Saturday 30 January 2016

Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki

Diwani na Mbunge wao kinachotakiwa kwao ni mazungumzo na wapiga kura wao, kuwaelimisha kuhusu majukumu yao na kuzingatia sheria. Diwani anatakiwa awepo kila mtaa au kijiji wanapopanga mippango yao ya maendeleo ba vikosi vya wataalamu ili yakatadiliwe Kata katika WDC halafu yajumuishwe kitarafa yaende wilayani yajadiliwe katika Idara na Full Council. Mp yupo ktk Full Council wanapojadili na kupitisha mipango iende vikao vya juu kimkoa hadi Wizara etc. MP anapewa na mkopo wa gari ambapo anatakiwa alitumie ktk kushiriki kuhamasisha maendeleo vijijini/Mtaa. Hawa waheshimiwa wanatakiwa wasaidie watumishi wa ugani ktk kazi zao. Kwamba ataambatana nao ili kisichoeleweka kieleweke. Mtumisghi ugani hasa vijijini anaweza akaonekana-si wa kabila letu hivi na vile lakini yeye akanyoosha njia kuona kuwa hawaonewi ndio sera na sheria hakuna ukabila hapo wakamuamini. watu wanalewa kutwa hakuna maendeleo-Duiwani wao atawapasha na pia mbunge wajirekebishe. Atafafanua sera ya Elimu bure wasione kuwa dezo ni kila kitu walimu na extension staff vibaka tu wanawaambia wajitolee hapa au pale. Team work inahitajika wao na extension staff ili yanayopangwa yafanikiwe. Akipita Mtaani na kiongozi wa Mtaa aiogope kukemea waliojenga hovyo. Anampa uzito kiongozi wa mtaa na Land's Officer katika kuwaonya wanavyoziba njia na kuvamia maeneo. Hakitoonekana uonevu tingatinga linapoingia kuvunja maana nae kawasemesha karne. Badala ya Mbunge kutetea ufunguzi wa kesi Mahakamani awe mstari wa mbele kuwakumbusha wananchi wake daima waliovamia na kujenga maeneo hatarishi wahame. Wale ambao wamewekewa X kuanzia 1994-awaonye daima na aseme siwatetei, milishalipwa, hamjabomoa hakutokuwa na msaada wa kisheria kutoka kwangu hata kama mtanyinyima kura! Watetee, waendelee kukaa, mvua ije na maji iwazoe wafe-utawafufua? Utawalipa fidia wewe unae watetea? Badala ya kusubiri kura tu-anza sasa sio wakati wa kukaribia uchaguzi. Sote tuwajibike kwa waannchi wetu na mcheza kwao vema-hutunzwa!! Kura utapata tu kwa kutetea na kufanikisha mazuri. Ukitetea uovu wa madhara-mjinga huwa anaamka na akiamka utalala wewe!! Watakuona fara, umewaingiza katika utata kwa kuwaendekeza na ujinga wao. Amsha aliyelala aone chanya yaliyopo ama sivyo itakula kwako mbele ya safari atakapoamshwa na wengine.

--------------------------------------------
On Sun, 31/1/16, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com> wrote:

Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki
To: "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>
Cc: Wanazuoni@yahoogroups.com
Date: Sunday, 31 January, 2016, 5:04

Mnyika
tunategemea alete maendeleo gani kwanza. Hili baraza la
madiwani si ndo limekamilika?

Kuna mengi hayakufanywa tangu nchi ipate uhuru akiweza hata
kuonyesha njia ipi ifuatwe katika kuelekea kutatua matatizo
ya wananchi itakuwa bora. Wakati huo huo aendelee kusimamia
serikali bungeni.

Humu Kuna watu Wana fahamu mambo mengi ya jamii, siasa na
uchumi. Wakati mwingine ndugu zangu viongozi wanasiasa si
mbaya mkabeba ushauri haitaondoa status ya wewe ni nani.

Kuna huu ujenzi holela wa viosk nalo ni kosa la mbunge?!

Kuna vitu serikali kuwajibika na vingine mwananchi. Pande
zote mbili muhimu kutimiza wajibu
On Jan 30, 2016 06:55,
"'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii"
<wanabidii@googlegroups.com>
wrote:




Angeongea na wananchi waliovamia mabwawa ya maji machafu
mabibo akawaondoa, waliojenga Kibangu mtoni na Ubungo
kisiwani mtoni wakaondoka na wanaoziba njia ya bus za
kupanda huko juu njia zote wamebana kwa kujenda barabarani
tungejua diwani na Mbunge wake wanafanya kazi ya promotion
of community dialogue, education and mobilization waondoke
maeneo hatarishi, wasibane njia ambapo magari yanaweza
kugongana na yakaingia ndani ya majumba kupiga kuta
zikaangukia watu. Pia suala la kila baada ya nyumba 3 kuna
bar na unywaji mpaka usiku wa manane na makelele kusubua
watoto. watu wamejenga makorongoni na huku kuna vilima na
kona na magati ya kupita ni ukazi hatarishi. hata mabomba ya
maji ya mradi wa kupitisha bomba waliofanya Wachina
(wakandarasi) ilikuwa tabu kupitisha bomba hizo na sidhani
kama zinatoa maji maeneo mengi kutokana na utata wa gradient
na kupata nafasi ya kunyooshea. Kazi za Diwani na Mbunge
zitaonekana hapo Mto ubungo darajani ni Chuo cha Maji kuna
takataka zinajazwa mtoni. Pamoja na GVt kujenga mawe ya
kuzuia mmomonyoko, mfuga ng'ombe hapo anatupa nyasi
mtoni anajaza taka na uchafu wa kinyesi-Dengue na sasa Zika
mbu huyo huyo Aedes anasababisha magonjwa hayo (ni Vector).
Biashara zimejaa njia za kupita kwa miguu na mto unachimbwa
mchanga unamomonyolewa. Hizi grassroots work ni za hao vikao
na wananchi wao elimisha tumia watumishi ugani tuone
wameondoka kukaa katika maeneo hatarishi. Kinyesi uwani na
watoto wanateseka na pombe kucha-elephantiasis, dengue,
Zika. magari kupaki njia za miguu wenyewe wanakunywa pombe
wapitaji tunateseka tunapishana na daladala, bajaji,
pikipiki zinatukwangua!! Hatujawaona kuwajibika bali kelele
tu bungeni na lawama kwa GVT!!

--------------------------------------------

On Sat, 30/1/16, Salim Khatri <skhatri@orcis.com>
wrote:



 Subject: Re: [Wanazuoni] Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa
Madiwani wote, watendaji wote lakini barabara hazipitiki

 To: Wanazuoni@yahoogroups.com

 Cc: "wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>

 Date: Saturday, 30 January, 2016, 14:14



 Mazuri

 kwenye hilo jimbo yamefanywa na serikali ya CCM na
mabaya

 yaliyobaki alaumiwe Mnyika na madiwani wake? Sielewi

 kabisa!

 Salim.

 On Jan 30, 2016 13:36,

 "Hildegarda Kiwasila khildegarda@yahoo.co.uk

 [Wanazuoni]" <Wanazuoni@yahoogroups.com>

 wrote:































  



























 Kafanya nini mnyika? Maji visima vya boreholes ni  vya

 Dawasa/Dawasco Kibangu na kuna Water User Association
(WUA).

 EPZ -viwanda eneo la uwekezaji ni ya Serikali ya
CCM-TZ;

 Mabweni ya branch ya UDSM wanafunzi wanakaa huko Ubungo

 Kisiwani ni serikali ya CCM. Huko wananchi wanawauzia

 chakula, kuwapangisha wengine biashara imepanuka toka

 wanafunzi awwe huko na wanakodiwa daladala biashara
imekua.

 Campus hiyo na EPZ area  imefanya watu wajenge majumba
ya

 kupangisha, mahoteli, lodges yamejengwa za magorofa.
Wageni

 wa EPZ wanakaa huko.







 Mji unabadilika watu wanauza maeneo wengine wanajenga

 maghorofa wao wanahamia kando ya mto na kuziba barabara

 haipitiki. Nyumba 10 kwa mwanga zinaingia/kupasuka kuta
na

 kuanguka mtoni. Wamehamishwa Buguruni suatter area

 wamepimuwa plots medium density Ubungo makuburi. Nyumba
za

 NHC za Mburahati wameuziwa na wameuza wamevamia mabwawa
ya

 kinyesi ya mambiko kama wale walioboreshewa kinondoni

 Mkwajuni (Hannanasif) wakahamia Sunna (jagwani bondeni)

 wakapelekwa Mabwepande wakauza wakarudi. Maji yakijaa

 wanayaona mpaka darini. halafu hawaelewi hatari
wanaendelea

 kuishi. Wakibomolewa-noma, kesi mahakamani. lakini
tyoka

 Mkoloni  mabonde hayakujengwa wala NHC zilipojengwa

 magomeni, Jangwani, Kariakoo, Kigogo Mission Quarters

 hazikushuka mto msimbazi. Hata walipojenga majengo ya
RC

 Msimbazi hayakuingia mtoni wala za Mchkichini kuingia

 bondeni Yanga area. Wao wameuza halafu wapo bondeni na
hapo

 Fire DSM wapo wanavuka mtu wanajenga nyumba wamezungukwa
na

 maji ya kinyesi. Wanafanya hivyo hapo fire kushoto
ukitoka

 mataa kuingia jangwani serikali na viongozi wanaona
karne

 yote. Nini huko ubongo-DSM yote.







 Miradi ya Mipango miji ya kupima viwanja Ramani zipo
mpaka

 Aerial Photos na physical Photos. Sasa fika Sinza uone
kama

 zile barabara zipo-wameziba wameweka viosk, gates za
nyumba

 na magari. Moto ukiwaka zima moto haina pa kupita. Mji
wa

 DSM kote kulikopimwa kupo makorokoro. Wanajua

 wabomoe-hawabomoi  wanaangalia tu. Likiingia Sinza
Tinga

 Tinga-makelele.







 Jangwani karibu na Ofisi za Zima moto, Upanga, Mnazi

 mmoja-Mtu anaamua tu nyumba ya Msajiri/NHC anaweka kuta

 anaweka gate na kuweka yard ya magari. anaongeza kuta

 anaweza paa na kujaza bidhaa! Eti umempangisha mtu
nyumba

 yako unamkuta amebadili design ya nyumba na kuongeza
vyumba

 humuulizi? NHC inaona nyumba zimebadilishwa design hizo
za

 maghorofa wapangaji wamefanya hivyo. watoto hawana pa

 kucheza michezo yao kote ni yard za gari, maduka ya
matairi,

 restaurants, Stationeries shops ertc-WHY? Maana yake
hata

 maeneo ya nyumba za police kuweka bar ndio tija ofisi
ipate

 pesa! Baa jirani  na Kituo cha Police Mtaji wa kituo
hicho?

 Uvamizi si utatokea kwa urahisi? Ni ni hayo majumba ya

 police kaone pale Ubungo/Urafiki-magodoro, maguo

 yananing'inoa hovyo juu ukutani, maduka ya biashara

 kuongeza kipato waliyoweka wakazi-hata nyumba za police?
Si

 wabaya watatumia nafasi hiyo kuja kuripua anakuja kunywa
au

 kununua bidhaa analewa mpaka usiku wa manane anasoma
picha

 hapo! Tunaona vinavyoendelea lakini tu vipofu-tamaa na
Siasa

 zimetawala!







 Vilivyofanywa na serikali vilivyo vizuri na vya
maendeleo

 tuvisifie sio lawama tu. Kama kuna EPZ, Viwanda -NIDA,

 magodown ya bandari kavu etc jimboni;  kuwepo barabara
mpya

 Buguruni-Ubungo-Mwenge  pana ya pande mbili na
haikuwepo

 zamani; barabara ya Mwenge-Tegeta-Kawe;Kimara-Mbezi na
Bus

 Stations mpya; Jengo na kituo cha mawasiliano na other
GVT

 Institutions na UDSM inayozidi kukua na kupanuka
majengo

 mpaka Changanyikeni-Makongo kutanukia Msewe
yanaonekana;

 Mlimani City under UDSM na Investors (PPP) haikuwepo
zamani

 watu wakikabwa na wanafunzi kubakwa wakikatiza hapo
kutoka

 Sinza kwenda mlimani primary school. Sasa kuna mpaka
houses

 za kupangisha kwa $ hapo survey; Maduka ya kununua kila
aina

 ya kitu Mlimani City, Banks nyingi, Maduka ya Dawa,
Nyumba

 za Cinema, Hall mikutano na Sherehe nyinginezo, michezo
ya

 watoto mlimani city, vituo vya mabasi-Hii yote UKAWA

 hawaioni kama ni maendeleo na vijana wao wamejaa hapo
kutwa

 Samaki Samaki wanalamba pombe na vitafunwa na kumaliza
fedha

 za mikopo za GVT katika vileo na kuusaka Ukimwi. Kaleta

 Mnyika vyote hivi au ni ktk Plan za Serikali ya JK na
sasa

 ya JP?







 Majumba ya Ghorofa ya JWTZ  Mwenge Makongo na maduka
ya

 kuwauzia vifaa nasi tunakwenda kununua mafriji hapo.
Bado

 hayo matrekta hapo Mwenge na barabara poa ambapo
ukitoka

 Mwenge Kwenda kwa Mdee unapita barabara safi. Ukitupa
chupa

 tupu au ganda la ndizi kutoka ndani ya
daladala-mtashushwa

 wote msote mloweshe chupi zetu kwa haja zitakazowatoka
mpaka

 apatikane aliyerusha afyeke majani na kumwagia miche
maji.

 Mtafagia na kubebeshwa mpaka mizoga ya mbwa waliokufa
kwa

 kugongwa na gari. Barabara safi pamoja na open water

 drainage system yake hakuna viroba vya takataka. Katiza
njia

 na gari au bajaji, bodaboda usimamishwe na uambiwe
ukanyage

 eksereta yako mpaka mafuta yaishe uunguze engine! Kisha

 umwagie maji miche yote na udeki barabara kwa shati
lako!







 Nidhamu kujengwa TZ-wape JWTZ ndio wataweza. Tukiachiwa
hivi

 hivi-tutarudi nyuma miaka 40 kwani hata hii Kazi ya
usafi

 tunafagia leo kesho tunatupa humo humo tena na mafuriko

 yanatuathiri kama kawa lakini hatuoni wala kubadilika!







 Leo mabarabara ya lami raha tupu kuanzia Ubungo
Mawasiliano

 hadi Mlalakua, Mwenge ni vileo/Bar magari juu ya njia
za

 kupita kwa miguu watu wanalewa kutwa mpaka manane
kutokana

 na barabara pande 2 kuwa za lami na Plots za Sinza
(surveyed

 area) watu wanauza majumba yao maghorofa yanasimama.

 Kungekuwa hakuna barabara ya lami na maendeleo hayo
huko

 kukiitwa Sinza Machinjioni (Urafiki-Sinza makaburini)
na

 Sinza ya Petrol Station (ya Mlimani City) tungeona
maghorofa

 hayo mapya kwa sasa? NBC Ubungo na Ubungo Plaza
violikuwepo

 na kituo cha mabasi ya kwenda bara si kilikuwa
mbananoni

 Mnazi mmoja/Liya Street? Laumuni lakini serikali na
uongozi

 wa Chama tawala cha CCM wamefanyakazi!!







 Waacheni akina Mnyika na T.Lissu wabebe vitabu vya
sheria

 wakabwate tu Bungeni. Ipo siku wananchi watachoka na
wao

 kuingia na kutoka kwa vurugu-watafanya kitu cha hasira
ktk

 kuwaelimisha kuwa-tumechoka!! Twataka maendeleo sio
kuzozana

 tu bungeni na kutoka nje daima kususia majadiliano au

 vikao!! Kuwe na uwezekano wa kutofautisha wale wa
kubwata

 vijiweni na wa kubwata bungeni ambako bunge ni chombo
cha

 kutunga sheria, kupitisha mipango na kuisimamia
serikali.







 Kama Kawa







 --------------------------------------------



 On Thu, 28/1/16, Jovias Mwesiga <ngonzy@gmail.com>

 wrote:







 Subject: Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani wote,

 watendaji wote lakini barabara hazipitiki



  To: "WANA BIDII" <wanabidii@googlegroups.com>



  Date: Thursday, 28 January, 2016, 15:03







  Burudani za



  watanzania bwana. Hao wanaoishi eneo lile kelele
nyingi



  wangapi wamelipa kodi halali ya jengo na aridhi
kwanza.







  Hivi kama hamlipi kodi mbali mbali serikali
itawaleteaje



  maendeleo?







  Ifike mahala tuwe na kodi halisi hizi za sasa viini
macho

 na



  zinaumiza mwananchi na hazijulikani ziendako.







  Halafu mmejenga barabarani mkivunjiwa mnataka malipo.
Je



  mlipojenga mlipata vibali?



  On Jan 28, 2016 04:30,



  "'ELISA MUHINGO' via Wanabidii" <wanabidii@googlegroups.com>



  wrote:



  Kati ya



  abunge wazuri wqanaofanya kazi zao hapa Tanzania
mmojawao

 ni



  Mnyika. Kjazi za mbunge ni kuisimamia serikali ifanye

 hayo



  ambayo sasa tunamdai Mnyika. Tumfuatilie kama kweli



  haisimamii serikali. Tunajua wote alivyoshupalia swala

 la



  maji. Nidyo kazi yake haswa.







  --------------------------------------------







  On Tue, 1/26/16, 'mohamed mnzava' via
Wanabidii



  <wanabidii@googlegroups.com>



  wrote:















   Subject: Re: [wanabidii] Mnyika tumekupa Madiwani

 wote,



  watendaji wote lakini barabara hazipitiki







   To: "wanabidii@googlegroups.com"



  <wanabidii@googlegroups.com>







   Date: Tuesday, January 26, 2016, 10:50 AM















   Tatizo la







   huyu mbunge ni kuwa hana NIA thabiti ya kutatua

 masuala



  ya







   Kimsingi kt jimbo lake, . . . . .  hata Upande huu
wa



  Mbezi







   kwa Musuguri hali ni sawa na hiyo ya upande wa huko 
.

 .



  .







   . . barabara Mbovu, Maji ya kununua kwa wafanya



  biashara







   binafsi nk. . . . . .  Kama kawaida yake, tutamuona



  tena







   baada ya miaka minne atakapo kumbuka kuwa kuna

 uchaguzi







   unakuja na tiketi ya kurudi bungeni ipo huku, . . .



  mimi







   sikumpatia Kura yangu ila ni vyema aelewe kuwa



  anawajibika







   kwa kupokea mshahara toka kwa jasho la wananchi wote































      On Tuesday, January







   26, 2016 9:55 AM, 'mpombe mtalika' via



  Wanabidii







   <wanabidii@googlegroups.com>



  wrote:







































   Mim ni







   mkazi wa Mbezi Makabe. naandika haya kwa uchungu
sana



  jinsi







   barabara yetu ilivyo mbovu na hakuna mtu hata mmoja







   anaiangalia.







   Barabara ya kwenda Mbezi Makabe imekuwa mbovu mbovu.







   Haipitiki kabisa.







   Hii barabara inayoanzia Kituo cha zamani cha
daladala



  Mbezi







   Mwisho







   kwenda Makabe-Msakuzi.wananchi wanataabika. Wanakaaa



  zaidi







   ya masaa 3







   barabaran kusubiri daladala. Daladala zimekimbia

 kutokana



  na







   ubovu wa







   barabara. Magari ya watu binafsi nayo yanapata shida



  sana.







   Maji







   tunayonunua kwenye malori nayo yamepanda bei.

 Tunauziwa



  lita







   1000 sh. 15







    hadi elfu 20.







   Mbunge tuliempa kura nyingi na madiwani wote
hatuwaoni







   jimboni















   Mh. Mnyika wananchi walikuchagua wanapata shida.















   Tunakuomba angalau lipitishwe greda tuu. Wananchi
wapo







   tayari kuchangia.















   Hali ya barabara ni Mbaya ni Mbaya ni Mbaya.















   Huduma za kijamii zimepanda. wananchi wamekata
tamaaa.















   Tafadhali Mh Mnyika. Hii la barabara na Maji Makabe
ni







   jipu.







    Rudi







   jimboni saidia wananchi







   jf







































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



  Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,
and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.















































   --















   Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















    















   Kujiondoa Tuma Email kwenda















   wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



  Utapata Email ya







   kudhibitisha ukishatuma















    















   Disclaimer:















   Everyone posting to this Forum bears the sole



  responsibility







   for any legal consequences of his or her postings,
and



  hence







   statements and facts must be presented responsibly.



  Your







   continued membership signifies that you agree to
this







   disclaimer and pledge to abide by our Rules and







   Guidelines.















   ---















   You received this message because you are subscribed

 to



  the







   Google Groups "Wanabidii" group.















   To unsubscribe from this group and stop receiving



  emails







   from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.















   For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.















  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com















  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 



  Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma















  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.
Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.























  --







  Send Emails to wanabidii@googlegroups.com







   







  Kujiondoa Tuma Email kwenda







  wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com

  Utapata Email ya



  kudhibitisha ukishatuma







   







  Disclaimer:







  Everyone posting to this Forum bears the sole

 responsibility



  for any legal consequences of his or her postings, and

 hence



  statements and facts must be presented responsibly.
Your



  continued membership signifies that you agree to this



  disclaimer and pledge to abide by our Rules and



  Guidelines.







  ---







  You received this message because you are subscribed
to

 the



  Google Groups "Wanabidii" group.







  To unsubscribe from this group and stop receiving
emails



  from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.







  For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.















     __._,_.___





















         Posted by: Hildegarda Kiwasila <khildegarda@yahoo.co.uk>











                           Reply

 via web post

                       •



                Reply to sender

           •



               Reply to group

           •

             Start a New

 Topic

           •

                             Messages in
this

 topic

                 (3)

































     Visit Your Group















    • Privacy • Unsubscribe • Terms of Use













































   .















 __,_._,___



































 --



 Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



  



 Kujiondoa Tuma Email kwenda



 wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya

 kudhibitisha ukishatuma



  



 Disclaimer:



 Everyone posting to this Forum bears the sole
responsibility

 for any legal consequences of his or her postings, and
hence

 statements and facts must be presented responsibly.
Your

 continued membership signifies that you agree to this

 disclaimer and pledge to abide by our Rules and

 Guidelines.



 ---



 You received this message because you are subscribed to
the

 Google Groups "Wanabidii" group.



 To unsubscribe from this group and stop receiving
emails

 from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.



 For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.



--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com



Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com 
Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma



Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.





--

Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

 

Kujiondoa Tuma Email kwenda

wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma

 

Disclaimer:

Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and
Guidelines.

---

You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.

To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.

For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com

Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma

Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment