Saturday 30 January 2016

Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki

Mnyika tunategemea alete maendeleo gani kwanza. Hili baraza la madiwani si ndo limekamilika?
Kuna mengi hayakufanywa tangu nchi ipate uhuru akiweza hata kuonyesha njia ipi ifuatwe katika kuelekea kutatua matatizo ya wananchi itakuwa bora. Wakati huo huo aendelee kusimamia serikali bungeni.
Humu Kuna watu Wana fahamu mambo mengi ya jamii, siasa na uchumi. Wakati mwingine ndugu zangu viongozi wanasiasa si mbaya mkabeba ushauri haitaondoa status ya wewe ni nani.
Kuna huu ujenzi holela wa viosk nalo ni kosa la mbunge?!
Kuna vitu serikali kuwajibika na vingine mwananchi. Pande zote mbili muhimu kutimiza wajibu

On Jan 30, 2016 06:55, "'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com> wrote:


Angeongea na wananchi waliovamia mabwawa ya maji machafu mabibo akawaondoa, waliojenga Kibangu mtoni na Ubungo kisiwani mtoni wakaondoka na wanaoziba njia ya bus za kupanda huko juu njia zote wamebana kwa kujenda barabarani tungejua diwani na Mbunge wake wanafanya kazi ya promotion of community dialogue, education and mobilization waondoke maeneo hatarishi, wasibane njia ambapo magari yanaweza kugongana na yakaingia ndani ya majumba kupiga kuta zikaangukia watu. Pia suala la kila baada ya nyumba 3 kuna bar na unywaji mpaka usiku wa manane na makelele kusubua watoto. watu wamejenga makorongoni na huku kuna vilima na kona na magati ya kupita ni ukazi hatarishi. hata mabomba ya maji ya mradi wa kupitisha bomba waliofanya Wachina (wakandarasi) ilikuwa tabu kupitisha bomba hizo na sidhani kama zinatoa maji maeneo mengi kutokana na utata wa gradient na kupata nafasi ya kunyooshea. Kazi za Diwani na Mbunge zitaonekana hapo Mto ubungo darajani ni Chuo cha Maji kuna takataka zinajazwa mtoni. Pamoja na GVt kujenga mawe ya kuzuia mmomonyoko, mfuga ng'ombe hapo anatupa nyasi mtoni anajaza taka na uchafu wa kinyesi-Dengue na sasa Zika mbu huyo huyo Aedes anasababisha magonjwa hayo (ni Vector). Biashara zimejaa njia za kupita kwa miguu na mto unachimbwa mchanga unamomonyolewa. Hizi grassroots work ni za hao vikao na wananchi wao elimisha tumia watumishi ugani tuone wameondoka kukaa katika maeneo hatarishi. Kinyesi uwani na watoto wanateseka na pombe kucha-elephantiasis, dengue, Zika. magari kupaki njia za miguu wenyewe wanakunywa pombe wapitaji tunateseka tunapishana na daladala, bajaji, pikipiki zinatukwangua!! Hatujawaona kuwajibika bali kelele tu bungeni na lawama kwa GVT!!
--------------------------------------------
On Sat, 30/1/16, Salim Khatri <skhatri@orcis.com> wrote:

 Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki
 To: Wanazuoni@yahoogroups.com
 Cc: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>
 Date: Saturday, 30 January, 2016, 14:14

 Mazuri
 kwenye hilo jimbo yamefanywa na serikali ya CCM na mabaya
 yaliyobaki alaumiwe Mnyika na madiwani wake? Sielewi
 kabisa!
 Salim.
 On Jan 30, 2016 13:36,
 "Hildegarda Kiwasila khildegarda@yahoo.co.uk
 [Wanazuoni]" <Wanazuoni@yahoogroups.com>
 wrote:















  













 Kafanya nini mnyika? Maji visima vya boreholes ni  vya
 Dawasa/Dawasco Kibangu na kuna Water User Association (WUA).
 EPZ -viwanda eneo la uwekezaji ni ya Serikali ya CCM-TZ;
 Mabweni ya branch ya UDSM wanafunzi wanakaa huko Ubungo
 Kisiwani ni serikali ya CCM. Huko wananchi wanawauzia
 chakula, kuwapangisha wengine biashara imepanuka toka
 wanafunzi awwe huko na wanakodiwa daladala biashara imekua.
 Campus hiyo na EPZ area  imefanya watu wajenge majumba ya
 kupangisha, mahoteli, lodges yamejengwa za magorofa. Wageni
 wa EPZ wanakaa huko.



 Mji unabadilika watu wanauza maeneo wengine wanajenga
 maghorofa wao wanahamia kando ya mto na kuziba barabara
 haipitiki. Nyumba 10 kwa mwanga zinaingia/kupasuka kuta na
 kuanguka mtoni. Wamehamishwa Buguruni suatter area
 wamepimuwa plots medium density Ubungo makuburi. Nyumba za
 NHC za Mburahati wameuziwa na wameuza wamevamia mabwawa ya
 kinyesi ya mambiko kama wale walioboreshewa kinondoni
 Mkwajuni (Hannanasif) wakahamia Sunna (jagwani bondeni)
 wakapelekwa Mabwepande wakauza wakarudi. Maji yakijaa
 wanayaona mpaka darini. halafu hawaelewi hatari wanaendelea
 kuishi. Wakibomolewa-noma, kesi mahakamani. lakini tyoka
 Mkoloni  mabonde hayakujengwa wala NHC zilipojengwa
 magomeni, Jangwani, Kariakoo, Kigogo Mission Quarters
 hazikushuka mto msimbazi. Hata walipojenga majengo ya RC
 Msimbazi hayakuingia mtoni wala za Mchkichini kuingia
 bondeni Yanga area. Wao wameuza halafu wapo bondeni na hapo
 Fire DSM wapo wanavuka mtu wanajenga nyumba wamezungukwa na
 maji ya kinyesi. Wanafanya hivyo hapo fire kushoto ukitoka
 mataa kuingia jangwani serikali na viongozi wanaona karne
 yote. Nini huko ubongo-DSM yote.



 Miradi ya Mipango miji ya kupima viwanja Ramani zipo mpaka
 Aerial Photos na physical Photos. Sasa fika Sinza uone kama
 zile barabara zipo-wameziba wameweka viosk, gates za nyumba
 na magari. Moto ukiwaka zima moto haina pa kupita. Mji wa
 DSM kote kulikopimwa kupo makorokoro. Wanajua
 wabomoe-hawabomoi  wanaangalia tu. Likiingia Sinza Tinga
 Tinga-makelele.



 Jangwani karibu na Ofisi za Zima moto, Upanga, Mnazi
 mmoja-Mtu anaamua tu nyumba ya Msajiri/NHC anaweka kuta
 anaweka gate na kuweka yard ya magari. anaongeza kuta
 anaweza paa na kujaza bidhaa! Eti umempangisha mtu nyumba
 yako unamkuta amebadili design ya nyumba na kuongeza vyumba
 humuulizi? NHC inaona nyumba zimebadilishwa design hizo za
 maghorofa wapangaji wamefanya hivyo. watoto hawana pa
 kucheza michezo yao kote ni yard za gari, maduka ya matairi,
 restaurants, Stationeries shops ertc-WHY? Maana yake hata
 maeneo ya nyumba za police kuweka bar ndio tija ofisi ipate
 pesa! Baa jirani  na Kituo cha Police Mtaji wa kituo hicho?
 Uvamizi si utatokea kwa urahisi? Ni ni hayo majumba ya
 police kaone pale Ubungo/Urafiki-magodoro, maguo
 yananing'inoa hovyo juu ukutani, maduka ya biashara
 kuongeza kipato waliyoweka wakazi-hata nyumba za police? Si
 wabaya watatumia nafasi hiyo kuja kuripua anakuja kunywa au
 kununua bidhaa analewa mpaka usiku wa manane anasoma picha
 hapo! Tunaona vinavyoendelea lakini tu vipofu-tamaa na Siasa
 zimetawala!



 Vilivyofanywa na serikali vilivyo vizuri na vya maendeleo
 tuvisifie sio lawama tu. Kama kuna EPZ, Viwanda -NIDA,
 magodown ya bandari kavu etc jimboni;  kuwepo barabara mpya
 Buguruni-Ubungo-Mwenge  pana ya pande mbili na haikuwepo
 zamani; barabara ya Mwenge-Tegeta-Kawe;Kimara-Mbezi na Bus
 Stations mpya; Jengo na kituo cha mawasiliano na other GVT
 Institutions na UDSM inayozidi kukua na kupanuka majengo
 mpaka Changanyikeni-Makongo kutanukia Msewe yanaonekana;
 Mlimani City under UDSM na Investors (PPP) haikuwepo zamani
 watu wakikabwa na wanafunzi kubakwa wakikatiza hapo kutoka
 Sinza kwenda mlimani primary school. Sasa kuna mpaka houses
 za kupangisha kwa $ hapo survey; Maduka ya kununua kila aina
 ya kitu Mlimani City, Banks nyingi, Maduka ya Dawa, Nyumba
 za Cinema, Hall mikutano na Sherehe nyinginezo, michezo ya
 watoto mlimani city, vituo vya mabasi-Hii yote UKAWA
 hawaioni kama ni maendeleo na vijana wao wamejaa hapo kutwa
 Samaki Samaki wanalamba pombe na vitafunwa na kumaliza fedha
 za mikopo za GVT katika vileo na kuusaka Ukimwi. Kaleta
 Mnyika vyote hivi au ni ktk Plan za Serikali ya JK na sasa
 ya JP?



 Majumba ya Ghorofa ya JWTZ  Mwenge Makongo na maduka ya
 kuwauzia vifaa nasi tunakwenda kununua mafriji hapo. Bado
 hayo matrekta hapo Mwenge na barabara poa ambapo ukitoka
 Mwenge Kwenda kwa Mdee unapita barabara safi. Ukitupa chupa
 tupu au ganda la ndizi kutoka ndani ya daladala-mtashushwa
 wote msote mloweshe chupi zetu kwa haja zitakazowatoka mpaka
 apatikane aliyerusha afyeke majani na kumwagia miche maji.
 Mtafagia na kubebeshwa mpaka mizoga ya mbwa waliokufa kwa
 kugongwa na gari. Barabara safi pamoja na open water
 drainage system yake hakuna viroba vya takataka. Katiza njia
 na gari au bajaji, bodaboda usimamishwe na uambiwe ukanyage
 eksereta yako mpaka mafuta yaishe uunguze engine! Kisha
 umwagie maji miche yote na udeki barabara kwa shati lako!



 Nidhamu kujengwa TZ-wape JWTZ ndio wataweza. Tukiachiwa hivi
 hivi-tutarudi nyuma miaka 40 kwani hata hii Kazi ya usafi
 tunafagia leo kesho tunatupa humo humo tena na mafuriko
 yanatuathiri kama kawa lakini hatuoni wala kubadilika!



 Leo mabarabara ya lami raha tupu kuanzia Ubungo Mawasiliano
 hadi Mlalakua, Mwenge ni vileo/Bar magari juu ya njia za
 kupita kwa miguu watu wanalewa kutwa mpaka manane kutokana
 na barabara pande 2 kuwa za lami na Plots za Sinza (surveyed
 area) watu wanauza majumba yao maghorofa yanasimama.
 Kungekuwa hakuna barabara ya lami na maendeleo hayo huko
 kukiitwa Sinza Machinjioni (Urafiki-Sinza makaburini) na
 Sinza ya Petrol Station (ya Mlimani City) tungeona maghorofa
 hayo mapya kwa sasa? NBC Ubungo na Ubungo Plaza violikuwepo
 na kituo cha mabasi ya kwenda bara si kilikuwa mbananoni
 Mnazi mmoja/Liya Street? Laumuni lakini serikali na uongozi
 wa Chama tawala cha CCM wamefanyakazi!!



 Waacheni akina Mnyika na T.Lissu wabebe vitabu vya sheria
 wakabwate tu Bungeni. Ipo siku wananchi watachoka na wao
 kuingia na kutoka kwa vurugu-watafanya kitu cha hasira ktk
 kuwaelimisha kuwa-tumechoka!! Twataka maendeleo sio kuzozana
 tu bungeni na kutoka nje daima kususia majadiliano au
 vikao!! Kuwe na uwezekano wa kutofautisha wale wa kubwata
 vijiweni na wa kubwata bungeni ambako bunge ni chombo cha
 kutunga sheria, kupitisha mipango na kuisimamia serikali.



 Kama Kawa



 --------------------------------------------

 On Thu, 28/1/16, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>
 wrote:



 Subject: Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote,
 watendaji wote lakini barabara hazipitiki

  To: "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>

  Date: Thursday, 28 January, 2016, 15:03



  Burudani za

  watanzania bwana. Hao wanaoishi eneo lile kelele nyingi

  wangapi wamelipa kodi halali ya jengo na aridhi kwanza.



  Hivi kama hamlipi kodi mbali mbali serikali itawaleteaje

  maendeleo?



  Ifike mahala tuwe na kodi halisi hizi za sasa viini macho
 na

  zinaumiza mwananchi na hazijulikani ziendako.



  Halafu mmejenga barabarani mkivunjiwa mnataka malipo. Je

  mlipojenga mlipata vibali?

  On Jan 28, 2016 04:30,

  "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:

  Kati ya

  abunge wazuri wqanaofanya kazi zao hapa Tanzania mmojawao
 ni

  Mnyika. Kjazi za mbunge ni kuisimamia serikali ifanye
 hayo

  ambayo sasa tunamdai Mnyika. Tumfuatilie kama kweli

  haisimamii serikali. Tunajua wote alivyoshupalia swala
 la

  maji. Nidyo kazi yake haswa.



  --------------------------------------------



  On Tue, 1/26/16, 'mohamed mnzava' via Wanabidii

  <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:







   Subject: Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani
 wote,

  watendaji wote lakini barabara hazipitiki



   To: "wanabidii@googlegroups.com"

  <wanabidii@googlegroups.com>



   Date: Tuesday, January 26, 2016, 10:50 AM







   Tatizo la



   huyu mbunge ni kuwa hana NIA thabiti ya kutatua
 masuala

  ya



   Kimsingi kt jimbo lake, . . . . .  hata Upande huu wa

  Mbezi



   kwa Musuguri hali ni sawa na hiyo ya upande wa huko  .
 .

  .



   . . barabara Mbovu, Maji ya kununua kwa wafanya

  biashara



   binafsi nk. . . . . .  Kama kawaida yake, tutamuona

  tena



   baada ya miaka minne atakapo kumbuka kuwa kuna
 uchaguzi



   unakuja na tiketi ya kurudi bungeni ipo huku, . . .

  mimi



   sikumpatia Kura yangu ila ni vyema aelewe kuwa

  anawajibika



   kwa kupokea mshahara toka kwa jasho la wananchi wote















      On Tuesday, January



   26, 2016 9:55 AM, 'mpombe mtalika' via

  Wanabidii



   <wanabidii@googlegroups.com>

  wrote:



















   Mim ni



   mkazi wa Mbezi Makabe. naandika haya kwa uchungu sana

  jinsi



   barabara yetu ilivyo mbovu na hakuna mtu hata mmoja



   anaiangalia.



   Barabara ya kwenda Mbezi Makabe imekuwa mbovu mbovu.



   Haipitiki kabisa.



   Hii barabara inayoanzia Kituo cha zamani cha daladala

  Mbezi



   Mwisho



   kwenda Makabe-Msakuzi.wananchi wanataabika. Wanakaaa

  zaidi



   ya masaa 3



   barabaran kusubiri daladala. Daladala zimekimbia
 kutokana

  na



   ubovu wa



   barabara. Magari ya watu binafsi nayo yanapata shida

  sana.



   Maji



   tunayonunua kwenye malori nayo yamepanda bei.
 Tunauziwa

  lita



   1000 sh. 15



    hadi elfu 20.



   Mbunge tuliempa kura nyingi na madiwani wote hatuwaoni



   jimboni







   Mh. Mnyika wananchi walikuchagua wanapata shida.







   Tunakuomba angalau lipitishwe greda tuu. Wananchi wapo



   tayari kuchangia.







   Hali ya barabara ni Mbaya ni Mbaya ni Mbaya.







   Huduma za kijamii zimepanda. wananchi wamekata tamaaa.







   Tafadhali Mh Mnyika. Hii la barabara na Maji Makabe ni



   jipu.



    Rudi



   jimboni saidia wananchi



   jf



















   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings, and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























   --







   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







    







   Kujiondoa Tuma Email kwenda







   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya



   kudhibitisha ukishatuma







    







   Disclaimer:







   Everyone posting to this Forum bears the sole

  responsibility



   for any legal consequences of his or her postings, and

  hence



   statements and facts must be presented responsibly.

  Your



   continued membership signifies that you agree to this



   disclaimer and pledge to abide by our Rules and



   Guidelines.







   ---







   You received this message because you are subscribed
 to

  the



   Google Groups "Wanabidii" group.







   To unsubscribe from this group and stop receiving

  emails



   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 

  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma







  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly. Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.











  --



  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



   



  Kujiondoa Tuma Email kwenda



  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com
  Utapata Email ya

  kudhibitisha ukishatuma



   



  Disclaimer:



  Everyone posting to this Forum bears the sole
 responsibility

  for any legal consequences of his or her postings, and
 hence

  statements and facts must be presented responsibly. Your

  continued membership signifies that you agree to this

  disclaimer and pledge to abide by our Rules and

  Guidelines.



  ---



  You received this message because you are subscribed to
 the

  Google Groups "Wanabidii" group.



  To unsubscribe from this group and stop receiving emails

  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.







     __._,_.___










         Posted by: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>





                           Reply
 via web post
                       •

                Reply to sender
           •

               Reply to group
           •
             Start a New
 Topic
           •
                             Messages in this
 topic
                 (3)
















     Visit Your Group







    • Privacy • Unsubscribe • Terms of Use






















   .







 __,_._,___

















 --

 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

  

 Kujiondoa Tuma Email kwenda

 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya
 kudhibitisha ukishatuma

  

 Disclaimer:

 Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
 for any legal consequences of his or her postings, and hence
 statements and facts must be presented responsibly. Your
 continued membership signifies that you agree to this
 disclaimer and pledge to abide by our Rules and
 Guidelines.

 ---

 You received this message because you are subscribed to the
 Google Groups "Wanabidii" group.

 To unsubscribe from this group and stop receiving emails
 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment