Friday, 4 March 2016

Re: [wanabidii] HIVI January Makamba ANAFIKIRI KWA KUTUMIA KIUNGO GANI?

Ningeliweza kukuita kwa sifa inayotumiwa sana mitaana, lakini neno hilo nalihifadhi kama ulivyokihifadhi kiungo kinachotumiwa na baadhi ya watu wanapofikiri kutoa hoja zisizokuwa na msingi.
Bahati mbaya kwa namna hiyo umeshajitambulisha unazo sifa zote mbili, ya kwanza ile sifa ya neon la mitaani wanapoitwa watu wanaponekana kufanya mambo ya kipuuzi + kufikiria kwa kutumia kiungo hicho hicho ulichoshindwa kukitaja.

Hivi hapa ni ushabiki au uhalisi na ukweli ndicho kinachozungumziwa? Waswali husema kinachopenda moyo ni dawa. au mtu akipenda hata kama mtu anachongo itaonekchongo bali ni kengeza!


On Friday, 4 March 2016, 5:20, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com> wrote:


Shida yetu hatupendi kuambiwa ukweli,
Kuna uongo gani hapo? Na majuzi kwenye sherehe za maadhimisho ya chama
JK alimwambia Magu "...kuna vijana walifanya kampeni....
...waangaliwe...",  bado anafikiria mambo yanaenda kama alivyokuwa
akiyaendesha yeye.

Mlizoea kufanya urahisi flani mpewe vyeo... Leo pamekuwa pagumu.


teh teh teh
"Ikumbukwe kwamba serikali ya JK ilikuwa makini kuliko hii serikali ya
KUKURUPUKA. Sasa iweje huyu mwendawazimu aikashfu serikali ya JK
hadharani? " Gikaro, wasemea umakini kwenye nini??

--
*"Anyone who conducts an argument by appealing to authority is not using
his intelligence; he is just using his memory." Leonardo daa Vinci

*

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment