Saturday 30 January 2016

[wanabidii] Dkt. Kigwangalla awapa funzo watumishi wa sekta ya afya, awataka kuwa wabunifu

Habari za jioni,

tafadhali pokea CODES hapa chini.


<p style="text-align: center;"><span style="color: #000000;"><strong>Licha ya juhudi zinazofanywa na serikali kuboresha sekta ya afya nchini, watumishi wa sekta ya afya wametakiwa kuwa wabunifu ili kuweza kutoa huduma kwa watu wote hususani wenye kipato cha </strong></span><strong style="color: #000000; font-size: 14px; line-height: 1.857;">juu.</strong></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0029.jpg" rel="attachment wp-att-2552"><img class="wp-image-2552 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0029-300x300.jpg" alt="IMG-20160130-WA0029" width="504" height="504" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><em><strong>Licha ya kutembelea wodi mbalimbali za wagonjwa, Dkt. Kigwangwala alitembelea maabara ya hospitali hiyo na kuridhika na vifaa vilivyopo kwenye hospitali, kushoto ni mtaalamu wa viwango vya maabara, Felix Zelote akimpatia maelezo waziri huyo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0030.jpg" rel="attachment wp-att-2553"><img class=" wp-image-2553 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0030-300x300.jpg" alt="IMG-20160130-WA0030" width="505" height="505" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><em><strong>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akibadilishana mawazo na wataalamu wa hospitali hiyo kwenye chumba cha upasuaji</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Hayo yamesemwa leo na Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla wakati akitembelea Hospitali ya Mount Meru iliyopo mkoani Arusha.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Amesema hospitali zinatakiwa kusimama zenyewe kwa ukusanyaji wa mapato,hivyo upo ulazima wa kujenga au kukarabati majengo ambayo wanaweza kufanya wodi za kulipia ambazo zitakua zenye ubora ambao unaweza kuwashawishi watu wenye pesa kuja kupata huduma kwenye hospitali za umma kuliko hivi sasa wanakimbilia hospitali binafsi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Hii itaifanya serikali kupata pesa ambazo sehemu kubwa zitatumika kuwahudumia watu wenye kipato cha chini hospitalini hapa," alisema Dkt. Kigwangalla.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">Hata hivyo Naibu Waziri huyo alisema wateja wengi wanapokuja kupata huduma kwenye vituo vya huduma ya serikali,wanakata tamaa kwakuwa wanakuta hakuna watoa huduma, dawa wala vifaa tiba hivyo wanakimbilia huko kwenye hospitali binafsi.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><strong><span style="color: #000000;">"Lengo letu sio kuua hospitali binafsi bali tunataka muimarishe huduma za kulipia ili tupate pesa za kuwahudumia wasio na uwezo na ninyi watoa huduma wa serikali mpate sehemu yenu ili muweze kufanya kazi kwa ufanisi," alisema Dkt. Kingwangalla.</span></strong></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0032.jpg" rel="attachment wp-att-2554"><img class="wp-image-2554 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0032-300x300.jpg" alt="IMG-20160130-WA0032" width="517" height="517" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><strong><em>Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akibadilishana mawazo na wataalamu wa hospitali hiyo kwenye chumba cha upasuaji</em></strong></span><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0028.jpg" rel="attachment wp-att-2551">
</a></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0027.jpg" rel="attachment wp-att-2550"><img class="wp-image-2550 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0027-300x300.jpg" alt="IMG-20160130-WA0027" width="530" height="530" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangwala akiwa amembeba mtoto mchanga (bado hajapatiwa huduma) na mama wa mtoto huyo Bi. Jamila Petro alipotembelea wodi ya wazazi hospitalini hapo</strong></em></span></p>
<p style="text-align: center;"><a href="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0028.jpg" rel="attachment wp-att-2551"><img class="wp-image-2551 aligncenter" src="http://modewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG-20160130-WA0028-300x300.jpg" alt="IMG-20160130-WA0028" width="530" height="530" /></a></p>
<p style="text-align: center;"><span style="color: #0000ff;"><em><strong>Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamisi Kigwangalla akimuangalia mtoto huyo</strong></em></span></p>

--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
 
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
 
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.

0 comments:

Post a Comment