Sunday 3 January 2016

[wanabidii] Habari Kubwa 3 Za Leo Magazetini Kwa Mujibu wa Mtandao Wa Mjengwablog.com


 1. Matajiri maliasili kutumbuliwa..
Hii ni habari inayopewa nafasi ya kwanza na mtandao wa mjengwablog.com. Inahusu rasilimali za nchi na kumekuwa na tuhuma za uwepo wa hujuma kwenye masuala ya vitalu vya uwindaji. Ni mwanzo mzuri.
2.Usalama wa wateja kwenye mabenki shakani.
Hii ni habari kubwa yenye kubeba nafasi ya pili kwa vile inahusu amana za watu, hivyo uchumi wa nchi....
3. Ikulu yamshangaa Mahanga..
Ni habari iliyotarajiwa kuwa na mwendelezo kwa siku ya leo. Makongoro Mahanga anajibiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Ombeni Sefue juu ya kauli yake iliyoripotiwa kwenye Mwananchi na yenye kupotosha. Kwa kifupi, Makongoro Mahanga ameshindwa kutofautisha kati ya wingi wa mawaziri na wingi wa watendaji serikalini. Ombeni Sefue ameweka wazi kuwa Manaibu Mawaziri na Makatibu Wakuu hawaingii kwenye Baraza.
Soma pia habari nyingine za kurasa za ndani za magazetini na katuni bora ya siku kwa kutembelea; http://mjengwablog.com

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment