Thursday, 3 March 2016

Re: [wanabidii] HIVI January Makamba ANAFIKIRI KWA KUTUMIA KIUNGO GANI?

Shida yetu hatupendi kuambiwa ukweli,
Kuna uongo gani hapo? Na majuzi kwenye sherehe za maadhimisho ya chama
JK alimwambia Magu "...kuna vijana walifanya kampeni....
...waangaliwe...", bado anafikiria mambo yanaenda kama alivyokuwa
akiyaendesha yeye.

Mlizoea kufanya urahisi flani mpewe vyeo... Leo pamekuwa pagumu.


teh teh teh
"Ikumbukwe kwamba serikali ya JK ilikuwa makini kuliko hii serikali ya
KUKURUPUKA. Sasa iweje huyu mwendawazimu aikashfu serikali ya JK
hadharani? " Gikaro, wasemea umakini kwenye nini??

--
*"Anyone who conducts an argument by appealing to authority is not using
his intelligence; he is just using his memory." Leonardo daa Vinci
*

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment