Friday 2 September 2016

Re: [wanabidii] UDIKTETA, USULTANI ULIINGIA CHADEMA MWAKA 2006 WALIPOFUTA UKOMO WA MADARAKA KWENYE KATIBA

Kaka Muhingo.

Naamini suala hapa sio CHADEMA.
Ni siasa zetu Tanzania Bara.
Hawatapata wa kuwaunga mkono hata wakisema nini mpaka ipite miaka 10 kwanza.

Walewale


On Sep 2, 2016 12:55 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Taifa lilipokuwa haina altenative ilikuw sahihi wakati huo kuichagua CHADEMA kuliongoza taifa.Ni kweli kuwa taifa lingekuwa limetumbukia. Lakini hakukuwa na lakufanya. Mungu bariki CCM ikajirudi na kuwatimua waliokiwa wanaichafua. Watanzania tunweza kuendelea kuishinikiza CCM kujisahihisha huku tukiulea upinzani kwa kuwabakizia viti bungeni. Viti ambavyo kelele zake zitasikika. Tunakumbuka ambavyo 2008 kelele za wabunge wachache walilibadili taifa. Kulikuwa na wabunge makini, akina Zitto na Dr. Slaa. Tuaanza akina Lisu huenda huko tuendako wakarekebisha ndimi zao kuwa za kistaarabu kidogo. Hawahitaji kuwa wengi ili kutoa changamoto ya kutosha kwa chama tawala. Wanahitaji kuwa makini tu.
--------------------------------------------
On Fri, 9/2/16, Daniel Mbega <mbega.daniel@gmail.com> wrote:

 Subject: [wanabidii] UDIKTETA, USULTANI ULIINGIA CHADEMA MWAKA 2006 WALIPOFUTA UKOMO WA MADARAKA KWENYE KATIBA
 To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Friday, September 2, 2016, 12:05 PM

 UDIKTETA,
 USULTANI ULIINGIA CHADEMA MWAKA 2006 WALIPOFUTA UKOMO WA
 MADARAKA KWENYE KATIBA

  

 Na Daniel
 Mbega

  

 FREEMAN
 Aikaeli Mbowe, Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na
 Maendeleo (Chadema)
 anahamaisha wanachama wake wafanye maandamano Septemba Mosi,
 2016 kwa kile
 anachokiita ni 'Operesheni ya Kupambana na Udikteta
 Tanzania (Ukuta)'.

 Anasema
 Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Rais John Magufuli
 inaendeshwa kidikteta
 hasa baada ya majaribio yao ya kuitikisa kwa kususia vikao
 vya Bunge kushindwa
 huku serikali ikipiga marufuku mikutano yote ya siasa na
 kuwahamasisha wananchi
 wafanye kazi za maendeleo.

 Mbowe
 amekwenda mbali zaidi baada ya kuwatisha viongozi wa chama
 hicho kwamba yeyote
 ambaye hatashiriki maandamano aliyoyapanga yeye na
 kuwashawishi viongozi wenzake
 wayakubali, basi atakuwa amejitoa kwenye uongozi kwa sababu
 ni 'msaliti'.

 Niliandika
 hivi karibuni kwamba, lingekuwa jambo la busara sana kama
 Chadema wangeanza
 kwanza na Operesheni ya Kupambana na Udikteta ndani ya
 Chadema (Ukucha) kabla
 ya kuanzisha Ukuta, lakini baadhi ya watu
 walinikosoa.

 Leo
 nataka kueleza kwamba, ingawa viongozi wa Chadema wamekuwa
 na kawaida ya
 kukanusha kwa nguvu zote huku wafuasi wao wasiopenda
 kujiongeza kwa kutafakari
 mara mbili wakiunga mkono, lakini udikteta umeshamiri ndani
 ya chama hicho na
 zaidi kuna usultani uliotamalaki. SOMA
 ZAIDI: http://goo.gl/kxKXKk
 --
 DANIEL MBEGA
 INVESTIGATIVE JOURNALIST, BLOGGER, RESEARCHER &
 PUBLISHER
 CELL: +255 767 939 319/ +255 715 070 109
 WHAT'S APP: +255 656 331 974
 BLOGS: www.kilimohai.wordpress.com
                www.brotherdanny5.blogspot.com

 "Kama
 hawatuwekei mgombea mzuri, kwanini watutawale?"
 ~ Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Dar es
 Salaam, 1995




 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment