Ugonjwa huu kwa sasa hautoisha mijini na vijijini utasambaa na kuua zaidi. Hii ni kutokana na maisha tunayoishi. Uchafu wa mazingira ni mkubwa na hatujali sisi wenyewe wananchi. Serikali ni sisi pia tutimize wajibu wetu. Watu wameunganisha vyoo vyao katika mitaro wazi. Maunganisho yanaonekana. Viwanda vinamwaga maji mitaro wazi. Pita mikocheni maeneo ya viwanda ukielekea ITV utokee Msasani uone. Mabomba ya maji yamevaa plasta yapo chini na ya kumwaga maji machafu kutoka septic tanks yanapita juu. Nenda Kawe uone mifereji ya maji nje ya barabara wanakokaa watu mpaka usiku wa manane wanalewa kutwa pia. Kinyesi, maji mazito meusi yanayozalisha mbu wa matende, inzi na watu wanakula hapo. Kila unapopita wanapouza chips, kuku, samaki-hawakufunika kabati la kioo joto. Fika mwenge wamama wanakouza samaki wa kukaanga-zipo wazi eti wanapepea tu inzi na tunanunua. Wauzao ngisi, pweza-wakaka na wababa wamejaa wanakula muuzaji anapepea tu inzi hana kabati la wavu la kuzuia wasichafuke na inzi kulamba. Vumbi, moshi wa gari, inzi asambazae kipindupindu, kuhara. Vijijini mabwawa ya maji wanayotegemea wananchi yaliyotokana na miradi yao funded by TASAF-maji ni ya kijani. Mifugo ya wahamiaji imejaa hapo inakunywa na kunya. Sheria ndogo ndogo za kijiji hawazijali. Nenda ukawaondoe upigwe. Wakati mwingine hunyweshea usiku wa manane na kuondoka alfajiri huwakuti unakuta kinyesi na degradation ya bwawa tu.
Kama wananchi watasusia kununua chakula wazi wasikae kula au kununua-wauzaji watajirekebisha. Lakini hii haikupi guarantee kuwa ulacho mtaani ni kisafi. Kwani maji aliyotumia kukosha sahani, matunda; tambara alilokaushia sahani usafi wake. Anafuta meza, analitia katika ndoo ya maji analikamua na kulitumia kukaushia sahani anayokuwekea mlo. Kutumia maji miminika kuoshea vyombo na yawe mafasi utata. Mauzo ya vyakula na matunda mitaani viongozi na wale wa sekta ya afya wanaona. Muuzaji kuvaa nguo nyeupe na kofia sio tija. Tija ni sanitation ya chakula, vyombo, mikono yake na mazingira. uuzaji samaki wabichi barabarani unaendelea kama kawa na viongozi kusimama kununua. Ukipiga marufuku uuzaji chakula katika mazingira machafu na bila kufunika na masanduku ya wavi au ya kioo na kuondoa vibanda na wapishi barabarani watafungua kesi mahakamani hao wabunge kuwa unaonea wapiga kura wao na njia zao za kujikimu ndio hizo za kuuza barabarani! Sio wao hao wabunge, wawatembelee na kuwaelimisha na akishirikiana na health officers, viongozi wa vijiji/serikali ya mtaa kuwafanya wawe na masanduku ya food hygiene na kuzingatia misingi ya afya wakae wanapotakiwa. Wawatafutie capital funds wawe na masanduku hayo. Mwenye kifao hicho lakini anaacha wazi makusudi aadhiobiwe. Mbunge na Diwani hawatosaidia hivyo bali kupita kusambaza maneno ya kijinga ya kutetea upumbavu-Hivyo wacha tufe na tufe hasa!!
Wapumbavu wa siasa ambao hawatembelei katika mazingira hatarishi wanayoishi watu wao na kuwashauri-washughulikiwe wanapoingiza siasa kuvuruga sera za nchi kama katika afya. Mh Meck Sadick aliwaambia 2009 na kila mara kuwa-hawatoona msaada wa GVT wanavyogomea kutokuondoka jangwani na mabondeni walikovamia. Wanapopimiwa viwanja na kupewa-wanauza na kurudi hapo au kuhamia kwingine hatarishi. Pale jangwani badala ya kubomoa-wanauzia wengine au kupangisha. Bomoa bomoa ikifika waliouziwa wanasema hawana habari ya kubomoa na hawajapewa viwanja. Waliopewa viwanja au mashamba ktk mashamba ya katani vijijini na mamlaka nyinginezo-Wameuza. Wagawie maekari-watauza tuu! Kuwe na mfumo wa kugawa na kudhibiti matumizi mabaya au mauzaji na wao kuishi ktk squatters au maeneo ya misitu kuvamiwa na kujenga, kulima. Anayekutwa na hati ya kununua yenye label iliyowekwa-weka ndani bila akae angalau mwezi akisota bila ya dhamana. Yonda ni Yonda mmakonde amesema (Nyani ni nyani). Anaona hatari ilivyo, anaambiwa anasaidiwa na bado habadiliki yupo kuruka tu juu ya miti kudandia hapa na pale! Lazima sasa Rais na viongozi na watumishi ugani kuwa madikteta na watekelezaji sheria na kazi kiufanisi ili wananchi tubadilike.
Huko vijijini vilabuni ndio pombe na kuchangia mabakuli kama kawa. Mbona hata madereva wanaona hatari na bado anaovertake mlimani, kwenye kona, mlima na maeneo mengine hatarishi na wanaua kila siku? bado anaendesha na kusoma simu, kuangalia picha humo na wananchi tunamuona tunamezea tu? Itakuwa hii ya chakula cha mainzi. Na huko kwa wafugaji mabanda yenye kinyesi na joto hili inzi hachukui hata siku 5 za kutotoa inakuwa 2 tu na anafurahia kuruka kuja dar kuona mji kwani magari mbona mengi! Hapo makumbusho kituo kipya cha mazi kuna bar imezungungwa na mtaro wa maji machafu na wanakula na kunywa uchafuni. Jee waliovamia bwawa la kinyesi la Mabibo na Vingunguti na Wabunge hawataki waondolewe? Maji ya kinyesi kimezunguka nyumba na mimi huweka picha humu mara nyingi tu. Mifereji ya namna hii yenye maji machafu ya kinyesi ipo hata nje ya NGOs zinazojifanya zinatetea Haki za Binadamu, Haki wa akina Mama na Watoto! Na waannchi walipotoa uchafu ndani ya mtaro 9 Decemba waliuacha juu ya mitaro kungojea serikali ije kuondoa wakati kufagia, kuzoa takataka na kuzipeleka dampo ipo decentralized chini ya uongozi wa Mtaa. Nje ya nyumba yako, kiwanda chako kutakuwaje na maji machafu na malundo ya takataka kama mnawajibika na hampendi uchafu? Kukaa kikao na kupanga mikakati ya kuokoa maisha ni tatizo! Monkey mentality hii tutaiwacha lini?
Wacha Tufe tukizika sana ndio tutabadilika -labda.
Kama Kawa.
--------------------------------------------
On Tue, 5/1/16, 'Catherine Sungura' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com> wrote:
Subject: RE: [wanabidii] SERIKALI YATOA TAARIFA YA MWENENDO WA UGONJWA WA KIPINDUPINDU NCHINI
To: wanabidii@googlegroups.com
Date: Tuesday, 5 January, 2016, 6:42
Asante,nimewatumia
wenzangu wapandishe kwenye website
Sent from my Sony Xperia™ smartphone
---- zainul mzige wrote ----
Habari za jioni,
Tafadhali pokea CODES hapa chini.
<a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0652.jpg"
rel="attachment wp-att-154740"><img
class="aligncenter size-full wp-image-154740"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0652.jpg"
alt="IMG_0652" width="640"
height="427" /></a><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa
ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa
habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na Rasilimali
Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi), Michael
John.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Naibu Waziri wa Wizara
ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangalla ametoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa
ugonjwa wa kipindupindu ulioanza tarehe 15 Agosti, 2015
katika mkoa wa Dar es Salaam na kusambaa kwa kasi katika
Mikoa mingine 21 ya Tanzania Bara ambayo ni Pwani,
Morogoro, Iringa, Kilimanjaro, Dodoma, Kigoma, Geita, Mara,
Manyara, Arusha, Shinyanga, Tabora, Singida, Tanga, Lindi,
Rukwa, Kagera, Katavi, Mbeya na Mwanza na
Simiyu.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Tangu ugonjwa huu
uanze, jumla ya watu 12,810 wameugua Kipindupindu, na kati
yao jumla ya watu 202 wameshafariki kwa ugonjwa huu ambayo
ni sawa na asilimia 1.6 ya waliougua. Katika kipindi cha
wiki iliyoanza tarehe 28 Desemba 2015 hadi tarehe 3 Januari
2016, kumekuwa na jumla ya wagonjwa walioripotiwa 590 na
vifo 6, ambayo ni asilimia 0.01 ya wagonjwa wote. Mkoa wa
Mara (Musoma Mjini) ndio ulikuwa unaongoza kwa kasi ya
maambukizi ya ugonjwa wa kipindupindu ukifuatiwa na Singida
(Iramba), Morogoro (Morogoro Vijijini) na Manyara
(Simanjiro).</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Takwimu zinaonyesha
kuwa licha ya kuwa na nafuu katika wiki ya nyuma, wiki hii
kasi ya maambukizi inaonesha kupanda tena kwenye mikoa ya
Mwanza na Arusha. Katika mkoa wa Arusha, maambukizi
yamepanda kutoka wagonjwa wapya 60 hadi 111 kwa wiki.
Katika mkoa wa Mwanza, kasi ya maambukizi imepanda kutoka
wagonjwa wapya 45 hadi 66 kwa
wiki.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Kasi ya maambukizi ya
Kipindupindu katika wiki iliyopita imepungua kwa kiasi
kikubwa katika mikoa ya Mbeya na Tanga. Aidha, mikoa ya
Dar-es-Salaam na Lindi haijaripoti mgonjwa yeyote mpya wa
Kipindupindu katika wiki iliyopita. Tunawapongeza kwa hatua
hii kutokana na juhudi zinazofanywa na wadau ambao kwa
pamoja, wameshirikiana kudhibiti ugonjwa huu kwa karibu
zaidi.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kwa
kushirikiana na Sekta nyingine husika, wadau wa maendeleo na
wadau wengine inaendelea kukabiliana na ugonjwa huu kwa njia
mbalimbali. Kikosi kazi maalum chini ya uratibu wa Ofisi ya
Waziri Mkuu kinakamilisha mpango unaoshirikisha Wizara ya
Afya Maendeleo ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto ,
TAMISEMI, Wizara ya Maji na Umwagiliaji, DAWASCO, DAWASA,
Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi pamoja na
Sekretariat ya Mkoa wa Dar-es-Salaam, kwa ajili ya
kuhakikisha kuwa mikakati ya kupambana na ugonjwa huu
inakuwa jumuishi na ya
haraka.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Bado Wizara inaendelea
kusisitiza kuwa, ili kudhibiti ugonjwa na kuokoa vifo
vinavyotokana na ugonjwa huu, wananchi wanasisitizwa kunywa
maji yaliyo safi na salama, kuepuka kula chakula
kilichoandaliwa katika mazingira yasiyo safi na salama,
kunawa mikono kwa sabuni na maji safi yanayotiririka:-
kabla na baada ya kula, baada ya kutoka
chooni,Baada ya kumnawisha mtoto aliyejisaidia na baada ya
kumhudumia mgonjwa</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Aidha, ni muhimu
kuhakikisha kuwa wananchi wanatumia vyoo wakati wote na
kutokujisaidia ovyo katika vyanzo vya maji vya mito, mabwawa
na ziwani. Wizara ilishapiga marufuku kuuza matunda
yaliyokatwa na vyakula barabarani katika mazingira yasiyo
safi na salama. Hivyo, Mamlaka za Mikoa na Halmashauri
pamoja na watendaji ambao ni Waganga Wakuu wa Mikoa na
Wilaya, Maafisa Afya, ziendelee kutoa taarifa kuhusu
utekelezaji wa jambo
hili.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Wizara inapeleka tena
timu za wataalm katika mikoa iliyoathirika zaidi na
kipindupindu ambayo ni Simiyu, Mara, Morogoro, Manyara,
Singida, Arusha na Mwanza. Timu hizi zitaungana na timu za
mkoa wa wilaya kusaidia kudhibiti ugonjwa
huu.</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000000;">Hitimisho</span></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color: #000000;">Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inaendelea
kukumbusha kuwa, mikoa ambayo bado haijaathirika ichukue
hatua za tahadhari za kuzuia ili isipate mgonjwa yeyote wa
Kipindupindu.</span></p><p
style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0622.jpg"
rel="attachment wp-att-154739"><img
class="aligncenter size-full wp-image-154739"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0622.jpg"
alt="IMG_0622" width="640"
height="460"
/></a></p><p
style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0675.jpg"
rel="attachment wp-att-154741"><img
class="aligncenter size-full wp-image-154741"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0675.jpg"
alt="IMG_0675" width="640"
height="427"
/></a></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Mwakilishi wa
Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa nchini, Dk Rufaro Chatora
(kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa
habari (hawapo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa
mikutano makao makuu ya wizara hiyo. Kushoto ni Naibu Waziri
wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis
Kigwangalla.</strong></em></span></p><p
style="text-align: center;"><a href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0625.jpg"
rel="attachment wp-att-154742"><img
class="aligncenter size-full wp-image-154742"
src="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0625.jpg"
alt="IMG_0625" width="640"
height="427"
/></a></p><p
style="text-align: center;"><span
style="color:
#000080;"><em><strong>Baadhi ya
watumishi wa Wizara ya Afya (walioketi) na waandishi wa
habari katika mkutano
huo.</strong></em></span><a
href="http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2016/01/IMG_0625.jpg"
rel="attachment
wp-att-154742"></a></p>
KAWAIDA
Naibu Waziri wa
Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt.
Hamis Kigwangalla akitoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa
ugonjwa wa kipindupindu katika mkutano na waandishi wa
habari (hawapo pichani) ofisini kwake jijini Dar es Salaam.
Pichani chini kushoto ni Mkurugenzi wa Utawala na
Rasilimali Watu katika Wizara ya Afya (Kaimu Mkurugenzi),
Michael John.Naibu Waziri wa Wizara ya Afya,
Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Dkt. Hamis
Kigwangalla ametoa tamko kwa umma, kuhusu mwenendo wa
ugonjwa wa kipindupindu ulioanza tarehe 15 Agosti, 2015
katika mkoa wa Dar es Salaam na kusambaa kwa kasi katika
Mikoa mingine 21 ya Tanzania Bara ambayo ni Pwani,
Morogoro, Iringa, Kilimanjaro, Dodoma, Kigoma, Geita, Mara,
Manyara, Arusha, Shinyanga, Tabora, Singida, Tanga, Lindi,
Rukwa, Kagera, Katavi, Mbeya na Mwanza na
Simiyu.Tangu ugonjwa huu uanze, jumla ya
watu 12,810 wameugua Kipindupindu, na kati yao jumla ya watu
202 wameshafariki kwa ugonjwa huu ambayo ni sawa na asilimia
1.6 ya waliougua. Katika kipindi cha wiki iliyoanza tarehe
28 Desemba 2015 hadi tarehe 3 Januari 2016, kumekuwa na
jumla ya wagonjwa walioripotiwa 590 na vifo 6, ambayo ni
asilimia 0.01 ya wagonjwa wote. Mkoa wa Mara (Musoma Mjini)
ndio ulikuwa unaongoza kwa kasi ya maambukizi ya ugonjwa wa
kipindupindu ukifuatiwa na Singida (Iramba), Morogoro
(Morogoro Vijijini) na Manyara (Simanjiro).Takwimu zinaonyesha kuwa licha ya
kuwa na nafuu katika wiki ya nyuma, wiki hii kasi ya
maambukizi inaonesha kupanda tena kwenye mikoa ya Mwanza na
Arusha. Katika mkoa wa Arusha, maambukizi yamepanda kutoka
wagonjwa wapya 60 hadi 111 kwa wiki. Katika mkoa wa
Mwanza, kasi ya maambukizi imepanda kutoka wagonjwa wapya 45
hadi 66 kwa wiki.Kasi ya maambukizi ya Kipindupindu
katika wiki iliyopita imepungua kwa kiasi kikubwa katika
mikoa ya Mbeya na Tanga. Aidha, mikoa ya Dar-es-Salaam na
Lindi haijaripoti mgonjwa yeyote mpya wa Kipindupindu katika
wiki iliyopita. Tunawapongeza kwa hatua hii kutokana na
juhudi zinazofanywa na wadau ambao kwa pamoja,
wameshirikiana kudhibiti ugonjwa huu kwa karibu
zaidi.Wizara ya Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kwa kushirikiana na Sekta
nyingine husika, wadau wa maendeleo na wadau wengine
inaendelea kukabiliana na ugonjwa huu kwa njia mbalimbali.
Kikosi kazi maalum chini ya uratibu wa Ofisi ya Waziri Mkuu
kinakamilisha mpango unaoshirikisha Wizara ya Afya Maendeleo
ya Jamii , Jinsia, Wazee na Watoto , TAMISEMI, Wizara ya
Maji na Umwagiliaji, DAWASCO, DAWASA, Wizara ya Elimu,
Sayansi, Teknolojia na Ufundi pamoja na Sekretariat ya
Mkoa wa Dar-es-Salaam, kwa ajili ya kuhakikisha kuwa
mikakati ya kupambana na ugonjwa huu inakuwa jumuishi na ya
haraka.Bado Wizara inaendelea kusisitiza
kuwa, ili kudhibiti ugonjwa na kuokoa vifo vinavyotokana na
ugonjwa huu, wananchi wanasisitizwa kunywa maji yaliyo safi
na salama, kuepuka kula chakula kilichoandaliwa katika
mazingira yasiyo safi na salama, kunawa mikono kwa sabuni na
maji safi yanayotiririka:-
kabla na baada ya kula, baada
ya kutoka chooni,Baada ya kumnawisha mtoto aliyejisaidia na
baada ya kumhudumia mgonjwaAidha, ni muhimu kuhakikisha kuwa
wananchi wanatumia vyoo wakati wote na kutokujisaidia ovyo
katika vyanzo vya maji vya mito, mabwawa na ziwani. Wizara
ilishapiga marufuku kuuza matunda yaliyokatwa na vyakula
barabarani katika mazingira yasiyo safi na salama. Hivyo,
Mamlaka za Mikoa na Halmashauri pamoja na watendaji ambao
ni Waganga Wakuu wa Mikoa na Wilaya, Maafisa Afya,
ziendelee kutoa taarifa kuhusu utekelezaji wa jambo
hili.Wizara inapeleka tena timu za
wataalm katika mikoa iliyoathirika zaidi na kipindupindu
ambayo ni Simiyu, Mara, Morogoro, Manyara, Singida, Arusha
na Mwanza. Timu hizi zitaungana na timu za mkoa wa wilaya
kusaidia kudhibiti ugonjwa huu.HitimishoWizara ya Afya, Maendeleo ya
Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, inaendelea kukumbusha kuwa,
mikoa ambayo bado haijaathirika ichukue hatua za tahadhari
za kuzuia ili isipate mgonjwa yeyote wa
Kipindupindu.Mwakilishi wa
Shirika la Afya Duniani (WHO) hapa nchini, Dk Rufaro Chatora
(kulia) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa
habari (hawapo pichani) uliofanyika katika ukumbi wa
mikutano makao makuu ya wizara hiyo. Kushoto ni Naibu
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,
Dkt. Hamis Kigwangalla.Baadhi ya watumishi
wa Wizara ya Afya (walioketi) na waandishi wa habari katika
mkutano huo.
--
Zainul A.
Mzige,Operation
Manager,MO BLOG,www.modewjiblog.com+255714940992.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment