Sijakuelewa!
em
2016-01-07 6:28 GMT-05:00 'Hildegarda Kiwasila' via Wanabidii <wanabidii@googlegroups.com>:
Siku hizi vibabu vizee vinaoa wasichana changu doa. Kisha wananunua ardhi wanajenga mabonge ya nyumba na kuwa na magari mazuri 4 wheel drive ya kifamilia. Kila siku anatembelewa na watu wa kwao anajifanya nduguze na rafiki zake. Kumbe hao ni watalii. Hela wanalipa ktk account yake kwao, huku anawapa hela za TZ na halipi kodi. Kumbe ana kampuni ya siri ya kitalii. Wakwe wa kibongo nao siku ya arusi wanawapa ekari kadhaa kama zawadi. Mzungu anajilia vyake bongoland wala benefit sharing hakuna kwa kijiji. wanaoa mpaka wenye vilema ambao wakioa kwao hawaruhusiwi kuzaa anafungwa kutokana kuwa ana hereditary diseases kama down sydrome. Hapa unamuona kaoa, ulimi nje na kazaa na kabinti. Wachina nao soko lao lipo juu wanaoa hawafungwi tena kama zamani walipokuwa wakijenga tazara. Akisha kuoa kidili hivi anaingia na kutoka nchini kama kawa. Ndoa dili siku hizi kwa wahamiaji haram. Tunaona sifa eti-kaolewa na mzungu, kaolewa na Mburundi, Mkongomani, Mnigeria na nimewapa shamba kumbe ni dili kama wale vijana wetu nwaendao ulaya akifike kule kama mhamiaji haram anaoa limama lizee. anapata nyumba, anafanya vibarua ya kufagia barabara kwa magari, kuosha vyombo hotelini, bustani za maua na kusafisha nyumba. Wengine wanakimbilia makanisa ya kilokole eti wameokoka mradi apate pa msaada wa kula na malazi. Akiona ameshakaa vizuri hamtaki huyo mama mzee na kuokoka kunaisha. Miaka ya karibuni, akikaa kinyumba au kuoa limama la mwisho chalinze kisha kumuona mdada wa kwao akahamia au akamuoa akamwanja mama mtu mzima huyo-anapewa masaa 24 kuhama nchi. Hawawapi tena vibali vya uhamiaji mara akio bali huwaweka katika grace period ya miaka kwani janja yao imejulikana.
Kwa Mwali huliwa na kwa somo pia. Tunavyohamia kwa wenzetu na mtu msomi anafagia barabara, manual work kadhaa na wazawa kule kulalamika kuporwa kazi kwani tunakuwa cheap labour, nasi huku tunalalamika eti wanachukua ajira ambapo nasi kutwa tupo vijiweni, tupo kutembeza used chupi na mashati na spea za magari. Kazini kutwa unasoma simu huduma duni. Mara umeaga ruhusa una arusi, kufiwa, udhuru kila siku-wanaleta wahindi wenzao hatolelini kupika cheuro. Mahotelini ukikabidhiwa kufagia ndani-kazi yako kuibia wageni. Analeta wachina wenzake, watu wa malawi na zamia kutoa huduma hotelini anakuacha wewe utakae utajiri wa harakaharaka kuibia wateja simu, pochi, laptop kisha unayeyuka kazi umekimbia. Kupiga zege kazi za ujenzi huwezi-unataka malipo ya siku lakini unafika asubuhi mzigoni late na upo mbwiii unanuka gongo!!
Excuse me, wache waje lakini kwa kibali ili huduma sekta mbalimbali ziwe nzuri, uchumi ukuwe, uzembe utufike puani utoke tuuache!!
--------------------------------------------
On Thu, 7/1/16, Buberwa Jackob <buberwajackob@gmail.com> wrote:
Subject: [wanabidii] MSAKO WAHAMIAJI WANAOCHUKUA AJIRA ZA WAZAWA USIFANYIKE KWA UBAGUZI
To: "Buberwa Jackob" <buberwajackob@gmail.com>
Date: Thursday, 7 January, 2016, 14:10
MSAKO WAHAMIAJI WANAOCHUKUA AJIRA ZA
WAZAWA USIFANYIKE KWA UBAGUZI
WACHINA NA WAZUNGU NAO LAZIMA
WASHUGULIKIWE ! BONGO SIYO SHAMBA LA BIBI !
Ni juzi tu naibu waziri wa mambo ya ndani
muandisi Mhe.Hamad Masauni aliiagiza Idara ya Uhamiaji
kusaka na kuwakamata raia wageni wote wanaochukua ajira
zinazoweza kufanywa na wataanzania, wito huo tayari
umeshaitikiwa na idara ya uhamiaji mkoa Dar-es-salaam kama
alivyosema Afisa Uhamiaji mkoa Bw.John Msumule kuwa
watawasaka wahamiaji wanao chukua ajira za watanzania na
kuwafikisha mahakamani.
Mashaka ya ubaguzi katika kamata kamata hiyo!
inawezekana zoezi hilo likafanyika kwaubaguzi
bila makusudi,na wakakamatwa mfano raia wa Somali na
wahabeshi wanauza milungi,warundi na wanyarwanda ambao ni
wakimbizi, namakundi mengine ambao ndiovinara
wanaoongoza kwa kunyakua ajira zinazowezwa kufanywa na
watanzania wakaachwa. Mfano katika maeneo ya
Kariakoo kuna wachina wanauza maduka na wanamiliki maduka
tunajiuliza hivi kweli vibali vya uwekezaji vinatolewa ovyo
mpakakwa wachina kuwekeza katika
maduka?!
WAZUNGU NAO WAMO ! kuna raia wengi wa
kizungu wameingia hapa kwa viza za kutalii na sasa wanafanya
kazi mpaka za upishi na kutembeza watalii ! sasa inashangaza
hii nchi kweli Shamba la Bibi ?
KUNA MADANGULO yenye machangudoa kutoka Asia nayo
yasakwe pia
Kuna walinzi makolokoloni raia wa kigeni nao
wanavibali vya kuishi na kupata ajira hapa nchini
?!Leo tunao hapa nchini Wachungaji katika
makanisa ! wachungaji hao wengi wao toka Nigeria na makanisa
yao yameibuka kama uyoga na kupata vibali vya kuendesha
shughuli zao Tanzania!
Wanenguaji na Marapa katika bendi za muziki nao
pia kutoka nje ya nchi! hivi kunengua nako kuwashinde
watanzania ?
TUNAIOMBA IDARA YA UHAMIAJI IFUTE NA KUVIHAKIKI
VIBALI VYOTE VYA WAGENI
Zoezi hili lazima liwashikirikishe wananchi na
serikali za mitaa
Hapa Kazi TU
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya
kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility
for any legal consequences of his or her postings, and hence
statements and facts must be presented responsibly. Your
continued membership signifies that you agree to this
disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the
Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails
from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
--
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
Send Emails to wanabidii@googlegroups.com
Kujiondoa Tuma Email kwenda
wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com Utapata Email ya kudhibitisha ukishatuma
Disclaimer:
Everyone posting to this Forum bears the sole responsibility for any legal consequences of his or her postings, and hence statements and facts must be presented responsibly. Your continued membership signifies that you agree to this disclaimer and pledge to abide by our Rules and Guidelines.
---
You received this message because you are subscribed to the Google Groups "Wanabidii" group.
To unsubscribe from this group and stop receiving emails from it, send an email to wanabidii+unsubscribe@googlegroups.com.
For more options, visit https://groups.google.com/d/optout.
0 comments:
Post a Comment