Saturday 30 May 2015

[wanabidii] nAFASI YA KAZ

nimepata consultancy, and that is my job, kampuni moja ya kitanzania ina nafas moja ya kaz
Nafasi>  Operation MANAGER - Nafasi 1
Atareport kwa CEO
Sifa"anatakiwa awe smart ktk usimamiz wa rasilimali vitu na watu
Afikiwe malengo atakayopangiwa na kampuni
Awe mchapakaz hasa
Sifa
Degree ya Finance au Engineering
Uzoefu miaka 3 ktk usimamiz wa watu na vitu ktk makampuni ya ujenzi
Address
 0652 314181 aramakurias @yahoo.com

Deadline j3 saa 11

0 comments:

Post a Comment