Tuesday, 15 March 2016

Re: [wanabidii] WANAWAKE WASHIRIKISHWE ZAIDI KATIKA MABADILIKO YA TABIANCHI : WAZIRI UMMY MWALIMU

Wanajamvi mi naona kuwa hizi kauli zinatupeleka kwenye ubaguzi wa kijinsia. Pili, hivi wapi kuna mafundisho ya mabadiliko ya tabia nchi inatolewakwa wanaume tu. Nadhani tufike pahala tuwe tunaongea siyo mradi kuongea.

Franci
--------------------------------------------
On Tue, 15/3/16, Zainul Mzige <zmzige@gmail.com> wrote:

Subject: [wanabidii] WANAWAKE WASHIRIKISHWE ZAIDI KATIKA MABADILIKO YA TABIANCHI : WAZIRI UMMY MWALIMU
To:
Date: Tuesday, 15 March, 2016, 11:43

Habari za mchana,

Tafadhali pokea CODE hapa chini.


<img class="wp-image-8150 aligncenter" src="
http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/ummm.jpg"
alt="ummm"
width="629" height="354" />
<p style="text-align: center;"><span style="color:
#000080;"><strong><em>Waziri wa Afya,
Maendeleo ya Jamii, Masuala ya
Wanawake, Wazee na Watoto wa Tanzania, Mh. Ummy Mwalimu
akiwasilisha mada
kuu ambapo aliwakilisha kundi la Afrika katika mkutano huo
mkubwa
unaoendelea nchini
Marekani.</em></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color:
#000000;"><strong>Bara
la Afrika na hasa wanawake ndio wanaobeba mzigo zaidi wa
madhara ya
mabadiliko ya tabianchi, huku wakinyimwa fursa ya kushiriki
katika kutafuta
suluhu kwa tatizo hilo, ameeleza leo Ummy Mwalimu, Waziri wa
Afya,
Maendeleo ya Jamii, Masuala ya wanawake, wazee na watoto wa
Tanzania.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color:
#000000;"><strong>Bi
Mwalimu amesema hayo akihutubia kikao cha 60 cha Kamisheni
ya Umoja wa
Mataifa kuhusu hali ya wanawake, CSW60 kwa niaba ya kundi la
nchi za
Afrika, akisisitiza umuhimu wa kushirikisha zaidi wanawake
katika uongozi
wa kimataifa kuhusu suala la mabadiliko ya
tabianchi.</strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color:
#000000;"><strong>"Wanawake wanapaswa kuweza
kuongoza katika ngazi za
kitaifa na serikali za mitaa. Ubunifu wao, ujuzi wa kiasili,
matarajio yao
yanaweza kusaidia katika kubuni na kushawishi suluhu kuhusu
mabadiliko ya
tabianchi.</strong>"</span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span
style="color: #000000;">Aidha
amezungumzia suala la kilimo ambacho hushughulisha wanawake
zaidi, akisema
la msingi ni kusaidia sekta binafsi ili kukuza ukuaji wa
uchumi katika
sekta hiyo na hivyo kuwezesha
wanawake.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><img
class="alignnone wp-image-8148"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/umm.jpg"
alt="umm"
width="631" height="295" /><em><span
style="color: #000080;">Baadhi ya
washiriki wa mkutano mkuu wa mwaka wa wanawake unaofanyika
nchini Marekani
ulioanza jana Machi 14-24, wakiwa nje ya jengo la Umoja wa
Mataifa
unapofanyika mkutano
huo</span></em></strong></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color:
#000080;"><strong><img
class=" wp-image-8151 aligncenter" src="
http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/unwomen.jpg"
alt="unwomen"
width="630" height="420"
/></strong></span></p>
<p style="text-align: center;"><em><span
style="color:
#000080;"><strong>Baadhi ya washiriki wakifuatilia
mkutano huo wa
#CSW60</strong></span></em></p>
<p style="text-align: center;"><img class="
wp-image-8149 aligncenter" src="
http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/03/ummy.jpg"
alt="ummy"
width="630" height="630" /></p>


KAWAIDA

*Bara la Afrika na hasa wanawake ndio wanaobeba mzigo zaidi
wa madhara ya
mabadiliko ya tabianchi, huku wakinyimwa fursa ya kushiriki
katika kutafuta
suluhu kwa tatizo hilo, ameeleza leo Ummy Mwalimu, Waziri wa
Afya,
Maendeleo ya Jamii, Masuala ya wanawake, wazee na watoto wa
Tanzania.*

*Bi Mwalimu amesema hayo akihutubia kikao cha 60 cha
Kamisheni ya Umoja wa
Mataifa kuhusu hali ya wanawake, CSW60 kwa niaba ya kundi la
nchi za
Afrika, akisisitiza umuhimu wa kushirikisha zaidi wanawake
katika uongozi
wa kimataifa kuhusu suala la mabadiliko ya tabianchi.*

*"Wanawake wanapaswa kuweza kuongoza katika ngazi za kitaifa
na serikali za
mitaa. Ubunifu wao, ujuzi wa kiasili, matarajio yao yanaweza
kusaidia
katika kubuni na kushawishi suluhu kuhusu mabadiliko ya
tabianchi.*"

*Aidha amezungumzia suala la kilimo ambacho hushughulisha
wanawake zaidi,
akisema la msingi ni kusaidia sekta binafsi ili kukuza
ukuaji wa uchumi
katika sekta hiyo na hivyo kuwezesha wanawake.*

*[image: umm]Baadhi ya washiriki wa mkutano mkuu wa mwaka wa
wanawake
unaofanyika nchini Marekani ulioanza jana Machi 14-24,
wakiwa nje ya jengo
la Umoja wa Mataifa unapofanyika mkutano huo*

*[image: ummm]Pichani ni Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,
Masuala ya
wanawake, wazee na watoto wa Tanzania, Mh. Ummy Mwalimu
akiwasilisha mada
kuu ambaapo aliwakilisha kundi la Afrika katika mkutano huo
mkubwa
unaoendelea nchini Marekani.*

*[image: unwomen]*

*Baadhi ya washiriki wakifuatilia mkutano huo wa #CSW60*

[image: ummy]

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment