Muhingo n LSM.
Binafsi sipendelei kupitisha misaada serikalini cozy ningumu kidogo kufikia walengwa ipasavyo. Ningekuwa na muda wa kutosha ningeulizia wolrd vision na red cross namna ya kumsaidia LSM. Labda aingie kwenye web zao atapata contacts na kama atashindwa anitaarifu alhamisi naweza kufika world vision kuulizia au hata red cross.
On Sep 20, 2016 2:28 PM, "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
-- Lakini pia mratibu Mkuu akiwa serikali imetoa namba ya benki. CRDB.
--------------------------------------------
On Mon, 9/19/16, Ludovick Simon Mwijage <bugabo18@hotmail.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera upya.
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Monday, September 19, 2016, 11:41 PM
#yiv7024275859 #yiv7024275859 -- P
{margin-top:0;margin-bottom:0;}#yiv7024275859
Ndugu Kamala,
Ninashukuru sana. Niko Copenhagen, Denmark. Ningependa
kutuma mchango wa kifedha kwa njia ya benki au Western Union
lakini sina anwani kamili ya kuwakilisha mchango huu kwa
moja ya mashirika uliyotaja. Juma hili nitajaribu kwenda
Msalaba Mwekundu hapa Copenhagen
nione kama wataniunganisha na mojawapo ya mashirika
hayo.
Vinginevyo ninakushukuru kwa kunielekeza ni wapi
nianzie.
Waitu obusinge
Alamsiki,
LSM
From:
wanabidii@googlegroups.com
<wanabidii@googlegroups.com> on behalf of J L Kamala
<jlkamala@gmail.com>
Sent: Monday, September 19, 2016 9:28 PM
To: wanabidii
Subject: Re: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
LSM
Misaada inaratibiwa na mashirika ya kidini,
kanisa katoloki, world vision nk.
For more info, jlkamala@gmail.com
On Sep 19, 2016 3:35
PM, "Ludovick Simon Mwijage" <bugabo18@hotmail.com>
wrote:
Tafadhali kama kuna anayefahamu shirika au watu
wanaoratibu misaada ya waathirika wa mtetemeko wa ardhi huko
Bukoba anifahamishe.
Ninatanguliza shukrani,
LSM
From:
wanabidii@googlegroups.com
<wanabidii@googlegroups.com>
on behalf of J L Kamala <jlkamala@gmail.com>
Sent: Saturday, September 17, 2016 7:41 PM
To: Wanazuoni; wanabidii
Subject: [wanabidii] Michango kwa kuijenga kagera
upya.
Wandugu,
Ni faraja kubwa sana kuona Watanzania wenzetu na raia wa nje
ya nchi wanavyoshirikiana bega kwa bega kusaidia wahanga wa
tetemeko la ardhi la september 10. kwakweli inafariji,
inatia moyo ni ishara ya umoja wetu.
Kagera imepigwa, kagera imeharibiwa watu wameathirika
kijamii, kiuchumi nk. Nyumba ziko chini,vifo, magonjwa na
ulemavu. wanakagera wana hali mbaya sana.
Hili ni pigo la tatu tangu nchi yetu ipate uhuru. ilianza
vita ya kagera, ikaja janga la ukimwi, na sasa tetemeko la
ardhi. japo kuwa kuna kuzama kwa meli, mafuriko hasa ya
elnino na vimbunga/ukame
Kagera ina wakati mgumu sana aisee. inatia huruma kuzungukia
maeneo ya mkoa huu. zilipokuwa nyumba ni vifusi, mabati
yaliyokuwa yameezeka majumba sasa yamepigiliwa misumari na
kuwa ndio makazi yao. hali ni mbaya.
Faraja kubwa ni kwa wanaochangia walichonacho. Shurani
kwenu
--
J L Kamala
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/ optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha
ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@
googlegroups.com.
For more options, visit
https://groups.google.com/d/ optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to
abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout .
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout .
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com .
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout .
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment