Tuesday, 15 March 2016

[wanabidii] WANAWAKE WASHIRIKISHWE ZAIDI KATIKA MABADILIKO YA TABIANCHI : WAZIRI UMMY MWALIMU

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODE hapa chini.


<img class="wp-image-8150 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/ummm.jpg" alt="ummm" width="629" height="354" />
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><em>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Masuala ya Wanawake, Wazee na Watoto wa Tanzania, Mh. Ummy Mwalimu akiwasilisha mada kuu ambapo aliwakilisha kundi la Afrika katika mkutano huo mkubwa unaoendelea nchini Marekani.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Bara la Afrika na hasa wanawake ndio wanaobeba mzigo zaidi wa madhara ya mabadiliko ya tabianchi, huku wakinyimwa fursa ya kushiriki katika kutafuta suluhu kwa tatizo hilo, ameeleza leo Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Masuala ya wanawake, wazee na watoto wa Tanzania.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Bi Mwalimu amesema hayo akihutubia kikao cha 60 cha Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya wanawake, CSW60 kwa niaba ya kundi la nchi za Afrika, akisisitiza umuhimu wa kushirikisha zaidi wanawake katika uongozi wa kimataifa kuhusu suala la mabadiliko ya tabianchi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>"Wanawake wanapaswa kuweza kuongoza katika ngazi za kitaifa na serikali za mitaa. Ubunifu wao, ujuzi wa kiasili, matarajio yao yanaweza kusaidia katika kubuni na kushawishi suluhu kuhusu mabadiliko ya tabianchi.</strong>"</span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Aidha amezungumzia suala la kilimo ambacho hushughulisha wanawake zaidi, akisema la msingi ni kusaidia sekta binafsi ili kukuza ukuaji wa uchumi katika sekta hiyo na hivyo kuwezesha wanawake.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><img class="alignnone wp-image-8148" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/umm.jpg" alt="umm" width="631" height="295" /><em><span style="color: #000080;">Baadhi ya washiriki wa mkutano mkuu wa mwaka wa wanawake unaofanyika nchini Marekani ulioanza jana Machi 14-24, wakiwa nje ya jengo la Umoja wa Mataifa unapofanyika mkutano huo</span></em></strong></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #000080;"><strong><img class=" wp-image-8151 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/unwomen.jpg" alt="unwomen" width="630" height="420" /></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><em><span style="color: #000080;"><strong>Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano huo wa #CSW60</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class=" wp-image-8149 aligncenter" src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/ummy.jpg" alt="ummy" width="630" height="630" /></p>


KAWAIDA

Bara la Afrika na hasa wanawake ndio wanaobeba mzigo zaidi wa madhara ya mabadiliko ya tabianchi, huku wakinyimwa fursa ya kushiriki katika kutafuta suluhu kwa tatizo hilo, ameeleza leo Ummy Mwalimu, Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Masuala ya wanawake, wazee na watoto wa Tanzania.

Bi Mwalimu amesema hayo akihutubia kikao cha 60 cha Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya wanawake, CSW60 kwa niaba ya kundi la nchi za Afrika, akisisitiza umuhimu wa kushirikisha zaidi wanawake katika uongozi wa kimataifa kuhusu suala la mabadiliko ya tabianchi.

"Wanawake wanapaswa kuweza kuongoza katika ngazi za kitaifa na serikali za mitaa. Ubunifu wao, ujuzi wa kiasili, matarajio yao yanaweza kusaidia katika kubuni na kushawishi suluhu kuhusu mabadiliko ya tabianchi."

Aidha amezungumzia suala la kilimo ambacho hushughulisha wanawake zaidi, akisema la msingi ni kusaidia sekta binafsi ili kukuza ukuaji wa uchumi katika sekta hiyo na hivyo kuwezesha wanawake.

ummBaadhi ya washiriki wa mkutano mkuu wa mwaka wa wanawake unaofanyika nchini Marekani ulioanza jana Machi 14-24, wakiwa nje ya jengo la Umoja wa Mataifa unapofanyika mkutano huo

ummmPichani ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Masuala ya wanawake, wazee na watoto wa Tanzania, Mh. Ummy Mwalimu akiwasilisha mada kuu ambaapo aliwakilisha kundi la Afrika katika mkutano huo mkubwa unaoendelea nchini Marekani.

unwomen

Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano huo wa #CSW60

ummy


--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment