Saturday 30 January 2016

[wanabidii] Mmiliki Wa Mjengwablog Ashiriki Na Kumalizi Half Marathon Ya ' Hapa Kazi Tu' Dodoma

Ndugu zangu, 


Nikiwa kama mmiliki na mhariri wa mtandao wa mjengwablog.com,  Jumamosi ya Januari 31, nilipambana hadi mita 100 za Mwisho kwenye Uwanja wa Jamhuri ili 

kukamilisha kilomita 21.1. Milima ya kwetu Iringa iliniweka kwenye form nzuri kuikabili tambarare ya Dodoma.

Pichani nikimalizia mita 100 za mwisho.

Najipanga sasa kuukabili Mlima Kilimanjaro mwezi Juni mwaka huu. Nataka kuhamasisha Watanzania wa Nyumbani Na Diaspora kuutangaza mlima huu mrefu kuliko yote Afrika sambamba na kuutetea theluji yake isije ikayeyuka kutokana na Mabadiliko ya Tabia Nchi ikiwamo uharibifu wa mazingira yanayouzunguka mlima huo.

Kuwepo na matumaini ya uhai wa Kilimanjaro. Soma makala yangu iliyochapwa kwenye # Africablogging kuhusu Kilimanjaro...http://www.africablogging.org/tanzania-there-is-still-hope-for-kilimanjaro/


Maggid

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment