Sijasoma wengine wameandika nini kuhusu shule za boarding kwa watoto wadogo. Lakini wazazi kuwalaza watioto wadogo wa kiume na kaka zao, houseboy, ndugu wengine; kuwafanya watoto wa kiume kuchangia vyumba na watroto wa wapangaji wengine na wakike hivyo hivyo ktk kutatua uhaba wa vyumba; kumlaza mtoto na kaka-houseboy; kuwachanganya kiumri mabwenini na wake wakorofi wasio nidhamu vyote hivi vinachangia saha ushoga. katika tafiti zetu za matatizo ya wanafunzi na sodomy TZ-jinsi unavyowalaza namna hii na shule za boda zinachangia kuongeza mashoga nchini. Asilimia 80 ya vijana mashoga wametengenezwa majumbani kwao. Asilimia nyingine ndio kubakwa njiani akienda na kurudi shamba, shule, mabwenini; bosi kumuahidi mshahara mkubwa au mafao mengi mengi (Land Lord, mwenye duka anakomuuzia duka, ice creame, kuuza chakula hotelini au mpishi etc). Kumpeleka mtoto wa miaka 3 boarding unamnyima mapenzi ya wazazi na malezi ya maadili. Kule anaonewa vibaya na wengine kuwapa magonjwa ya zinaa; kutishiwa, kusimangwa na wengine kujifunza uhuni, matusi, bangi katika umri mdogo. Wadada nao-wana michezo yao na vitoto hivyo.
Tusitatfute ufahari eti mtoto yupo boarding international, sina muda na kazi nyingi, baba/mamake kanikimbia sina msaada-tunaharibu watoto wetu na kuwatesa vibaya.
Ninachangia
--------------------------------------------
On Thu, 10/3/16, 'Baika Kahuta' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: Re: [wanabidii] WATOTO WADOGO NA SHULE ZA BOARDING
To: "wanabidii@googlegroups.com" <wanabidii@googlegroups.com>
Date: Thursday, 10 March, 2016, 13:14
dah, na
hilo jambo Mt. B; Bukoba Municipal,
Tanzania - East Africa.
On Wednesday, March
9, 2016 4:32 PM, "anbalyimo@gmail.com"
<anbalyimo@gmail.com> wrote:
Mm binatamanawaza
mpeleka mwanangu boarding Kwan wadada wakaz wananisumbua
Sana na mm ndo Mama na ndie Baba. Nimeingia kwe ukurasahuu
nimesoma maon yenu nahis kuchanganyikiwa jaman nifanye nn
wazaz wenzangu Kwan bilakutafuta hela tutaish vp?
Nanikisema nikaenae nyumban Yaan tutakuaombaomba sasa.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment