Thursday, 10 March 2016

Re: [wanabidii] Hakika Chadema ya sasa siyo ile

Muganda;
Hata wajinga tupo kwa mpango wa Mwenyezi (Ecology) i.e. balance of nature.
Mkiwapo nyie wenye akili tu,think for how will be the status of the World??
Mkipewa ushauri utumieni au pokea hata usipoufanyia kazi.
 
Reuben



On Friday, March 11, 2016 12:40 AM, Emmanuel Muganda <emuganda@gmail.com> wrote:


Elisa,
Najua wewe si Chadema na najua pia kuwa huitakii mema Chadema kwa hiyo wenye akili tunaelewa unaposema bila mageuzi makini.
em

2016-03-10 16:22 GMT-05:00 'ELISA MUHINGO' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Kuna wkati ukweli ulisemwa na kubezwa. Lakini kama mama mwenye mimba anajaribu kuificha kuna wakati unafika haifichiki. Bila mageuzi makini CDM inayoyoma. Nalo laweza kubezwa na kudharauliwa ila wakati ukifika ikaja tutakaa kimya kama tulivyonyamazia mengine. Huenda katika kuihakikishia uhai Mbowe anastahili kurudishwa nyuma. Au benchi kabisa
--------------------------------------------
On Thu, 3/10/16, 'Lesian' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:

 Subject: Re: [wanabidii] Hakika Chadema ya sasa siyo ile
 To: wanabidii@googlegroups.com
 Date: Thursday, March 10, 2016, 5:43 PM

 Dhuh
 Tena
 wanojaribu kujenga hoja dhaifu za kumpaka mbowe matope ni
 mimamluki ya ccm lakin wameshindwa.
 Cdm ndio
 chama kinachokua kila siku na tunashukuru ccm imekopi sera
 za cdm na sasa wanazitekeleza though bado itawachukua mda
 mwingi kuweza kutekeleza bse sera si zao na ndio maana
 wamegawanyika
 Mbowe ni kiongozi na analeta
 mabdiliko makubwa ya kisiasa despite challenges
 tunazopitia,hv sasa tunapambana vita ya katiba mpya ianze
 kwa kua tuliokua tunawategemea kutetea katiba ya warioba
 washanunuliwa na warioba mwenyewe hivyo naamini kupitia cdm
 tutaanza vita hiyo na tutapata tu kwa kua bila katiba mpya
 kuiondoa ccm ni shida.
 Kipengele cha
 kuhojiwa matokeo mahakamani kama ya uganda ikiwekwa tutakua
 sawa


 emuganda@gmail.com wrote:

 Ansbert,All I can say is
 thanks. Mwenye kusikia na asikie na mwenye kubeza
 aendelee.em

 Sent from my iPhone
 On Mar 10,
 2016, at 2:50 AM, 'Ansbert Ngurumo' via Wanabidii
 <wanabidii@googlegroups.com>
 wrote:

 Ngoja
 nijadili hoja hii kwa kifupi. Nakuhakikishia, Mbowe hana
 muda wa kukasirikia maoni yako. Ameitwa majina mengi tangu
 1992. Lakini ukweli unabaki kuwa Mbowe ndiye mwenyekiti
 pekee wa chama cha siasa ambaye amejenga na kukuza chama
 chake wakati vingine vinakufa. Kwa vigezo vyote, Chadema
 ndicho chama pekee kinachokua kwa kasi Tanzania. Watu wengi
 waliokaa mbali naye hawamjui vema, na wanamdharau kwa sababu
 za kipropaganda, na kwa kuwa hajikwezi.
 Waliokaa
 naye karibu wanatambua kuwa Mbowe ni kiongozi ambaye
 amewekeza katika kutengeneza na kutanguliza wanasiasa
 wenzake. Vipaji vingi unavyoona na kujua katika Chadema
 vimeibuliwa naye. Kwa asilimia kubwa, Chadema ya 2004 hadi
 sasa ni zao la ubunifu na uchapakazi wa Mbowe.

 Hana
 makuu.Ni msikivu kupita wanasiasa wote niliowahi kukaa nao,
 ukimwondoa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. Ni mbunifu. Ni
 mwepesi wa kubadilika kulingana na mahitaji ya wakati. Ni
 mfuatiliaji asiyechoka wa mambo anayotaka. Anajua kujenga
 hoja kutetea anachoamini. Kwa Tanzania ya sasa na siasa
 zake, nadiriki kusema kuwa Mbowe is the most influential
 politician of current politics. Hata siasa zinazofanywa na
 Magufuli sasa zinaegemea katika mtazamo uliojengwa na
 Chadema kwa miaka 10 mfululizo. UKAWA unayoiona leo
 imejengwa kwa kiasi kikubwa katika mgongo wa Mbowe.

 Propagandists
 wa CCM na usalama wa taifa wamefanya kazi kubwa kummaliza
 Mbowe kisiasa, wameshindwa. Wametumia magazeti yao, hasa
 HOJA na TAZAMA. Tangu 2004, gazeti la HOJA limempiga Mbowe
 kila wiki. Limeshindwa kumbomoa. Limpiga Chadema limeshindwa
 kukivunja. Wametumia mbinu zote walizotumia dhidi ya
 Augustine Mrema wa NCCR-Mageuzi na Ibrahim Lipumba wa CUF;
 hazikufua dafu kwa Mbowe.
 Hata mwaka
 jana, Chadema kilipompokea Edward Lowassa, walithubutu
 kupandikiza sumu dhidi ya Mbowe na Chadema. Haikuwa na
 makali. Walitumia kila mtu waliyedhani angeweza kusaidia
 kubomoa Chadema. Hawakufaulu. Walijaribu kukosanisha
 Chadema, Mbowe na umma; wananchi ndio wakafumuka zaidi
 kuunga mkono Chadema, Mbowe na Lowassa.
 Hata
 waliomhusisha na ujio wa Lowassa, hawakujua kwamba si Mbowe
 aliyemshawishi Lowassa kujiunga na Chadema. Lakini baada ya
 yeye kushawishika kuhusu umuhimu wa Lowassa katika harakati
 za mabadiliko, alisimama kidete kukamilisha kazi
 iliyoanzishwa na wenzake kwa ufanisi mkubwa. Na kweli,
 huwezi kupuuza nguvu ya waliomshawishi Lowassa, au Lowassa
 mwenyewe au Mbowe katika harakati za kuinua upya upinzani
 Tanzania.

 Itabidi
 wanaomchukia Mbowe watafute mbinu mpya. Hizi za miaka 12
 mfululizo zimeshindikana. Mbowe anakipanga upya chama
 akishirikiana na viongozi wenzake, wapya na wa zamani. Moto
 utakaowaka nchi nzima baada ya wiki hii si wa kubeza.
 Propaganda za mtandaoni zitaendelea. Matusi ya magazetini
 yataendelea. Lakini hayatakomesha ubunifu na uchapakazi wa
 Mbowe na timu yake. Nimefanya kazi naye kwa karibu. Najua
 ninachosema. Sihitaji kuambiwa Mbowe ni nani.

 Unataka
 kumjua Mbowe? Tazama Chadema. Tafakari imepita katika
 mabonde na milima ipi. Itazame Chadema ya Edwin Mtei na Bob
 Makani. Ilinganishe na ya Mbowe. Ilinganishe na vyama
 vingine vya siasa. Utaelewa kwa nini Mbowe anapigwa vita na
 watawala na wapambe wao. Mbowe ni mti wenye matunda.
 Atarushiwa mawe tu. Bahati nzuri, hana kawaida ya kujibizana
 na wanaompinga. Wakati nyie mnahangaika kumtwanga
 mitandaoni, yeye anachapa kazi.


  Ansbert Ngurumo


 Mobile    +255 767 172
 665www.freemedia.co.tzwww.voxmediatz.com
 www.ngurumo.wordpress.com
 www.ngurumo.blogspot.com



     On Thursday, March
 10, 2016 6:37 AM, De kleinson kim <dekleinson@gmail.com>
 wrote:


  Ukiniuliza Who is Mbowe?
 Jibu ni rahisi sana. DALALI BORA TANZANIA.
 Anisamehe kama atakasirika.

 ;-)



 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.


0 comments:

Post a Comment