines.

 > 

 > ---

 >  > You received this

 message because you are

 >  subscribed to

 the Google Groups "Wanabidii"

 >  group.

 >  > To

 unsubscribe from this group

 >  and stop

 receiving emails from it, send an email to

 >  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 >  > For more options, visit

 >  https://groups.google.com/d/optout.

 >  >

 > 

 > 

 > 

 >  --

 >  Send Emails

 to wanabidii@googlegroups.com

 > 

 >  Kujiondoa Tuma

 Email kwenda

 > 

 > 

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 >  Utapata Email ya kudhibitisha

 ukishatuma

 > 

 > 

 Disclaimer:

 >  Everyone posting to

 >  this Forum bears the sole responsibility

 for any legal

 >  consequences of his or

 her postings, and hence statements

 > 

 and facts must be presented responsibly. Your continued

 >  membership signifies that you agree to

 this disclaimer and

 >  pledge to abide

 by our Rules and Guidelines.

 >  ---

 >  You received this message

 >  because you are subscribed to the Google

 Groups

 >  "Wanabidii"

 group.

 >  To unsubscribe

 >  from this group and stop receiving

 emails from it, send an

 >  email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 >  For more options, visit

 >  https://groups.google.com/d/optout.

 >

 > --

 > Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 >

 > Kujiondoa Tuma Email

 kwenda

 > wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

 >

 > Disclaimer:

 > Everyone posting to this Forum bears the

 sole responsibility for any legal consequences of his or
her

 postings, and hence statements and facts must be
presented

 responsibly. Your continued membership signifies that you

 agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules

 and Guidelines.

 > ---

 > You received this message because you are

 subscribed to the Google Groups "Wanabidii"

 group.

 > To unsubscribe from this group

 and stop receiving emails from it, send an email to

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 > For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.

 >





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

 Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



 Disclaimer:

 Everyone posting to

 this Forum bears the sole responsibility for any legal

 consequences of his or her postings, and hence statements

 and facts must be presented responsibly. Your continued

 membership signifies that you agree to this disclaimer
and

 pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message

 because you are subscribed to the Google Groups

 "Wanabidii" group.

 To unsubscribe

 from this group and stop receiving emails from it, send
an

 email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit

 https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment